Тёмный
No video :(

WAZIRI SILAA AKUTANA NA MAAJABU KOROGWE |TUTAMPIGA HUYU DIWANI ANATUTUKANA |MAKONDA ATAJWA HADHARANI 

RAI TV
Подписаться 89 тыс.
Просмотров 37 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 апр 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 121   
@chrispinrafael3831
@chrispinrafael3831 3 месяца назад
Tunakupenda wewe na makonda mpa vizuri
@hadijauledi6995
@hadijauledi6995 3 месяца назад
Kweli kabisa ❤❤❤❤❤❤❤❤tunawapenda sana sana mwenyezi mungu awape afya njema ila muheshimiwa wazir silah mbunge wetu barabara yetu ya kitunda haifaii tusaidie muheshimiwa❤❤🙏
@yohanajelemia7116
@yohanajelemia7116 3 месяца назад
😢​@@hadijauledi6995😢😢😢😢safi
@user-uo5em7im6b
@user-uo5em7im6b 3 месяца назад
Afisa wa ardhi korogwe chanzo Cha migogoro korogwe
@aminaomary5567
@aminaomary5567 3 месяца назад
❤❤Yaan Majembe ya Samia wangu ni Kassim Majaliwa Waziri Mkuu'Makonda' Silaa waziri wa Aridhi'Ali Hapi'Chalamila'.Yaan watu hawa wanatisha wazuri wazuri tena.Chukuen Maua yenu.Hawagopi jambo lolote.❤❤❤❤
@abdallahibrahim280
@abdallahibrahim280 3 месяца назад
Yaani umewaona km mimi haswaaa ❤❤
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 3 месяца назад
Mzee wa kwamsisi hao ..wanatembeaga na majini hao...mungu akulinde tu mweshimiwa
@SwaumuHassan-k9s
@SwaumuHassan-k9s Месяц назад
Mungu.awasaidie
@MohamedMkota
@MohamedMkota 3 месяца назад
duh hawa 😂😂 utafikiri watoto wachekechea😂😂
@reaganevral5258
@reaganevral5258 2 месяца назад
Uyu ajuwiii kitu makonda njo ana anajuwa saaana…awezi shika wamwiziiii
@user-mz4gx2ek9y
@user-mz4gx2ek9y 3 месяца назад
We mzee hujui kujieleza b
@IbrahimMadulo
@IbrahimMadulo 3 месяца назад
Ukoo huo ukioa una kazi 😂😂😂
@deniskaguo4698
@deniskaguo4698 3 месяца назад
Hii familya balaaa
@raphaelkessy7360
@raphaelkessy7360 3 месяца назад
Mwenye kiti wa zamani aende kwa waziri wa zamani nime ipenda sana hiyo Mweshimiwa Jerry Wazigua ni Kichefu chefu hao😂😂😂
@RoseMziray
@RoseMziray 28 дней назад
Kazi ngumu hii
@allyabdallah4357
@allyabdallah4357 2 месяца назад
Waziri mungu akupe moyo wa busara sana kwani watu wanaumia sana
@abdallahibrahim280
@abdallahibrahim280 3 месяца назад
Daaah wazigua ni kuupanda mchongoma kuumbe kushuka ni ngoma😂😂
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 3 месяца назад
Kosa kubwa ni la Serikali mnamwacha mtu anatumia ardhi ambayo Serikali imeishapanga matumizi lakini wananchi hawaeleweshwi. Hilo ni tatizo kubwa. Waziri nenda kwenye msingi wa tatizo. Wasaidie wananchi kutokana na msingi wa tatizo.
@yussufhashim4472
@yussufhashim4472 3 месяца назад
I love Tanzania
@user-ml5tq8hj2x
@user-ml5tq8hj2x 3 месяца назад
Makonda na slaa juu juu zaidi tunawakubali majembe ya kazi hayapepesi macho arusha wakuu wa vitengo matumbo joto😂😂😂😂😂
@user-ur7pw9ek6s
@user-ur7pw9ek6s 3 месяца назад
😂😂😂
@SalimKombo-xo4pq
@SalimKombo-xo4pq Месяц назад
Waziri salaa mbona hii kwesi inaelekea ni gumu. Mbona umeshidwa kutoa uwamuzi Mzuri. Napenda utoe haki
@user-ex9sd8wm4l
@user-ex9sd8wm4l 3 месяца назад
Silaa endelea kusimamiya sheria mungu yupamoja nawe
@HappyEmanuel-u1i
@HappyEmanuel-u1i 28 дней назад
Dada mwenye kitambaa cheusi ni suzy bale mtupu
@msatibongonyuzi14
@msatibongonyuzi14 3 месяца назад
Hapo waziri umechemka wananchi wanaonekana wanaonewa😢😢
@dalalihakweahakweya6662
@dalalihakweahakweya6662 3 месяца назад
DAAAAAH KIONGOZI WANGU POLE SANA MAANA HAO WAZEWANGU WATANGA NYUMBANI KWANGU KOLOGWE MMENIANGUSHA SANA HAMJA JIPANGA KABISA WABISHI SANA KUELEWEKA NIKAZI SANA HAPO WAZIRI KAPATA TABU SANA KUTATUA
@josephminja7953
@josephminja7953 2 месяца назад
😂 serikal ninan🤣
@yussufhashim4472
@yussufhashim4472 3 месяца назад
Wewe mzee nakupenda bure mpaka waziri amesalenda
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper 3 месяца назад
Mzee nimempenda buree
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 3 месяца назад
Wazee wamsisi hao mmmh wanamajini hao
@evelynmwaimu-vd9jo
@evelynmwaimu-vd9jo 3 месяца назад
Ccm hoyeee!!!
@valenakomba7686
@valenakomba7686 3 месяца назад
TATIZO SERIKALI NI YA CHAMA KIMOJA. KAMA SERIKALI INGEKUWA NI MSETO BASI HAO VIONGOZI WADOGOWADOGO WA VIJIJINI WANGEKUWA NA ADABU.
@MnubiMm
@MnubiMm 3 месяца назад
Usifanye Mseto ndio utatizi wa Matatizo watendaji ndio haohao Sio Kila unachowaza sahihi huo ni mtazamo wako chama hichohicho ndio katoka huyo
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 3 месяца назад
Tatizo si chama kimoja, tatizo ni sisi wenyewe tunapenda dhuluma. Msonge wa dhuluma ni rushwa wakati wa kuchaguana. bila kujali chama gani! Adhabu zingine hazisubili Ziko ndani kitendo chenyewe unacho kitenda. Mwl Nyerere
@user-bp2cc9eo6g
@user-bp2cc9eo6g 3 месяца назад
Dhuruma haina chama,ni suala la mtu mmoja mmoja,huyu waziri anae washughurikia Manyangumi ya dhuruma ni CCM sio chadema wala ACT
@audifacejosephat7071
@audifacejosephat7071 3 месяца назад
Duh huyu mzee mzigua ni shida mbishi kinyama
@lawrencegwerino1656
@lawrencegwerino1656 3 месяца назад
Ukioa kwenye hiyo familia shuhuri 😅
@salimumohammedsalimu1720
@salimumohammedsalimu1720 3 месяца назад
masikini hana rafiki
@richardnganya2311
@richardnganya2311 3 месяца назад
Tuijue ratiba ya mkoa wa Singida tujiandae
@aminaomary5567
@aminaomary5567 3 месяца назад
Watendaji wazuri mwingine nilisahau Rc wa Manyara Bi Sendega ni hatari sana huyu mama❤❤❤
@user-vv9kk3gz5f
@user-vv9kk3gz5f 3 месяца назад
Masikini tunaonewa silaha hujatendahaki kwenye shamba labwembwera tulisha pewa wajanja wana tuzulum mungu anaona
@moyolameck555
@moyolameck555 3 месяца назад
Jaman wazee wa KWA MSISI HAO. OOOHHH MSICHEZE NAO SHAURI YENU
@SalimKombo-xo4pq
@SalimKombo-xo4pq Месяц назад
Hawa wazee wa mezulumiwa haki zao.
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 3 месяца назад
Mkuu tunakusubiri kigamboni bado atupo sawa
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh 3 месяца назад
Rai TV jirekebishe saiti habar zako nyingi zinasumbua sauti
@Rai_online_tv
@Rai_online_tv 3 месяца назад
Asant kwa Ushauri tunaufanyia kazi kaka Abdul
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper 3 месяца назад
Hii familia imeshindwa kijipanga ktk maelezo..wana hasira sana na wanaongea kupitiliza.. ila wasiingize itikadi
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 3 месяца назад
Waziri una kazi
@aslaykweka7408
@aslaykweka7408 3 месяца назад
Silaa utapata sukar wala pressure
@DanyEnto
@DanyEnto 3 месяца назад
Kumi tena kwa mheshimiwa🙌🙌🙌🙌🙌
@MuhammadHassan-xp6dc
@MuhammadHassan-xp6dc 3 месяца назад
huyu mzee mwenye kofia kanifanya nicheke sana kila akiambiwa anyamaze hakubali
@Rai_online_tv
@Rai_online_tv 3 месяца назад
Ha ha Uongozi sio mchezo Mh silaa apewe heko kwa kweli wengine hatuwezi hivi hapa Nishampiga mtu kichwa cha Mdomo
@senseiamani4684
@senseiamani4684 3 месяца назад
Haaaaaahaaaa
@asifiwematimbwi8600
@asifiwematimbwi8600 3 месяца назад
Nimecheka sanaaa😅😅😅
@MedrinaUtonga-dg5lg
@MedrinaUtonga-dg5lg 3 месяца назад
Mh unakutana na vingi
@MubinaRoshan
@MubinaRoshan 3 месяца назад
Walikuwa wanalala kwa sababu ya watoto wao walikuwa hawez kwenda barabara zilifungwa
@FredMwamgogwa-td6ni
@FredMwamgogwa-td6ni 3 месяца назад
Uwo ukoo usiombe umpe mimba mtoto wao 😂😂😂😂
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh 3 месяца назад
Mbona hapa Dr slaa kama ameelemea sana upande wa serekali hawa raia mbona wanaonekana wanahaki
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 3 месяца назад
Serikali pia ina haki
@jamesmailo8780
@jamesmailo8780 3 месяца назад
Wakolofi sana ningumu kupata haki hawajui kujieleza
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 3 месяца назад
Usije dhan serikali haina haki
@user-mp4yt7ps5q
@user-mp4yt7ps5q 3 месяца назад
Hapo panashida eti tutampiga🤣🤣🤣🤣 kkkk
@Rai_online_tv
@Rai_online_tv 3 месяца назад
Ha ha ha akileta za kuleta wata Mtwanga
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g 3 месяца назад
Sauti hamna
@hamidabarraball3162
@hamidabarraball3162 3 месяца назад
Msimamizi wa mirasi hajui kiongea
@allyabdallah4357
@allyabdallah4357 2 месяца назад
Waziri oparesheni vijiji tulipewa maeneo ya kujenga makazi mashamba tukawa tunalima kulekule kwenye mashamba yetu yale yale mkuu
@abdallahibrahim280
@abdallahibrahim280 3 месяца назад
Ila unayechukua videos tafadhali sauti ipo Chini
@eppiemodest
@eppiemodest 3 месяца назад
Mh. Slaa. Huku barabara mbovu ukianzia Mwanagati hafi kitunda na Banana uje uangalie. Ukienda benki kutuma school fees ya mwanafunzi unatozwa pesa pembeni eti diwani wenu haturekebishii barabara tumemchagua bure wanasema. Benki zote hawafanyi hivyo ila ni benki ya Mwanagati mdomo wa simba. Imefunguliwa juzijuzi tu. Siyo ile benki ya mama Mary Nchimbi.
@alfinmbilinyi5985
@alfinmbilinyi5985 3 месяца назад
Hiyo kesi ni rahisi sana waziri kutoa maamuzi,kama historia inaonyesha ni lao serikali wapeni hilo eneo mkitaka kutumia kwa serikali wapeni pesa za fidia kwisha.wakipata mamilioni ni raia watanzania hao wapeni tz ina ardhi malumbano ya nini?Mtaanza kuuana kisa ardhi.Hapo kuna tatizo kubwa sana.
@user-vv9kk3gz5f
@user-vv9kk3gz5f 3 месяца назад
Silaha unapo twambia sisi ni wavamizi alafu wanachukua matajiri sisi masikini tukale wapi
@zaharamlau8817
@zaharamlau8817 3 месяца назад
Hiyo familia ni konyoo asee😂😂😂😂😂
@HashimYahya-ic2wn
@HashimYahya-ic2wn 3 месяца назад
Waze wamajini hao
@kashindesalha8107
@kashindesalha8107 3 месяца назад
Mweshimiwa nakuaminia Leo pangumu hapo
@geraldlyimo2859
@geraldlyimo2859 3 месяца назад
Kumbe hapo pana uongozi wa chadeee na usisi m hapo hawapati kituuu
@kwilasacharles1747
@kwilasacharles1747 3 месяца назад
Masikini hawezi kuwa na haki hata siku moja
@nanguniMtaita-hz4zt
@nanguniMtaita-hz4zt 3 месяца назад
Waziri shauri hili nKuona leo limekuzidi kimo. Mbona umeshindwa kulitatua?
@susananyasani6526
@susananyasani6526 3 месяца назад
Watendaji wa Serikali wengi hawafuati Sheria kwa haki wanachukuwa Rushwa kutoka kwa Wananchi wanyonge
@AminaLibisa
@AminaLibisa 3 месяца назад
Mzee ana mawenge😂😂
@HashimYahya-ic2wn
@HashimYahya-ic2wn 3 месяца назад
Nani nani ndo nini
@user-mp4yt7ps5q
@user-mp4yt7ps5q 3 месяца назад
Hapo Kunamambo ya siasa majilani zao waliuza je kwanini wengine wazuiwe
@godfreylutengano9367
@godfreylutengano9367 3 месяца назад
Ila ukweli hiyo familia ni mbovu
@libeberu
@libeberu 3 месяца назад
Huku ndo Tanga sasa, ukitaka kwenda kujifunza sheria nenda mahakama za huku
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 3 месяца назад
Huyo diwani kama Anatukana viongozi wa serekali simu za mikononi mnazo mlicodini muwe na Ushaidi wa kumpeleka jela mshenzi kwanini Atukane viongozi huyu mzee Anategemia majini yake ndio Mdomo mlefu
@frankyjohn9629
@frankyjohn9629 3 месяца назад
Wazirhapo hakuna no Bora makonda
@rashidabdallah5825
@rashidabdallah5825 3 месяца назад
Diwan anataka kujifanya eneo la serikali ili alifanyie mchakato
@lightnessmarwa1755
@lightnessmarwa1755 3 месяца назад
Ukiooa kwa huyo mama mwenye kilemba chekundu umeenda na maji😂😂😂
@jasonwatz7457
@jasonwatz7457 3 месяца назад
😂😂😂 imeaisha hiyo
@mudhihirIbrahim-hb7ry
@mudhihirIbrahim-hb7ry 3 месяца назад
Raia wamedata hao
@IssaIddi-vb9yi
@IssaIddi-vb9yi 3 месяца назад
Apo mueshimiwa kazi unayo
@user-mz4gx2ek9y
@user-mz4gx2ek9y 3 месяца назад
Shida hamjui kujieleza
@lawrencegwerino1656
@lawrencegwerino1656 3 месяца назад
Haha wasambaa shuhuri
@user-kh1tn6yr8b
@user-kh1tn6yr8b 3 месяца назад
Nirichoona apo diwani hana history ya kijiji awo wazee wahaki
@giftmusa6543
@giftmusa6543 3 месяца назад
Waziri katupiwa kitu
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 3 месяца назад
Kwani ndg waziri mahame ni sawa na kuipoteza haki? mbona watu wengi tulihamishwa na bado tunamiliki maeneo yetu? Ina maana tumevamia?
@jackmabirangacharles9398
@jackmabirangacharles9398 3 месяца назад
Hao ndio Waziguwa 😂
@lawrencegwerino1656
@lawrencegwerino1656 3 месяца назад
Sıkılızeni nyie uongozi hauna umri ..
@anastaziashihumbi
@anastaziashihumbi 3 месяца назад
Slaa hamna kitu...ukonga barabara ni shida kuanzia mombasa hadi bombambili shida lakini hata kuonekana kwa watu wake haonekani....25 hayupo bungeni
@rehemakilapilo3507
@rehemakilapilo3507 3 месяца назад
Barabarabza mitaa zipo chini ya Tarura ndio wahusika wa kukarabati na kujenga
@anastaziashihumbi
@anastaziashihumbi 3 месяца назад
@@rehemakilapilo3507 acha kumtetea ww...ukonga imemshinda na hatakiwi kabisa...mbona mbunge gwajima anafuatilia barabara zote kwenye jimbo lake yy yupo tu ...hata kama ni zarura yy ni msimazi mkuu wa jimbo la ukonga ameferi sana
@JosephuSwai
@JosephuSwai 3 месяца назад
Barabara ni changamoto ya kawaida kaka ata ulaya mpaka Leo wanatengeneza
@CharlesNkanda
@CharlesNkanda 3 месяца назад
25 slaa yupo bungeni upende usipende yupo kwa nguvu ya watanzania wote tena atabaki kuwa waziri
@shafiijuma3282
@shafiijuma3282 3 месяца назад
piga kazi
@Esterkomba-ef7eb
@Esterkomba-ef7eb 3 месяца назад
Hawa nikiboko
@othumanomari1589
@othumanomari1589 3 месяца назад
Mrango8
@waluohopaulo2116
@waluohopaulo2116 3 месяца назад
Huyu diwani achunguzwe
@damianikimario5695
@damianikimario5695 3 месяца назад
Waziri uko vizuri wakati mwgine inaleta hasira kuwasikliza nikipaji tosha ongera saanaa..piga kazi kaka sllaa mwenyezi mungu akusimamie unabusara sana na hekma.
@HashimYahya-ic2wn
@HashimYahya-ic2wn 3 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉
@AminaLibisa
@AminaLibisa 3 месяца назад
😂😂😂kivumbi na jasho
@yussufhashim4472
@yussufhashim4472 3 месяца назад
Huyu waziri ni chalii anacheka tu
@frankgichuhi8993
@frankgichuhi8993 3 месяца назад
The guy next tu waziri always rude..and corupt
@jtheophil5499
@jtheophil5499 3 месяца назад
Bongooo😂😂😂😂
@humphreyjosephat5002
@humphreyjosephat5002 3 месяца назад
Hii familia sio yakuoa kabisa
@user-ur7pw9ek6s
@user-ur7pw9ek6s 3 месяца назад
Cha moto utakiona utakua jahanam ya duniani😂😂😂.
@Commentsplus
@Commentsplus 3 месяца назад
Hahahahahahahahaha
@jescasanga2005
@jescasanga2005 3 месяца назад
😂😂
@khalsasalim7930
@khalsasalim7930 3 месяца назад
Hii familia kiboko 😂
@bilid4128
@bilid4128 3 месяца назад
Wazigua ni wajinga sanaa😊
@zainabumohamed600
@zainabumohamed600 3 месяца назад
acha dharau
@emmanueltuppa5459
@emmanueltuppa5459 3 месяца назад
Hiyo kauli sio njema kama ulivyo itamka kwa mjumuisho,bilashaka unatatizo la (kutofikiri jambo kabla ya maamuzi) hii inatafsiri maisha yako halisi,pole sana, bora ya huyo mjinga kuliko hilo kabila lako kama ndio hivyo watu wa sampuli hii ya mjumuisho hawawezagi hata kujisimamia binafsi ktk familia,wanataka mjumuisho kila jambo wakifikiri watu wote ni sawa na wanakua watu wa lawama siku zote kwenye familia hilo ni tatizo
@SwaumuHassan-k9s
@SwaumuHassan-k9s Месяц назад
Mungu.awasaidie
@msatibongonyuzi14
@msatibongonyuzi14 3 месяца назад
Waziri umeshindwa kuwasaidia wananchi😢😢
Далее
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Просмотров 836 тыс.
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Просмотров 836 тыс.