Тёмный

WAZIRI MKUU AWACHANA TRA MBELE YA WAFANYABIASHARA KARIAKOO "Rais anatamka unakuwa na mashaka" 

EastAfricaTV
Подписаться 1,1 млн
Просмотров 119 тыс.
50% 1

Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Опубликовано:

 

16 май 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 103   
@salumhamoud-dv3nf
@salumhamoud-dv3nf Год назад
Muheshimiwa nakuelewa sana. Na pia una faa kia raisi. Asante sana
@nizarurassa6480
@nizarurassa6480 Год назад
Kauli ya waziri mkuu ni maagizo kutoka Kwa raisi.
@hadijauledi6995
@hadijauledi6995 Год назад
Hongera muheshimiwa waziri wetu kwa kutatuwa kero zetu asante muheshimiwa 🙏
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 Год назад
Rushwa inaanzià juu kwenu
@fatumasukwaju226
@fatumasukwaju226 Год назад
Mungu akuweke muheshimiwa.Fata nyayo za Mwenazake.
@samoramollel
@samoramollel Год назад
Mungu pekee ndio mkombozi kwa watanzania wote
@kabulukimati
@kabulukimati Год назад
Mungu.wa.mbinguni.mbariki.raisi.wetu..mbariki.waziri.mkuu.wetu.kiukweli.wametupa.faraja.na.amani.sisi.wafanya.biashara.ushauri.kuna.baahi.ya.wizara.zinatakiwa.zifunjwe.au.zifanyiwe.mabadiliko.zikiwepo.wizara.ya.fedha.na.biashara..ni.maono.yangu
@salomembiro5017
@salomembiro5017 Год назад
Kweli baba Majaliwa, hali siyo nzuri kabisa
@salummohamed2689
@salummohamed2689 Год назад
Tatizo sio TRA, tatizo ni kuwa WAUMINI wanaishi kama KUHANI WAO.
@ruqiyanasir7141
@ruqiyanasir7141 Год назад
Nahizo pesa zote wanazo walipisha watu zinaisha mifukonamwao katika sehemu yenye wazi walamali yauma naserekali kama TRA WEzi namba wan wanawaoneya watusana yaani pese zinazo ingia mifukoni mwawatu nyinyingi kuliko zinao ingizwa serekalini
@timboxlee919
@timboxlee919 Год назад
Hii ni awamu ya nne inatawala,mama hawezi kutumbua mtu, mafisadi,Rip JPM
@lemonadesoldier1377
@lemonadesoldier1377 Год назад
Nakubali
@osmankisibo5184
@osmankisibo5184 Год назад
Rip jpm
@erickabel6201
@erickabel6201 Год назад
😢
@FatnaAlly-fh7qj
@FatnaAlly-fh7qj Год назад
Allah mashallah ubarikiwe semaaa semaaa baba wafanya biashara wanapata tabu mungu akutie nguvu ulinde haki mashallah
@NgelelaLuchagulaMasalu-bg5xu
@NgelelaLuchagulaMasalu-bg5xu 7 месяцев назад
Asante mweshmiwa waziri mkuu chapa kazi mkuu na kazi iendelee
@FatnaAlly-fh7qj
@FatnaAlly-fh7qj Год назад
Allah mpaka watu wanashundwa kuleta biashara kutoka nje Kwa ajili ya Kodi kuwa kubwa Sasa wakati wa haki umefika mabubu nao kuongea na kupata haki mashallah 💕👍👍
@christinembeye5489
@christinembeye5489 Год назад
Kweli mtu ukisafiri hata na Masanduku Mawili ru Airport Mtu Unapekuliwa na TRA mpaka Nguo za Ndani zilizomo Sandukuni zinaonekana🙈🙈 kwa sababu ya Tamaa zao, Kweli Waziri Mkuu Watu husika Washughulikiwe Kikamilifuu-
@FatnaAlly-fh7qj
@FatnaAlly-fh7qj Год назад
Allah honfera sana muheshimuwa wa ziri
@masaimollel2525
@masaimollel2525 Год назад
Mnalindana tuu msituone sisi mafala ningewaelewa kma mwigulu ungemtengua hapohapo na km wewe hauna uwezo wa kutumbua Sasa si upeleke pendleton kwa raisi Samia kuwa waziri wa fedha hafai au mpk siku watanzani wajinyonge kwa hasara wanazoingia ndio mje kutoa pole .
@jack2010ization
@jack2010ization Год назад
Ubarikiwe sana kiongozi
@IsackMgaya-eu5li
@IsackMgaya-eu5li Год назад
Asante sana baba kweli upo vizur na umesimama kwenye kwel ukwel lazima ujitenge
@MoriceFwaka-pt4bp
@MoriceFwaka-pt4bp Год назад
Hongera Sana mweshimiwa tunakuamini Mungu akurinde
@user-hc2hl6sn7o
@user-hc2hl6sn7o Год назад
Sawa mh.
@robaichisutia4765
@robaichisutia4765 Год назад
Mungu akubariki Waziri na aibariki Tanzania
@mkambaselemani-ej7np
@mkambaselemani-ej7np 20 дней назад
Ukitoka tu hapo utumbo wao unaendelea! Watendaji wanamufanya mama achukiwe wabaya sana hawa
@yusuphmaharage2739
@yusuphmaharage2739 Год назад
Safi sana waziri mkuu
@monicachacha455
@monicachacha455 Месяц назад
safiiiii
@darasibrown6084
@darasibrown6084 Год назад
Hili swala la kodi na kujua haki ya mtu binafsi yan haki yako ilibidi hii misingi tuwekewe toka dalasa la kwanza had la saba kwenye mtaala watoe aiba na michezo waweke hili somo kila mtu atajua wajibu wake
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 Год назад
Kasimu majaliwa for Presidency. Mungu akitupa huyu mtu kama Rais Tanzania itapiga hatua sana.Viongozi wa awamu hii wengi wamejikinai na kujaa kibri.
@magrethmbangama1199
@magrethmbangama1199 Год назад
Tungekuwa tumepata bonge la Rais ila mafisad hawawezi kumpa nchi
@lemonadesoldier1377
@lemonadesoldier1377 Год назад
Mmmmh
@jacklinelucas
@jacklinelucas Год назад
Kwan Mheshimiwa amewajua vizuri tu dawa inChemka
@chackym4416
@chackym4416 Год назад
Next presdent
@MiriumWajey-lr1tq
@MiriumWajey-lr1tq Год назад
Kodi zimekuwa changamoto
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 Год назад
Selikari ni wewe tu mheshimiw
@kennbleirmboya9700
@kennbleirmboya9700 Год назад
tz kikubwa uzima
@arthalesha5825
@arthalesha5825 Год назад
Eti hawana tv😂😂
@MlelwaErasmo
@MlelwaErasmo Месяц назад
Wazili. Mkuu safisana.
@servaspilato7892
@servaspilato7892 Год назад
Ama kweli majaliwa sijawahi kukukibali iLa hapa baba kagombee uraisi niko pamoja na wee
@emanuelsamson-hq2jv
@emanuelsamson-hq2jv Год назад
Asante waziri mukuuu
@NRI_1
@NRI_1 Год назад
Curruption too much in Tanzania
@AbdillahSOthman
@AbdillahSOthman Год назад
Magufuli angetumbua zaman hao jamaa.
@mayranehemia9469
@mayranehemia9469 Год назад
🙏🙏🙏🙏
@dennishyera5448
@dennishyera5448 Год назад
Nusu Mungu wafukuzwe kazi, waje waone maisha uraiani.
@hapietz
@hapietz Год назад
All
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies Год назад
Bonyeza hapa kutazama filamu mpya za bongo movie
@SabinaRaphael-tr1ws
@SabinaRaphael-tr1ws Год назад
Byby ni bymyniUT
@alibushiri4725
@alibushiri4725 Год назад
Namkubali wazir mkuuu kuliko mama
@MlelwaErasmo
@MlelwaErasmo Месяц назад
Ulifaa. Kuwa rais. Inafaa 5:37
@chachamakenge8367
@chachamakenge8367 Год назад
Mheshimiwa,waziri mkuu,nakisa kimoja,kuna mtu yuko gerezani,chakushangaza alikuwa na mtandao wa TRA feki yeye akiwa kiongozi wao ,alikuwa anawaongoza kwa njia ya simu akiwa gerezani,hivyo kuna watu wanaojifanya ni kutoka TRA, hivyo kuna uwezekano mkubwa wafanya biashara huwa wanatapeliwa
@tatoorashedi1787
@tatoorashedi1787 Год назад
Tatizo mnaongea tu mngekuwa mnaonyesha mfano mkifukuza 5 .6 hawa wengine watajifunza
@SayakuluAyubu-my9kr
@SayakuluAyubu-my9kr Год назад
Ruswa, iko hivi Mimi nnataka Nida nikienda kule ofisi ya Nida naambiwa let Nida ya mama yangu Ana maka 60 Hana Nida hapo inakuwaje, Mali IA mwengewe
@jacksondavid6854
@jacksondavid6854 Год назад
bonge lakiongozy
@MjuniJeremiaStephanoZaka-nu8dj
Tuna imani na wazuri wetu mkuu alistahili kuwa raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania
@LukasMamuya-ub1ot
@LukasMamuya-ub1ot Год назад
Mzee nimekuelewa
@HusseinSaguti
@HusseinSaguti Год назад
Niko tayali
@noahlameck1564
@noahlameck1564 Год назад
Mbona sijamuona baba levo akiongea apo kariakoo
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 Год назад
Mama Samia kwani anasemaje kuhusu mwigulu
@rabwarab574
@rabwarab574 Год назад
Nawaheshimu wabunge wote wanaopita ktk majimbo yao bila kupingwa mfano waziri mkuu kassim majaliwa na Hayati Jpm na profesa Mwandosya hawana mba mba mba❤
@marymremi1051
@marymremi1051 Год назад
Mungu mkubwa mie wakati wa kitilya nilizuiwa contena la toi likazuiwa na ikawa mwisho wa biashara
@lemonadesoldier1377
@lemonadesoldier1377 Год назад
Pole Sana dada Mungu atakutetea
@telaamtauta2227
@telaamtauta2227 Год назад
Pole sana Mungu atakulipiya kwa dhulma walio kufanyia
@ashahassan2120
@ashahassan2120 Год назад
Hyu ndo anapajua raisi jamani
@ThomasSanga-eo8db
@ThomasSanga-eo8db Месяц назад
Saf
@charlesmanase4507
@charlesmanase4507 Год назад
Basi awe rais tu
@neemamuro8001
@neemamuro8001 Год назад
Waziri kwasasa tunatwangia maji kwenye kinu. Tangu Magufuri afe walarushwa wamepewa nafasi tena. Hawana wakuwakemea. Mbona wakati wa Magu hayakuwepo?.
@matukutajuma156
@matukutajuma156 Год назад
HONGERA MSAIDIZI WA MH RAIS UNAELEWEKA!! KUMAliIZIA RUSWA ITISHA KURA YA SIRI MUHIMU KUBAINI!
@abdulhakeem959
@abdulhakeem959 Год назад
KUNA JAMAA LIMESIMAMA NYUMA YA WAZIRI MKUU,NALIGANANISHA NA ROBOTI MVU LA MAREKANI
@rehemarwanda6039
@rehemarwanda6039 Год назад
TRA MJIPANGE UPYAA
@soniaemmanuelmataro9414
@soniaemmanuelmataro9414 Год назад
Na simu wanazotupigia ni kero,
@jacklinelucas
@jacklinelucas Год назад
Hapa nyinyi TRA wezi wakubwa nasasa kuna kamat imeundwa muangalien msije mwagiwa chakula chaa watoto wenu Wazazi wamewasomesha mnataka kuharibu kazi angalien
@jacklinelucas
@jacklinelucas Год назад
Mnatubana sana na mtahamiswa hapo
@DavidMbwilo-qk1bz
@DavidMbwilo-qk1bz Год назад
TRA nawachukiaa sana kinachowaponza ni maisha ya starehe wanayoiga ndio maana wanakosa uadilifu katika kazi
@allykihambwe6690
@allykihambwe6690 Год назад
Mh,waziri mkuu jambo Hilo TRA nitabia Yao raisi ameagiza wafanyabiashara wanaoanza biashara wasilipishwe Kodi laki jambo Hilo halitekelezwi mpaka Sasa kwani Kuna kampuni imesajiriwa ivi karibu I MWEZI wa tatu hata kazi haijaanza imepipishwa Kodi ningepata nafasi ya kukuona ningekuletea ushahidi wa Kodi tuliyolipa kabla ya kufanya kazi.
@menaldmbilinyi3518
@menaldmbilinyi3518 Год назад
Chekeni
@samyspesho1698
@samyspesho1698 Год назад
WANASIASA WANAFKI SANA
@lemonadesoldier1377
@lemonadesoldier1377 Год назад
Uko sahihib, Mwamba alikuwa jpm tu
@giftkalenge418
@giftkalenge418 Год назад
Wafanyabiashara ni wajanja sana inabidi kuwa making wafanyabiashara wengi hawana maduka na wanauzia kwenye stop na tra wakienda kwenye duka wakifanya assement anonekana anabiashara ndogo wakati Biashara anafanyia stoo
@dannyelias382
@dannyelias382 Год назад
Ko unatakaje?
@harunhateeb218
@harunhateeb218 Год назад
Hujui chochote kuhusu biashara sio lazima uchangie
@mustaphabussinescenter4127
@mustaphabussinescenter4127 Год назад
We unalazamisha utukanwe embu teacher tushachoka sisi
@jadenmsafi
@jadenmsafi Год назад
Ko uatakaje we mpuuzi nn we stupid
@yusuphsanga7194
@yusuphsanga7194 Год назад
Huna hela
@masikitikomwakyonde1259
@masikitikomwakyonde1259 Год назад
Dah ila waziri huyu anapiga kazi ongera sana Mzee najua kutetea Haki ni kazi sana MUNGU aendelee kukulinda
@godymbanyi1878
@godymbanyi1878 Год назад
Mheshimiwa Waziri Mkuu, hawa wafanyabiashara msiwalegezee kila kitu! Wana mambo mengi yanayokosesha serikali mapato. Wasionewe lakini nao wawe waungwana na wakweli! Biashara zimejaa ujanja mwingi.
@anthonysindabaha7517
@anthonysindabaha7517 Год назад
Kwahyoo tukusaidieje
@masikitikomwakyonde1259
@masikitikomwakyonde1259 Год назад
Viongozi wetu ni jeuri tu kweli kabisa ni agizo tatizo viongozi wanajifanya Miungu watu
@godymbanyi1878
@godymbanyi1878 Год назад
Tufuate sheria.
@christinagervas2134
@christinagervas2134 Год назад
06:04 "waziri mwenye dhamana na wizara yake, makamu wa rais w/mkuu na raisi wakitoa maelekezo kwa mamlaka chini yao ni agizo" Then tunategemea Mwigulu aache kutoa matamko ya kukandamiza raia kupitia mamlaka zilizopo chini yake mfano hao TRA Ilihali washasema tamko la waziri ni agizo?
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw Год назад
Wapo Kwa ajili ya mifuko Yao na advantage ni Kwa kuwa wananchi hawana elimu ya Sheria hizo Sheria haipo kwengine duniani wanajua Sheria.
@NRI_1
@NRI_1 Год назад
TRA و ZRB ، الهجرة كلها أكثر الناس تقيدا في تنزانيا
@frankmwakalinga7455
@frankmwakalinga7455 Год назад
❤ Hongera sana waziri mkuu kwa busara zako na hekima zako God bless you 🙏🙏🇹🇿
@ndimimaskati3641
@ndimimaskati3641 Год назад
Polisi hawahusiki kukagua wafanyabiashara , kuna sheria kandamizi.
Далее
RAIS DKT. MAGUFULI AKIWA NJIANI KUELEKEA JIJINI DODOMA
32:41
TRA NDIYO CHANZO CHA HIKI KINACHOENDELEA KARIAKOO
9:23