Hongera Sana MH Makonda Kwa Kauli ya kujitathimini kwamba IPO siku na watoa Huduma watakuja kuwa wafanya Biashara je wangefanyiwa hivyo wangejisikiaje!! Asante
Mungu akulinde sana kiongoz wangu, we piga kazi tu usiogope, wakuogopwa ni Mungu tu kwakuwa Dunia tunapita basi usiogope mkuu wangu,Napenda kazi zako ujawai kuniangusha, ata kama umekosea nimakosa yakibinadamu, kwakuwa atujakamilika ila mengi mazuri BARIKIWA SANA KIONGOZ
Hii nchi imejaa maozo sana kwa vichwa ka iv vnaitaj viongoz kama makondo yan kila sehem mkuu wake mara hayupo uy ana kaimu blablah nying Mh Paul Makonda yko vzur
they need to put themselves in the customers shoes safi sana Mhe. Makonda. Promotion of Utalii great point😂😂😂😂sijui uongee nini tena hapo.waambie vyoo hapo boda ziwe safi 24/7
Unapigwa vita Kwa sababu hizo tuu. Sidhani Kama watu wabaya watakuacha salama. Wakuubwa mikoa wangefuatilia Kwa ukaribu kiasi hicho. Samia angefurahi zaidi
Rc Makonda ni jembe mfano ulipokuwa jiji la Dar ulisimia miradi ya afya.maji barabara usalama n uvutaji wa Bangui n madawa kwa sasa jiji la Aruxha hunatete madam ya fhuruma n ufisadi
Mimi ninachokiona hapo ni yale Yale kwamba mtu akipewa nafasi/Mamlaka basi anawaona walio chini yake au anaowaongoza hawana akili bila kujuwa kuwa ndo wanaomlipa mshahara.Makonda timua wababaifu wote.Vingereza vingi kumbe uadilifu zero
Makonda unawabana watu lakini nikama unawadhalilisha, maana hutoi nafasi ya viongizi kujieleza kwa uhuru ambayo ni haki yao pia. Unawabana too much tafadhali tumia lugha ya staha bhna angalau kidogo.