Binti huyu alibahatika kupata mtoto akiwa na umri wa miaka 15,ambapo kwa mujibu wake anasema alikuwa na akili za kitoto hivyo mtoto wake akawa analelewa na mama yake mkubwa huyo binti.Mama mkubwa alikuwa akifanya kazi katika kituo cha watoto yatima huko chanika.
Kilichotokea Dada huyo aliondoka nyumbani na kumuacha mtoto akilelewa na Mama mkubwa (Bibi wa mtoto).Sasa baada ya miaka kadhaa kurudi nyumbani ndipo anakuta mtoto wake hayupo...!
Fwatilia tukio hili umsikilize vizuri binti huyu akielezea mwanzo mwisho.
#geahhabibu #GeahTv #MatukioyaGeah
5 авг 2020