Mimi nawambia CCM leo hawanaga jema kwa wanainchi. Watawala wanataka viongozi wa CCM wanataka viongozi wanaokula nao. Usipokuwa nao utazushiwa tu. Sasa mtendaji aliyezuia kula kwa watu anakuwa adui wa Diwani, mkuu wa Mkoa jiulize kwa nini?
Sasa huu uonevu wa hali ya ĵuu kwamba hata dhamana ananyimwa. The Makonda brutality. Nnachoogopa viongozi wa sempule hii wanaweza kumkosesha Mama kura wakt wa uchaguzi.