uongozi nidhamana kubwa unahitaji.uvumilivu subira hekima na busara nje ya hayo ni mtihani.utaona unachukiwa hupendwi watu wana wivu utaona wanachiki binafsi.utayaona haya yote iwapo utakasa kua na mambo hayo hapo juu.mungu wabariki viongozi wetu wape hekima busara na uvumilivu na kauli njema na thabiti.tuwe na viongozi bora na taifa bora.yaarabi tunakuomba haki na amani idumu na nchi yetu iwe na neema na baraka.aamin aamin insha allah.
Uchumi uko vizuri: Container 40ft Dar to Arusha 1.8M lakini kusafirisha Transformer 100/33 kutoka Arusha kwenda Pwani kutoka Tanelek Arusha ni zaidi ya 1.7M…. ni Tanzania ya leo, uchumi wa Kati. Tanesco hawana Transformer…. Nunua yako… bei na transport hapo! Maskini wanaongozwa na nani? Billion Billion Billion … nk
Yani Waziri wa fedha unasema suluhisho la ajira kwa watu takribani milioni ni kusamehe Kodi wawekezaji ili waajiri watu. Hatari sana, badili mifumo ya elimu ya hovyo inayoandaa watu waajiriwe tu. Mifumo ya elimu ni ya hovyo
Ameshindwa kujibu hoja! Aliyekuwa na dhamira ya kweli kuwabeba masikini alishatangulia mbele ya haki lakin ninyi akina mwigulu ni uongo mtupu mnayasema hayo kwa faida yenu na familia zenu
Uganga unapande zote mbili uwe unataluma ya kizungu au ya kienyeji wote ni uganga Tu. Kwani paraphysicology na uchawi ninitofauti .uwanga na uganga ni vitu viwili tofauti japo kuwa wote wanataluuma zao,mnadaganya kwa wasioyajua.
Huyu Mwigulu ndiye aliwaambia watanzania wahamie Burundi,kwa ajili ya tozo,mama akasema zinajenga shule leo wanasema bajeti wametoa bilioni 160 hizi mbona ni tozo zetu?
Mnawekeza kwenye Madarasa, hayo majengo tu yanafaida gn?? Waalimu hamuwaajiri, Hao watoto wanafundishwa na kina nani? ACHANENI NA HIZO SIASA WEKEZENI KWENYE ELIMU YENYE AJIRA.
Kwa kweli Namshukuru Mheshimiwa Rais kwa kutoa Fedha na watoto wakapata mkopo. Mwanangu ni mnufaika, alikosa mkopo lakini baada ya bunge kutoa maelekezo kijana wangu naye amekua mnufaika
Hivi huyu ni waziri au ni msemaji wa bing stars. Mpina hajasema kuhusu ada na madarasa maana hilo mlishakubaliana bungeni kasema ishu ya kulipa bilioni 300 kampuni ya simbioni hicho ndicho mmbunge alihoji, mwenyekiti unamlinda waziri wape wabunge nafasi ya kutoa taarifa wenye akili tunajua huyu anafanya ngojera, ndio maana alisema twende Burundi maana wanajua watakachokifanya ni kuwatesa watanzania.
Jamani eee, si tuliambiwa fedha za madarasa ni kutokana na fedha za Covid? World bank na IMF? sasa kuchota za ndani tena imetokea wapi hii? Halafu mahitaji yote hayo kwa nn yawe ya dharura wakati takwimu zipo wazi kabisa...kwamba wangapi watamaliza shule kila mwaka na kuhitaji mikopo? Hapa kuna kilichokorogwa korogwa tuuuu
Sisi hatutaki kuajilowa na wawekezaji tupeni ardhi yetu tukalime na kujiajili wenyewe sisi Huku kigoma mahindi yamefyekwa na kuuliwa mifugo yetu tuna miaka 40 tutajiliwa na Nani au nikututesa kweli Tanzania Haina haki kwa wasio wabunge na wafanyakazi tu.chemba kwa hayo uliyosema pumbafu mjinga were.