Тёмный

BODI ya SUKARI YAVUNJA UKIMYA, YAJIBU HOJA za MBUNGE LUHAGA MPINA KUHUSU SAKATA LA SUKARI,"ni Uongo" 

HABARIMPYA TV
Подписаться 613 тыс.
Просмотров 4,9 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

4 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 34   
@irenekalinga323
@irenekalinga323 16 дней назад
Huna point Mzee nchi inawatu waelewa ila ipo siku mtajuta tutakumbizana Kama kuku mitaani nyinyi tuchukulieni Kama hatujielewi
@ChristineElias-bn4dw
@ChristineElias-bn4dw 17 дней назад
Nenda kwenye point achana na kutoa mifano Alfu mtuachie mpina wetu
@mickyjoseph5492
@mickyjoseph5492 16 дней назад
Mafisadi plus mafisadi is equal to mafisadi plus plus.
@user-oh6pc7zd4s
@user-oh6pc7zd4s 16 дней назад
Hata Mpina ndie fusadi mkubwa alikuwa kwenye serikali ya kifisadi akiwa waziri.serikali hiyo ilikthiri kweye mauaji,utekaji,ubambikiaji watu kesi za uongo,kupiga watu risasi tena kenye bunge uwanjani mchana kweupe huku akina mpina wakiwa wanezizima camera za cctv wakiwanyanganya watu mali zao na kuzichukua wao binafsi mfanno prebargaining mabilioni yote yale yaliyochukuliwa hayakurudi hazina,wizi wa uduwani na wabunge nchi nzima mpaka pemba ushenzi wote huo waratibu walikuwa ni akina mpina.Huna unalojua wewe unazikiliza uvumi tu nenda kacheze kifuuu na mchanga.
@w.j6088
@w.j6088 16 дней назад
Muhuni tu naye huyu hana point yoyote, wananchi siyo vilaza tena
@fredysiwale5413
@fredysiwale5413 16 дней назад
Mwizi ameletwa kuwatetea wezi . Hilo jedwali lake hakujibu hoja za mpina twambie kwa nini waagizaji walisamehewa kodi wao wakatuuzia bei juu. Mzee danganya ulio wahonga sio sisi tunao kutazama na kukusikiliza.
@EmanuelMandoo
@EmanuelMandoo 16 дней назад
Porojo za nini! why bei iko juu kuliko nchi za jirani
@OscarAsukenie
@OscarAsukenie 16 дней назад
Kuna wakati najiuliza, hivi mungu baba hawa watu wanaofisadi nchi yetu hawaoni? Kwa nini asiwazime chap wapumzike watuachie nchi yetu!!! Daah mungu baba sema na nchi yetu tunaibiwa sana.
@zxcvbnmmkh
@zxcvbnmmkh 16 дней назад
Nguo zimeshavuka siku nyingi. Uongo wa Mpina kama wanavyodai ujibiwe kwa taarifa ya kitaalamu waambatanishe ushahidi kama Mpina ili ijulikane, wazi. Pia watuambie vielelezo vya Mpina amegushi ama ni halali, je kwa mujibu wa sheria utaratibu ulifuatwa ama ni maamuzi ya watu wachache?. 😮😮😮
@KimonKambene
@KimonKambene 16 дней назад
siasa nyingi sana
@OscarAsukenie
@OscarAsukenie 16 дней назад
Ukiona jambo linatajwa wazi baada ya kusemwa na mbunge, kuna asilimia karibu 80% jambo hilo lilikuwa na watu wengi nyuma yake. Kwa nini wasiseme kabla ya mpina kusema?
@napoleonmutungi6866
@napoleonmutungi6866 17 дней назад
Nadhani huyu anapotosha kusema serikari haiweze kuhujumu kampuni ambazo ina hisa kwani wanaohujumu ni watendaji sio serikali kama entity
@machujamathias7165
@machujamathias7165 16 дней назад
Leo ndio mmetoka mlikuwa wapi, afuu baada ya mkubwa wenu kukamatwa, unaonesha sura ya mla rushwa
@billimambo9517
@billimambo9517 16 дней назад
Bashe anatapatapa alishapigwa BAO na kamanda mpina
@user-ze6lx9ng6s
@user-ze6lx9ng6s 16 дней назад
Ninyi bodi ni genge la, mafisadi, waziri bashe ni wakutumbuliwa,
@MrutaJusto
@MrutaJusto 16 дней назад
Katumwa huyu
@PeterNyange-o5v
@PeterNyange-o5v 16 дней назад
Mmmm
@hamisijuma3276
@hamisijuma3276 16 дней назад
Heri ungenyamaza, unazidi kuharibu mada
@musahamza7086
@musahamza7086 16 дней назад
Jizi hata kujieleza linashindwa
@richardnott4403
@richardnott4403 16 дней назад
Mbona wazalishaji juzi wamesema hawaitambui hiyo sukari iligizwa nani
@user-gx4jx4gv9l
@user-gx4jx4gv9l 16 дней назад
Huyu mwizi tu.
@AnnoyedDove-oo3kk
@AnnoyedDove-oo3kk 16 дней назад
Hoja ni kwamba kwa nn sukari bei juuuuu mpina is correct hata usituchanganye mzee
@SanziNzige
@SanziNzige 15 дней назад
Hii NCHI magufuli aludi jamani MUNGU mludishe magufuliii?.tumeachiwa Nini hii Sasa jamani
@user-lx7ez3rq4c
@user-lx7ez3rq4c 13 дней назад
Machawa na makupe
@MusaOgwoko
@MusaOgwoko 15 дней назад
Wako wengi ufasadi hoeeeee
@hildandumbalo5827
@hildandumbalo5827 17 дней назад
Mh Mpina kawatikisa sasa ni Sukari tu mwachieni mzalendo huyo
@waluohopaulo2116
@waluohopaulo2116 17 дней назад
Mpina alitumwa na wafanya biashara wakora wenye wana ficha sukari ndio bei iongezeke wapate faida haramu
@linogodson6478
@linogodson6478 16 дней назад
Tatizo sio uagizaji tatizo mfumo WA Serikali umefuatwa kama kanununi ilivyotajwa anaetakiwa kuagiza NI mzalishaji
@barakakevela245
@barakakevela245 16 дней назад
MUWE MUNAWEKA MAMBO MAPEMA ILI KUFANYA WATU WASIILAUMU SERIKALI NA NDUGU YANGU BASHE SASA MNAMUACHA BASHE MPAKA ANACHAFUKA
@ZainabuBakari-yb4vj
@ZainabuBakari-yb4vj 16 дней назад
Kweli kabisa
@SanziNzige
@SanziNzige 15 дней назад
Pumbafu wewe mnatetea wizi hakuna lolote.tika hko huna lolote na kabashe kako
@JacksonBoaz-yu8uk
@JacksonBoaz-yu8uk 15 дней назад
Acha kutudanganya mzee alieleza ukiona watoto wasimba wanachezacheza jua kuna mama yao ama baba yao nyuma,sisi siyo wajinga hizo poropoganda kamweleze mke wako
@jumatophili
@jumatophili 16 дней назад
Muogo wewe
@OscarAsukenie
@OscarAsukenie 16 дней назад
Kuna wakati najiuliza, hivi mungu baba hawa watu wanaofisadi nchi yetu hawaoni? Kwa nini asiwazime chap wapumzike watuachie nchi yetu!!! Daah mungu baba sema na nchi yetu tunaibiwa sana.
Далее
Кто быстрее? (GTARP)
19:19
Просмотров 453 тыс.
Mpina ajibu wanaosema anaipinga Serikali
38:01
Просмотров 46 тыс.