Nimelia sana poleni kwa yote mlioyapitia makuzi bila mama,halafu wengine wana wazazi wao hawawajali hata kidogo, Nia njema ya mama yenu, na kilio chenu mbele ya mungu wenu amejibu maombi yenu, Mama huyo mkamtunze mkampende, ili mkapate baraka za mwenyezi mungu"Hamisi Dale Boston USA
Mungu atabaki kuitwa Mungu, sifa na utukufu wote ni wake yeye hakika tumshukuru sana Kwa kueakutanisha familia hii tena na tuwaombe wale wenye mitihani kama hii akajidhihirishe kwao. Thanks clouds fm. Uncle Taj Mungu akupe maisha marefu yenye heri njema na baraka🙏🏾
Wamtumainio Bwana MUNGU ni Kama Mlima Sayuni. Ahsante Sana CLOUDS FM. Ahsante Sana Media.... Tujitahidi Tunapokuwa na Mahusiano ya Kimapenzi Tuwajue Ndugu wa Wapenzi Wetu..Na Tujue ASILI (alipotokea).
Machozi yamenitoka 😭😭😭 nimeumia roho yangu mama umewaona wanao mshkuru mungu huo ndo uzao wako sahau yaliyopita miaka 40 bila kuwa ona wanao Leo umewaona mwambie mungu Asante
Hiyo soundtrack aisee imechangia watoa comments walie pia, lkn fresh tu. Wazazi muache kugombana serious. Mgombane kiutani utani tu , madhara ndio kama hayo. Aksanteni clouds media kwa hili.
Aki nimelia sana nani kama mama mama yangu alifaliki nikiwa na12yrs na sasa I have 45yrs but Nina uchungu moyoni kukosa mama pls love your mother over ever
Nimelia sanaa nawaza lini na mimi lini nitakutana na kaka yng tulio changia baba bahati mbaya mzee ameshafariki na yeye mama yake amefariki miaka 21 sasa sijamuona inshallah ipo siku nitaonana nae
Daaaaah! 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Haya Mambo hapo Jamani. MUNGU mshike mkono mdogo wangu nae ,aonana na watoto wake.ni miaka 17 sasa. Tengeneza njia iliyofungwa ifunguke...Kama ulivyowafungulia hawa.hua najaribu kuvaa viatu vyake havinitoshi.nabaki baumia Mno. Ni hapo Kenya tu ..Ila inashindikana!.. MUNGU kumbuka sadaka za Mdogo wangu.umjibu.😭😭😭😭😭
Yaani nimelia kwa uchungu mwingi. Wanawake tunapitia magumu mengi na watoto wetu. Lkn mungu alijua iko siku furaha ya watoto hawa na mama yao itarejea. Na pongezi kwa Baba Mdogo kwa kuwalea watoto
Ma jarbu kuvaa viatu vya huyu mama ten a nahc vnanibana kea kwel😥bt mi pia ni mzazi pia in a im a sana machungu , machoz ya furaha baa da ya kukutana mungu you mwemaa 🙏
Msameheaneni tyuuu na uzeeni huku ili mfe kifo chema,wazazi ugomvi wenu msisababishe uwaathiri na watoto.jamani Mama ananafasi kubwa Sana kwa malezi ya watoto wetu
Jamani somo hilo. Jiulize hivi siku ukiondoka utaacha kumbukumbu gani hapa duniani? Watoto unazaa wa nini kama huwezi kuwajali na kuwatunza? Unazaa unamtelekezea nani majukumu? Unaleta watoto duniani kuwatesa hivi kweli? Unaona mke ili umtese namna hio kweli? Kupiga na kumnyang'anya watoto!!! Hukumu yake ni kubwa jamani tumwogope hata Mungu. Nimegusika sana aisee
Hii ni ishara tosha kutoka kwa Mola hakuna lisilowezekana kwake Allah na kwake akitaka jambo ni " Kun Faya Kun " yaani nikutaka liwe na linakua tu kwa njia na sababu zake.
Nalia na wazazi sababu watahusika kufanya maamuzi. Waangalie madhara ya mbeleni kabla ya kutenda jambo. Luachana si ajabu lakini mnaachana kivipi ndiyo muhimu. Si lazima muwe maadai jamani, elewaneni kwa ajili ya watoto wenu
Hongereni sana clouds, mimi babaangu aliwah kumwambia kaka yetu kuwa anawatoto wawili wapo dodoma alimwabia tu kama story na akafariki sasa natamani sana kukutana nahao ndungu zangu nasijui nitawapataje
Kama Mungu alivyofanya kwenu mmshukuru binafsi nami natamani kumuona baba yangu mzazi kwani Leo ni miaka 29 bila kumuona je yu hai?? Eeeh Mungu ww wajua
Nakumbuka miaka y nyuma watu walikua wanasaulinaka kwasababu kutotembeleana kwa mda mrefu miaka kumi na zaidi hata ikitokea misiba ni watu wazima wanakwenda mawasiliano mpaka barua au ndugu aje nyumbani kwenu ndiyo utawatambua Sasa hivi mawasiliano Kila mahali tuna shukuru mungu
😭😭EMungu nisaidie na Mimi nimpate dada yangu nimiaka 25sasa jamani tangu aondoke kwenda Kenya alichukuliwa na ndugu wa mamkubwa baada ya msiba wa mamkubwa ndohakurudi Tena ndugu wakiulizwa wanasema nao hawajui aliko EMungu fanya Jambo 😭😭😭😭😭Anze wetu Arudi