Mrusi sio dhaifu kama anaweza kupigana na nchi 40 afu unakuja unasema mrusi dhaifu USA NA NATO wanapigana na Russia Indirect ilakitu hawajui Nato wapo vitani dhidi ya russia
Shida hamsomi mnataka kuja kuchambuliwa afu kulaumu watu hizi chambuzi zote watoazo ziko mitandaoni labda tu ziko kwa lugha nyingine, sa we chukua muda fatilia mwenyewe sio unakua kavivu afu unakuja laumu laumu watu
@@samkitwima7933 Hawa watu wajinga mnoo wanakuja huku na misimamo kama ya simba na yanga maarifa madogo kazi kuleta ligi wakati huu uchambuzi uko kwingi tu na wa mitazamo tofauti vijingavijinga vingi sana
Urusi 🇷🇺 ana lemba lemba sana na kulemba lemba huko ndo kunamgalimu mdogo mdogo kwa nini asi nyanyue ndege zake hatari zisizo onekana kwenye rada kama su-57,su-34 mg-31,tu-160,tu-95 na tu-22 hizi ni ndege za kimkakati azibebeshe mabonu ya kutosha kutakatakatisha kyv yote ishe isiwe kikwazo tena kwake
@@deogratiusyudatadei5658 anatakiwa aichabange kyvu yote maana wamagaribi wanamchokoza ili aipige nyukilia Ukraine 🇺🇦 sas urusi nae hawezi kufanya hvyo maana atakuwa ameua watu wake
Sio analemba lemba ,putin anaogopa,anajua kitakachoenda kumpata endapo atathubutu kutumia nyuklia.Marekani kashampa onyo kali tena kwa barua kuwa anamjua uwezo wake na kwamba akithubutu tu ,urusi itapata maangamizi makubwa ambayo hayajawhi kutokea tangu kuumbwa kwa ulimwengu.
US kwanini aliikimbia Afghanistan na kwanini Iraq hakujatulia hadi leo na maguvu yake? au hujiulizi wale taifa teule waliosema wiki moja watakuwa wameiteka gaza wamekwama wapi mpaka nao wanaua watoto na wanawake?
@@user-zn4jl5wy3dusifananishe irag na Afghastan.kote huko marekani alishinda na aliwakabidhi nchi wenyeji ila wenyeji ndio wameshindwa kulinda nchi zao
Fredrick bundala wana SNS tunaomba na SPORTS muwe munaongelea wengine ni wapenzi wa michezo pia na tunapenda habari zote za michezo ya dunia na ligi zote kubwa zote duniani GPS ya SNS iwe Ina zungumzia tunaomba Kama hili Lina umuhimu inshallah..
@@JafariHamisi-gu4ef hujui unacho zungumza ila Nina Imani sports ina mashabiki wengi zaidi duniani that's why Nina pendekeza GPS SPORTS sky walker atuletee hapa SNS..Ina maana Vita ikiisha urusi ndio uchambuzi basiii..fikiria vizuri kbla hujaongea jmbo..
Hii ni new Chanel Chanel zote asilimia 90 huzungumzia michezo umekosa hata 1 unaanza kutufata huku majasusi sisi wapenda siasa emu toka humu tafadhari 😢😡😏
Kwa sasa hamna jibu lolote kali ambalo Ukraine haijawahi kuliona kutoka kwa Urusi. Ni jibu gani kali ambalo Urusi watatuma Ukraine kushinda yale ya mwanzo wa vita ambapo Urusi ilikuwa ikirusha makombora au drones inaua zaidi ya watu mia mbili kwa wakati mmoja?
@@rumdeesonsoa1811hamna jibu lolote? Kwani hivyo vita wee unadhani vinapiganwa tu bila ya hesabu. Urusi inapigan hivi vita kwa hatua kama murlewa utakua ushanielewa
@@mangofish9079kipindi kile urusi iliachiwa anga na ikawa inaipiga ukraine kwa ndege zake ,meli zake baharini na vifaru vyake nchi kavu na ikawa inaua wakraine wengi.sasa kwa sasa ukraine ina angalau mifumo ya ulinzi si rahisi kukata tamaa na hata urusi ikijibu kwa ukraine hawaoni kama kuna jipya ila mpya ni urusi kushambuliwa hadi nchini kwake.
@@tekashisixtynin9threewithd727mwisho WA siku kuna mmarekani anayekufa au ni hao wenyewe WA Ukraine? Sijui Kwa nini viongozi wakishapewa akili na shetani hawajali hata wananchi wao.
Achana Na Marecani ni level nyingine ila tatizo la wa Africa wanajifanya kumjua Mrusi kuliko Marecani nazani Marecani ina ijuwa Urusi zaidi ya nyinyi munavyozani
Sasa dj smaa inaonesha elimu yake Duni sana kuusu vifaa vya kietronic 😂😂😂 utasikia difens ya izilaer ni mbovu maana kombora lime penya🤔 ally enderea kuwaapa darasa hawa walisha kalilishwa na smaa kuwa difens imara kushinda zote anayo mrusi🤣🤣🤣🤣🤣
@@jonasnoel331 Mzee utakuwa unashida sehem💀 hilo eneo watu wanao ishi huwa hawafungamani na serikali ya nchi Yao coz wanatakaga kujitawala wenyewe 🤔Kwa kuhisi wanatengwa maana wengi wao ki asiri ni wa Russian ,hivyo hata baada ya Moscow kuinyakua hiyo sehemu walifulah 🧐 kiufupi wanach wasehem hiyo ni wasariti🙏🙏 NB acha wapigwe2 maana urusi ilisha ahidi Kuwa Linda😭😭
@@BenjaminMetanyausio wasaliti, rafiki yangu anatoka maeneo hayo anasema hao Ukraine wanawabagua na kuwatesa Sana, hawapewi huduma muhimu kama shule na hospital pia hawawasamini hata, na wengi wao ni warusi. Kama unavyojua hawa wote walikuwa nchi moja ni Ile vita baridi ambayo western waliitengeneza kumdhoofisha soviet union ilofanya wagawane na mrusi amewekeza Sana Ukraine ndo maana kwenye mkataba wao nchi za Soviet Union kujiunga Nato mrusi aliwaomba Sana Ukraine isijiunge na NATO ibaki neutral lakini miaka ya juzi juzi wakaanza choko choko na kudharau mkataba wao Waziri mkuu WA uingereza ( Boris Johnson) ndo alikuwa kumbele mbele kuvunja makubaliano hayo na imeandikwa magazetini Uingereza. Juzi kiongozi WA upinzani WA Uingereza kasema ukweli NATO ulivyokuwa na uroho WA kujipanua imefanya hii vita itokee na walijua sababu wame m provoke Putin.
Marekani wanawaponza wenzao namuona kiduku wiki hii akifanya kitu . Na Russia akurupuki kupiga ila watajuta tu . Yani katika maraisi majinga basi uyo wa Ukraine ni Mjinga sana Anauponza .
Kuongelea mpira tutachelewa kufika sababu kuna midia nyingi zinaongelea mpira naipongeza sana SNS kwa habari na uchambuzi wa kina MUNGU MWENYEZI awafanyie wepesi wa majukum yenu
Kweli kabisa, mapank akiingia aungane na Urusi na mchina juu ndo basi tena ww3 hiyoooooo, au tusubiri nani ataanza kumrushia mwenzie bomu la nuclear 😭😭😭😭😭
@@MsAggie5 Hivi unadhani kwa akili yako huyo mchina ataingia vitani kumsaidia urusi? Hiyo sahau mzee, mchina yupo kulinda na kukuza uchumi wake ili awe super power economy country na kumpiku AMERICA. Na pia anafahamu kabisa akiingia mazima kumsaidia Russia kivita basi makampuni yake yote yaliyopo west na America yatafungiwa na ana mikataba mingi sana yakibiashara baina ya hizo nchi na ndizo zinazomfanya awe vizuri kiuchumi na siyo Africa ndiyo inampa hela hapana, sisi Africa ni third choice kwa uwekezaji wa mchina na anatuletea a third moderation items ambazo very cheap, lakini bidhaa zinazotumiwa na Western pamoja na America ambazo kutoka China ni high quality na inamlipa vzr sana. Ndo maana wana mkataba mkubwa sana na wakiamua kuuvunja muathirika wa uchumi ni yye mchina, kwa maana hyo kwa mchina kumsaidia mrusi ni ndoto ila atakuwa naye karibu tu kinafki
Ivi apo unakuta zelenski kapewa jengo la kifahari na bilioni 100 labda ili atumike kuteketeza watu wa nnchi yake kisa viela siamini kama kajamaa hakakujua kwamba hakapaswi kuingia NATO ila unaenda kupigana vita kufa kwaajili ya zelensk mi kubabake nsingeenda wacha niuwawe … muim sana kuchagua kiongozi mwenye akili Timam aseh dah
Angepiga ikulu ya Ukraine vita ingeisha siku nyingi, kuua raia wasio na hatia ni upuuzi sana. Kama kweli anataka vita iishe akaibom ikulu yule raisi halali humo lakini atapata somo mwenyewe ataona bora yaishe
Ukraine haina uwezo wa kutumia makobora hayo ila ni Mmerikani mwenyewe ndio amefanya hayo mashambulio, sababu anajuwa bila ya hivyo dola ina kufa, sasa ameshaamuwa kuingia vitani na Urusi... Sasa ndio vimeanza Rasmi vita va duni vya 111
@@rumdeesonsoa1811tatizo si mmarekani tu yuko Ukraine NATO karibu yote iko pale. Wao wame m provoke Putin walitegemea nin? Wao ndo walitaka hii vita, lakini mwisho WA siku wanakufa si mrusi wala muamerika ni mukraine sasa zalensk anapata nini kama sio wazimu
Unapopigana vita ndugu usimchukulie ile inchi ni ndogo ukafikiri utaipiga kwa siku 7au 14 never Vita haitabiriki hata ukiwa taifa lako kubwa kiasi gani