Тёмный

"Wee Ni MCHUNGAJI FEKI" MWAMBIGIJA AMWAGA MAOVU YA MCHUNGAJI MSIGWA CHADEMA // CCM WAMEKUPA HELA 

Baharia TV
Подписаться 72 тыс.
Просмотров 10 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

4 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 29   
@rucaserasto8154
@rucaserasto8154 15 дней назад
we ni mtu wa mana sana hongela baba
@davidchiduo219
@davidchiduo219 16 дней назад
Safi Mungu Ni Mwema Wakati Wote
@nuhumwaisanila2217
@nuhumwaisanila2217 2 дня назад
Namkubali mwambigija
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 15 дней назад
Fisiyemu mnanunua watu wa chadema hamtaweza chadema ni baba lao
@ELIASMWAKIBETE
@ELIASMWAKIBETE 11 дней назад
Joni nakuelewaga sana kamanda
@usembiphonedar5632
@usembiphonedar5632 15 дней назад
Asante mzee wa Upako Mwambigija kwa maelezo yako mazuri kuhusu huyo mchungaji Feki aliyeolewa huko ccm! Kwa vile mnajua mbinu kubwa ya ccm kwa sasa kuharibu na kuungua nguvu ya upinzani ni kuwanunua viongozi wa chadema! Msikubali kununuliwa na ccm! Hata wewe mzee wetu tunaekuamini sana usije kukengeuka kufanya usaliti kama hao wengine wnao olewa kwenda ccm! Asante tuendelee kusonga mbele na harakati za kuikomboa Nchi yetu Tanganyika kutoka mikono ya hawa manyang'au mafisadi ya ccm! Uchaguzi huu2024/2025 tuikatae ccm kuanzia wenyeviti wa mitaa, vitongoji, vijiji, madiwani, wabunge na Rais msiwachague hao mafisadi.
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu 10 дней назад
Weee ni Mwamba mi nakukubali Acha kabisa
@isayamwashibanda5819
@isayamwashibanda5819 14 дней назад
😂😂😂😂 kweli mchungaji mpigadili
@emmanuelymganga5737
@emmanuelymganga5737 14 дней назад
😂😂😂😂 bigger up CHADEMA big brain
@EmmanuelKuzenza
@EmmanuelKuzenza 14 дней назад
Tundulissu aliona atoboe siri kabla maasi hayajatokea.
@nakalikyumile3234
@nakalikyumile3234 14 дней назад
Atazunguka nchi nzima ipi?aje mbeya aone
@desiderihugo5704
@desiderihugo5704 15 дней назад
Huyo afike salama huko alikokwenda . Msaliti mkubwa. Azunguke dunia nzima.
@Eliaskasanya-hm5yk
@Eliaskasanya-hm5yk 15 дней назад
Mbona wana CCM wakihamia kwenu hakuna anayelalamika? Ktk siasa hakuna uadui wa kudumu wala urafiki wa kudumu
@emmanuelymganga5737
@emmanuelymganga5737 14 дней назад
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@YassinAbdiMassawe
@YassinAbdiMassawe 14 дней назад
Tafuta kauli Ile yamsukuma. Mwaka mmoja uliopita. Anajuwa kilichokuwa kinaendelea
@EzekielChalomhola
@EzekielChalomhola 15 дней назад
Mwambigija umenifurahisha sana
@GeraldNyasembe-q2d
@GeraldNyasembe-q2d 14 дней назад
Kwa maelezo ya mpuuuumbavuuuu msgwa hana hoja hata maneno yake ni yakuunga unga2 Yani AYANA njia makamanda tukaze safari bado ni ndefu siyo kwamba mafara kama msigwa wameisha wapo Cha maana nikuamini misingi na farisafa ya chama makamanda piiiiiiiiiii pooooooooosssss
@AmosChoroga
@AmosChoroga 16 дней назад
Yes
@hamissnjumba302
@hamissnjumba302 16 дней назад
HAYO MAOVU NI BAADA YA KUONDOKA TU, ETI KUWENI FREE
@knight6757
@knight6757 16 дней назад
Na huyo alieondoka je....si pia atoa maovu baada ya kitumikia chama miaka 20...au? 🐍
@erestizacharia4758
@erestizacharia4758 16 дней назад
Acha uboya wewe.
@user-gx9jr5le2f
@user-gx9jr5le2f 15 дней назад
Mnaumia sana
@barakakevela245
@barakakevela245 15 дней назад
MBONA UNAMSEMA SANA ROHO INAKUUMA HATA WEWE TOKA HUKO HIYO NI SACCOS YA MBOWE CHAMA GANI MIAKA 20 MWENYEKITI MMOJA CHAMA CHA FAMILIA
@adeltuszakumuha9618
@adeltuszakumuha9618 15 дней назад
Hata miaka 30 haikuhusu. Uchawa wako peleka huko.
@melinamkenge8790
@melinamkenge8790 15 дней назад
Kinakuuma ninikuwa miaka 20 uchaguzi unafanyika wanamchagua tena shida yako nini
@usembiphonedar5632
@usembiphonedar5632 15 дней назад
Mbowe Hata akikaa miaka 50 kwenye uenyekiti wa chama ni sawa kwa sababu uchaguzi ukifika wanachama wanamchagua wenyewe, wewe unawashwawashwa nini! Hovyoooo kabisa huna hoja ya maana kwa hilo! Ulitaka wamchague nani sasa wewe au mmko!
@willsonFarasa
@willsonFarasa 15 дней назад
Wembona huion ccm miaka sitin mbona hujawashauli waachie wengine mkundu wewe
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu 10 дней назад
Tunampango wakumwachia miaka 50 Mpaka itakapo Patikana Katiba Mpya ya Wananchi Tanzania ndo tutafanya Uchaguzi wa Mwenyekiti mpya, maana tukimtoa saizi Atakae badili atanunulika kirahis na Ccm Kwa Ubovu wa Katiba yetu ya Taifa na Uzuri wake hua anachaguliwa na wanachama wenyewe
Далее