Тёмный
No video :(

WANANCHI WANAISHANGAA CHADEMA ARUSHA MBOWE,LEMA WASIMAMISHA SHUGHURI 

IPINDA ONLINE TV
Подписаться 14 тыс.
Просмотров 5 тыс.
50% 1

IPINDA ONLINE TV.........Asante kwa kuchagua Ipinda Online Tv........Usisahau kusubscribe Channel yetu

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 16   
@joachimkalungwana8654
@joachimkalungwana8654 Месяц назад
Watu wanaelemishwa kwa nguvu lakini Bado wanakuwa wagumi kuelewa sijui nchi hii watu walilogwa na nani!!!!!
@dillonfoya
@dillonfoya Месяц назад
Aliyetuloga anastahili kufungwa maisha au kunyongwa kwa elimu hii ilibidi tubadilishe Uongozi huu ulioko madarakani lakini utashangaa baada ya kupata kopero na kanga za kijani wote tunabadilika akili matope
@user-oy5dz5xl8s
@user-oy5dz5xl8s Месяц назад
Kamanada kadogo kula Tano uko vizuri sana
@AllyMandunda-tj9jc
@AllyMandunda-tj9jc Месяц назад
Christian CHADEMA Wana MVUTO sana, tofauti na Maccm haya, yaani Hawa bila WATUMISHI wa serikali na mapolisi ccm isingekuwepo tena 7:42
@christinaryoba6396
@christinaryoba6396 Месяц назад
Wadau smhn chadema wanapataje watu bila wasanii?
@OswadSanga-hb2vi
@OswadSanga-hb2vi Месяц назад
Upo sahihi ndugu hawa wana kiburi sana kwanini tusiwe kama kenya hutujielewa wabongo
@PhilipoMwita-b2x
@PhilipoMwita-b2x Месяц назад
Aisee hivi jamani tutatoboa kweli watu hawaelewi
@AllyMandunda-tj9jc
@AllyMandunda-tj9jc Месяц назад
JOHAKIM ugumu wao unatokana na kuvuta MOSHI wa MWENGE KWA MIAKA 64
@AllyMandunda-tj9jc
@AllyMandunda-tj9jc Месяц назад
JOHAKIM WAMEVUTA MOSHI WA MWENGE KWA MIAKA 64 WAMELETWA NA HAWATAJITAMBUA TENA
@ElishaOisso
@ElishaOisso Месяц назад
Samia must go
@rajababrahman4365
@rajababrahman4365 Месяц назад
Editing ayupo saw Angalieni anachanganya changanya video 📹 wakati wa kuediting Mzingatieni asije akawa ana uchawa na maficcm
@isayamwashibanda5819
@isayamwashibanda5819 Месяц назад
🎉🎉🎉
@user-vl4rz6lf6d
@user-vl4rz6lf6d Месяц назад
Acha ujinga wewe na uongo wewe na hiyo sakosi yako msitaje mtume kwa njaa yako
@user-ef2ln1mx3s
@user-ef2ln1mx3s Месяц назад
Nikuombe lema Acha kutumia neno washamba usilitumue kwani tumia maneno magumu lakini sio ushamba kwani uo ni utani na kingereza Achana na kingereza kwani umati ni wapiga kura wasio jua kingereza unajikuta watu awakuerewi unapoza pointi
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh Месяц назад
Kama hauna cha kuongea ni bora usikilize na ukae kimya tu
@joachimkalungwana8654
@joachimkalungwana8654 Месяц назад
Wagumu
Далее
Simple Flower Syrup @SpicyMoustache
00:32
Просмотров 1,4 млн
would you eat this? #shorts
00:29
Просмотров 1,7 млн
💀СЛОМАЛ Айфон за 5 СЕКУНД😱
00:26
MAKONDA AWAFUKUZA KAZI WATUMISHI ARUSHA
1:06:20
Просмотров 88 тыс.
Simple Flower Syrup @SpicyMoustache
00:32
Просмотров 1,4 млн