Тёмный

MBUNGE MUSUKUMA AWAVURUGA TENA“TUNAKULA HOVYO FEDHA ZIMEPIGWA KWENYE PRIVATE” SPIKA AINGILIA KATI 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 63 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

20 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 60   
@solomondanny-1507
@solomondanny-1507 11 месяцев назад
Your excellent Dr Musukuna! Uko vizuri sana dogo. God bless you.
@josephvenus3259
@josephvenus3259 11 месяцев назад
MSUKUMA UMEONGEA VIZURI 🙌🙌 ILA SIJAPENDA ULIVYO KUBALI KUBADILI KAULI ULIYO IONGEA YA WANAWAKE KAMA WANAUME. TULIA ANAJUA MWANAUME ATABAKI KUWA JUU YA MWANAMKE MPAKA DUNIA ITAKAPO ISHA KABISA
@hanspop6961
@hanspop6961 11 месяцев назад
Mh. Msukuma huwa nakuelewaga sana Hongera sana 👏🏾👏🏾
@maulidkamundi6095
@maulidkamundi6095 11 месяцев назад
Msukama, Uko vizuri, bongo inachemka, wewe ni zaidi ya doctor
@athumanimanzabay1894
@athumanimanzabay1894 11 месяцев назад
Mheshimiwa msukuma umeongea points sana kuhusu bima 👏
@emmanuelakutulaga9756
@emmanuelakutulaga9756 11 месяцев назад
Msukuma siku zote huwa unaongea point sana ingawa hukupata elimu rasmi,ila wewe umebarikiwa na akili mingi sn,..ila kwenye bandari uliharibu najua unajua....kip it up....kutusemea sisi wananchi wa chini.
@ezehabari947
@ezehabari947 11 месяцев назад
Msukuma nampenda sana Uwa anachangia Uhalisia kabisa
@kenjoseph3337
@kenjoseph3337 11 месяцев назад
Pure intelligence❤
@officialjeazy1458
@officialjeazy1458 11 месяцев назад
He the one of the greatest congressman hakuna kama yeye hao wengine wote wapigaji kelele za shangwe
@cloudmchopa5665
@cloudmchopa5665 11 месяцев назад
hongera saana msukuma huyo mama amesha kuwa kitabu Chaa hospital 🏥 ya taifa
@kenjoseph3337
@kenjoseph3337 11 месяцев назад
Huwa nakuelewa sana mbunge wngu
@George-jz3jg
@George-jz3jg 11 месяцев назад
Tangu bunge hili lipitishe uuzwaji wa bandari za Tanganyika ninachokijua kwa sasa hatuna bunge hapo mnashabikia msamaha wa hao 15 tu lakini sioni mnaizungumzia gharama ya hiyo bima na hiyo takwimu ya watu masikini siyo asilimia 26 watanzania ni masikini wengi sana zaidi ya hiyo 26%
@amosiabdulallh7965
@amosiabdulallh7965 11 месяцев назад
Bandar nisemu yakazi ukitaka kujenga kanisa tafuta hapo ulipo mjomba siasa pereka mbeya
@usembiphonedar5632
@usembiphonedar5632 11 месяцев назад
Propaganda za ccm ni zilezile! uchaguzi unakaribia kura zitatafutwa kwa mbinu zote! Hawahawa ndiyo wameuza bandari! hakuna jipya kwenye bunge hilihili la ndiyooooo! Kwa kila kitu!
@majaliwaadammnaga3223
@majaliwaadammnaga3223 11 месяцев назад
Kama nhif inakosa dawa hospital hiyo ya wote mtanambia ukienda hospital majengo mazur lkn dawa hakuna
@RahmaSenga
@RahmaSenga 11 месяцев назад
Masha Allah shakurni sana
@AmosKayega
@AmosKayega 11 месяцев назад
Lasaba tupo nyuma Yako na tuko wengi lasaba oyeeee
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 11 месяцев назад
Msukuma uatuwakilisha wananchi kweli kweli unachangia katika kiwango ambacho hata mtu wa hali ya chini anakuelewa
@mwana4599
@mwana4599 11 месяцев назад
Musukuma ana akili sana.
@emanuelleopod3949
@emanuelleopod3949 11 месяцев назад
Msukuma, Jumanne Kishimba Luhaga Mpina na kuna mwamba mwingine iv jina limenitoka ni watu kweli kweli huwaga nawaelewa sana
@leonardmdegela9999
@leonardmdegela9999 11 месяцев назад
Mungu akubark msukuma ukweri ungonjwa huu watuu niwengi ila garama ndio chazo Cha vifo vingi Mimi pia ninaumwa Figo ninamwaka Sasa garama ni zaidi ya hiyo uliotaja Ninazo garama za kila siku ni 240000, mpak 300000
@WilbertChambilo-yl1kc
@WilbertChambilo-yl1kc 11 месяцев назад
Hiki kichwa Sana aise.ngosha kweli kweli.
@WilbertChambilo-yl1kc
@WilbertChambilo-yl1kc 11 месяцев назад
Hii imeenda!!!
@richardkaguo5717
@richardkaguo5717 11 месяцев назад
Hapana private sector inatoa huduma bora serikalini hakuna uamifu
@TitusJeremia
@TitusJeremia 11 месяцев назад
Mh. Msukuma😂😂😂 ww ni mwanasiasa kwel, na unajua kuitumia ,piga hela tu ... Mpaka ukistaafu ubunge utakuwa boss😂😂😂😂😂piga
@Worldunite
@Worldunite 11 месяцев назад
Msukuma hakusema kuwa wanawake hawawezo, ila alizungumza neno mwanaume kwa kumaanisha "imara".Ndg spika ungemwacha amplifier hakuwa na nia ya kubagua wanawake
@maase2023
@maase2023 11 месяцев назад
Huyu msukuma akila yy pesa atasema kweli? Mmmhhh kakosa mgao tu huyu
@georgerimoy4744
@georgerimoy4744 11 месяцев назад
Muhimu siyo watu kuwa na bima ya afya. Muhimu ni kumwezesha mwananchi kujikinga na maradhi na hasa yale yasiyoambukiza.Tuimarisbe elimu ya afya ambayo it's aidha kujikinga na maradhi. Lakini serikali iwe na mikakati ya kuboresha vipato vya wananchi kwa kuweka mipango endelevu ya kuwawezesh kuwa na vipato vya kujikimu na maisha yao.
@dassustephen731
@dassustephen731 11 месяцев назад
Mbunge Musukuma kusema wabunge ndo wasemaji WA serikali Hiyo kauli is nonsensical Bunge linatakiwa kuisimamia serikali na siyo kuwa msemaji wa serikali
@ChristerShao
@ChristerShao 11 месяцев назад
Ndo maana nakupendaga Msukuma kuwatetea watanzania bila kujali jimbo lako
@lingwamalagila3003
@lingwamalagila3003 11 месяцев назад
Shida huko serikalini tutatibiwa kwa wakati usituletee shida serikali idhibiti tuwe huru kutibiwa popote
@emanuelleopod3949
@emanuelleopod3949 11 месяцев назад
Ummy Mwalimu ni zaidi ya mchapa kazi ni mtu haswaaaa Mwanamke wa Shoka haswa huwaga namuelewa sana huyo bi mkubwa
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si 11 месяцев назад
Tuongezeeni madaktari sasa kwa kuwa wataongezeka wakutibiwa wengi walikuwa wanakwepa gharama
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 11 месяцев назад
Mhuuuu makubwa haya
@desmond-87
@desmond-87 11 месяцев назад
Ushauri wa bure. TBS wafanye kazi yao kuhakiki ubora wa bidhaa tunazotumia hasa vinywaji na vyakula. Tunaweza weka nguvu nyingi kwenye matibabu lakini chanzo tumekiacha na tukaendelea kupata wagonjwa zaidi.
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi 11 месяцев назад
Kwamba wabunge ndo wasemaji wa serikalli?😂😂😂😂
@thedriver.michael.3975
@thedriver.michael.3975 11 месяцев назад
Mwnamke si mwanaume asiende mwezini. Tulia uchomwe sindano mwana wa mwenzio si ako cccm si chaddemaa bisha na iyo.
@barakanatus5676
@barakanatus5676 11 месяцев назад
Tupo busy na Makonda.
@jafarijuma
@jafarijuma 11 месяцев назад
Hapana hapo umekosea hospitali zenu sio nzur
@salcle9702
@salcle9702 11 месяцев назад
Mnazo story nyingi huko ndani wote ni giza tu
@mikemutabuzi3665
@mikemutabuzi3665 11 месяцев назад
Sasa muheshimiwa Tulia atakuja kukubaliana na wazungu, maana wazungu walianza hivi hivi, mpaka sasa wanawake kwa wenzetu nao wanajiita wanaume na wanaume wanajiita wanawake, Mwanaume atabakia kuwa Mwanaume.
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 11 месяцев назад
Anahuruma gani shetani Samia huyo
@meshackmwalongo9798
@meshackmwalongo9798 11 месяцев назад
Kupitisha siyokitekeleza namsije mkajidanganya mkajua hiyo itawasaidia kipindi chakampeni.
@sailasmdollo9003
@sailasmdollo9003 11 месяцев назад
Musukuma huboi
@stevenmrama3123
@stevenmrama3123 11 месяцев назад
Una akili nyingi sana.ongera kwa kusema ukweli.
@rashadu874
@rashadu874 11 месяцев назад
Mwanamke akojoe motoni kama mwanaume
@bongo39
@bongo39 11 месяцев назад
Ninkwelu kabisa na hilo swala unalipa leo baada ya miezi 3 ndio inaabza kufanya kazi kwa kweli huu ni upigaji sii halali ni dhulma pesa yeyu mnakuwa mnaizungusha mnatia faida kisha badae ndio inaanza kazi inaumiza hii
@laurnyandwi-sb1gu
@laurnyandwi-sb1gu 11 месяцев назад
Msukuma tunaomba mwaka 2025 uchukuwe fomu ya urais🙏
@chikusangalala7759
@chikusangalala7759 11 месяцев назад
Kweli muache kwanza alitikise bunge 😂😂
@TitusJeremia
@TitusJeremia 11 месяцев назад
Bunge la wajanja😂😂😂
@bensonlameck6348
@bensonlameck6348 11 месяцев назад
Pentium miaka hii 2023😁😁😁
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 11 месяцев назад
Msukuma huaminiki unatetea wazanzibari watuuze bandari zetu ZOOTE wameuza unashangilia tuu huna msaada wowote fala wewe
@Worldunite
@Worldunite 11 месяцев назад
Beijing 😂
@daimonmalekano6086
@daimonmalekano6086 11 месяцев назад
Brabrabra daily
@georgeoballah1764
@georgeoballah1764 11 месяцев назад
Una akili nyingi sana!
@MalaikaFurniture-qh9vd
@MalaikaFurniture-qh9vd 11 месяцев назад
Tuko bize Na makonda
Далее
KUTANA NA KIJANA WA DARASA LA SABA ALIYEUNDA HELIKOPTA
8:38