Тёмный

ZINGATIA HAYA KABLA YA KUPANDA TRENI YA SGR 

TRC RELI TV
Подписаться 79 тыс.
Просмотров 3,7 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

6 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 43   
@kwisa4899
@kwisa4899 29 дней назад
Safi sana mizigo wapakie kwene train yao ya mizigo
@husseinmilao5789
@husseinmilao5789 29 дней назад
Big up, pia wale watu wanao kuja kupanda train hiyo kama hawajakoga au wamevyaa nguo chafu pia wasiruhusiwe kupanda watawacha vundo kwenye viti na mazingira ya ndani ya train kama duka la nyama. Mana wengine wachafu wanasingizia mila na tamaduni.
@faksa9607
@faksa9607 29 дней назад
Mna waogopa wajomba sio!
@GdFf-ik2eo
@GdFf-ik2eo Месяц назад
Shangazi kaja hamtaki kwa nn
@allykhalfankingwana5272
@allykhalfankingwana5272 29 дней назад
Utaweka wapi?
@user-cz5oy1od5d
@user-cz5oy1od5d 18 дней назад
Nchi yangu naijua. Nawapa miezi 3 tu. Shangazi kaja, nguruwe, kuku tutapanda nazo vizuri tu.
@chescoatupele2484
@chescoatupele2484 29 дней назад
Kama hivyo mnatakiwa kumantain hiyo kiwango ya treni.Siyo baadaye tupande hadi na kuku!
@chescoatupele2484
@chescoatupele2484 29 дней назад
Hongereni pia kwa huduma zenu nzuri, muendelee hivyo!
@swahilitherapytv3846
@swahilitherapytv3846 29 дней назад
Wekeni app bwana TRC
@MeshackChumi
@MeshackChumi Месяц назад
Hee mpaka Shangazi ammutaki😅😅
@lumuliminga226
@lumuliminga226 Месяц назад
😊 standards...
@fredyjunior6961
@fredyjunior6961 Месяц назад
Safi.
@davidmunisi5420
@davidmunisi5420 Месяц назад
😂😂😂
@kisutabora5914
@kisutabora5914 Месяц назад
Safi sana, kwa mtu mwenye mabegi ya kilo 40 na ana daraja la biashara (business class) anaweza kulipia kilo zilizozidi? Je kuna matoroli ya kubebea mabegi kama airport?
@lumuliminga226
@lumuliminga226 Месяц назад
Swali zuri
@justusathanas1085
@justusathanas1085 Месяц назад
Kuchukua pesa tu ila Shangazi kaja aaaah
@athumaniamiri880
@athumaniamiri880 Месяц назад
😂😂😂ssasa mchele tubebe kwenye gunia au😊
@ezekielmubofu234
@ezekielmubofu234 Месяц назад
Pesa kidogo hamtaki “shngazi kaja”
@joshuawenceslaus2466
@joshuawenceslaus2466 Месяц назад
😂😂😂😂
@h.alshidhani8971
@h.alshidhani8971 Месяц назад
Saa mbili au masaa mawili😂
@athuman6223
@athuman6223 Месяц назад
wabongo wanaonaga kasoro tu🤦🏽‍♂️
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 Месяц назад
Masaa mawili umewahi kuyaona wapi?
@Halphan-cw3de
@Halphan-cw3de Месяц назад
Yupo sahihi huyo dada, wingi wa saa Ni saa hivyo hivyo
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
@yahyamajidyahyahilalal-har8762 Месяц назад
Yupo sahihi ​@@athuman6223
@user-ws3ui6lo2q
@user-ws3ui6lo2q Месяц назад
Saa Haina wingi
@modenasayi
@modenasayi Месяц назад
Repeat in English
@askarikanzu1054
@askarikanzu1054 Месяц назад
Kuna umuhimu gani?
@UnitedAfrica-uw9ct
@UnitedAfrica-uw9ct 29 дней назад
let the english use google translator
@modenasayi
@modenasayi 29 дней назад
@@askarikanzu1054 I can’t understand Swahili
@modenasayi
@modenasayi 29 дней назад
@@UnitedAfrica-uw9ct help me with the transitions
@ContentSmartphone-rq6po
@ContentSmartphone-rq6po 29 дней назад
Dada umeyakanyaga kama hauna mtu wa kukutafsilia maana hata ukienda German hakuna mambo hayo wewe jifunze tu kiswahili sababu jana tu tumetoka kuazimisha siku hiyo Duniani sijui umenielewa samahani lakini kama nimekukera😊
Далее
Dit lees je tussen de regels door in het nieuwe akkoord
21:28
Наташа Кампуш. 3096 дней в плену.
00:58
#SGR: TRENI YA UMEME TANZANIA   (Film)
23:56
Просмотров 1,5 тыс.
Why Moscow Is Insanely Well Designed
9:44
Просмотров 1,5 млн