Тёмный

Nilipotezana na mama yangu miaka 23 iliyopita | Bhoke Nimeolewa nina watoto watatu 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 36 тыс.
50% 1

Mama Boke alikuwa akimtafuta mwanaye kwa takribani miaka 20 na Mtoto pia alikuwa akimtafuta Mama yake na leo wamekutana kwa mara ya kwanza na ni kwa zaidi ya miaka 20 Mama amekutana na mtoto wake.
Sasa mtoto yule wa miaka miwili sasa ameolewa na ana watoto watatu na Mama amekuwa Bibi wa jukuu watatu.
#LeoTena
#MamaNiMama
#Tumekuverify

Развлечения

Опубликовано:

 

6 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 160   
@hellenlimo3208
@hellenlimo3208 Месяц назад
Kwa kweli Gea na wenzako mnachokifanya Mwenyezi Mungu atawalipa na vizazi vyenu mbarikiwe sanasana mnagusa hisia za watu inafurahisha na kuhuwisha maisha ya watu
@joycekalago532
@joycekalago532 Месяц назад
Hata bamdogo wa bhoke ni mstaarabu sana wabarikiwe
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 Месяц назад
Nimejikuta tu nalia..Mungu mpumzishe mamaangu pema peponi. Bhoke hongera sana kumpata Mama💖
@Sonia_abass
@Sonia_abass 26 дней назад
Amen
@anorldmarandu4725
@anorldmarandu4725 Месяц назад
Wakati Wa Mungu ni sahihi siku zote.
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 Месяц назад
Ninawaomba hata wale waliokosa wazazi au watoto mngewaweka kwenye mitandao ili watu waendelee kutafutana maana inawezekana siku kipindi kinarushwa wengine wanakuwa hawapo ili kuwajua
@mrfashion1687
@mrfashion1687 Месяц назад
Ila Geah anazeeka na uzuri wake
@alfamgayatv872
@alfamgayatv872 Месяц назад
Hii radio station ni zaid ya radio mungu huonesha nuru palupo na nuru
@sarahkinyashi6213
@sarahkinyashi6213 Месяц назад
Mungu tusaidie wamama jamaniii,tusiachane na uzao wetu🙏🙏🙏🙏🙏 Mungu awabariki sna CLOUDS F.M.hakika m'nafanya KITU kikubwa sna, JAMBO ZITOOOO 😭😭🙏🙏
@user-he2pk6io4d
@user-he2pk6io4d Месяц назад
Wame fanana sana na mama yake❤😢
@user-tb8zb4rv6h
@user-tb8zb4rv6h 20 дней назад
Bint-Habibu na mwenzio Husna wallah kazi munayoifanya kuwaunganisha watoto na wazazi ALLAH atawalipa inshallah
@lusticabernad9982
@lusticabernad9982 Месяц назад
Nani ananimenyea vitunguu machoni, wamefanana sana
@theonestinamutole8549
@theonestinamutole8549 26 дней назад
Nshalia sana
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 Месяц назад
No comment huyo ni mama yake hadi umbile ni mfanano. poleni kwa kukaa mbali kwa muda huo wote.
@missmoona4497
@missmoona4497 Месяц назад
Mm nasemaga kila siku wa bb wadizain hii wanafungu lao kwa MUNGU laatullah mnatesa watt mnaumiza watt kana kwamba unamkomoa mama bila kumjali mtt anahak za mama yake pia, nahata huyo alie potea itakuwa lengo nikumtafuta mama yake inaumiza sana , sasa bb huko uliko upewe unachostaili kwa huu unyama ulioufanya, na MUNGU alivyo fundi kwa roho zenu mbaya hizo huwa hamuna maisha marefu kwa laana zenu za kutesa watt
@faridabilly379
@faridabilly379 27 дней назад
Jmn tunaomba na Victor atafutwe Mungu awabariki😭😭😭
@janetmushi4689
@janetmushi4689 Месяц назад
Dah wamemiliza sana, hongereni sana kwa kuwakutanisha Mungu awabiriki.
@kiboshokiboshomungumkubwa7789
@kiboshokiboshomungumkubwa7789 Месяц назад
Mungu mkubwa hata mimi nimetokwa na mchozi sijui niseme ni yafuraha au ya huzuni
@abuumohamed7090
@abuumohamed7090 Месяц назад
Kuweni na mpangilio mzuuri wa utoaji wa taarifa zenu
@caritaskabyemela1530
@caritaskabyemela1530 Месяц назад
Kafanana na mwanae jamani
@eliudnjenga9385
@eliudnjenga9385 28 дней назад
Mimi nipo kenya🇰🇪 heko sana tena sana cloud fm kwa kazi mnayoifanya tz 🇹🇿kiukweli mko mbele e mola awabaliki👍👆👆
@solomondanny-1507
@solomondanny-1507 Месяц назад
Baba mdogo hongera sana.
@abdulkaleemmbarak6670
@abdulkaleemmbarak6670 Месяц назад
Ukitaka jua Sura asili za mtu mwambie alie. Mama Amelia nikaona Sura zimebadilika tofauti na alipokua hajalia.Mungu mkubwa kweli.
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Месяц назад
imeshindwa kuzuia machozi wallah
@djcashwanakidiry9158
@djcashwanakidiry9158 29 дней назад
Jamani kwakweli Mungu aitwe Mungu najikuta natoa machozi 😭🙏🏼🇲🇿
@VemaMtati-kb4ho
@VemaMtati-kb4ho Месяц назад
Nimelia kama mm ndo bhoke
@deborahmchona5584
@deborahmchona5584 Месяц назад
Yaan Mimi nimelia Mpaka wananishangaa
@nancyg8664
@nancyg8664 Месяц назад
​@@deborahmchona5584😂😂😂ata mimi mpaka nimejiona kajinga
@user-en1uq1eg6h
@user-en1uq1eg6h 29 дней назад
Hata mimi❤
@OmarySamata
@OmarySamata 23 дня назад
Daaah sana aisee
@user-gy7zq6lw1o
@user-gy7zq6lw1o Месяц назад
Hongera dada yetu wa mbamba bay tunakupenda sana dd hongera sana kwakuwapata watoto wako hakika Mungu hunaemtumikia hamekupa kibari Asante Mungu dada kampe Mungu hutukufu wake
@HappyAsajile
@HappyAsajile Месяц назад
Mda mwingine nawazag nikwel aya yapo asant mung kwakuniwekea wazaz wang daaa
@user-gm4qi3nn9n
@user-gm4qi3nn9n 29 дней назад
😢😢mi Baba wadogo zangu hata hakuwaleta kwenye msiba wa mama
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 Месяц назад
Wamefanana sana Mashallah ❤
@pamelafidelis6102
@pamelafidelis6102 Месяц назад
Nawapongeza sana clouds.Jambo mnalofanya ni kubwa sana naomba serikali itambue mchango wenu kwa jamii.
@user-kd7ey2mu7p
@user-kd7ey2mu7p Месяц назад
Hongera baba mdogo kwa ulezi❤❤❤❤
@marygregory7566
@marygregory7566 Месяц назад
Mungu awajalie na victor wampate
@chachawambura4030
@chachawambura4030 Месяц назад
Nilishawakutanisha mtu na dadake walopotezana zaidi ya miaka 35. Ilikuwa hivi, nilienda Moshi kufata Cheti changu chuo nikakosa hifadhi ya kulala, aliyenipa hifadhi ya kulala lazima akuchukue maelezo. Alifurahi kusikia natoka MARA akatamka WEWE KIJANA MUNGU KAKULETA HAPA. Kumbe kule dadake alikoolewa Mimi ndiko nakotokea, niliporudi nyumbani Yani haikupita wiki Moja nikampata dadake mpaka Leo wanawasiliana na dada alokaa miaka zaidi ya 35 bila kurudi nyumbani alienda Moshi kuwasalimia.
@user-rg9ii7dj6w
@user-rg9ii7dj6w 27 дней назад
MNGU wetu ni mwema yote hayo ni makaudi yake ili wakutane tu
@GetrudeRashid-be8bs
@GetrudeRashid-be8bs 26 дней назад
Mungu awabarik,,, naomba mumtafute nahuyo victa
@GetrudeRashid-be8bs
@GetrudeRashid-be8bs 26 дней назад
Kweli hii redio ni nzur ,,Mungu Wa mbinguni aendelee kuinua,,wakati WA Mungu ni sahihii🎉🎉🎉
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 Месяц назад
Baba mdogo Mungu akujalie kwa kazi njema
@IgnasiaNdunguru-hr5ep
@IgnasiaNdunguru-hr5ep Месяц назад
Asante
@sengendotwaha9333
@sengendotwaha9333 Месяц назад
Asante sana
@abasiabdulabi5430
@abasiabdulabi5430 Месяц назад
Nikimuona malehemu mze nguzo na uyu mwanae nakumbumbuka mbali sana
@KaniOfficio-lk1rk
@KaniOfficio-lk1rk 29 дней назад
Kiukweli claudhi Mungu awape maisha malefu pia mwezi 1 hautoshi jamani
@hellenmassawe7284
@hellenmassawe7284 Месяц назад
Jaman
@user-im5kc6ey7j
@user-im5kc6ey7j Месяц назад
Mungu awabariki sana
@bintmrisho3526
@bintmrisho3526 Месяц назад
Jaman mie hiki kipindi hadi kiishe nitakua nimevimba macho😭😭😭😭
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 Месяц назад
Yani we acha atuu😢
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 Месяц назад
Yaaani basi tu
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl Месяц назад
Bamdogo maashaallah. Allah atakulipa kwa ulexi
@salimngajoga3407
@salimngajoga3407 26 дней назад
Nijambo jema sana mlilofikiria la kukutanisha mama na mwana
@ABDULShq-wv6st
@ABDULShq-wv6st 15 дней назад
Good job clous
@user-fd5pb1dt4j
@user-fd5pb1dt4j Месяц назад
Mashallah❤
@felistafundi4559
@felistafundi4559 Месяц назад
Mungu awabariki jamani
@omanoman2044
@omanoman2044 Месяц назад
Mtt wake wakiume hayupo mungu wangu
@Denatha50
@Denatha50 Месяц назад
Nimelia mno jamn mungu awalinde wazazi wetu
@wilddogztz3101
@wilddogztz3101 Месяц назад
mungu awabariki mnoooooo mnooooo
@OmarySamata
@OmarySamata 23 дня назад
Daah clouds kweli inafungua Dunia huu nizaidi ya ubunifu ongereni sana endeleeni kusaidia watu
@SharifaMohammed-el3ug
@SharifaMohammed-el3ug 28 дней назад
Malia jamani! Mungu awabariku
@magidalenarauya4286
@magidalenarauya4286 Месяц назад
Du walimtesa sana mama huyu kumnyanganya watoto wawili tena wadogo,huyo baba alikua katili,na mama alien muozesha pia,
@AngeKazege-sy1ok
@AngeKazege-sy1ok Месяц назад
Baba Mudogo Katuliya Sana❤
@user-ye1dt2eb8u
@user-ye1dt2eb8u 29 дней назад
Zingine zina hisia kali wweeeee, lakini kile ule mama wakuumwa ni kifua,,, pamoja na kuugua lakini kuna lakini ,na vile ana watoto warembo, au hanajiurumia kwa kutofikia wanae na ilikua karibu tu, au kujihukumu moyoni, ila watu wameumbika tofauti
@norakaima1644
@norakaima1644 Месяц назад
Wanaume ni baba zetu ni watoto wetu tunawazaa kwa uchungu lkn nyinyi ndio mnatufikisha hapa😢😢 naumia sana wallah😭😭
@wamburasungura6812
@wamburasungura6812 Месяц назад
Sasa baba anakosa gani na hatujasikia upande wake na Alisha fariki
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 Месяц назад
Nimelia ad bs daa😢😢
@edvinaselestine712
@edvinaselestine712 3 дня назад
Kumbe wakurya wote huwa mnaozeshwa na mama zenu
@PendoUrassa-xm7ru
@PendoUrassa-xm7ru Месяц назад
Da mungu ni mwema,
@user-gm4qi3nn9n
@user-gm4qi3nn9n 29 дней назад
😢😢😢gea na wenzako Mungu awalipe kheri
@jolyPoly-qm9fb
@jolyPoly-qm9fb 25 дней назад
Natamani na mimi iwe kama ndoto mamaangu niweze kumuona tena mana napitia maumivu makali bila mama siwezi😢😢
@xxxl-jf2ji
@xxxl-jf2ji Месяц назад
😢😢
@ShemsaKiobya
@ShemsaKiobya 29 дней назад
Siku zote mungu awalipe Kwa msaada huu
@zenasalum2231
@zenasalum2231 Месяц назад
Dah inauma sana
@ahmedronga7583
@ahmedronga7583 Месяц назад
Sauti za wapiga story
@skilindaissa5441
@skilindaissa5441 Месяц назад
Pumnzika kwa Amani Mama yngu
@eggysulle7988
@eggysulle7988 29 дней назад
Clouds 🔥🔥
@Gloriousministriesforallnation
@Gloriousministriesforallnation 24 дня назад
Mungu awakumbuke watt ambayo hajui wazazi wao wako wapi.
@joshuanassary1880
@joshuanassary1880 Месяц назад
❤❤❤ clouds
@valentinamjindo5374
@valentinamjindo5374 27 дней назад
Wamefanana sana jaman
@SibomanaSaida
@SibomanaSaida Месяц назад
Very sad 😢😢haki
@user-sx1xi4yb2z
@user-sx1xi4yb2z Месяц назад
So sad
@user-bm2tr7sn9e
@user-bm2tr7sn9e Месяц назад
Nimelia sana
@user-wh4gs8wj1z
@user-wh4gs8wj1z 20 дней назад
Jamani na mm namtafuta mjomba angu Toka atoke nyumbn 2018 hadi leo hajui aliko Wala mawasiliano hatuna
@azeezaya8510
@azeezaya8510 Месяц назад
Mungu watu nimwema siku zote
@ruthmuja7792
@ruthmuja7792 Месяц назад
😢❤
@ElishaSolomoni-kc4zk
@ElishaSolomoni-kc4zk Месяц назад
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@husseinkazimoto784
@husseinkazimoto784 Месяц назад
😔😔😔
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 Месяц назад
Jamani hawa waandishi wana jicho gumu hata chozi
@mshambaused3840
@mshambaused3840 Месяц назад
Wamezoea tena. Wamelia sana sana tena
@ShadyAbdallah-vu7iu
@ShadyAbdallah-vu7iu Месяц назад
😭Machozi yame nitoka wallah
@user-lz4oj8cg6q
@user-lz4oj8cg6q 27 дней назад
Dahuu naitwa Rajabu Juma nipo musoma mjini, nina umri wa miaka 29 namtafuta babu yangu mzaa mama, alikuwa anafanya kazi gereza la musoma mjini miaka ya 1971 hadi 1974 akahamia gereza la tarime kisha kuamishiwa jijini mwanza, mama angu ananiambiaga babu aliondoka akiwa na miaka minne 4, na anamfaham kwa jina moja anaitwa Lasuri ni mzaliwa wa moshi, kabila lake ni mpare namtafuta kwa muda mrefu sana babu yangu, aswa mama yangu mzazi anahamu sana ya kumuona baba yake
@salmangwila8062
@salmangwila8062 27 дней назад
alhamis hii wewe na mama yako sikilizen leo tena kuna fursa ya wanaowatafuta baba zao,labda mtaweza tuma voice note
@IreneMasunzu
@IreneMasunzu 23 дня назад
Duuuuu 😢😢😢
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl Месяц назад
😢😢😢
@PendoUrassa-xm7ru
@PendoUrassa-xm7ru Месяц назад
Ba mdogo pia aheshimike sana
@bintmrisho3526
@bintmrisho3526 Месяц назад
Bhoke amaefanana na mama yake
@lucypatrick7830
@lucypatrick7830 29 дней назад
Dah nimejisikia huzuni sana
@JumaDea
@JumaDea Месяц назад
Daah hii redio ni zaidi ya redio.
@mamuumamuu7743
@mamuumamuu7743 Месяц назад
😢😢😢😢haki kweli mum ana nguvu
@wilfredlukowo9476
@wilfredlukowo9476 Месяц назад
Hiki ni kipindi bora kuliko vyote
@michaelgilbert1531
@michaelgilbert1531 24 дня назад
Baba mdogo ana hekima
@user-cv4jb1bm6i
@user-cv4jb1bm6i Месяц назад
Wamefanana kinomaa
@ilakozasembumende1975
@ilakozasembumende1975 Месяц назад
Sauti zinaingiliana na za efm
@ibraoman2745
@ibraoman2745 26 дней назад
Nawashukuru san wazaz wang kua pamoja had leo
@zamalisaide3209
@zamalisaide3209 27 дней назад
Baba mdogo mauwa 🎉🎉🎉
@madammbago9787
@madammbago9787 24 дня назад
Hivi process za kutaft mtu inakuwaj unaenda redion au kweny account zao
@careenlouis8563
@careenlouis8563 24 дня назад
Wamefanana mno❤😢
@user-ii1tc7gt9r
@user-ii1tc7gt9r Месяц назад
Mama Bado kijanaa mwenyewe
@aishaarusha894
@aishaarusha894 Месяц назад
Nimelia mpaka nimezimia😂😂
@consolataaloycemgumba3735
@consolataaloycemgumba3735 Месяц назад
Ulipozinduka umejikuta je
@aishaarusha894
@aishaarusha894 28 дней назад
Nimejikuta kwenye gari napelekwa clouds baada ya ospital😢​@@consolataaloycemgumba3735
@jamilamsafiri2501
@jamilamsafiri2501 24 дня назад
Jaman naombeni namba namim natafuta ndugu wa baba angu
@zahrasahi9302
@zahrasahi9302 Месяц назад
Dah mpk nimelia
@ARAFATVSHOW
@ARAFATVSHOW 26 дней назад
😭😭😭😭😭
@tumainimwaifunga3884
@tumainimwaifunga3884 Месяц назад
Anafanana sana
Далее
POLI зовет Газана
00:12
Просмотров 794 тыс.
Mrembo Vumilia Massawe Anamtafuta Mama Yake
8:46
Просмотров 4,6 тыс.
UTAMBULISHO WA VIWANGO VYA JUU KABISA
2:10
Просмотров 3,9 тыс.