Тёмный

XCLUSIVE: KUHUSU RICH MAVOKO, SALAAM SK AWEKA KILA KITU HADHARANI/ TUNAMDAI 

TimesFMTZ
Подписаться 531 тыс.
Просмотров 20 тыс.
50% 1

All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Развлечения

Опубликовано:

 

14 авг 2018

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 20   
@joshuakazibwami2326
@joshuakazibwami2326 5 лет назад
Kama unamkubali mendez gonga like hapa
@shakhamsukurlun8127
@shakhamsukurlun8127 5 лет назад
Asante mendezi wameelewa
@faudhugucci7009
@faudhugucci7009 5 лет назад
fireeee!
@deserttvtanzania3400
@deserttvtanzania3400 5 лет назад
Show la kibabe
@ajaliyamorogoroinaniliza3607
@ajaliyamorogoroinaniliza3607 5 лет назад
😂babu tale amemleta msanii wake Rich mavoko, mimi nikamleta msanii wangu Rich mavoko 😂safsana: Salam😂👏
@allykassim9826
@allykassim9826 5 лет назад
Abelkey Lwaboshilm hahahaha. Pengine ni sawa but hajaifafanua vizuri.
@dichodaplaiza
@dichodaplaiza 5 лет назад
Abelkey Lwaboshilm alikuwa ana maana ya Rayvanny
@dichodaplaiza
@dichodaplaiza 5 лет назад
Ally Kassim alikuwa maana ya Rayvanny
@chiefkaitaba.m.9466
@chiefkaitaba.m.9466 5 лет назад
mavoko atapata tabu sana
@edwinfweni
@edwinfweni 5 лет назад
Rich ame fail bhnaa, 😂😂😂
@matiasdl5164
@matiasdl5164 5 лет назад
wanajeshi mkowapi huyo jamaa anamaliyenu kichwani fanyeni haraka mkamvue
@aboudramadhan3290
@aboudramadhan3290 5 лет назад
Nadhani kusaini mkataba mbele ya wazazi sio suluhisho la mikataba bora ushauri mzuri mngewashauri watafute wanasheria wao ili wawasaidie kwny mikataba
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 4 года назад
Aboud Ramadhan, mikataba huandikwa na kutafsiriwa na wana sheria
@juvenalymnyama735
@juvenalymnyama735 5 лет назад
Ongea basi Ueleweke Unasema Mtu kapewa gari Na kama ni msanii wa wcb Unashindwa vp Kutaja aina Gan ya gari Alilopewa mavoko Acheni uongo nyie
@ajaliyamorogoroinaniliza3607
@ajaliyamorogoroinaniliza3607 5 лет назад
Tatizo lao WCB hawatoi ukweli hata ukiangalia kwa kina Kifesi, Q Boy ni hayo hayo tu
@ramadhanibrahim7619
@ramadhanibrahim7619 5 лет назад
Wanajeshi mko wapi au amuoni kofia yenu au wenyemajina awaonekani?
@jamesjjoseph5908
@jamesjjoseph5908 5 лет назад
Iyo ni ya kwake
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 5 лет назад
Kizazi sana, umeeleweka
@seifmohamedseif9384
@seifmohamedseif9384 5 лет назад
ww kiongoz hujui msani wako alipewa gari gani?! ina maana mna ukubwa sana hvo hadi usielewe mengine yanayo endelea ndani ya kundi?!
@barakaswai7358
@barakaswai7358 5 лет назад
Sasa movoko ni msaanii wa nan
Далее
Luiza Rasulova #luizarasulova
00:37
Просмотров 1 млн
UKOMAVU WA KIAKILI (MENTAL TOUGHNESS) - JOEL NANAUKA
1:11:22
помолодела получается 🤣
0:12
Просмотров 1,5 млн