Тёмный

PART 2: AGIZO la MAGUFULI kwa MFANYABIASHARA BABU RAMA wa KARIAKOO MWENYE MGOGORO na TRA.... 

Global TV  Online
Подписаться 4,9 млн
Просмотров 321 тыс.
50% 1

PART 2: AGIZO la MAGUFULI kwa MFANYABIASHARA BABU RAMA wa KARIAKOO MWENYE MGOGORO na TRA....
GLOBAL TV imefunga safari mpaka eneo la biashara la Kariakoo na kufika dukani kwa mfanyabiashara maarufu eneo hilo anayetambulika zaidi kwa jina la RAMADHAN HAMISSI NTUNZWE, au Babu Rama, ambaye mwaka 2016 aliingia katika mgogoro na mamlaka ya mapato nchini (TRA) ambao ulishatolewa maamuzi na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kwa mara ya kwanza na baadae Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli nae akaingilia kati na kutoa maamuzi ya mwisho kuwa alipwe fidia, lakini agizo hilo Ramadhani amedai halijatelekezwa hadi leo....
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE
( +255 784 888982)
( +255 739 750910)
Email: globaltvbest@gmail.com
abbymrisho@gmail.com
HABARI MPYA DAILY: bit.ly/habarimpya
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
Subscribe bit.ly/globaltvonline

Опубликовано:

 

19 мар 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 484   
@globaltv_online
@globaltv_online 4 месяца назад
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@johnchiponde316
@johnchiponde316 4 года назад
Aiseee,,All the best,,Mungu akulinde Ramadhan Hamis Ntunzwe..Amen
@reyonceramadhan9486
@reyonceramadhan9486 4 года назад
Amen
@nestor384
@nestor384 4 года назад
Kamishna Mpya naye kamezwa na mfumo tuongeze kui-share hii video mpaka Mhe. Rais na Mhe. W/Mkuu iwafikie kwa mara nyingine ikiwezekana kamishna mpya naye awe sacked keshasahau wajibu wake na kiapo chake! My motherland watu wanasota kiasi hiki kupata haki zao japo wakiwa na maelekezo ya Rais vipi wale ambao hawana na masuala yao hayajafikia kule ambako swala la Ramadhan lilifikia!!! Mungu endelea kumsaidia Ramadhan mpaka siku moja apate haki yake na wadharimu wote wawajibishwe🙏🏻
@ustadhyassir3460
@ustadhyassir3460 4 года назад
Yatupasa tuwenae bega kwa bega kupaza sauti zetu zimfikie mueshimiwa raisi hawa tra wanataka kumletea dhuma huyu mwenye haki yake
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 4 года назад
Kabisa yani kweli
@mwinukafundibombanjombe
@mwinukafundibombanjombe 4 года назад
IQ yake ya kumbukumbu iko juu sana ,, japokuwa umri umeenda.. Haki haipotei mzee wangu.
@ahmadnassor7375
@ahmadnassor7375 4 года назад
He is very smart
@estheradriel9829
@estheradriel9829 4 года назад
Sana yani
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 4 года назад
Mwinuka Rabbitkeeper, ana 45
@mwinukafundibombanjombe
@mwinukafundibombanjombe 4 года назад
@@nahyialetomia9284 sawa mkuu
@aminaam281
@aminaam281 2 года назад
Jaman kwa umri huu apoteze kumbukumbu kaah
@teddyoscar6876
@teddyoscar6876 4 года назад
Bonge la story ya kutisha, na jamaa anajua kuongea 👍
@aminaam281
@aminaam281 2 года назад
Ningejaliwa Mimi ningeringa
@shubebunyesi542
@shubebunyesi542 4 года назад
Anaeona mzee IQ yake zaid ya flyer over, Allah akufanyie wepesi Inshaallah
@dicksonmwanyambo5314
@dicksonmwanyambo5314 4 года назад
Shube Bunyesi Mimi mzigo wangu umekaa Border ya Mutukula kwa miaka 3 sasa Nasubiri Commissioner TRA atoe kibali cha kuteketeza madawa yaliyoexpire,
@dicksonmwanyambo5314
@dicksonmwanyambo5314 4 года назад
TRA ni issue kwa kweli
@tafsiriyaqurantukufukwakis966
@tafsiriyaqurantukufukwakis966 4 года назад
Ameen
@msuyaherbalresearcher7184
@msuyaherbalresearcher7184 4 года назад
Watanzania hebu tuvae vazi la Mh.Raisi wetu,tukitenda haki kwa wenzetu.TRA mmezoea kuzulumu na kula pesa za zuluma.Mshindwe
@williamibrahim2823
@williamibrahim2823 4 года назад
Kaka Ramadhani baba kichwa kizuri hongera sana
@adamkabila7113
@adamkabila7113 4 года назад
William Ibrahim umeona nimempenda anakichwa kweli anaelezwa kwa utulivyu
@nelsonpharles8556
@nelsonpharles8556 4 года назад
Pole sana mzee kwa imani utalipwa haki yako Mungu aksaidie ktk hilo.
@tumainicareen5282
@tumainicareen5282 4 года назад
Mungu hatokuacha mtangulize MUNGU mbele kweli wanadam hatuna huruma Hongera Rais wetu mtetezi wa wanyonge
@silvesterrichardhelenya1319
@silvesterrichardhelenya1319 4 месяца назад
Amejipiga risasi baada ya kuona hakuna msaada nadhani kesho tarehe 15/ 03/2024
@alikhamisog3422
@alikhamisog3422 4 года назад
Sasa nimeamin viongoz wa ccm ndo wanao fanya wApinzan kupata kura nying Nilitaman MH Rais angeongoza tena hata miaka 10 ila najua zipo changamoto lakin hongera Rais wetu
@zuberimasoud5728
@zuberimasoud5728 4 года назад
Very sad! Pole sana Mzee na hongera sana kwa kuonesha subra kubwa!
@subirajohn728
@subirajohn728 4 года назад
Naamini hii taarifa utawafikia Vuongozi wetu haki itatendeka! Pole sana kaka Mwenyezimungu atatenda jambo!
@mangalilikilawe6788
@mangalilikilawe6788 4 года назад
Kiupande wangu nimejifunza mengi sanaaaa ambayo sikuwa na yajua namshukuru huyu mfanya bishara
@geofreybalyobalyo4538
@geofreybalyobalyo4538 Год назад
Hata mimi aiseee...kwel nilikuwa gizani duh😮😮😮😮😮
@changboy5658
@changboy5658 4 года назад
Story ya Mzee unatengenezea movies nzuri mno. Mzee Ana akili sana na ni mjanja mno. Naomba Waziri na raisi au watendaji wake wasaidie aione hii taarifa maana wanamuonea sana huyu mzee. Pole sana mzee Uko vizuri.
@mariuscyprian1235
@mariuscyprian1235 4 года назад
Kwa hiyo mpaka wakati huu mzee baba ajaiona au ndio anajipanga ila watanyonyoka wengi manyoya hasa TRA
@batulimabewa6953
@batulimabewa6953 4 года назад
Chezea muha wewe
@issakawaya8315
@issakawaya8315 4 года назад
Haki yako ni ya lalih
@mathiasmsese6128
@mathiasmsese6128 4 года назад
sijaelewa why mtu aliyekabidhiwa kumlinda mtu hapokei simu. something is not right we need to dig more
@eliaalex8118
@eliaalex8118 4 года назад
Ezekiel Leonidas ina wezekana lakn angalia usi tafutwe
@Amani715
@Amani715 4 года назад
Exactly my point. And when he is out there he is busy saying how he is helping a common mwananchi, hypocrite. The fact that Mr. Ntunzwe sent him a message he was in a position to see how important it is given the fact that he was delegated by His Excellence President Magufuli to make sure this issue is closed. Why can’t people do one simple thing? I would record each and every meeting so as they don’t deny the day His Excellence gets to know this. There is a need for a reshuffle at TRA. Total madness 😡
@stevenkatina968
@stevenkatina968 4 года назад
Mko vizuli jmn ushauri wangu mtafuteni waziri mkuu direct in box mmtumie hiyo clip jmn mzee huyu kaumizwa sana jmn
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 года назад
Kumbe wafanyabiashara wakubwa ndio wanavyo pata hela. Kuna na TRA kukandamiza wafanya biashara wadogo na wananchi wa kawaida. Alafu huyo mkurungezi wa TRA juzi tu alikataa rushwa ya wachina wale wa Tabora kumbe angechukua kama wangempanga vizuri. Hii nchi badooo Sana rushwa ni ulemavu tunao. Kaka Ramadhani pole kwa yote, endelea kupambana nauona haki hiyo inakuja🤗💪💪👌👍👍
@jonathanakhabuhaya1693
@jonathanakhabuhaya1693 4 года назад
Kukataa rushwa ya Wachina ilikuwa geresha tu. Shida ni kuwa walimletea mzigo Ofisini moja kwa moja.Walipaswa kupitia kwa "mshikaji" wake
@bulugubujashi6378
@bulugubujashi6378 4 года назад
Hawa TRA wanarudisha Sana uchumi wa nchi
@justinegabriel5854
@justinegabriel5854 4 года назад
Mungu akubariki sana Baba Magufuli tunakupenda watanzania Ongoza nchi mpk utakapo amua ww kuachia kiti we love you much much much much Dadyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy Very Be blessed
@jobmoffat7844
@jobmoffat7844 4 года назад
Pole sana mzee,,, TRA hawana namna ya kufanya zaidi ya kumpa haki yake huyu mzee
@saitotisaitoti6734
@saitotisaitoti6734 4 года назад
Siku nyingine usipande magari yao watakuua hata kwa sumu ya hewa.tumia magar yako
@lucymtui8680
@lucymtui8680 4 года назад
Mungu akiwa upande wako utapitishwa ktk misukosuko nakutoka dhahabu safi....
@issamichoro.5278
@issamichoro.5278 4 года назад
Safari xote kuanzia leo uwe na watatu kila ulipo
@just_this_way
@just_this_way 4 года назад
Comment imeendana na jina lako, wajina wako, SAITOTI wa kenya aliuwawa kwa sumu ya hewa (cyanide)
@loner_wolf
@loner_wolf 4 года назад
Hii comment iweke kichwani mwako.....iko hivyo sumu ziko aina nyingi Sana......kuwa makini sana
@hopesesilius6104
@hopesesilius6104 Год назад
Sahihi
@amosurio8045
@amosurio8045 4 года назад
nakuomba Sana mzee wangu uwe makini na awo watu
@faridakhamis7994
@faridakhamis7994 4 года назад
Asalam aleykum kaka pole sana kwa msuko msuku uliyo kufika wallah unavyo ongea mpka iman
@KASWIZAOnlineTV8933
@KASWIZAOnlineTV8933 4 года назад
Uyu ni ndugu wa brother k
@janethpallangyo2633
@janethpallangyo2633 4 года назад
Mungu akusaidie kwa kweli, watu wanadhambi sana, Mungu yupo nawe. Nakuombea upate haki yako.
@globaltv_online
@globaltv_online 4 месяца назад
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@alicelucas4082
@alicelucas4082 4 года назад
Huyo baba lazima atakuwa muha, hatunaga ujinga.
@jannathibrahim9589
@jannathibrahim9589 4 года назад
Ogopa MTU alietoka kigoma kwa baiskel na Sasa hivi anamiliki mamilioni
@neemajoseph3823
@neemajoseph3823 4 года назад
alice lucas kabisaa wahaa hatunagaa ujingaa kabisaa
@tinyaanosiatha1118
@tinyaanosiatha1118 4 года назад
alice lucas unauliza embe kibada asilimia mia ni mha
@buguzajemedar3631
@buguzajemedar3631 4 года назад
allah akusimamie kwenye kuipigania haki.yako
@h.alshidhani8971
@h.alshidhani8971 4 года назад
Hatunaga ndio nini???
@hassankasigwa477
@hassankasigwa477 4 года назад
Yaani watanzania wahaogopi maagizo ya raisi bado walitaka kufanya magumashi tu Sasa CORONA tutaiogopaje bana mpaka ituue kwanza
@saitotisaitoti6734
@saitotisaitoti6734 4 года назад
TRA hamuendi mbinguni,mtachomwa moto na hizo pesa za dhuluma kama mnasomeshea watoto wenu mnatengeneza kizazi cha laana.vizazi vyenu vitalaaniwa shenzi nyie
@reyonceramadhan9486
@reyonceramadhan9486 4 года назад
Na mungu awalaani kabisa kunyanyasa wanyonge ili hali wanajaza matumbo kwa dhuluma
@smarty1064
@smarty1064 4 года назад
saitoti saitoti unadhani wanaamini kama kuna mbinguni?
@yahyashariff5693
@yahyashariff5693 4 года назад
Pesa ya dhulma hakuna itako wapeleka, watajibiwa hapa hapa duniani
@hosenimwelekwa6200
@hosenimwelekwa6200 4 года назад
Hahaaaa kweli
@samsonmathew7562
@samsonmathew7562 4 года назад
😂😂😂😂😂😂😂
@zuhurajuma1528
@zuhurajuma1528 4 года назад
Hiyo nihaki yako inshaallah utaipata namungu atawaadhibu kwa aina yoyote ile🙏
@calvinpaul2171
@calvinpaul2171 4 года назад
Muheshimiwa 2naombaa ulifanyiee kazii ilii uyu nimoja kati ya watanzaniaa milion48 wanao nyanyaswa Na TRA Na Askarii
@bahatimayala6494
@bahatimayala6494 4 года назад
Pole sana mtanzania harisi uliye jawa na uzarendo pambana mzee mungu yu pamoja nawe haki ya mtu haipotei bali hucheliweshwa tu serikali yetu tukufu ipo haki yako utaipata
@emmanueljohn5162
@emmanueljohn5162 4 года назад
Wamemtekenya Magu kubaya Kama namwona mzee baba akila watu vichwa
@lucymtui8680
@lucymtui8680 4 года назад
Nataman awaleee....Hawa wanyanyasaji
@jonathanakhabuhaya1693
@jonathanakhabuhaya1693 4 года назад
Huyu Mwanahabari aidha hajui kuuliza maswali, au ni mwoga. Bw, Kayombo wa TRA alipaswa kuulizwa moja kwa moja ni kwa nini TRA imekaidi kwa miezi 9 kutekeleza amri ya Rais ya kumlipa Ramadan. Alipaswa kujibu ni nani ktk TRA anazuia malipo hayo, na kwa nini. Alipaswa aulizwe wale wafanyakazi watatu wa TRA Rais aliosemaa wafukuzwe kazi walishafukuzwa au la, na walishapelekwa mahakamani. Kayombo ajibu ni kwa nini wafanyakazi wawili wa TRA wanaohusika na sakata hili walihamishwa kinyemela kwenda mikoani badala ya kuchukuliwa hatua. Alipaswa kujibu hizo milioni 900+ ambazo TRA iliagizwa kulipa zitatoka fungu gani au zitalipwa na nani. Mwandishi ulipaswa kumwuliza Kayombo ni utaratibu gani TRA ilitumia kumkadiria kodi ya kumwumiza Ramadhan, na ni kwa nini ilifunga duka lake na kutumia polisi kumweka mahabusi. Kayombo atwambie ni kwa vipi maafisa wa TRA walishirikiana na wafanyabiashara wawili ili hao wafanyabiashara wamlipe Ramadhan badala ya wao TRA kumlipa. Kayombo ajibu ni kwa nini wafanyakazi waandamizi wa TRA kila mara wanamsihi Ramadhan asimwambie Waziri MKuu au Rais jinsi sakata hili linavyokwenda. Kayombo aseme kwa kukataa kumlipa Ramadhan, na kupenda kufanya vitu kisirisiri, watendaji wakuu wa TRA, akiwemo yeye mwenyewe, wana interest gani katika sakata lote hili nk. nk. Na mwisho Kayombo atwambie kwa nini watendaji wakuu wa TRA, akiwemo yeye mwenyewe, wasifukuzwe kazi kwa utovu wa nidhamu wa kumdhalilisha Rais. kayombo aseme ni kwa nini ydeye na watendaji wakuu wa TRA wasifilisiwe mali zao na kupelekwa mahakamani kwa uhujumu uchumi (kama TRA inavyofanyaga mara nyingine) kwa kuisababishia TRA na Ramadhan hasara. Haya ndo maswali ambayo waandishi wa habari wa kimataifa (kama CNN,BBC na ALJAZEERA) huwa wanauliza. Naomba mwandishi wa habari umtembelee Ofisini Mkurugenzi Mkuu wa TRA na Bwana Kayombo ili waweze kujibu maswali haya. Aidha wasiliana na Ofisi ya Waziri Mkuu na Rais kupata habari zaidi. Wananchi tunangoja kuona haki ikitendeka.
@shamimhayat7637
@shamimhayat7637 4 года назад
Mwenyezi Mungu amlinde Raisi wetu wa wanyonge Magufuli, pole ndugu yetu Ramadan pia wewe ni smart sana
@fortunataangelo5575
@fortunataangelo5575 4 года назад
Hivi kwa maagizo yote haya YA MH, Bado Watu wana fanya danadana, Kweli Hao wasaidizi pasua kichwa,
@EK-kp2np
@EK-kp2np 4 года назад
Fortunata Angelo Hela za kumlipa watatoa wapi, washalipa ada za vyuo Malaysia na nyingine nyumba ndogo, nyingine jaza jedwali mwenyewe 😏, pagumu hapo, lazima atafutwe bwege mmoja wa kuchapwa ili huyu alipwe 😖
@mwitikageofrey6175
@mwitikageofrey6175 4 года назад
Mungu akupe ujasir na uvumilivu na akuzidishie maarifa zaid
@emanuelandedela2771
@emanuelandedela2771 4 года назад
Yaani ni Kama move yakutafsiriwa. Ahsante mzee wetu nimejifunza zaidi ya kwenda chuo kikuu.
@annahayasanday7174
@annahayasanday7174 4 года назад
Nimekupenda baba, uko makini sana Mungu azidi kukulinda.Haki yako haitapotea kamwe,una msimamo sana Mungu hawezi kukuacha.Hili ni funzo kubwa sana kwetu
@msuyaherbalresearcher7184
@msuyaherbalresearcher7184 4 года назад
Hao wafilisiwe na kufukuzwa kazi
@darkplatnum9006
@darkplatnum9006 4 года назад
Maaana nakumbuka ulisema kua kesi zot uleshinda ulizo mbakiziwa na TRA nakusubili tu uon utapewa kesi ipi tena na mwanzo wa yot ni mzgo kukamatwa kutok south na kuvunjiwa maduka yako ya thamn ya milon 800 na chanzo kuvunjww ni chen tu ya shiling miatano tena usio iuza ww asant mungu allah ww ndie kila kitu
@jamesassanga9220
@jamesassanga9220 4 года назад
Big up kwa waha!!! Wanajiamin sana
@endruwguzula5993
@endruwguzula5993 4 года назад
yani huwa tunaonekana wabishi ila tunatetea haki ye2 mpaka mwisho
@saadomari7150
@saadomari7150 4 года назад
Haki inayocheleweshwa ni sawa na haki inayodhulumiwa,wote wanaofanya hii dhuluma wanastahili kumalizia maisha yao gerezani.
@ashapearubart2624
@ashapearubart2624 4 года назад
Mmm kazi iko. Pole sana.
@barryryoba1489
@barryryoba1489 4 года назад
TRA Mnanyanyasa Sana Na Kuzulumu Wanyonge, Hata Kama Mnajiona Mnafanikiwa Sana Kimaisha Na Hii Zuluma Bado Mtateseka Sana Na Ngono Zembe Hatimae Kufa Kwa Ukimwi.. Na Pia Hata Kama Watoto Wenu Wanasoma Shule Za Juu Bado Wataishia Ulevi, Anasa Na Hatimae Kifo Kwasababu Watu Mnaowazulumu Wanatoa Kilio Kikubwa Sana Kinachofika Mbinguni Na Hamtabaki Salama Hata Kama Mmejaza Hizo Pesa Za Zuluma Kwenye Magunia.
@allythabit5175
@allythabit5175 4 года назад
Duh hatreee sana
@faridmnyamike556
@faridmnyamike556 4 месяца назад
Allahuma Amiiiiiiin
@faridmnyamike556
@faridmnyamike556 4 месяца назад
Allahuma Amiiiiiiin
@enessamramba5542
@enessamramba5542 4 года назад
Jaman unapokuwa na shida za kiofisi kama hizi ndo utajua kama rais bado anakaz kubwa sio TRA tu Tanzania 🇹🇿 watu wa chini tunaumia sana basi tu
@madeintanzania2995
@madeintanzania2995 4 года назад
This is another covid-19, Mr. Presedent please make your decissions!!
@gladysalbinus7646
@gladysalbinus7646 4 года назад
Kweli hii ndio Covid
@happymaiga4963
@happymaiga4963 4 года назад
Wana movie mwende kwa Ramadhani mkafanye movie stories take itapendeza sana.
@joshualukumay5667
@joshualukumay5667 4 года назад
mi nkisikia ivi nakata tamaa ya biashara .ila pia waziri mkuu na raisi nimewapenda. mungu awabariki.
@johnsnip1563
@johnsnip1563 4 года назад
Watu watata da yani mtu anapewa maagizo na rais lakini bado hayatekelezi
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 4 года назад
Binadamu tuna roho chafu hata hofu ya muumba wetu hatuna tumejisahau sana
@rosekaiza2716
@rosekaiza2716 4 года назад
Hizi ndio habari za kutuletea watanzania kwakua tunajifunza mambo muhimu mnaboa sana pale mnapotuletea upuuzi wakina amba ruti!nimependa sana hii story mungu mkubwa atamsaidia huyu baba
@bwerumaster6691
@bwerumaster6691 4 года назад
Dah bonge la movie!! Kanumba RIP angekuwepo angefanya bonge la movie!
@hosenimwelekwa6200
@hosenimwelekwa6200 4 года назад
Hahahaaaa kweli ndugu
@dr_godfrey
@dr_godfrey 4 года назад
Da! TRA ni matapeli uwiiiiiiii inaumiza sana
@awadhally1052
@awadhally1052 4 месяца назад
Hawa TRA. Ni nguruwe kabisaaaa
@kenybenjiz7850
@kenybenjiz7850 4 года назад
Very smart guy
@emiliamulaki3600
@emiliamulaki3600 4 года назад
Baba una akili nyingi. Mungu akulinde sana.
@allyabdulatif934
@allyabdulatif934 4 года назад
Mkuu was nchi anakuona mnyonge wa mungu anazulumiwa da futa wate hawa kazi
@abdallaanton5210
@abdallaanton5210 4 года назад
Duuu watamuuahuyu ee mwenyezi MUNGU msaidie mjawako anatetea hakiyake kamaulivyotuagiza tusidhurumu wala tusikubali kudhulumiwa
@saimonmanyerezi7169
@saimonmanyerezi7169 4 года назад
Rais alishawambia wao wenyewe wamlinde.
@bahatisejua9944
@bahatisejua9944 4 года назад
Huyu niusalama wa Taifa hawaTRA huwahawajui kwambawengine siowafanyabiashara wapokwaajili yakuchunguza hatahizo hela zamtaji zaserikali.
@mariuscyprian1235
@mariuscyprian1235 4 года назад
Sasa mjomba naanza kukuelewa
@tafsiriyaqurantukufukwakis966
@tafsiriyaqurantukufukwakis966 4 года назад
Asalam alaikum, namshauri ndugu Ramadhani Hamisi afanye video au Audio clip rasmi Kwenda kwa Mheshimiwa Raisi Magufuli, kisha aitume clip hiyo kwa njia ya whatsapp (aelezee kila kitu Kwenye clip hiyo) In Sha Allah itamfikia Raisi Magufuli, Raisi ndio atayekusaidia In Sha Allah, inavyo onyesha TRA hawana nia ya kukulipa kitu kwa njia ya kihalali (wanakuzungusha tu)
@moshaomary4304
@moshaomary4304 4 года назад
Waziri wa fedha mbona yuko kimya kwa swala hili nawakati nimaagizo kutoka juu ,waziri msaidie huyu mzee,
@jrayim
@jrayim 4 года назад
Mwana habari, mbona mpole... uliza maaswali nawe. Kwa mfano, hawa askari kesi zao ziko mahakama gani ili ufuatilie?
@jonathanakhabuhaya1693
@jonathanakhabuhaya1693 4 года назад
huyu mwanahabari naona ni mwoga au bado hajakomaa.
@salminmabrouk9567
@salminmabrouk9567 4 года назад
Du mtihani babu kubwa kuliko wote
@mjige9088
@mjige9088 4 года назад
Na huyo makonda vipi asipokee simu ya huyu bwana na aliambiwa amlinde na hata SMS yake hajibu something is cooking on here
@aishakhatib3107
@aishakhatib3107 4 года назад
Huyo makonda amehucka sana tu , mafya wacjemuua
@mgongolwajoseph6901
@mgongolwajoseph6901 4 года назад
Inaumiza Sana pole
@watakaniitaje1215
@watakaniitaje1215 4 года назад
Muandishi unaongea kama unaogopa jamani😆😆😆 Mpigieni Rais 🤣🤣🤣🤣
@mariamfaicalhassan2890
@mariamfaicalhassan2890 4 года назад
Rais siyo sawa na makonda wewe
@catherinebassanga2252
@catherinebassanga2252 4 года назад
Mbona kama wanafanana na mh raisi
@pashcompomongo3347
@pashcompomongo3347 4 года назад
Haki haipotei.. haki yako utaipata japo kwakuchelewa mungu yupo
@mariambuhanza5953
@mariambuhanza5953 4 года назад
duuuh! hii kubwa kuliko kwa Imani utapata haki yako mzee
@makepoundbemillionire9688
@makepoundbemillionire9688 4 года назад
Babu rama pole nakujua wew muha
@davidsamson8292
@davidsamson8292 4 года назад
Safi Sana Global Tv hizi ndio news tunazozitaka hii nchi inawatu wa hovyo sana yani mpaka agizo la Mheshimiwa Rais watu wanakaidi na kutaka kufanya dhuruma hii ni dhalau mbaya sana.Naamini Rais wetu ameshasikia hili na haki yake itapatikana tu. Global TV naombeni mtoe namba kuna watu wengi wamepata shida na hawa watu TRA NSSF Tanesco NSSF wanafikia hatua ya kumwambia mtu eti fail limepotea haya mambo yanatia maudhi sana. Nice Global TV
@kwilasangwala201
@kwilasangwala201 4 года назад
Hongereni global Tv, kwa ufuatiliaji mzuri.
@samsonmathew7562
@samsonmathew7562 4 года назад
TRA nu takataka sana hawa nguruwe
@gracemima5234
@gracemima5234 4 года назад
Wana habari tunawapongeza sana kwa kufumuwa ukweli wa mambo. Endeleeni kupata ukweli pande zote ili Tanzania iwe nchi ya haki kwa wote
@isihakazombokooo1647
@isihakazombokooo1647 4 года назад
Mtafute waziri mkuu naimani utampata hao ni wezi mnooo.
@jacksonmathayo6510
@jacksonmathayo6510 4 года назад
Pole sana mzee duuh Ni hataree sana
@johnmasanja1762
@johnmasanja1762 2 года назад
Duh, jamanii kufarik kwa Mzee magu, ni pengo kubwa sana,
@reyonceramadhan9486
@reyonceramadhan9486 4 года назад
TRA uozo mtupu ivi kunyanyasa wafanyabiashara mpaka lini kichwa cha mzee sio poa
@issazakaria9704
@issazakaria9704 4 года назад
Sidhani kama baadhi ya maofisa wa TRA wanaamini katika MUNGU.
@benysprian3143
@benysprian3143 4 года назад
Uta shinda tuu
@masiyomasiyo
@masiyomasiyo 4 года назад
Pesa ndio mungu wao
@MS.independent8934
@MS.independent8934 4 года назад
BWANA RAMADHAN hongera kwanza kwa ujasili na uzalendo, ila kuwa makini kwa kila hatuwa na kwenye harakati zako zote nina imani MUNGU atakulinda ww na family yako, usikate tamaa
@danielvitus8903
@danielvitus8903 3 года назад
Shikamoo mzee Wewe noma Sana, unaweza kujielezea mno ambae hakuelewi kamloge kigoma mzee nakuomba uwendelee kukaza mzee Wewe nizaidi ya chuma kunawatu kibao unaweza kuwapa ujasiri zaidi kupitia Wewe km utalipwa Mungu atakusimamia.
@mbarikiwambarikiwa3988
@mbarikiwambarikiwa3988 4 года назад
Kweli hyu Mha ni kiboko na ana akili za Waisirael kweli.
@margaretwambete1228
@margaretwambete1228 4 года назад
Kelli mwerevu kama mayahudi👍👏
@flaviankato1697
@flaviankato1697 4 года назад
Duh kwa hili naona kuna watu watapoza vibarua vyake nimependa uyu tajir kwa maelezo yake
@annkim2690
@annkim2690 4 года назад
😭😭😭mpaka dadake alikufa jamani Mungu anawaona vile mmemfanyie huyu mwanaume
@imamuhamisi4421
@imamuhamisi4421 4 месяца назад
Nayeye mwenyew leo amekufa kw kujipiga risas😢
@annkim2690
@annkim2690 4 месяца назад
@@imamuhamisi4421 waa ameruka mikojo akaangukia mavini
@ireneassey3685
@ireneassey3685 4 года назад
Kudadek wanavimba matumbo kwa pesaa zetu wajinga hawaa
@awadhally1052
@awadhally1052 4 месяца назад
Hawa ni nguruwee kabisaaa
@mtumishimathias7762
@mtumishimathias7762 4 года назад
Watu kama hawa kwenye hospital za Umma hawahitajiki kabisa, wapo wengi wanataka Kaza.
@layannalcis4789
@layannalcis4789 4 года назад
Kamabado fanya kukinukisha uende TBC
@eliaalex8118
@eliaalex8118 4 года назад
Layan Nalcis kwel
@samsonmathew7562
@samsonmathew7562 4 года назад
TBC ni kama kupeleka kesi ya nyani kwa ngedere........ Huyu anatakiwa kupata mtu kama mange kimambi ampigie kelele
@dayana5513story
@dayana5513story 4 месяца назад
Uyu jamaa kashushwa na wanabiashara wenzie,Mungu Akuna atakae ishi milele
@user-qi2bt7mw4x
@user-qi2bt7mw4x 4 месяца назад
Mama Samia,Waziri, na Makonda muangalie hawa watu wanaodhulum haki za watu na kusababisha vifo vya watu mtu anapoteza uhai kwasababu ya mali zake familia zinateseka jmn uonevu mkubwa sana tunaimani na viongozi wetu waliopo madarakani inasikitisha sana
@st99ngeni35
@st99ngeni35 4 года назад
Leo ndiyo nimeelewa ni kwanini mafisadi na watumishi wasio weredi wanataka raisi Magufuri atoke madarakani, ikiwezekana hata kumuua. kumbe sababu ndiyo kama hii...watu wamefanya madudu yao, dhuruma, ufisadi nk sasa mheshimiwa kawabana koo wanahaha watapoteza kazi au mafao yao. ukiangalia hawa TRA wanachofanya ni kila mmoja anajaribu kufunika jambo hili lipite salama bila kumuangukia ikiwezekana kwa walio karibu kustaafu liwakute wameshastaafu. Mimi naomba kwa yeyote aliye na uwezo wa kumfikishia raisi taarifa hii afanye hima. Pili, kwa TRA na polisi pokeeni onyo hili; Chondechonde msije mkathubutu kumuua huyu mzee, hiyo dhambi haitavumiliwa na wananchi, huo utakuwa ndiyo mwisho wenu.
@awadhally1052
@awadhally1052 4 месяца назад
Allah awalaan wote kama wame muuaa
@awadhally1052
@awadhally1052 4 месяца назад
Na awalipize na wao kama walivo mfanyiaa
@ndundetommasz9158
@ndundetommasz9158 4 года назад
It's so painful, I thought this nonsense only happens in Kenya, kumbe it's all in Africa
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 4 года назад
Afrika imeoza....sio kenya tu.
@ambrosiamlinga8402
@ambrosiamlinga8402 4 года назад
NDUNDE TOMMASZ Kenya is worse
@augustuss4503
@augustuss4503 4 года назад
This is exactly why I don't want to invest in Tanzania or Africa in general, so much injustice and corruption, na sisi Watanzania ambao tuko nnje tunakuombea ulipwe haki yako
@lilianmagori4189
@lilianmagori4189 4 месяца назад
Mlaaniwe sana nyie na mwenyezi mungu hamna huruma hata kidogo pesa zote haziwatoshi
@ladislausmoris9638
@ladislausmoris9638 3 месяца назад
Hii nchi inamambo kias kwamba kupitia ndugu huyu unaweza shindwa kujua maana ya maisha
@zakiamsafiri123zakiamsafir7
@zakiamsafiri123zakiamsafir7 4 года назад
Rais wa wanyonge amekusikia baba wataitapika tu pesa yako
@masheneneluhumbika8668
@masheneneluhumbika8668 4 года назад
Lakini pia mi kwaushauri wangu bwana Ramadhani yamupasa aonane na mkuu wa mkoa Mr. Paul makonda Direct ofisini kwake Ikishindikana , aonane na viongozi wachama cha ccm mfano katibu mkuu Dr.bashiru ili apate upenyo waharaka katika wakuonana na waziri mkuu ama Rais.
@stephanokanyika6321
@stephanokanyika6321 4 года назад
Kumbe kamishina mkuu mpya nae ni jipu tumbua magufuri
@karimmunis8302
@karimmunis8302 4 года назад
Huyu jamaa alisema haogopi kitu kumbe naye ni walewale
@jacklineraymond6487
@jacklineraymond6487 4 года назад
Utatumbuliwa wewe humjui magu
@reyonceramadhan9486
@reyonceramadhan9486 4 года назад
Atumbuliwe hafai
@fabianmilanga4980
@fabianmilanga4980 4 года назад
TRA wezi aisee
@sophianjiku6524
@sophianjiku6524 4 года назад
Mi naona apewe ajira serikalini maana yuko vizur maana sheria anaijua na hesabu anazijua na ni mjanja sana zaid ya sana na ni mwaminifu
@barakashilumba1103
@barakashilumba1103 4 года назад
Umewakomesha ilo nifunzo kubwa maana wamezoea kulakula vya wanyonge.dah! Pole sana pia kwakumpoteza dada ako pia mke wako mungu atamuweka sawa t
@adamdeus6015
@adamdeus6015 4 года назад
rais hakuna kuwasamehe hao waende jela ili familia zao nazo ziteseke kama ilivyopata hasara familia ya huyo ramadhani
Далее
Qizim 58-qism | Anons |Nimaga meni bolam o'ladi ?
00:47
Sababu za madini kutoroshwa hizi hapa
16:08
Просмотров 105 тыс.
ona MFANYABIASHARA HUYU Alivyomvunja JPM Mbavu
12:21
Просмотров 241 тыс.