Тёмный

AWESO ACHUKIZWA AMSIMAMISHA MENEJA DAWASA KINYEREZI "SIJAJA KUCHEZA WALA KUUZA SURA" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 11 тыс.
50% 1

Waziri wa Maji Jumaa Aweso amemsimamisha Meneja wa DAWASA Kinyerezi Burton Mwalupaso Kwa kushindwa kutekeleza vyema majukumu yake ikiwa ni pamoja na kushindwa kujua Takwimu kamili za mahitaji ya Maji kwenye eneo hilo sambamba na malalamiko mengi ya wananchi.
Waziri Aweso ametoa maelekezo hayo Leo wakati akizungumza na Wananchi wa Tabata Kinyerezi katika ziara yake ya kukagua hali ya huduma ya maji katika Jiji la Dar es Salaam.
"mimi kinyerezi sijaja kuuza sura tumekuja tuelezane ili tuweze kuhakikisha tunawasaidia wananchi maji hayahitaji siasa, ukicheka na nyenyere anayekutambalia kwenye mapaja utang'atwa pabaya siko tayari kung'atwa" Waziri Aweso

Опубликовано:

 

30 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 49   
@mathiasmichael9915
@mathiasmichael9915 12 дней назад
Good Honorable Aweso Aweso Kwa kazi nzuri
@rehemarwanda6039
@rehemarwanda6039 10 дней назад
Mh Waziri Ahsante kwa kuja Kinyerez......hali ilikuwa mbaya sana Meneja na watendaji wake wotee ungetubadilishia#Waziri uko juu sana#Mwanaume na Nusu🔥🔥🔥
@user-qf9bz9ed2m
@user-qf9bz9ed2m 12 дней назад
Mh unafanya kazi nzuri sana!utendaji wako hauna mashaka,mh tunakuomba sana njoo bulala kata ya buhogwa wilaya ya nyamagana hatuna maji mwezi mzima hila bill za maji zinatoka!mh ziwa lipo kilometet 3 hila tunachangamoto kubwa sana ya maji.
@maureenmnimbo1665
@maureenmnimbo1665 12 дней назад
Kinyerezi hatuna Maji MIEZI minne hatimaye Leo yametoka nimepataaaa lita 2000
@mathiasmichael9915
@mathiasmichael9915 12 дней назад
Aweso Aweso You deserve to be the President of Tanzania
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 12 дней назад
No he doesnt. where was he all that time ndo yuaja saa hizi? they should take a leaf from Hn Silaa..he pulled his sleeves the next day after being sworn..talk about Aweso...this guy came cause eledctions are around the corner..wasteful of resources and mercilessly they care nothing about us
@2003hintay
@2003hintay 12 дней назад
Surat za watumishi wa maji hapo wanamsikiliza WAZIRI huku wanamuona kama anampigia mbuzi hitaa wanaonyesha dharau
@feezdidthis2220
@feezdidthis2220 11 дней назад
Wameamua kuja kutafutia kura za 2025 uku, haya ngoja tuone
@saxannjo6173
@saxannjo6173 12 дней назад
Mtu mmoja anatumia lita 135 kwa siku. Mahitaji ya maji (174,650 × 135) kwa siku.
@rosetowo2678
@rosetowo2678 12 дней назад
Toa utawala wote wa Dawasa Waziri,hawafai
@Piscesblair
@Piscesblair 6 дней назад
Watendaji wanakosa uweledi (professionalism). Hipo haja ya kuandaa benchmarks kurahisisha uwelewa wa pamoja katika taarifa zinazoandaliwa na watendaji.
@abdallahmmary8591
@abdallahmmary8591 12 дней назад
Naombeni mwenye no ya aweso jamani nipo arusha tunabambikizwa bil atari mpaka ina tisha nilienda kwa Makonda hypo ofisin yupo kwenye matibatu
@EmanuelyMalugu
@EmanuelyMalugu 7 дней назад
Maji hayatoki na yakitoka hayana presha tuelezane kuna nini tofauti na awali jilekebisheni
@josephatmathiasgalagalabuh786
@josephatmathiasgalagalabuh786 12 дней назад
Mkuu njoo na Mbezi Msumi.Tunaishi maisha mabaya sana jamani maji hayana dalili eti naibu wako akasema tujimbe visima
@rosetowo2678
@rosetowo2678 12 дней назад
Wenyewe Dawasa wanasema kuna Siasa,na ndio wanazidiwa
@ayoubmtumishi50
@ayoubmtumishi50 6 дней назад
Wananong'onezana kumbeza waziri hawa wafanyakazi mmmm😂😂
@davidchihimba9489
@davidchihimba9489 9 дней назад
Tabata maji ni mara moja kwa wiki
@RamaAlly-pw4ql
@RamaAlly-pw4ql 12 дней назад
Kimekukuch 🤣🤣
@mohamedomari6129
@mohamedomari6129 9 дней назад
Kijana mdogo, mzuri Lakini akili kisoda.
@rosehaule6765
@rosehaule6765 12 дней назад
Amna.kitu dawasa wahuni. Sana mnatuumiza mnoo sio siri mnatufanya tuongee hata atutaki kuongea
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 10 дней назад
Aweso ni mzembe..miaka mingi tangu achaguliwe alikuw wapi? watu wengi wanalia maji..pesa mabillion yametolew. Aweso na watu wake wanakula. hapo anafukuza mtu kesha enda kuweka maengineer wake ili wawe wanakula hela. Aweso sijjui ni wawapi..sina hamu kabisa
@_Darthstewiemotivational
@_Darthstewiemotivational 12 дней назад
This guy is not straight forward, he asked the question..., give a straight answer😂
@prince.eric_msemwa9732
@prince.eric_msemwa9732 12 дней назад
Dawasa ina ishuz sana, rushwa imeshamiri sana mijiini pia incompetence
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 10 дней назад
sawa kabisa. usimuone hapo Aweso anafukuza w/kazi, anaenda kuweka wakwake ili wale pesa. kunamtu wandani kaniambia..amechukua maengineer wake ili ndo wasogeze pesa. Aweso hana moyo wakutupa maji..alafu mamboa ya viwango vya chini. kazi kweli
@user-hg4yy1qs7g
@user-hg4yy1qs7g 5 дней назад
unafanya kazi nzuli sana ila kwann haya mambo uwa yanatokean kipid cha uchaguz ....
@lwitikomwakatumbula5672
@lwitikomwakatumbula5672 12 дней назад
Mheshimiwa waziri aweso mbezi makabe pia bado tatizo la maji ni kubwa tunaomba jitihada zako tafadhali
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 10 дней назад
hwanga shida na watu. wizara ya Aweso nimuozo mtupu..miaka yt hiyo bado w.nchi wanalia maji na mabillion yalishatengwa. wanakula hela ya serikali
@FloridaAdelinus
@FloridaAdelinus 11 дней назад
Muheshimiwa tumechoka kudanganywa. Kila mara maneno hayo hayo hakuna maji sasa miaka 15 wakati tuliambiwa mchague Mabula Nyamagana Maji itakuwa historia, sasa tuko tunaisoma namba maji 0 yakitoka ni saa 8 - 9 usiku kufikia asubuhi hakuna maji.
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 10 дней назад
huyu anafukuza w/kazi alafu anaweka wakwake ili kuchukua hela ya serikali..Aweso anatuona sie danganya toto. hamana kitu hapo.ni vile uchaguzi umekaribia..sioni wana moyo wakusaidia w.nchi. mioyo yao haipo kabisa. Aweso ametokea wapi? sikuzote alikuwa wapi? wizara yake imeoza kabisa huyu
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 12 дней назад
Ndio maana jambo la kwenda Field Kwa viongozi wa juu ni la muhimu sana, MAJI yenyewe kwenye utumiaji Kwa mita Kuna 'CONSUPTION' ambayo itakujulisha UNIT zidisha BEI unagawanya Kwa CUBIC unapata kiasi cha GALLONS ambayo ndio TOTAL ya matumizi Kwa mtumiaji atayolipia, hivyo meneja ukiangalia DATA BASE Yako na ukiwa smart ni rahisi kukisia Kwa asilimia 90 ni kiasi gani cha Maji WALAJI wako wanahitaji.. Lakini Sasa hebu angalia maneja huyo 🤣🤣🤣 yaani unaona kabisa , huenda kana Elimu ya Chup nzuri tu', lkn hajui Nini maana ya NAFASI aliyopo yeye yupo KIIMLA zaidi, yaani kusoma makaratasi ya ofisi na sio kujua mtaani watu wanahitaji Nini ....VIJANA tukipewa kazi tufanye KAZI
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 12 дней назад
Aweso, where was you all that time when yu was elected Minister of Water? Now we can see these ministers parading out there as elections are getting closer..then after elections yu see them no more..first of your ministry is completely rooten..billions of TZS are wasted while you are in your office and here you are showing up so late and firing your subordinates..so unfair Aweso come'on now..this doesnt cut it at all sir
@mweyoms5548
@mweyoms5548 5 дней назад
Uzembe kila mahali
@nth3512
@nth3512 7 дней назад
Huu ndo uzuri wa kiongozi kuwa ni mtu wa fani iyo
@Esterkomba-ef7eb
@Esterkomba-ef7eb 10 дней назад
Siyo kuwasaidia nihakiyao
@2003hintay
@2003hintay 12 дней назад
Mheshimiwa WAZIRI tunamuomba atembelee kata ya Tandale
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 10 дней назад
huyu..utramskia tuu mitandaoni haji..ni mzembe kweli
@suedissa7500
@suedissa7500 12 дней назад
Huy jamaa s Burton mawalupaso ama?
@bilalseleman5867
@bilalseleman5867 12 дней назад
Yeah ndo tumesoma nae bagamoyo secondary
@2003hintay
@2003hintay 12 дней назад
Naombeni namba ya Awesu
@mohamedomari6129
@mohamedomari6129 9 дней назад
Sema ya nn nikupe
@rosetowo2678
@rosetowo2678 12 дней назад
Wazabuni wanawadai hawalipi nikukaa tuu kwenye vikao,na kusema wanasiasa wanawaingilia,
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 10 дней назад
hawa watu niwaongo. Magufuli tuu ndo walau alikuwa na moyo na nchi yake. hawa wengine hamna kitu. anachofanya kufukuza watu na kuweka wenzake. Ana moyo wa ajabu sana..mabillion ya hela yameibiwa kwenye wizara yake..huyu mtu so mwema kabisa
@user-li2cy1st6o
@user-li2cy1st6o 12 дней назад
Mbezi maramba tunamiezi nane maji hayatoki
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 10 дней назад
na wala hatakuja..Aweso is something else
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 12 дней назад
Wasiwasi wangu wale waliyokuwa wanavuna maji wakastop wakati wa Magu huenda wamerudi. Maana kuna wakati maji yanatoka ya chumvi. Mazuri wanafungulia kwenye visima vyao. Sasa kweli ni haki watu kulipa bill ya maji yasiyoeleka? Vishoka ni hao hao wafanyakazi wa dawasa. Mbona kipindi cha Magufuli tulikuwa tunapata maji mazuri?
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 10 дней назад
Aweso na wizara yake wamepewa mabillion ya hela..sasa Aweso kashiba ndo anakumbuka kusimama na kuanza kutoa hotuba ya kufukuza w/kazi..ameenda kuweka maengineer wake ili wawe wanakula hela..Aweso is incompetent..hapo ni siasa tuu. ametoka kulala ndo kaamkia hapo..baada ya hpo hamna utekelezaji. mwanzo mabomba ni chini ya viwango hela ingnie inapotea
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw 12 дней назад
Hatutaki maneno tunataka mita za kama luku utapeli hatutaki
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 10 дней назад
huyu Aweso anaujanja mwengi..nchi nzima maji yashida kweli
@Esterkomba-ef7eb
@Esterkomba-ef7eb 10 дней назад
Sipendi kiongozi aye jisifia
Далее
Суши из арбуза?!
00:34
Просмотров 485 тыс.
Waziri Jumaa Aweso Amsweka Rumande Meneja wa RUWASA.
11:01