MSUKUMA UMEONGEA VIZURI 🙌🙌 ILA SIJAPENDA ULIVYO KUBALI KUBADILI KAULI ULIYO IONGEA YA WANAWAKE KAMA WANAUME. TULIA ANAJUA MWANAUME ATABAKI KUWA JUU YA MWANAMKE MPAKA DUNIA ITAKAPO ISHA KABISA
Msukuma siku zote huwa unaongea point sana ingawa hukupata elimu rasmi,ila wewe umebarikiwa na akili mingi sn,..ila kwenye bandari uliharibu najua unajua....kip it up....kutusemea sisi wananchi wa chini.
Tangu bunge hili lipitishe uuzwaji wa bandari za Tanganyika ninachokijua kwa sasa hatuna bunge hapo mnashabikia msamaha wa hao 15 tu lakini sioni mnaizungumzia gharama ya hiyo bima na hiyo takwimu ya watu masikini siyo asilimia 26 watanzania ni masikini wengi sana zaidi ya hiyo 26%
Propaganda za ccm ni zilezile! uchaguzi unakaribia kura zitatafutwa kwa mbinu zote! Hawahawa ndiyo wameuza bandari! hakuna jipya kwenye bunge hilihili la ndiyooooo! Kwa kila kitu!
Mungu akubark msukuma ukweri ungonjwa huu watuu niwengi ila garama ndio chazo Cha vifo vingi Mimi pia ninaumwa Figo ninamwaka Sasa garama ni zaidi ya hiyo uliotaja Ninazo garama za kila siku ni 240000, mpak 300000
Msukuma hakusema kuwa wanawake hawawezo, ila alizungumza neno mwanaume kwa kumaanisha "imara".Ndg spika ungemwacha amplifier hakuwa na nia ya kubagua wanawake
Muhimu siyo watu kuwa na bima ya afya. Muhimu ni kumwezesha mwananchi kujikinga na maradhi na hasa yale yasiyoambukiza.Tuimarisbe elimu ya afya ambayo it's aidha kujikinga na maradhi. Lakini serikali iwe na mikakati ya kuboresha vipato vya wananchi kwa kuweka mipango endelevu ya kuwawezesh kuwa na vipato vya kujikimu na maisha yao.
Mbunge Musukuma kusema wabunge ndo wasemaji WA serikali Hiyo kauli is nonsensical Bunge linatakiwa kuisimamia serikali na siyo kuwa msemaji wa serikali
Ushauri wa bure. TBS wafanye kazi yao kuhakiki ubora wa bidhaa tunazotumia hasa vinywaji na vyakula. Tunaweza weka nguvu nyingi kwenye matibabu lakini chanzo tumekiacha na tukaendelea kupata wagonjwa zaidi.
Sasa muheshimiwa Tulia atakuja kukubaliana na wazungu, maana wazungu walianza hivi hivi, mpaka sasa wanawake kwa wenzetu nao wanajiita wanaume na wanaume wanajiita wanawake, Mwanaume atabakia kuwa Mwanaume.
Ninkwelu kabisa na hilo swala unalipa leo baada ya miezi 3 ndio inaabza kufanya kazi kwa kweli huu ni upigaji sii halali ni dhulma pesa yeyu mnakuwa mnaizungusha mnatia faida kisha badae ndio inaanza kazi inaumiza hii