Тёмный

BECKA FLAVOUR ALINIACHA KISA VIDEO YA IBRAH - HAPPY 

Wasafi Media
Подписаться 4,6 млн
Просмотров 141 тыс.
50% 1

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Развлечения

Опубликовано:

 

7 сен 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 236   
@mwanamkeshujaabongoflavama7180
@mwanamkeshujaabongoflavama7180 2 года назад
Yaani nampenda huyu mwanamke Masha'Allah mzuri na anaongea bila kilele
@stanleyeddo2446
@stanleyeddo2446 2 года назад
Sema uyu dem anaonekana ana zalau sana hamueshim mumewe alafu kuna kitu chakujifunza kwa wanawake wa sasa 😢
@tatubadi9010
@tatubadi9010 2 года назад
Humjui ibrah Leo we diva au kujishauatu.. Mfyuuu
@josephmoseti5143
@josephmoseti5143 2 года назад
Am a Kenyan but am addicted to wasafi fm
@fihiliseijiru
@fihiliseijiru 2 года назад
Good
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 2 года назад
Very beautiful
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 2 года назад
Sana ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-hPfGDMQuh3M.html
@maryemmanuel5735
@maryemmanuel5735 2 года назад
New video by Jux, sina. ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-rPskGsouYk4.html
@Mwarobaini
@Mwarobaini 2 года назад
Nimetoa wimbo wangu mpya ninaomba Ushauri wako bofya hapa ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-MxsD_RYun50.html
@chidymswti3604
@chidymswti3604 2 года назад
She didn't show any effort to fight for their love....Dem alikua ashachoka anangoja fursa kama hio asepe...
@maryemmanuel5735
@maryemmanuel5735 2 года назад
New video by Jux, sina. ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-rPskGsouYk4.html
@bennyasseralfred7139
@bennyasseralfred7139 2 года назад
Nikweli kabisa uko sahihi
@effienyange1254
@effienyange1254 2 года назад
Mbona alitaka ndoaa
@rajimoonsima7984
@rajimoonsima7984 2 года назад
Kweli kabisa
@christinachriss9231
@christinachriss9231 2 года назад
Na usiombe demu akikuchoka
@amourdelicieuse2961
@amourdelicieuse2961 2 года назад
Duuuuh Diva miwani 😎 mambo habari ya weeg
@jeffkonki8279
@jeffkonki8279 2 года назад
Mwanamke mzuri akiwa kwa mwenzio kaa nae uone balaa lake
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 2 года назад
Sana ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-hPfGDMQuh3M.html
@maryemmanuel5735
@maryemmanuel5735 2 года назад
New video by Jux, sina. ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-rPskGsouYk4.html
@hollymore4904
@hollymore4904 2 года назад
Still mnaigiza
@nastyb7405
@nastyb7405 2 года назад
Eti hata sikumuuliza,aka kasenge kalishapanga kakimbie tu,na anayehoji wala hajawai kulala kwa mume kama kaolewa ila kwa kudanga tu😓😓
@ramayasly4584
@ramayasly4584 2 года назад
Hi lulu diva uko sawa katika mahojiano. safi sana
@radicalljinari3863
@radicalljinari3863 2 года назад
Beka mstaraabu sana
@ruthkasumba7739
@ruthkasumba7739 2 года назад
Hawa walikuwa wamesha chokana tyr Coz hawakupendana walitamanian tyu akukuwa na yeye love happy alimpenda beka kwa sababu ni star beka alimpenda happy kwa sababu ni mzuri kwahiyo kila mtu alivyopt alichotk kaona bora tu nilikuwaw nxbr hii cku ndiomn haonyesh kujuta ht kdg😵any way mapnz ya kutamanian huwa haya dumu😸
@ayushjhay1979
@ayushjhay1979 2 года назад
Umeona
@piusphilip307
@piusphilip307 2 года назад
Dada yangu pole kwa kupoteza Lulu. Ulikuwa na mume anayejielewa, Kwa bahati mbaya sana hukutambua.
@salamaseif4183
@salamaseif4183 2 года назад
Kweli huyu anajutia
@ashatybella8641
@ashatybella8641 2 года назад
Jamani she’soo cute 🌝🌝
@IAmDramaBoy
@IAmDramaBoy 2 года назад
Unapenda drama sana na mimi ni drama boy .... Jiongeze
@maryemmanuel5735
@maryemmanuel5735 2 года назад
New video by Jux, sina. ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-rPskGsouYk4.html
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 2 года назад
Extremely beautiful then ana akili pia
@mahembajulius7036
@mahembajulius7036 2 года назад
Akili gani?
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 2 года назад
Cute with no brain
@jorgettemwajuma5428
@jorgettemwajuma5428 2 года назад
Nihatari kweli duniya iyi
@priscahandherfamily475
@priscahandherfamily475 2 года назад
Happy kama happy
@ShubiraCostac
@ShubiraCostac Месяц назад
Akuna HAPPY anachezewaga,waiteni majina ya happy watoto wenu,ninaowajua happy wote wanavmisimamo miziri na maisha poa sana,naomba maoni yenu akina HAPPY wote,
@mishwanwanmish8803
@mishwanwanmish8803 2 года назад
Hivi navyo,kila siku mambo na mapenzi tuu,
@saffannatz4472
@saffannatz4472 2 года назад
Niwarahisishie tuu ndugu watazamaji.. Hiyo nyimbo niya Ibra inaitwa *Nimpende* Sio happy kama wanavyo sema
@michaelrambo6207
@michaelrambo6207 2 года назад
Soma vzr caption iyo HAPPY ni jina la uyo demu
@bonifacehassan1309
@bonifacehassan1309 2 года назад
Bora alivo kuacha maana unaoneka hukuona umuhim wake Kama mme ndio maana hata msamaha hukuwazia kabsa
@JimmySirya
@JimmySirya 2 года назад
🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯
@salimduggah1228
@salimduggah1228 2 года назад
The best interview from an x mother... am a big fan of Beka Flavor but I don't support him on this
@Ndiminijunior
@Ndiminijunior 2 года назад
Huwezi kuwa mshabiki wa beka wewe zaid umeandika mavi tu hapa tafakari kabla ya kuja kuandika upumbavu huu yaani ningekujua ningetoa na mwanamke wako safari Moja tu ya mikumi kuangalia wanyama akarudi siku ya tatu na picha tumepiga pamoja
@Mwarobaini
@Mwarobaini 2 года назад
Nimetoa wimbo wangu mpya ninaomba Ushauri wako bofya hapa ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-MxsD_RYun50.html
@Oliver-nm9xm
@Oliver-nm9xm 2 года назад
💕💕💕
@Ndawoo
@Ndawoo 2 года назад
fala uyo unamwachaje mtoto mzuri ka uyo mama karib la mtaa
@lucylucy3678
@lucylucy3678 2 года назад
Umekosea san dada sana tu utaendaje kwenda kufnya kitu bila mwenza wako kweli acha tabia hata ukiajiliwa ofsn unaomba lukusa nje mwenzako wajiaondokea ivoivo jinga kweli.
@Ashelymhangazo
@Ashelymhangazo 2 года назад
Siku zote wasichana wanajiona wao wazur hawaolewi ,au hawatulii na mtu m1
@lwasamabalelukiza2037
@lwasamabalelukiza2037 2 года назад
We dem malaya unaendaje kufanya kazin bila kumwambia mwenzioo
@maryemmanuel5735
@maryemmanuel5735 2 года назад
New video by Jux, sina. ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-rPskGsouYk4.html
@dianasago9214
@dianasago9214 2 года назад
Hapa hamna mwanamke kusema ukweli na hajitambui
@daudmtange8005
@daudmtange8005 2 года назад
Sema daah bonge lá dem sema ndo ivyoo tu
@ommimg2467
@ommimg2467 2 года назад
Huyu dem yuko sahih bhn maan Kuna interview 1 akiwa na mshkaj alilalamika jamaa hamuoi ye anataka awe mke wa ndoa so naona hata atakuw ameitumia hiyo nafac asepe... Sio suala dem mkali San hela tu sina😢
@hajimilowe5372
@hajimilowe5372 2 года назад
Ukiona mtu anaoa ameridhika na tabia ya mpenzi wake, huyu anaonesha sio mke mwema kiburi kimemjaa na ukithubutu kuoa mke kama huyu utajuta.
@zarabati1750
@zarabati1750 2 года назад
I really love her
@youngsimbawcb1814
@youngsimbawcb1814 2 года назад
Manina Wanawake siwapendi kabisaaa na wataisoma namba
@auntiemylee3157
@auntiemylee3157 6 месяцев назад
Nimerudi kutizama nimetoka kwa ngoma yake mpya jmn rudi anakumiss
@nyumbumawazo7405
@nyumbumawazo7405 2 года назад
Wanawake wazuri wanamatatizo yao uyo hawezi kuhishi kwa mume ata kuolewa hawezi olewa kwa kibuli alafu anajisikia
@salamaseif4183
@salamaseif4183 2 года назад
Ulikuwa unamzalau Sana Munro Dada mwanaume akichoka basi
@perpsgiovanna1933
@perpsgiovanna1933 2 года назад
Beka is an insecure man alikuwa anashangaa msichana mrembo kama Happy Reuter anampenda vipi
@mathewben6833
@mathewben6833 2 года назад
Kama hakumuaga alikosea,nilichopenda hujamwongelea vibaya baba wa mwanao
@ommywhity1665
@ommywhity1665 2 года назад
Uyu mdada anabusara Sana Ila uyo jamaa nimsengeeeeeeee kumaninaaaa oya chinga boy mchukue mtoto uyooooo
@jorampeter6131
@jorampeter6131 2 года назад
Wanawake wa siku hiz bn,,,unafany vit bila kumshilikisha mmeo halaf unachukulia poa 2,,unaonekana hat samahn huijui wala hukuwa na upendo nae ooooh my God
@asheripius1657
@asheripius1657 2 года назад
Hatari Sana, mapenzi ya mastaa Ni hatari Sana yani kila kukicha mapichapicha 2
@Ndiminijunior
@Ndiminijunior 2 года назад
Hakunaga Demu wa kimbulu wa maana kabisa beka hakujua mademu wa Kimbulu wakoje
@edwinjabez8352
@edwinjabez8352 2 года назад
,wairaq magumash mengi
@josephkaishe4045
@josephkaishe4045 2 года назад
Usiseme hivo kaka, wapo walotulia sana tuu, sema siku hizi ni kila kabila hata ukifanya statistics unaeza kuta hayo makabila mengine wengin pasua kichwa tuu
@msafirisalum8436
@msafirisalum8436 2 года назад
1.Ibra pia ana makosa ilitakiwa amuombe mume wa huyu demu wafanye kazi kama kweli ilikuwa nia yao nzuri 2.ukiona manyoya ujue kuku kaliwa 3.maelezo ya mwanamke anaonekana anapenda dramma 4.huwezi kumiliki namba za mastaa kumzunguka mzazi mwenzio maana yake kabla ya video kuna mengi mnayafanya bila jamaa kuyajua 5.kumbuka mwanaume huwa hachuji mapema ila leeni mtoto amchukue ili udange vzr utayaona matokeo yake baadae umri ukisogea
@ramazubery2641
@ramazubery2641 2 года назад
Umeona mbali sana na ukweli mwanamke kakosea sana mbaya zaidi hajijui, hajui kuakakosea.
@radicalljinari3863
@radicalljinari3863 2 года назад
Braza hizi points zako zipo kamili sana
@user-sn9ti7xo7y
@user-sn9ti7xo7y 9 месяцев назад
Kabla yá kufanya iyo video, ulimtaarifu mumero..?
@hawa-luumiwrty3144
@hawa-luumiwrty3144 2 года назад
Huyu Dada Muwongo, Baada Yaile Video Ya IBRA Mlituonyesha Kuwa Mmerudiana. Sahivi Unatuambia Video Ya IBRA IMESABABOSA
@eddyevarist2593
@eddyevarist2593 2 года назад
angalia interview beka aliyofanya na sns kipind cha chill na sky, ameeleza pale ilikua sio kurudiana ilikua uongo tu bado walipotoka pale ugomvi wao uliendelea
@hawa-luumiwrty3144
@hawa-luumiwrty3144 2 года назад
@@eddyevarist2593 Kumbe Ilikua- Hivyo
@adamsaga6700
@adamsaga6700 2 года назад
Hawakurudiana Zaid ya beka alipewa tickets ya kwenda sijui show gani akalazimishwa na clouds waende pamoja huyu dem aliongea had akalia beka ni fala sana
@princeboy4311
@princeboy4311 2 года назад
Ujue wewe Kuma kwel diva so aumjui ibrah
@derimkongwa5965
@derimkongwa5965 2 года назад
Umesahau beka alikutoa arusha daaah
@goldprocessplant5893
@goldprocessplant5893 2 года назад
hili jini pumbavuuu
@vannyjuliusjulius1456
@vannyjuliusjulius1456 2 года назад
Unawezaje kwenda kufanya kazi bila kumshilikisha mtu mnae ishi nae kama mmeo, mpaka anakuja kuiona ikiwa tayari iyo ni dhalau kubwa sana iv nyinyi mabinti wa stahili ii mnamatatizi gani mnazani mtaishi milele?
@prettyh7509
@prettyh7509 2 года назад
Kama mumewe 😅😅😅 ila si mumewe
@lovvy854
@lovvy854 2 года назад
Mtoto mzurii kamaivi unaanazaje kumuacha kiholelaholela ama ulikua na mpango mwengine wakando ilahukua na sababuya maana
@maryemmanuel5735
@maryemmanuel5735 2 года назад
New video by Jux, sina. ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-rPskGsouYk4.html
@franckjumanne6626
@franckjumanne6626 2 года назад
Huo ukurasa wakumuacha mama na mtoto iwekwe sheria
@saffannatz4472
@saffannatz4472 2 года назад
Wasafi bhanaaa kwani mkisema tu ni Video ya ibraa nimpende mtakuwa mmempa credit sanaaa ... mpaka mnaamua kudanganya eti nyimbo ya ibra happy😄😄
@africanqueen956
@africanqueen956 2 года назад
Kama si beka tusingekujua
@maryemmanuel5735
@maryemmanuel5735 2 года назад
New video by Jux, sina. ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-rPskGsouYk4.html
@aliyshemweta9753
@aliyshemweta9753 2 года назад
Nikweli bila beka asingejulikana
@africanqueen956
@africanqueen956 2 года назад
@@aliyshemweta9753 ndio hivyo Sahii iwajiona yeye kama yy
@tonnykenga9468
@tonnykenga9468 2 года назад
Hawa nao ni vikiki vya kishamba tu..mwaka mzima mnaongelea mapenzi mliopitia
@effienyange1254
@effienyange1254 2 года назад
Mrembooo
@africanqueen956
@africanqueen956 2 года назад
Ww dada una dharau
@faridaissa2588
@faridaissa2588 2 года назад
Tena sana
@georgemhalla8853
@georgemhalla8853 2 года назад
Wewe nanajifanya Kama mzuri Sana! Kumbe wa kawaida Sana tena sana
@maryemmanuel5735
@maryemmanuel5735 2 года назад
New video by Jux, sina. ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-rPskGsouYk4.html
@mwanamvuajumanne7515
@mwanamvuajumanne7515 2 года назад
Dharau mbay mno tena sana huwez kuwa na mtyu tena mnaishi nae ni mzaz mwenxio uende kufanya kitu bila kumshirikisha na unaambiwa ubaki huko na ww ukabaki kwel dharau we jifanye na huo uzur hat sis waxur lionee
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 2 года назад
Mnoo ameshapewa umaarufu na Beka now anamuona kinyes kisa anajiona mzuri. Ataishia kutumika ka wenzie tu hapo jijini dalisalama
@kennix6457
@kennix6457 2 года назад
Kazi to .beka mjinga sana no mwanaume nyapara yule dictator mbo madogo to .wote wasanii yete hafanyi video na madame wengine nkt
@edwardnatharyblessed7067
@edwardnatharyblessed7067 2 года назад
Diva hiyo ni Madharau kabisa
@zarabati1750
@zarabati1750 2 года назад
Don't force issues happy
@adamyasin4089
@adamyasin4089 2 года назад
Guys jaman suala la mapenzi tuliache Kama lilivyo actually unaweza kuona fulan ndo anashida lakn kumbe sio wanaume tunaonakagana tunamatatizo Sana kiukweli Ila Kuna wakati hata hawa wanawake wanashida jaman Ila ni hvyo
@imaramc6802
@imaramc6802 2 года назад
Duuuh
@rajabusalim6088
@rajabusalim6088 2 года назад
Huyo dada mala
@saumuimeda5181
@saumuimeda5181 2 года назад
Jaman nitajieni hiyo hiyo video ya Ibrah nikaiangalie
@nanangendakumana5632
@nanangendakumana5632 2 года назад
😷😷
@ben.breaker
@ben.breaker 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-cTi4vOt4Wys.html FAHYVANNY vs PAULA KAJALA 🔥🔥🐉
@kaykay9722
@kaykay9722 2 года назад
Mm na suui
@hafidhchoi3186
@hafidhchoi3186 2 года назад
hawana mampya hawa kila siku wao tafran
@malota2138
@malota2138 2 года назад
Watu washakula apa
@activestudios.
@activestudios. 2 года назад
Shida dada zetu mkishashika mkwanja na fame kidogo ndio basi tena mnasahau mtu alikutoa wapi SEMA FRESH TU MWANETU KASHAPATA MANZI mwengine wewe endelea na kazi zako.
@abdhillahiabeid9961
@abdhillahiabeid9961 2 года назад
Kwa nn na ww ukafanye video bila kushauriana na mwenzako
@achouraachoura5763
@achouraachoura5763 2 года назад
Uyu dada hajiskii
@hatari9591
@hatari9591 2 года назад
Video gani ya Ibra?
@saffannatz4472
@saffannatz4472 2 года назад
Video ya ibra inaitwa nimpende Haiitwi happy kama wanavyo sema
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 2 года назад
Huyu demu anazalau ataishia kuliwa tu na kuachwa just imagine unashuti video bila kumpa taarifa mtu unayeishi naye fala wewe bila beka tusingekujuwa
@fortunatasilipigni1632
@fortunatasilipigni1632 2 года назад
konde gang 4 every bad
@kabaisamsuketv3201
@kabaisamsuketv3201 2 года назад
Mhhhhh
@thomasaugust225
@thomasaugust225 2 года назад
ila huyu mwana mke bado ana mpenda Sana huyo jamaa
@claranewaho1251
@claranewaho1251 2 года назад
Lakin da Happy ungesubir wakat wa Mungu angejikuta anakutamkia kukuoa ulikua haraka sasa umeenda utachezewa na industry zote za sanaa cz washajua unapenda ndoa
@wardamkubwa9666
@wardamkubwa9666 2 года назад
A
@derimkongwa5965
@derimkongwa5965 2 года назад
Huyu mwanamke ni mchuga ndio maana ...hana adabu
@eliyazacharia3392
@eliyazacharia3392 2 года назад
mi naamin kakuacha kwa meng tu mana nyie cjui mungu aliwaumba kwa vumbi LA kongo
@maryemmanuel5735
@maryemmanuel5735 2 года назад
New video by Jux, sina. ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-rPskGsouYk4.html
@luganomwakyusa7697
@luganomwakyusa7697 2 года назад
😃😃😃
@sharriffcharo1915
@sharriffcharo1915 2 года назад
hata mimi nakuacha
@omaryally5555
@omaryally5555 2 года назад
Hana lolote huyo dada inaonekana alishamchoka beka na ndio maana SMS ilivyompata Tu akaona achukue sababu ya kuondoka bila kukaa kufikilia mahusiano yake au malezi sahihi ya mtoto wao. Yani kwa ufupi ni mtu aliyekua anatafuta sababu ya aina yeyote ili aondoke.
@maryemmanuel5735
@maryemmanuel5735 2 года назад
New video by Jux, sina. ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-rPskGsouYk4.html
@rich.kizza10
@rich.kizza10 2 года назад
Sure kbs
@KoreanDramaMoviesKiswahili
@KoreanDramaMoviesKiswahili 2 года назад
😂😂😂
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 2 года назад
Nouma ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-hPfGDMQuh3M.html
@maryemmanuel5735
@maryemmanuel5735 2 года назад
New video by Jux, sina. ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-rPskGsouYk4.html
@hamisihasan2865
@hamisihasan2865 2 года назад
Hakuna msanii mwenye mke ambae ni vixen
@maryemmanuel5735
@maryemmanuel5735 2 года назад
New video by Jux, sina. ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-rPskGsouYk4.html
@kulwawebina5315
@kulwawebina5315 2 года назад
Akili hauna kbs ww unaonekana huna adab kbs kwa mumeo nyoko ww
@lilianhumphrey8399
@lilianhumphrey8399 2 года назад
Dada nmekupenda mno mwanamke unatakiwa kuwa hivyo upo kama Mimi yan haina kubembeleza mapenz
@kasangaone
@kasangaone 2 года назад
Hahaha utaishia kuchezewa
@lilianhumphrey8399
@lilianhumphrey8399 2 года назад
Awaap
@rwebangirarutta5558
@rwebangirarutta5558 2 года назад
Unapaswa kuwa na makubaliano kwanza
@makiwilson2322
@makiwilson2322 2 года назад
Sepa
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 2 года назад
Kumbe kana kiburi aka inaonekana alishamchoka mwenzie. Ndio tatizo la kupenda picha badala ya mtu mwenyewe. Beka aliwekewa sura ya uyu akati aliekuwa anatongozana nae ni mwingine 😳
@mwasoprince3459
@mwasoprince3459 2 года назад
Nyau harufu ya umalaya hovyo kabisa.kishatombwa huko ndio maana hakikuona ulazima wa kumuomba mume wake.
@janewanjiku5673
@janewanjiku5673 2 года назад
When you see a woman accepting a quit it didn't start now maybe she was already tired
@mosakaraideniiraidenii9069
@mosakaraideniiraidenii9069 2 года назад
Uyu malaya2 Hana jpya etii haumii utajutia mbna
@maryemmanuel5735
@maryemmanuel5735 2 года назад
New video by Jux, sina. ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-rPskGsouYk4.html
@janemapoz6360
@janemapoz6360 2 года назад
Singeli inayotamba ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-wxfTfu0_S6U.html
@salminejuma6743
@salminejuma6743 2 года назад
Wew ni chizi na usijione umeshinda huwezi fanya kitu pasina kumshirikisha mwenzio hujataka hata kujua chanzo cha maamuzi wala hata kupambania mahusiano yenu jinsi ulivyo na kiburi, na mmi nakuhakikishia bila kurudi kwake utaisha kama huamini twende tunza hii comment utakua tambara la deki utadekiwa sana "time will tell". Tumewaona wengi kama wewe huku mtaani.
@charlesmyamba8531
@charlesmyamba8531 2 года назад
Wwe kidada unadharau video ya pili unataka akuelewe tu Kam so dharau ni Nini achaga izo Bila beka tusingekujua jua iloo..
@maryemmanuel5735
@maryemmanuel5735 2 года назад
New video by Jux, sina, ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-rPskGsouYk4.html
@ezekielmugeta2427
@ezekielmugeta2427 2 года назад
Dah an hapa hkna kitu wanawake bhna anaefnya mahojiano nae kaz udangaj tu
@odenlwila8390
@odenlwila8390 2 года назад
Huyu kama sio m mbulu anapakuliwa pale konde gang anajishaua tu haya pambana sasa huyu ni aina au jamii ileile ya mke wa marehemu firikunjombe
@maryemmanuel5735
@maryemmanuel5735 2 года назад
New video by Jux, sina. ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-rPskGsouYk4.html
@jamesmakari9028
@jamesmakari9028 2 года назад
Nyie wanawake watanzania mna upumbavu sana,,,eti niliheshimu huamuzi wake,,wewe huwezi pigania penzi lako
@abdillahiali4170
@abdillahiali4170 2 года назад
ukiona hivyo hampendi
@cetus7885
@cetus7885 2 года назад
Demu nae angenyenyekea mapenzi ndo yalivyo bana
@maryemmanuel5735
@maryemmanuel5735 2 года назад
New video by Jux, sina. ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-rPskGsouYk4.html
@motiontz3722
@motiontz3722 2 года назад
Kiuhalisia huyu mwanamke ni mshenzii tena sio kidogoo kisaikolojia anaonekana tuuu ni nyoka
@ayoubmakori8680
@ayoubmakori8680 2 года назад
Ulifanya kosa kubwa Sana ikionyesha dharau why usingeomba ruhusa kwa mumeo "na inaonekana uliamua kuchana na unamjua anamaamuzi ndomaana ukaamua kusema wacha uamue ivo
@hellenpaul2149
@hellenpaul2149 2 года назад
Ulishakua na mtu pia mlishazaa mtoto ulipaswa kumuliza yeye kwanza kabla ya kufanyaa video ungemheshimu ulikosea kujiamulia mwenyewe
Далее
HIKI NDICHO WANAUME WANATAKIWA KUFANYA KWA WAKE ZAO
3:52