Тёмный
No video :(

WAKALA WA VIPIMO AINGIA kwenye 18 za MAKONDA, MPAKA wa KENYA na TANZANIA,. 🙌🙌 

HABARIMPYA TV
Подписаться 619 тыс.
Просмотров 58 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 115   
@chriseskibet718
@chriseskibet718 4 месяца назад
Napenda sana kazi za makonda,mtupatie huyu makonda uku Kenya.
@HidayaMbodze
@HidayaMbodze 3 месяца назад
Ako sawa sana hongera kwake
@SamweliMwalindu
@SamweliMwalindu 4 месяца назад
bindamu bwana jema kwamakonda tunapongeza kwani mlitaka afanyeje mambo yakae sawa yupo vizuli sana hongera sana makonda chapa kazi
@chrissamani7921
@chrissamani7921 4 месяца назад
Daaa! We jamaa kuna wakati unagusa saana moyo wangu mii! Endelea kumtumaini Mungu katika maisha yako
@nassorowaziri3076
@nassorowaziri3076 4 месяца назад
Hongera Sana MH Makonda Kwa Kauli ya kujitathimini kwamba IPO siku na watoa Huduma watakuja kuwa wafanya Biashara je wangefanyiwa hivyo wangejisikiaje!! Asante
@nassorowaziri3076
@nassorowaziri3076 4 месяца назад
Pia zipo tasisi nyingi Tu Arusha wanalewa madaraka Sana mf Tmda
@nacetsiringa1334
@nacetsiringa1334 4 месяца назад
Hongera makonda 🎉🎉 yes ur the good leader
@vickykwembe5842
@vickykwembe5842 4 месяца назад
Kweli makonda MUNGU akubariki uko kwa ajili ya kutetea wanyonge.MUNGU akupe maisha marefu
@kibobomanguvu
@kibobomanguvu 4 месяца назад
Makonda nimekukubali sana mheshimiwa
@reubenmwagisa4380
@reubenmwagisa4380 3 месяца назад
Big up bro makonda, bidhaa bei zinakuwa juu kwa walaji, kwa kwa ajili ya watendaji waovu.
@kabujeasukile5462
@kabujeasukile5462 4 месяца назад
BABA KEGANI HUJAWAI KUNIANGUSHA mungu aendelee kukulinda
@johnmushi8777
@johnmushi8777 4 месяца назад
Arusha mpaka mtasema,kazi,kazi 2
@janjakhalfan7283
@janjakhalfan7283 4 месяца назад
Mungu akulinde sana kiongoz wangu, we piga kazi tu usiogope, wakuogopwa ni Mungu tu kwakuwa Dunia tunapita basi usiogope mkuu wangu,Napenda kazi zako ujawai kuniangusha, ata kama umekosea nimakosa yakibinadamu, kwakuwa atujakamilika ila mengi mazuri BARIKIWA SANA KIONGOZ
@J4UPro
@J4UPro 4 месяца назад
Makonda upo vizuri sana kiongozi
@NeemaMweta
@NeemaMweta 3 месяца назад
Mungu tupe bidii ya kumwombea rais mtarajiwa mungu zidisha ulinzi kwa mwanao
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 4 месяца назад
Mungu awatangulie katika kazi zako MAKONDA ❤❤
@user-dr1hs9fo9m
@user-dr1hs9fo9m 4 месяца назад
umemweza sana makonda bhana utaongea tu lakn
@shukranamos2699
@shukranamos2699 3 месяца назад
Mama mpe makonda tamisemi
@VeronicaPaul-cj1yu
@VeronicaPaul-cj1yu 4 месяца назад
"Jembe aliwezi kuwa zuri Kama mkulima sio mzuri... Makonda wewe mkulima mzuri jembe lako alichagui msitu, hongera Baba, muheshimishe Mama wa Taifa"
@jelasnkoma4240
@jelasnkoma4240 4 месяца назад
Bro Makonda BigUp sana kwenye hili umeupiga Mwingi
@shukranitv2971
@shukranitv2971 4 месяца назад
Sema makonda anahuruma san
@AminaRamadhan-mg9lj
@AminaRamadhan-mg9lj 3 месяца назад
Kabisaa angekuwaa ankoo maguu apoo asingerembaa hataa 😂😂😂😂😂
@williammbwambo79
@williammbwambo79 4 месяца назад
Mm napenda confidence ya jamaa kwenye kujibu
@dbogohe
@dbogohe 4 месяца назад
Hii nchi imejaa maozo sana kwa vichwa ka iv vnaitaj viongoz kama makondo yan kila sehem mkuu wake mara hayupo uy ana kaimu blablah nying Mh Paul Makonda yko vzur
@naturelle1097
@naturelle1097 4 месяца назад
they need to put themselves in the customers shoes safi sana Mhe. Makonda. Promotion of Utalii great point😂😂😂😂sijui uongee nini tena hapo.waambie vyoo hapo boda ziwe safi 24/7
@MedsonUlendo
@MedsonUlendo 4 месяца назад
RC MAKONDA unatumia Milano Hai Sana kias kama watamwelewa kila kitu kitaenda Sawa
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 4 месяца назад
Upo vzr sana Mr.Paul
@LusiaKawana
@LusiaKawana 3 месяца назад
Bravoo👍👍
@NeemaMweta
@NeemaMweta 3 месяца назад
Mungu atakulinda baba hakuna wa kukugusa aimeen
@edwinnyale6265
@edwinnyale6265 4 месяца назад
Hongera sana Makonda
@dstaroficial
@dstaroficial 4 месяца назад
Mi natamani ukatili arusha ukomeshwe huko watu wanajifanya wana roho mbaya sana xjui ni bangi au mirungi
@charlesole7517
@charlesole7517 3 месяца назад
Hahaaaa😂😂😂 Eti wamekaa kipigaji😂😂😂
@elispiuselias1339
@elispiuselias1339 4 месяца назад
Jamaa yuko vizuri
@user-st3hv8pi9i
@user-st3hv8pi9i 3 месяца назад
Nashangaa nikiangalia hiz krip sitaman kutoka
@joharikasuwi6973
@joharikasuwi6973 3 месяца назад
Yaani Arusha mpaka mthemeeeee, piga kazi bro
@allymganga3223
@allymganga3223 4 месяца назад
Mpaka airport mkuu wachangamshe wawe fasta kuudumia wasafili
@mohamedkige2535
@mohamedkige2535 3 месяца назад
❤❤❤❤ Haunabaya
@prophetev.josephatfarasimw8445
@prophetev.josephatfarasimw8445 4 месяца назад
Resilian principle , patient in listening,to act in profesionalism is our problem
@NeemaGodfrey-yz2xc
@NeemaGodfrey-yz2xc 4 месяца назад
Makonda is a best, I like him
@NAMAYANINANYARO
@NAMAYANINANYARO 3 месяца назад
Ofcouse!!
@daudimusoma3337
@daudimusoma3337 4 месяца назад
Unapigwa vita Kwa sababu hizo tuu. Sidhani Kama watu wabaya watakuacha salama. Wakuubwa mikoa wangefuatilia Kwa ukaribu kiasi hicho. Samia angefurahi zaidi
@user-eo4is4wk4v
@user-eo4is4wk4v 3 месяца назад
hekima ya makonda ni ya kiungu
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 3 месяца назад
Paul Makonda
@Justinndalama01
@Justinndalama01 4 месяца назад
Ila mi nadhani hakupataga ziro mbona Kuna mda anaongea point sana🙌
@PureSoul-rf4xd
@PureSoul-rf4xd 3 месяца назад
Ndio nashangaa hata mimi huyu si yule aliambiwa hana shule,na anafanya mambo ya kisomi na ubunifu wa hali ya juu, sheria ya kila mahali anajua,
@Petronkambi
@Petronkambi 3 месяца назад
Huyu jamaa nimtu kazi kweli kweli makonda Mungu akulinde sana
@daudisimyota3923
@daudisimyota3923 4 месяца назад
Nimekukubali makonda tunaomba mama akuhamishie mkoa wa songwe tunalia na boda ya tunduma
@Mzitomatelephone
@Mzitomatelephone 3 месяца назад
Makonda awe mkuu wa mikoa yote ya Tz ,wanaokubali hii point nipeni like hata tatu basi
@manuelsaramba2138
@manuelsaramba2138 3 месяца назад
👏👏👏👏👏
@emanuelsamaytu9437
@emanuelsamaytu9437 3 месяца назад
Jembeee makonda
@HamisHamza-uf6uz
@HamisHamza-uf6uz 4 месяца назад
Mi Nasubiri mahojiano ya Hospital kubwa za Arusha na changamoto za wananchi ,,mbona tunarudi kuleee kazi kazi hakuna kulala broo 👍👍
@emmymsangi8783
@emmymsangi8783 3 месяца назад
Ukiwanyoosha Arusha ,mama akulete tena dar unyooshe hili jji
@JohnThuo-zr4nw
@JohnThuo-zr4nw 26 дней назад
Hi 🇰🇪🏃😒
@amaniluhambire5080
@amaniluhambire5080 4 месяца назад
Makonda ,mkuu jeuri!
@constanciapeter2497
@constanciapeter2497 4 месяца назад
vipeperushi vya utalii muhimu pia Boss
@waziriboy9941
@waziriboy9941 4 месяца назад
Makonda sio kiongozi Bhana, mwache MTU aeleze mpaka mwisho usimkatishe katishe Sasa, unataka kujiona perfect Sana wewe makonda, Mimi sikukubali
@bahatiiddibahatiiddi-be5nj
@bahatiiddibahatiiddi-be5nj 4 месяца назад
Acha kuchafua wewe kazi yamtu we umewahi kuongoza wapi ??
@user-ym5ko9ov2o
@user-ym5ko9ov2o 4 месяца назад
Mchawi
@ZuhuraMwanafuno
@ZuhuraMwanafuno 4 месяца назад
Akikubaliwa na mungu inatosha
@venancebasil4656
@venancebasil4656 4 месяца назад
Jamaa amejieleza vizuri sana
@jelasnkoma4240
@jelasnkoma4240 4 месяца назад
Hajui kujieleza mkuu maana hajui utaratibu wa mabadiriko ya sheria😂😂
@kwzjkwz3532
@kwzjkwz3532 3 месяца назад
hajui kujielewa tena ni cheap and poor explanation
@godywyne7671
@godywyne7671 3 месяца назад
@amosmahona433
@amosmahona433 3 месяца назад
Huyu wakala kiswa-English kingi sana
@user-zx3he3lp3o
@user-zx3he3lp3o 3 месяца назад
Rc Makonda ni jembe mfano ulipokuwa jiji la Dar ulisimia miradi ya afya.maji barabara usalama n uvutaji wa Bangui n madawa kwa sasa jiji la Aruxha hunatete madam ya fhuruma n ufisadi
@user-eo4is4wk4v
@user-eo4is4wk4v 3 месяца назад
makonda apewe maua yake
@golebenson4597
@golebenson4597 3 месяца назад
Mbona hawakuelewi😂😂walipataje izzo mishe
@user-bo9vv9wl6e
@user-bo9vv9wl6e 4 месяца назад
WASHANIZUIYAA HAO KUENDA KENYA KWA SABABU TUU NINA BRITISH PASPOT HADI BASI LIKANIKIMBIA
@StephenKaisy
@StephenKaisy 3 месяца назад
1234
@MayungaMambosasa
@MayungaMambosasa 4 месяца назад
Endelea kuwaelimisha mkuu, maana watendaji walio wengi wanajali matumbo yao tu,
@elispiuselias1339
@elispiuselias1339 4 месяца назад
Huyu mtendaji siyo boya anajielewa sana
@YonaBazilio-op6ex
@YonaBazilio-op6ex 4 месяца назад
Mmmh
@AMEMUSSA-cr8my
@AMEMUSSA-cr8my 4 месяца назад
Kweli tuntumia muda mwingi boda.
@hemedmselem4889
@hemedmselem4889 4 месяца назад
Kitu muhimu uamimifu Watu ni wezi wanaleta sifa mbaya kwa taifa
@JescaMwagama-oc9yt
@JescaMwagama-oc9yt 4 месяца назад
mpaka waseme
@PeterMagoye
@PeterMagoye 4 месяца назад
Hv wakuu wengine wa mikoa huwa wanafanyaga nn
@valenakomba7686
@valenakomba7686 4 месяца назад
NDO VIJISOMI VYETU VIBABAISHAJI HIVO. RUSHWA TUU ZIMEWAKAA AKILINI. MUNGU AWACHOME NA KUWATEKETEZA KWA MOTO.
@geey7893
@geey7893 4 месяца назад
😂😂😂Umeongea statement nzuri sana ndugu yang. Eti vijisomi vyeti vibabaishaji. Kabisaa Yani, tunawaza maisha mazuri tu
@henrychacha5592
@henrychacha5592 4 месяца назад
Mimi ninachokiona hapo ni yale Yale kwamba mtu akipewa nafasi/Mamlaka basi anawaona walio chini yake au anaowaongoza hawana akili bila kujuwa kuwa ndo wanaomlipa mshahara.Makonda timua wababaifu wote.Vingereza vingi kumbe uadilifu zero
@petershedrack4668
@petershedrack4668 4 месяца назад
Nenda basi kaongoze wewe andazi
@Lodrickmwambene
@Lodrickmwambene 4 месяца назад
Kingereza kiingi bla bla nyingii Wabongo bwana 😂😂😂😂😂
@daimambise7519
@daimambise7519 4 месяца назад
Tunakuomba tu ufanye ziara Longido kwa kina
@isolatedman-ou7ok
@isolatedman-ou7ok 3 месяца назад
Wakifanya hivo watapata wapi kula mpunga mwingi wakuiba
@user-tu2ne7so3b
@user-tu2ne7so3b 3 месяца назад
Safi sana mkuu
@JalsonJoseph
@JalsonJoseph 4 месяца назад
Makonda anakwamisha na viongozi wazee, wanaitaka nchi kijimilikisha wai na wajuu wao, na mimi nashauri viongozi wazee watipishe
@MatthewSimonKanyanzulu
@MatthewSimonKanyanzulu 4 месяца назад
Odilo mangungu mpaka leo hujui kua watalaam ndio wanao chelewesha huduma hupo wapi mzee ha ha haaaa tutachelewa sana kama bado wapo vijana kama wewe
@JOSEPHMSEMWA-cy4yi
@JOSEPHMSEMWA-cy4yi 4 месяца назад
Makonda uje njombe
@leoncebenjamin8107
@leoncebenjamin8107 4 месяца назад
Makonda unatafuta kiki tu,wakala yupo sahihi
@ikokijuma-zv7wd
@ikokijuma-zv7wd 4 месяца назад
😂
@jelasnkoma4240
@jelasnkoma4240 4 месяца назад
Tatizo hapo kuna Siasa na Professional sio kila mtu anaweza kuwa Msemaji huyo incharge inaonekana sio Muongeaji.
@sss3s867
@sss3s867 4 месяца назад
haiwezekani kuwa boram wakala vipimo hawakufaa kulipwa na muingizaji bidhaa. hata hivyo wanabeba sample kila kukicha
@user-ud1hn9gt3j
@user-ud1hn9gt3j 3 месяца назад
Lakini bado Baadhi Wanabeza
@fridaphilemon8898
@fridaphilemon8898 4 месяца назад
Hapo osbp ni hatar
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 4 месяца назад
Kila sketa ni shida
@yassinerasmus7400
@yassinerasmus7400 4 месяца назад
Arusha mpaka mseme tu kwa Makondo 😁😁
@VianaKokutensa
@VianaKokutensa 4 месяца назад
Makonda 😅😅
@user-vo7yp5gj7x
@user-vo7yp5gj7x 4 месяца назад
Tanzania 🇹🇿 Nchi yng 😂😂
@user-so3gy2io8l
@user-so3gy2io8l 4 месяца назад
Apewa ukuu wa mkoa wakudumu
@Lodrickmwambene
@Lodrickmwambene 4 месяца назад
Awe raisi wakudumu
@ndagondago-iw1sc
@ndagondago-iw1sc 3 месяца назад
Bonge la mtu
@nappekiliakiliasalimu346
@nappekiliakiliasalimu346 4 месяца назад
Kwann 2025 tusikupe ww urais
@jamesmartin7026
@jamesmartin7026 4 месяца назад
Wewe sasa ni mmbea. Kwani hujui anayepeperusha bendera mwaka 2025 ni nani?
@user-ym5ko9ov2o
@user-ym5ko9ov2o 4 месяца назад
Bado mdogo
@user-sx7vt5ph9w
@user-sx7vt5ph9w 4 месяца назад
Uhakika 😂makonda
@sakayonsakihunga3496
@sakayonsakihunga3496 4 месяца назад
We utakua chadema
@thomaskiponda6079
@thomaskiponda6079 4 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤
@a.m_--68
@a.m_--68 4 месяца назад
Makonda unawabana watu lakini nikama unawadhalilisha, maana hutoi nafasi ya viongizi kujieleza kwa uhuru ambayo ni haki yao pia. Unawabana too much tafadhali tumia lugha ya staha bhna angalau kidogo.
@mwamuyinga
@mwamuyinga 4 месяца назад
Interview yake mheshimiwa Ina mistake kidg
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 4 месяца назад
Kivipi nisaidie
@user-so3gy2io8l
@user-so3gy2io8l 4 месяца назад
Tulia ww
@OdiloMagungu-uf5is
@OdiloMagungu-uf5is 4 месяца назад
Kwani ww bashite unajua Kila kitu Wacha wataalamu wafanye kazi acha mambo ya sifa sifa
@JeremiahMwalukosya-eh5nf
@JeremiahMwalukosya-eh5nf 4 месяца назад
Acha ujinga wa siasa wewe kawe mkuu wa mkoa wewe basi unalopa tu nachuki zako za kisiasa
@peterkanza2207
@peterkanza2207 4 месяца назад
Odilo magungu huna akili. Acha makonda apige kazi.
@J4UPro
@J4UPro 4 месяца назад
Elewa hata muonekano wa mtu, huyo jamaa anaonekana kabisa ni shida kwa wananchi.
@azwarsele3581
@azwarsele3581 4 месяца назад
Huyu afisa hana kosa lolote, ni mfumo ndio tatizo.
Далее
🔴LIVE: RC MAKONDA AMEJITOKEZA LEO BAADA YA SIKU 33
51:28
NAFASI YAKE ANAWEZA KUIPOTEZA
7:06
Просмотров 35 тыс.