Тёмный

🔴 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 69 тыс.
50% 1

🔴#LIVE: RAYA THE BAWSE AFUNGUKA - "BARNABA AMEANGALIA VIGEZO KUNICHAGUA MIMI, SIJAMLOGA"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Развлечения

Опубликовано:

 

26 июл 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 193   
@bibyansimplis3791
@bibyansimplis3791 2 месяца назад
Raya umenifurahisha unawapenda wakwe zako, Mungu akubariki.
@user-ug6df5kg7n
@user-ug6df5kg7n 9 месяцев назад
Wow Raya ni mwanamke bomba ❤❤❤❤alafu anajiamini nampenda adi basiii😘😘😘😘
@liliansangali2156
@liliansangali2156 Год назад
Kwa sababu neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuzi, bali kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu ya Mungu.
@fatmakombo9793
@fatmakombo9793 Год назад
Hongera ranya uko vizur sana my dear unajielewa mashallah ❤❤
@salsashmomy
@salsashmomy Год назад
Interview 😅😅😅pambeeee raya MashaAllah hongera Sana ❤❤❤❤❤❤nimeinjoi haichoshi kuisikilizaa
@Mimy_keys
@Mimy_keys Год назад
MashaaAllah RAYA ❤ Hongera Dada AKILI KUBWA 🎉 Eti Hajuwi Kupika 😂😂😂😂
@athumanimanzabay1894
@athumanimanzabay1894 Год назад
Dida jua Raya mtt wa kitanga so full malav'dave❤ ujavyo ndivyo tukupokeavyo
@SwaumuMussa-xp1zo
@SwaumuMussa-xp1zo Год назад
Nampenda sana uyu dada mvumilivu mno nataman Mungu anipe moyo kama wa uyu dada katk mahusiano yangu nampenda kwa meng mpk saut yake we ni mwanamke na nusu
@TonkariJobeSonya-yq3xq
@TonkariJobeSonya-yq3xq Год назад
Mwenyezi Mungu akupe moyo thabiti sawa na hitaji la moyo wako.........
@zamzamkabogota7510
@zamzamkabogota7510 Год назад
Kwanza mrembo mwenyw@Raya Mungu akutunzie ndoa yako mwaya
@user-ns4oj9cw1j
@user-ns4oj9cw1j Год назад
Banalba ni mtaratibu,,asahau Utu,,angekuwa Msanii mwingine angemtupa mbali sana
@Semenhahemed-lf5om
@Semenhahemed-lf5om Год назад
Ndio wewe ndio wewe Raya kwake uliyoipata namba kwa Barnaba mshipa haukutwangwi Raya ❤❤❤
@bibyansimplis3791
@bibyansimplis3791 2 месяца назад
Huna mdogo wako nimpe mtoto wangu, lakini itabidi awe Mkristo wa kiukweli. Kama kweli unafanya kama unavyoongea hongera mwanangu raya.
@guenterernst5481
@guenterernst5481 Год назад
Ogopeni Allah kuishi na mume bila ndoa wanawake wa kiislamu wacheni zinaa lakini alhamdulillah umefunga halal
@abialusekelo-nr8kf
@abialusekelo-nr8kf Год назад
🔥🔥🔥🔥🔥wapi pete ya ndoa🔥🔥🔥🔥🔥tamba Ray
@anunuyahya8708
@anunuyahya8708 Год назад
Ma shaa allah Raya...Allah awalindeni na husda zawaja ...unamadini love❤❤
@samehewaliokukoseya2605
@samehewaliokukoseya2605 Год назад
DIDA UMEPATWA NA BUTWAAA 😂. MTOTO MDOGO KONKI ❤
@aminajumanne3292
@aminajumanne3292 Год назад
Dada anajielewa sanaa had rahaaa❤❤❤❤❤
@ndarowesha5282
@ndarowesha5282 Год назад
Raya nakupenda sana
@linahkweka5492
@linahkweka5492 Год назад
Raya mvumilivu pia anahekima nakupendaa❤
@lonicamagupa3416
@lonicamagupa3416 Год назад
Raya Hana ubaya jamani mbona ni Binti mzuri tuu❤❤❤❤ uzuri wa raya ukweri ana busara Sana msikieni tuu anavyojibu 🥰🥰
@khadijasaleh898
@khadijasaleh898 Год назад
Interview nzuri hii💞
@salomeraymond2051
@salomeraymond2051 Год назад
Mama yako raya kama mama yangu jamniii❤️
@rehemasalum1987
@rehemasalum1987 10 месяцев назад
Akili mingi ❤️🥰🥰❤️
@neemamrisho7500
@neemamrisho7500 Год назад
Huyu dada mtangazaji nampenda ana nogesha interview 😁😁
@upendojoseph7912
@upendojoseph7912 Год назад
Mimi ni mwanamke ila raya nimempenda,
@sashamotana3490
@sashamotana3490 11 месяцев назад
Love boss raya
@lydi791
@lydi791 Год назад
Mungu akulingiye ndoa yako kwamana yote unaongeya maneno yanayo stahili kuwa Muke materiel
@chany9950
@chany9950 11 месяцев назад
Nampenda sana laya jmn😘😘😘
@irenemwewe3566
@irenemwewe3566 Год назад
Yaani hii mke wangu ya Barnabas,,imejua kunikosha,,yaani nimeirudia hapo hapo mara kibao
@user-yi8ut7jt6y
@user-yi8ut7jt6y Год назад
si kweli mwanamme anaruhusiwa kuoa wake wa3 hadi wa4.hata kama ww wa kwanza unazaa kama utitiri ..kuoa wake mpaka wa4 ni sheria kwa wanaume wa kiislam .msipoteze watu kuwaaminisha eti mpka mwanamke uwe huna kizazi ..cjui huwezi kufanya mapenzi..au cjui unaumwa c kweli.
@arafakitta2223
@arafakitta2223 8 месяцев назад
Hiyo sheria kama uliambiwa lazima😏
@Ayuminchasi
@Ayuminchasi 2 месяца назад
Kuoa wanawake wanne suna kwa mwanaume mwenye uwezo wa kiafya na uwezo wa kuwahudumia wake zake kwa uadilifu
@nailaty
@nailaty Год назад
Mwanaume anaruhusiwa kuoa mke zaid ya mmoja ikiwa ana uwezo wa kiafya kifedha na awe anauweza uadilifu sio mke akiwa na matatizo
@joycemuhoja4729
@joycemuhoja4729 Год назад
Raya wewe Ni Mpole Sanaa jamani uko vizuri kila la kheri karibu kwenye Chama
@aishatest4451
@aishatest4451 Год назад
mashaallh 🥰🥰🥰🥰🥰
@mwanajumaraso4637
@mwanajumaraso4637 Год назад
Kila la kheir katika ndoa yko sister
@elizabethemanuel2027
@elizabethemanuel2027 11 месяцев назад
Ubarikiwe sana dada
@khamisjina8833
@khamisjina8833 Год назад
Sheria ya kiislamu haijasema hivyo Raya. Quran imesema wanaume waowe wanawake wawili, watatu , wanne na kama mwanamume atakuwa hana uadilifi basi mmoja anatosha. Na hekma yake ni kuwastiri wanawake mana ni wengi kiidadi kuliko wanaume na hiii pia inahekima ya kukuza nasabu(ukoo) na kuondosha uzalilishaji wa wanawake na watoto na mengine mengi. Ni haramu kuongeza au kupunguza katika dini tusipojuwa turudi darasani kwanza.
@noelkipera6581
@noelkipera6581 11 месяцев назад
😂😂😂😂😂 didaaaa nimecheka wallah big up Raya the boss
@lailalaila8206
@lailalaila8206 Год назад
Nakupenda raya na hongera sana kwa ndoa allah awasimamie mdumu zaid mpate watto wema
@paulmwambije1077
@paulmwambije1077 Год назад
Boss wenu mondi ajifunze atafute mke mzuri kama Raya (mtoto wa mama kimbo).. Raya ana sifa zote za kuwa mke
@hopesesilius6104
@hopesesilius6104 Год назад
Hongera mwanangu
@user-wk1ix1gm1p
@user-wk1ix1gm1p Год назад
Mashaallah 👏🏻👏🏻👏🏻
@user-hk2ry7op4u
@user-hk2ry7op4u Год назад
Nakupenda sana raya
@mwanaherimatata8571
@mwanaherimatata8571 Год назад
Mara ya kwanza Nimecomment 😂😂😂 Nmekipenda kipindi
@kikiyene5685
@kikiyene5685 Год назад
Akili kubwa huyu Raya🎉
@ZainabuWaziri-vw3bp
@ZainabuWaziri-vw3bp Год назад
Mashallah
@abubakarimunga
@abubakarimunga Год назад
Huyu dada Anauwezo mkubwa sana. Ameongea mambo makubwa mnooo. Najihisi ni mtu anaweza kuwasaidia wanawake kujua umuhimu wa kulinda familia zao.
@hadiadaoman1981
@hadiadaoman1981 Год назад
Me sijaelewa kuanzana mahusiano 2016 mpaka 2023 ni miaka 9 au miaka saba au me ndio sijaelewa
@user-uo6bo3ph6g
@user-uo6bo3ph6g Год назад
😂😂😂😂hesabu imempita kushoto
@zenachuo2963
@zenachuo2963 Год назад
Hahhahhhhh mimwenyewe imebidi nihesabu
@sikudhanimohammad7692
@sikudhanimohammad7692 Год назад
Alianza naye akiwa bado na mama Steve
@julianajeremiah4353
@julianajeremiah4353 2 месяца назад
Hahaha huyu Dida
@user-rr9dj5rm3x
@user-rr9dj5rm3x Год назад
❤❤❤❤
@AsiaPanduka-eh2uh
@AsiaPanduka-eh2uh Год назад
Dini hata kama huna tatizo sisi wanawake tupo wengi kuliko wanaume hivyo kama anauwezo, inaruhusiwa hata kama mkewe hana kasoro yoyote
@Ayuminchasi
@Ayuminchasi 2 месяца назад
Kabisa
@julianajeremiah4353
@julianajeremiah4353 2 месяца назад
Kanaongea vzr
@elizabethemanuel2027
@elizabethemanuel2027 11 месяцев назад
❤️❤️❤️❤️❤️
@rahimarahima8962
@rahimarahima8962 Год назад
Nakunyoa
@patrisiamakolonja
@patrisiamakolonja Год назад
Mwambie uyo alovaa jezi ya simba anywe soda ntakuja kulipa
@sarahmcharo1548
@sarahmcharo1548 Год назад
hawa ndio wameishi kwa shida na raha sio wale eti miezi miwili kwa shida n raha dulla na naira
@yasminally1015
@yasminally1015 Год назад
Asallam maalequ maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala Allamdulirai Ishaalla Allah hjelp you Ishaalla Ishaalla Alaamdulirai Hasiallah waneema wakiil Il🥰VE Y🥰U S🥰 M Familien Besti Familien ❤❤❤
@zeramohamed9672
@zeramohamed9672 Год назад
Uongo mbona mama yKo aliolewa mke wapili jamani acheni kututanganya nasheria hiyo haipo
@asalkhan9168
@asalkhan9168 Год назад
Sasa Muslim huyu kweli maana kavaa kamvaa yesu😢😢😢 msalaba
@womanofsteel1402
@womanofsteel1402 Год назад
Sio kila msalaba unaouona unamwakilisha Yesu,,
@janetdundul3858
@janetdundul3858 Год назад
Mungu wetu mmoja jmn dahaaaaa 🙌🙌🙌
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 Год назад
​@@janetdundul3858sisi mungu wete hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana anaefanana nae na yesu sio mungu ni mjumbe wake
@Ayuminchasi
@Ayuminchasi 2 месяца назад
Nyie c mnasemaga yesu mungu ni mungu yupi wa kwetu sote na nyinyi wakiristo​@@janetdundul3858
@hawaomary8486
@hawaomary8486 Год назад
Raya yupo km mm jmn mungu alinde ndoa yk
@husnahusney
@husnahusney Год назад
Watanga kama wazazibar wanakua na somo zao wa kuwafunda
@gradnessshitindi3694
@gradnessshitindi3694 Год назад
Zile ahadi za muende Paris mara Zanzibar!! Zmeisha ama 🤔 ilikuwa n nogesha sherehe tu!
@sikudhanimohammad7692
@sikudhanimohammad7692 Год назад
Ila kubali ulianza na barnaba akiwa na mama Steven
@hanifamziray277
@hanifamziray277 Год назад
Mpk raha umefundwa sn sn
@zeramohamed9672
@zeramohamed9672 Год назад
Haipo sheria hiyo imeandikwa wapi mwanaume akiamua ameamua
@zuweinaalhabsya8773
@zuweinaalhabsya8773 Год назад
Sauti ya Raya vp unatatizo LA sauti. Au unakuwaga unapiga kelele Sana hadi sauti inaisha
@ombenjacob1112
@ombenjacob1112 Год назад
Waja😂😂😂😂😂
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 Год назад
Ila we mdadaaa😂😂😂😂
@officialbntrasool5223
@officialbntrasool5223 Год назад
M naipenda ya hv
@ZakhiaWaheedy-uv8cy
@ZakhiaWaheedy-uv8cy Год назад
Nimekupenda bule kipenz unaongea vzur sana taratbu wanaokusema wivu tu hongera sana na ndoa yako enderea kumpenda tu mumeo
@salmaalkyumi6030
@salmaalkyumi6030 Год назад
Sheria za kislam hamzijui jaman msiziongelee mkitaka kufajamu jambo la kislam waulize waliowazid elimu
@fortunathajohn9745
@fortunathajohn9745 11 месяцев назад
Binti mwenye akili 100 percent unajielewa huna shoo off
@user-gv1op1oh2c
@user-gv1op1oh2c Год назад
Nimekupenda sn ❤️❤️❤️❤️❤️na nimependa meno yako raya kama kijitoto 🙏🙏🙏🙏
@fortunathajohn9745
@fortunathajohn9745 11 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂
@MwamvitaAlly-zs4oy
@MwamvitaAlly-zs4oy Год назад
My una confidence ya hatat
@user-uo6bo3ph6g
@user-uo6bo3ph6g Год назад
Ila hiki kipindi jmn😅😅😅😅😅😅😅
@user-ie5on4xy9o
@user-ie5on4xy9o 11 месяцев назад
Ver brigt upstears
@sarahmcharo1548
@sarahmcharo1548 Год назад
izo nywele za juma nilijua pepkon zilizoungua
@zuweinaalhabsya8773
@zuweinaalhabsya8773 Год назад
😂🤣
@till...m2585
@till...m2585 Год назад
😅😅😅😅
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 Год назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂dah jamani watu😂😂😂😂✋️✋️✋️
@MariaRichard-dd4vh
@MariaRichard-dd4vh Год назад
😂😂😂😂Jamani
@JawahirSaid
@JawahirSaid Год назад
😂😂😂😂😂😂😂
@cheka480
@cheka480 Год назад
Anachokisema mdogoangu ni sahihi kabisa. ila usivae misalaba u r a muslim woman. Huwa tunaambiwa watu wa Tanga tunaroga haturogi ni how we handle our husband.
@vaikaayagadiel520
@vaikaayagadiel520 Год назад
Sio misalaba yote ni ya Yesu, mingine ya jambazi aliyesulubishwa na Yesu. Mwache avae huo ni wa jambazi
@rizikisaleh3133
@rizikisaleh3133 Год назад
misaraba yann
@bellazara6448
@bellazara6448 Год назад
Raya nakupenda dada ❤❤❤❤❤
@hanialsaadi7394
@hanialsaadi7394 Год назад
Hapo kwenye kuongeza mke mmetudanganya et mpk mwanamke awe namatatizo siyo kweli😜😜😜
@isakhamisi8923
@isakhamisi8923 Год назад
Sasa huyo kamsilimisha Barnabas lakini yeye anavaa misaraba ndio vp hivyo.
@guenterernst5481
@guenterernst5481 Год назад
Mkufu wa msalaba inna lillahi wainna inna lillahi rajiun
@agathaabogast4598
@agathaabogast4598 Год назад
Kwani unaua acha ushamba ayo mapambo nyoooooko
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 Год назад
😅😅😅
@Ayuminchasi
@Ayuminchasi 2 месяца назад
Acha ujinga urembo msalaba bac aende kanisani​@@agathaabogast4598
@pendoanzigar3172
@pendoanzigar3172 Год назад
dida unanichekeaha ujue😂😂
@rayasaid4099
@rayasaid4099 11 месяцев назад
Kwani huyu Raya muislamu jamni mbona kavaa kidani cha msalaba jamanii jamani nyieee tumuogopeni Allah
@shangwefisima3993
@shangwefisima3993 Год назад
Didaaaa! Endelea kubinuka sarakasi
@saumuhaji8244
@saumuhaji8244 Год назад
iiiiiiiiii🙊
@SafiyaaaSofi-uy3nk
@SafiyaaaSofi-uy3nk 9 месяцев назад
Raya natamaini nijuwe namba yako nikuletee udi uone udi wa omani
@user-gb8tl5tk9u
@user-gb8tl5tk9u Год назад
Dida jamani 😂😂😂
@user-xk6st3zn6e
@user-xk6st3zn6e Год назад
Yuko vizur
@shangwefisima3993
@shangwefisima3993 Год назад
Didaaaa unanivunja mbavuuuuu😂😂😂😂
@IreneIsack-qp9ns
@IreneIsack-qp9ns Год назад
Raha Jamani
@JanethJoshua-rs1ze
@JanethJoshua-rs1ze Год назад
Vichwa kama pangaa😂😂😂😂😂😂😂
@Mima-theboss
@Mima-theboss Год назад
Ila dida 😂😂😂mbona vichwa kama panga😂😂😂🙌
@shangwefisima3993
@shangwefisima3993 Год назад
Dida unanichekeshaaaa😂😂😂😂😂😂
@binthkhamis8042
@binthkhamis8042 Год назад
Samahn kma nitakuwa nimekosa wadau mbona raya ni Muslim ☪️ mbn kavaa cheni ya chapa ya ms7 kifuani....
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Год назад
Juma upunguzage umbeya
@hadijasalim7769
@hadijasalim7769 Год назад
Naauliza musalaba wanini shingoni jaman sikuhizi wasilamu wavamusalaba mwezimungu anawaona kwani dada dida kwani huyo Raya musalaba wanini ??
@reyone6870
@reyone6870 Год назад
😅😅
@bennamush4616
@bennamush4616 Год назад
Jaman nimecheka 🤣🤣
@rukiauwonde7062
@rukiauwonde7062 Год назад
Dida Mungu anakuona😅😅😅
@Ayuminchasi
@Ayuminchasi 2 месяца назад
Huo masala unafanya nn shingon wakati ww ni muislam
@SalamaNauthary-ip4iy
@SalamaNauthary-ip4iy Год назад
Mbona misalaba shingoni tena Raya???
@hamzaadam-bk2uo
@hamzaadam-bk2uo Год назад
Fungeni milango bana
@officialbntrasool5223
@officialbntrasool5223 Год назад
Raya sanamu lake achague tuliweke wapi 😂😂😂
Далее
Склеил девушку-курьера ❤️
01:00
I Built 3 SECRET Rooms In School!
33:34
Просмотров 16 млн
Shajara ya Coy Mzungu | Afungua Kurasa za Maisha Yake
57:52
There’s A Starman #superman #shorts #memes
0:26
Просмотров 59 млн