Big up, pia wale watu wanao kuja kupanda train hiyo kama hawajakoga au wamevyaa nguo chafu pia wasiruhusiwe kupanda watawacha vundo kwenye viti na mazingira ya ndani ya train kama duka la nyama. Mana wengine wachafu wanasingizia mila na tamaduni.
Safi sana, kwa mtu mwenye mabegi ya kilo 40 na ana daraja la biashara (business class) anaweza kulipia kilo zilizozidi? Je kuna matoroli ya kubebea mabegi kama airport?
Dada umeyakanyaga kama hauna mtu wa kukutafsilia maana hata ukienda German hakuna mambo hayo wewe jifunze tu kiswahili sababu jana tu tumetoka kuazimisha siku hiyo Duniani sijui umenielewa samahani lakini kama nimekukera😊