Тёмный

TUKIO LA AJABU JAMAA AGANDA BARABARANI NA MWAMVULI HAONGEI WALA KUTIKISIKA "AMTAJA MARIAMU" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 213 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

24 апр 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 728   
@coj7920
@coj7920 2 месяца назад
Liitieni jina la Yesu , jina lipitalo majina yote, hakuna nguvu zozote za giza zitakazobaki hapo. Haijalishi kama kuna uliyemkosea au la, Mungu ni mwenye rehema, utafunguliwa kwa Jina la Yesu.
@jumaenzi4760
@jumaenzi4760 2 месяца назад
Pole sana yesu anakula anakunya mtu kama wewe t pekeyake mwenye nguvu Allah tu
@shamiramsoke1365
@shamiramsoke1365 2 месяца назад
AMINA🙏
@denisrukangula2227
@denisrukangula2227 2 месяца назад
Jina la YESU ni Kila kitu Duniani
@binseif2216
@binseif2216 2 месяца назад
Kwanini mnamtanguliza Yesu badala ya Mungu?hivi hamjui mnamuudhi Mwenyezi Mungu kiasi gani nyie wagalatia?
@pillykinabo8722
@pillykinabo8722 2 месяца назад
Mleteten Raboni ministry ipo Zanzibar..case imeisha hio kwa Jina la yesu.
@rosemarymapango3747
@rosemarymapango3747 2 месяца назад
Hizi ni nyakati za kukaa na Mungu Kwa ukaribu sana kuliko maelezo,.Mungu atamfungua lakini
@AminaIssa-ee6kl
@AminaIssa-ee6kl 2 месяца назад
Subhannah Allah....maajabu hayaeshi duniani kwa kweli....bado tutaona mengi kabla ya kufa.
@IsmailMjesh
@IsmailMjesh 2 месяца назад
Allah atunusuru, na madhila ya dunia' we Amina Issa kimolo au?
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m 2 месяца назад
Sema Damu ya Yesu!! Atapona. Kama ni nguvu za giza bac ni mwisho tu kwa jina la Yesu Kristo. Mathayo8:5-13.
@mussamgonola3983
@mussamgonola3983 2 месяца назад
Damu ya kazi gani mtu asha kufa miaka na miaka acheni kudanganya watu
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m 2 месяца назад
@@mussamgonola3983 Yesu hajafa wala hawezi kufa. Hahahahahaha we ni mjinga kwelikweli
@user-jv1ch4tr8q
@user-jv1ch4tr8q 2 месяца назад
Wewe siwaende useme km inainmani sn😂
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 2 месяца назад
MMM MUNGU TUSAIDIE watu hakika ni wabaya waleteni watu wa Mungu limetushinda sisi hakika Mungu halijamshinda
@AwzaMstafa
@AwzaMstafa Месяц назад
Pole sana kaka kila lenye mwanzo lina mwisho Mungu atakusimamia
@mussaadamtheMiXologist1996
@mussaadamtheMiXologist1996 2 месяца назад
I'm the first.... Kapigwa kitu Kizitooo.. Allah amjalie mpambnaji mwenzet arejee katak hali yake na kuendeleza mapambno
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 2 месяца назад
Jamani ,hii barabara kiboko ndo na gambushi njia hiyohiyo ushirikina huko duh
@lizekajigil3243
@lizekajigil3243 2 месяца назад
Waite watumishi wa Mungu wamwombee Yesu atamponya kabisa
@martinemaganga5253
@martinemaganga5253 2 месяца назад
hapo hawezi vinginevyo wamtafute huyo mtu aliyetajwa
@user-rw2mm1jk6o
@user-rw2mm1jk6o 2 месяца назад
Watumishi wenyewe wababaishaji tu wapiga pesa
@zaidiissa3714
@zaidiissa3714 2 месяца назад
Sasa kama yesu anaweza kumponya je mungu anaweza kufanya Nini au mungu niwakazigani???
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 2 месяца назад
@@zaidiissa3714 wewe umejazwa ujinga wa muddy.
@rosekimaro384
@rosekimaro384 2 месяца назад
Kabisa
@user-jx4rx6jy6y
@user-jx4rx6jy6y 2 месяца назад
Hakika dunia imeisha mungu msaidie baba huyo aludi kwenye haliyake yamwazo
@sudymgeni701
@sudymgeni701 2 месяца назад
Chukueni simu yake tafuteni jina la mariam aje amalize iyo mambo ndio kamloga uyo mshenzi sana.
@rhodacharles8857
@rhodacharles8857 2 месяца назад
Marium popote ulipo mungu anakuona
@mithlaabdulrahim8566
@mithlaabdulrahim8566 2 месяца назад
😂😂
@mariamsemwaiko8169
@mariamsemwaiko8169 2 месяца назад
Mtuache tu ukizingua tunagandisha😂. Utani laki jaman
@paulinakajivo4670
@paulinakajivo4670 2 месяца назад
😂😂😂😂
@user-gk7cu2ie7f
@user-gk7cu2ie7f 2 месяца назад
Kweli bwana so utani ukizingua tunagandishaaa huu ni mwaka wa kugandaa tyuuu​@@mariamsemwaiko8169
@xxxl-jf2ji
@xxxl-jf2ji 2 месяца назад
😅😅😅😅
@user-lz5it9yn4q
@user-lz5it9yn4q 2 месяца назад
Mariam ww! Fanya kufungua chapu, hawa viumbe hatuwalogi tunawasemehe t Mungu anajibu
@MCBTv-el3kh
@MCBTv-el3kh 2 месяца назад
🤣Haongei wala kutikisika kamtaja vipi tena mariam. Millard imekaeje hii mkuu.......wew mtu muhimu bhana habari zako....iweke sawa hiyo
@hajraissa5089
@hajraissa5089 2 месяца назад
Amekata kauli asubuhi ya siku yapili
@user-wq8kw7wb1n
@user-wq8kw7wb1n 2 месяца назад
kama vile yesu alivyo hai nakuombea rehema mungu akusamehe akurudishie ufaham kwa jina la yesu uwe mzima uwe mzima
@zaidiissa3714
@zaidiissa3714 2 месяца назад
Je mungu unamuweka upandegani kama yesu anaweza kutenda kilakitu je mungu anaweza kutendanini??
@andrewmhagama9816
@andrewmhagama9816 2 месяца назад
​@zaidiissa3714 Mamlaka ya mbinguni na duniani amepewa yeye..kama ukisema mungu ni mungu yupi kuna watu wanaabudu mpaka ng'ombe,miti mashetani. Na ata tembo na wanasema mungu, sasa ili upokee uponyaji wa aina yoyote unatakiwa uliite jina la Yesu Kristo pekee ndilo lenye Mamlaka.
@LucyKapinga-fg4dk
@LucyKapinga-fg4dk 2 месяца назад
Ameeeeeeeeeeen Ameen​@@andrewmhagama9816
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 2 месяца назад
Tuwe tunatoa vifungu vya neno la Mungu la bible, watu wengi wamelishwa ujinga Unakuta hatujui vitabu vyetu vya dini Zetu. Tumekariri kama kasuku hatari imani ikiwa kwenye lugha za kigeni. Umungu wa Yesu ni tatizo kuelewa. Hata hivyo huyo ndiyo mpinga kristo mwenyewe.
@julianamwamgogwa
@julianamwamgogwa 2 месяца назад
Amina
@NeemaSamweli-zo7zi
@NeemaSamweli-zo7zi 2 месяца назад
Mmh hii Kali ya mwezi jomon 😂😂😂😂 Mariam jamn, sameh mana ujui nawe mungu amekupangia hukumu gani na Kwa njia gani ples letdwn 4hm
@user-hv6qw2zw2y
@user-hv6qw2zw2y 2 месяца назад
Wewe mariam wewe mungu anakuona mwache mwenzako . Akutaje wewe tu .unatisha mariamu
@fettiemaganza1484
@fettiemaganza1484 2 месяца назад
Inawezekana asiwe yy labda hyo mkewe alikuwa hamuhudumii kisa mariam ndo maana mwenzie kamfanyia hvo ili amtaje hyo mariam anaemuona wa maana
@victorianganyagwa2467
@victorianganyagwa2467 2 месяца назад
Wanaume mmezd jmn kutumia wtt wa wt n kuwaacha cyo buree kbx Mariamu wwww Tunyoooshee Mtu iwe fundisho n kwa wanaume wengne mmezd me xjaon ht hrma akome tu Mariamu ppt ulipo chukuwa mauwa yako😂
@user-pi8vf2vp3i
@user-pi8vf2vp3i 2 месяца назад
😂😂😂
@MohamediAthumani-ub8nn
@MohamediAthumani-ub8nn 2 месяца назад
Mungu amwepushe na Hilo
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 2 месяца назад
Haha.. kwa nini agande na mwanvuri... Yani amejiandaa asinyeshewe wala asipigwe na jua. Mambo ya ajabu anampigia kampeni mganga atakaekuja kutumtoa ...huo ni mchungo
@user-sv6zy3hc8o
@user-sv6zy3hc8o 2 месяца назад
Jamani acheni utani mana ukisema ni dogo sema halija kukuta
@user-cv7vm1mx9d
@user-cv7vm1mx9d 2 месяца назад
Kuna mganga atakuja kumtoa
@enockmaige8936
@enockmaige8936 Месяц назад
Siku tano
@elinapetro7136
@elinapetro7136 2 месяца назад
Waislam wanamakasiriko na wakristo sijui kwanini??? Hivi akilizenu zipo timamu kweli??? Nyie aminini mnacho amini acheni wakristo tuamini tunachoamini punguzeni makasiriko😊
@TuyizereHusna
@TuyizereHusna 2 месяца назад
Wewe za kwako zilizo timia unabishana nini
@neemakungule8633
@neemakungule8633 2 месяца назад
Wew mwenye akili ungekua nazo ungejitahd uwape ata watoto wako mwehu ww
@elinapetro7136
@elinapetro7136 2 месяца назад
@@neemakungule8633 mnatufatilia sana mmbwa nyie utafikiri tunashea msikiti fyuuuuu shetani wenu anawapeleka puta sana mwambieni kabisa hakuna kitakachobadilika yesu ataabudiwa siku zote za Maisha ya mskristo kwaiyo tulizeni vijambio vyenu
@Mariam-ke4og
@Mariam-ke4og 2 месяца назад
udini umeingiaje hapo ?
@East_Africa_120
@East_Africa_120 2 месяца назад
We toa ujinga wako apa
@khadejarajab8007
@khadejarajab8007 2 месяца назад
Mariamu popote ulipo mtengue mwenzako hiko kitu ulicho mfanyia
@siamnyone8403
@siamnyone8403 2 месяца назад
😂😂😂Uwez elewaa
@user-gk7cu2ie7f
@user-gk7cu2ie7f 2 месяца назад
Staki
@solomondanny-1507
@solomondanny-1507 2 месяца назад
Anajulikana mbona huku kwetu Katesh.
@solomondanny-1507
@solomondanny-1507 2 месяца назад
Mariam anayetajwa anafahamika sana huku Katesh.
@AbdullaSeifKhamis-tv4zq
@AbdullaSeifKhamis-tv4zq 2 месяца назад
Mariyam ni mamayake Issa
@user-yq5uh1fr2p
@user-yq5uh1fr2p 2 месяца назад
Dunia imefika mwisho mungu tusaidie
@michelinemapendo6652
@michelinemapendo6652 2 месяца назад
😢😢😢khaaaa isimame tuchukeee😢😢
@jassontv5366
@jassontv5366 2 месяца назад
Koma wewe Dunia haiwezi fika mwisho kwa vitu vya kijinga wewe
@rosehaule6765
@rosehaule6765 2 месяца назад
Wala.aijafika.mwisho watu ndio tunafika..wisho.matukio haya yalikuwepo yapo tangu zamanj ila.tu zamani watu walikuwa wachache Sasa huvi watu tupo wengiii.. si ushirikina wala nn anaumwa huyo aikili zimemruka uenda Mahalia tu wampeke hospital na wamuimbee au uenda anatafuta kiki tu😂 Mungu atamsahidia wampeleke hospital Imani za kishirikia ndio zinatufanya kumchelewesha mtu hospital matokeo yke anazidi kuumia angepqta tiba mapema anapona
@dayana5513story
@dayana5513story 2 месяца назад
imeniuma sana😢
@EliatirishaKaaya
@EliatirishaKaaya 4 дня назад
.mungu mponye you kaka awe mzima jaman
@justice607
@justice607 2 месяца назад
Huyu jamaa nnaomba huyo ndugu yake amlete Kanisa la Vuka Yordani Kisongo waya kwa Askofu Elibariki Sumbe, atapona kabisa nakuendelea na shughuli zake
@Revelation1412.
@Revelation1412. 2 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂 Siyo kwamba wamuombee tu kwa JINA LA YESU KRISTO apone Lazima aje huko yordan
@mamachris6811
@mamachris6811 2 месяца назад
​@@Revelation1412.Tangazo la biashara 😂😂😂😂
@moseschrislumole2496
@moseschrislumole2496 2 месяца назад
Huyo meneja wa kampuni ya ulinzi...anavyotaja Maria nmekumbuka JUAKALI wazee hawa kina maria mkae nao mbali mtakuja kunishukuru😢
@user-jr3mo3je3k
@user-jr3mo3je3k 2 месяца назад
Hahahaaaaaaaaaa jmn Mariam
@mwanduelizabeth2282
@mwanduelizabeth2282 2 месяца назад
Daaaa jamani walimwengu wabaya sana.Aliyemfanyia hivi yupo amekaa ametulia tu anafurahi.Kumb la torati 28:7 inasema Bwana atawafanya adui zako wainukao juu yako kupigwa mbele yako watakutokea kwa njia moja nao watakimbia mbele yako kwa njia Saba.Bwana Mungu akashughulike na aliye fanya Jambo hili kwa huyu kaka.
@lucymbuma681
@lucymbuma681 2 месяца назад
Jamm mungu atusaidie jmn
@asteriashios1852
@asteriashios1852 2 месяца назад
Mariamu huyo anafahamu alilolifanya
@Mkemia..Kirigiti
@Mkemia..Kirigiti 2 месяца назад
Mariam atafutwe popote alipo aje atwambie amemfanyaje ndugu yetu
@MaryanDavid-jo2fs
@MaryanDavid-jo2fs 2 месяца назад
😂😂😂jamani sijamfanya lolote😂😂😂ah jina Mariam ndio mnalolijua
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 2 месяца назад
​@@MaryanDavid-jo2fs😅😅😅😅😅😅😅 tunatisha 😅😅😅😅
@gadyetheboss8738
@gadyetheboss8738 2 месяца назад
Wanaume wote tuungane kumsaka mariam amempa nin kijana mwenzetu!
@Revelation1412.
@Revelation1412. 2 месяца назад
😂😂😂😂😂
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 2 месяца назад
@@gadyetheboss8738 mtafanikiwa kweli? Kashawashika ndevu 😅😅😅😅😅😅
@StimaOfficial
@StimaOfficial 2 месяца назад
Anahitaji kupelekwa maombi sio tatzo la hospital hilo. Yupo Mungu afanyaye mambo ambayo mwanadamu hawezi kufanya
@michelinemapendo6652
@michelinemapendo6652 2 месяца назад
ODEMBA 😢😢😢😢MARIAM
@3Dee_51
@3Dee_51 2 месяца назад
Mariam odemba aje😂😂😂
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 2 месяца назад
@@3Dee_51 jamani tuacheni tuko kazini 😂😂😂😂😂😂😘
@FatmahPwatati
@FatmahPwatati 2 месяца назад
Lailah illah allah muhammad rasurullah,allah mwema atamxaidia
@user-em4zz3lh1h
@user-em4zz3lh1h Месяц назад
Huyu mama mliyemuhoji anaMungu kwelikweli na Imani thabiti
@Theironrod9373
@Theironrod9373 2 месяца назад
Serekali itasaidia nini hapo… kila kitu serekali serekali… hii ujinga wetu utatutoka lini… huyo mtu mpelekeni kwenye maombi tu atapona hayo ni mapepo tu.. wala hajachanganyikiwa.. bali amechanganyiwa madawa tu…
@zamalisaide3209
@zamalisaide3209 2 месяца назад
Mwenyezi mungu nimwingi walmaa atapona inshallah
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 2 месяца назад
😂😂😂😂😂😂mwaka ushaanza kuchanganya ata kabla june😂😂😂tutaona mengi
@omanoman2044
@omanoman2044 2 месяца назад
Et kapigwa na kituy kizitoo duuh
@Mina.15
@Mina.15 2 месяца назад
😂😂😂😂 mariam peponi haendi
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 2 месяца назад
@@Mina.15 tutawatangulia wote , tuachwe tuko busy 😂😂😂😂😂
@user-jn4vw5mv5s
@user-jn4vw5mv5s 11 дней назад
Hii umeenda yahani hii Dunia Bado Kuna matukio yatatushangaza sana
@valentinanduku8718
@valentinanduku8718 2 месяца назад
Damu ya Yesu kila eneo la maisha yngu
@Afsah90
@Afsah90 24 дня назад
Damu gani jamani, yani vitu havina maana kabisa...muabuduni mungu acheni kuabudu kiumbe, abudu mungu aliekuumba na kuumba kila kitu
@salmanassor8732
@salmanassor8732 2 месяца назад
Maryam jamanii imekuwaje tenaa baba wa watu 😂😂😂
@SingoMedia
@SingoMedia 2 месяца назад
Wa kwanza mimi leo ❤
@justice607
@justice607 2 месяца назад
Wakwanza kufanywaje
@eddynaingasian2813
@eddynaingasian2813 2 месяца назад
Amtaja Mariamu kimoyomoyo ama ...umesema haongei😂😂
@user-eq2wg9hx6o
@user-eq2wg9hx6o 2 месяца назад
Kama muna maji ya mwamposa mnywesheni na mpakeni mafuta
@vesitinarevocatus7333
@vesitinarevocatus7333 2 месяца назад
Mchapeni bakora muone kama hatonyanyua iyo miguu😂😂😂
@MichaelMaro-hj7yo
@MichaelMaro-hj7yo 2 месяца назад
Umejuaje Yuko kateshi Yale Yale MUNGU anawaona
@PendoMatemba-ql1ng
@PendoMatemba-ql1ng 2 месяца назад
muonee uruma huyo kaka mariam kama Amekukosea msamehe tu mkabidhi mungu kipenzi changu.
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 2 месяца назад
Apelekwe hospitali kwanza jamani labda celebral malaria
@kemmymartine4884
@kemmymartine4884 19 дней назад
😢😢😢😮Mungu wetu aliejaa Rehema uturehem
@upendomtui6544
@upendomtui6544 2 месяца назад
Waganga wameshafanya kazi ya boss wao babaa wa uongo
@PetronilaRaymond
@PetronilaRaymond 2 месяца назад
Mungu amponye
@pascalgasper403
@pascalgasper403 2 месяца назад
Mariamu Tuoneshane Machaka Hayo😅😅😅
@Biharmbeauty
@Biharmbeauty 2 месяца назад
😂😂😂😂😂
@pascalgasper403
@pascalgasper403 2 месяца назад
@@Biharmbeauty 😅😅
@KHAMIS_SHILINGI
@KHAMIS_SHILINGI 2 месяца назад
😂😂😂😂😂
@user-nt4ov4gl2o
@user-nt4ov4gl2o 2 месяца назад
akianani sikuizi akuna wanawake daa
@mithlaabdulrahim8566
@mithlaabdulrahim8566 2 месяца назад
Ila mganga wa mamu aiseeee😅😅
@FredMwamgogwa-td6ni
@FredMwamgogwa-td6ni 2 месяца назад
😂😂😂😂😂 dunia inamambo aise😂😂😂😂😂
@Silviamwesh
@Silviamwesh 2 месяца назад
Ndio maana watu uogopa kwenda ushagu kwao na wamelelewa uko wachawi kila mahali sasa mtu asitajirike na asiende nyumbani?????
@AnnaMichaely-yn2vm
@AnnaMichaely-yn2vm День назад
Yesu amponye
@PeterMwamtobe
@PeterMwamtobe 2 месяца назад
Amina
@farajiajali3030
@farajiajali3030 2 месяца назад
HAONGEI MARIAM KAMTAJA VIPI?
@MaryanDavid-jo2fs
@MaryanDavid-jo2fs 2 месяца назад
😂😂😂 ndio nashangaa jamni
@user-cy8el2pg6t
@user-cy8el2pg6t 2 месяца назад
Haongei na watu ila akiwa mweyewe ndio anamtaja huyo mariamu
@IkoUwasi-it6qy
@IkoUwasi-it6qy 2 месяца назад
😂​@@user-cy8el2pg6t
@user-ng6ep3hi4c
@user-ng6ep3hi4c 2 месяца назад
😂😂😂Umenichekesha sana
@FatimaFatima-bx8ez
@FatimaFatima-bx8ez 2 месяца назад
Jamani pengine ni husda mpelekeni akasomewe kisomo cha husda😢ishaallah atapoa😮🎉
@timopanga5286
@timopanga5286 2 месяца назад
Wajina pole sana mungu akunasue kwenye mitego mibaya 😢😢
@DativaMbowe
@DativaMbowe Месяц назад
Yesu ingilia kati ya maisha ya huyu kijana,
@anethcharles5443
@anethcharles5443 2 месяца назад
😄dah mariamu weee
@ladislausngoyinde4384
@ladislausngoyinde4384 2 месяца назад
Umesema haongei, amemtajaje Mariam sasa
@RynoFiree
@RynoFiree 2 месяца назад
Music Producers kazi tunayo 😂😂
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 2 месяца назад
Ila hawa waganga hawa wanatutesa Sana dah akamwambia achukue na mwamvuli kbs😅😅😅
@user-mu7ge1ky7u
@user-mu7ge1ky7u 2 месяца назад
Mpelekeni Kwa pastor Tony kapola......ataombewa hio ni mapepo hayana uwezo
@mikaelchazi4616
@mikaelchazi4616 2 месяца назад
Duh😢 hatari sana😢
@SV_astro
@SV_astro 2 месяца назад
Wale manabii wakowapi?! Waende huko
@CairoJames9
@CairoJames9 2 месяца назад
Si ndo hapo...au tuwatag hapa wote😂😂
@DianaMaseke
@DianaMaseke 2 месяца назад
Mleteni Dar es salaam kanisani .Ngomeni Kwa Kuhani Mussa Kila kitu kitajulikana hapo
@user-gs1xl8nu1s
@user-gs1xl8nu1s 2 месяца назад
Jamni ndugu zangu tusisahau kama hizi ninyakati za mwisho ko chamuhimu ni kumuomba mungu peke yake
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 2 месяца назад
Sub-hannallah!!!!
@user-sj3wf5vz7l
@user-sj3wf5vz7l 2 месяца назад
Mh manyara tena. Uchawi huo
@chimamilion
@chimamilion 2 месяца назад
Mariam nae asingempa mwamvuli wanaume wanazd sana
@zaitunirashidi5532
@zaitunirashidi5532 2 месяца назад
😂😂😂😂
@mirajiabdallah1339
@mirajiabdallah1339 2 месяца назад
noma
@siamnyone8403
@siamnyone8403 2 месяца назад
🤗🤗Tabora ....
@shabanimshanga8863
@shabanimshanga8863 2 месяца назад
ya ulimwengu mengi😊
@salmanassor8732
@salmanassor8732 2 месяца назад
Kabisa 😂
@user-iz3sl6ul7f
@user-iz3sl6ul7f 2 месяца назад
Wewe dada mwogope mungu
@NeemaMamba
@NeemaMamba Месяц назад
Mwiteni mungu atamponya mungu anaweza
@PATRICKMICHAEL-pp5vo
@PATRICKMICHAEL-pp5vo 2 месяца назад
Hes 23:23 SUV Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo, Wala hapana uganga juu ya Israeli. Sasa habari za Yakobo na Israeli zitasemwa, Ni mambo gani aliyoyatenda Mungu!
@XxhamxyyxShha
@XxhamxyyxShha 2 месяца назад
Apelekwe milembe
@producercharlz2549
@producercharlz2549 2 месяца назад
Sasa kama haongei kamtaja vp mariam
@adoniemanuel908
@adoniemanuel908 2 месяца назад
mpigieni nabii dominik kiboko wawachawi nahuyo mariamu namganga wake wanakufaa
@mwalimuissa5964
@mwalimuissa5964 2 месяца назад
Nitumie namba yake
@stevendavid8054
@stevendavid8054 2 месяца назад
Kwa jina la Yesu naaribu uchawi
@andrewmmassy5204
@andrewmmassy5204 2 месяца назад
Mvua kubwa itanyesha!!!😂😂😂
@wemaMichael-fr4th
@wemaMichael-fr4th 2 месяца назад
wakina mariamu nao huwa wanashida jamani
@martinemaganga5253
@martinemaganga5253 2 месяца назад
huyo huenda alitembea na mke wa mtu au alimtapeli mwanamke
@user-xm2rm7wn6h
@user-xm2rm7wn6h 2 месяца назад
Mariamu mariam mariam weweeeeeeeeeeeeeeee😂😂😂😂😂
@ashuumuhammad8269
@ashuumuhammad8269 2 месяца назад
Pengine Maryam amefanyiwa jambo na huyo mkaka ndio akaona afanye hvoo Maryam msamehe tenaaa
@DativaMbowe
@DativaMbowe Месяц назад
Mungu atunusuru wenye watoto wakiume 😢😢
@jeffyasin2977
@jeffyasin2977 2 месяца назад
Hatar
@michelinemapendo6652
@michelinemapendo6652 2 месяца назад
Niatari Nanusu 😢😢😢
@Ibrahim-ne3in
@Ibrahim-ne3in 2 месяца назад
😂😂😂watu wamechanganyikiwa
@MiriamSamuelke
@MiriamSamuelke 2 месяца назад
Life is spiritual
@user-iz3sl6ul7f
@user-iz3sl6ul7f 2 месяца назад
Mwogope mungu ww dada
@robertflorian9462
@robertflorian9462 2 месяца назад
Eti ana kitambi kizuri
@vero57
@vero57 2 месяца назад
Lipa pesaa za watu , mariam ata kutegua , kheeee kazii kweli kweli
@janifajani8875
@janifajani8875 2 месяца назад
Kajuwa atakaa juwani au mvuwa itanyisha akajiamulia na stahi ya mwamvuli😂😂😂
@hyy4114
@hyy4114 2 месяца назад
😂😂😂😂Tz hapana akili ya mwamvuli kaipatia wap Huyu ana lake jambo Huenda biashara haiend maisha magumu kaamua kuja na hili nae aonekane kwenye mtandao 😅😅😅
@user-pi8vf2vp3i
@user-pi8vf2vp3i 2 месяца назад
Fala xana ww😂
@user-pw2dv9fr6r
@user-pw2dv9fr6r 2 месяца назад
Hio ni schizophrenia,dalili zake ni hizo mpelekeni hospital ya wagonjwa wa akili
@user-jr3mo3je3k
@user-jr3mo3je3k 2 месяца назад
Jaman MARIAMU nn umemfanyia huyu kijana
@RehamAlmamari
@RehamAlmamari 2 месяца назад
@aishafrancis7714
@aishafrancis7714 2 месяца назад
Maisha yamempiga huyo anataka kuniharibia jina😂😂😂😂😂
@KissahMuywanga-ht1sj
@KissahMuywanga-ht1sj 2 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂😂 we marium wewe, mgandue mwenzio
@IbrahimJoji
@IbrahimJoji 2 месяца назад
Dam ya yesu inanena mema atakaa sawa
@MohamefMullah
@MohamefMullah 2 месяца назад
Enyi wakristo hamujielewi au ni upendo kwa Yesu umezid, unapokutwa na msiba matatizo majanga huzuni hata furaha wa kutajwa) ima kwa furaha au huzuni na wakuombwa msaada ni M. Mungu peke yake sio yesu lbrahim wala Daud wacheni mihemko isiyo na tija
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 2 месяца назад
Hayo nimashariti aliyopewa na mganga wake huko kwao alikotoka siku chache tu atakua kama alivyo kua
@GrantEdwards-ow4fd
@GrantEdwards-ow4fd 2 месяца назад
Kama vile inaniingia akilini.yawezekana
@user-pi8vf2vp3i
@user-pi8vf2vp3i 2 месяца назад
Huyo yupo studio anatafuta jina 😂
Далее
MCHAWI WA KIJIJ CHA LUAGALA
36:38
Просмотров 218 тыс.