Bondia Harpreet Singh kutoka India ameshindwa kuendelea na pambano baada ya kupokea ngumi nzito kutoka kwa Twaha Kiduku raundi ya tano ya pambano hili, tazama hapa ilivyokuwa....
Kaka hongera sana kwa ushindi lkn mabadiliko yako hayajaonekan bado kama ndio kiwango chenyew umeongeza ni hiki basi usimuite wellems bado sana kaka ila kwa mabondia wa aina ya huyu kachori tuendelee kushinda tuuuh
@@sidekibakilubi9695 Nikwel wajina lkn twaha kwa kauri yake nikwamba bondoa wellems aliembonda apo awali alidai ku re match naye saxa muhindi huyu nikipimo kwamba anamabadiliko gani kwa sasa toka apigwe lkn ukitazama pambano la jana mabaliko na alivyocheza mapambano mengine ata hakuna man twaha wetu niyuleyule kaka technical bado ni zile zile still anashinda mapambano aliyo nayo lkn kwa msauz na stail yake apana amwache kwanza azeeke kidogo 😂
Nlichogundua kuwa hawa shabiki wa mwakinyo ni kama wantumwa kumkashifu twaha ,huu si mchezo wa kukashifiana ,hii ni kazi na hakuna budi kuheshimu kazi ya mtu na si kuponda,,kama mnahisi mwakinyo ni bora zaidi kwanini akiambiwa waweke Saini wapigane anajizungusha tu !!? Wacheni umama basi punguzeni ngenga watoto wakiume.
Mijitu mibishi sana lkn twaha hana uwezo wa kumpiga Mwakinyo labda itokezee bahati mbaya. Twaha nguvu anazo sibishi lkn ki umakini wa kupigana na uzoefu hana.
Mashbiki wa mvaa vikuku bi husna mwakinyo fungeni mdomo kama vipi tuleteeni uyo shoga yenu sasa mcheza baikoko make nanyie sasa mmekua wainba taarabu kama yeye mipunga nyie 😅😅😅😅😅😅
MUNGU ANAKUONA WEWE ULIE ANDAA PAMBANO SIJUI MNAUTWAJE POROGOTA MUHINDI WA WATU KAACHA KUUZA KACHORI MNATAKA AFE. BORA PAMBANO LA MANDONGA NA MADA KWA TWAHA UJANJA WAKO KWA MSOUTH AFRIKA UKIMPIGA NITAKUBALI