Hata Mpina ndie fusadi mkubwa alikuwa kwenye serikali ya kifisadi akiwa waziri.serikali hiyo ilikthiri kweye mauaji,utekaji,ubambikiaji watu kesi za uongo,kupiga watu risasi tena kenye bunge uwanjani mchana kweupe huku akina mpina wakiwa wanezizima camera za cctv wakiwanyanganya watu mali zao na kuzichukua wao binafsi mfanno prebargaining mabilioni yote yale yaliyochukuliwa hayakurudi hazina,wizi wa uduwani na wabunge nchi nzima mpaka pemba ushenzi wote huo waratibu walikuwa ni akina mpina.Huna unalojua wewe unazikiliza uvumi tu nenda kacheze kifuuu na mchanga.
Mwizi ameletwa kuwatetea wezi . Hilo jedwali lake hakujibu hoja za mpina twambie kwa nini waagizaji walisamehewa kodi wao wakatuuzia bei juu. Mzee danganya ulio wahonga sio sisi tunao kutazama na kukusikiliza.
Kuna wakati najiuliza, hivi mungu baba hawa watu wanaofisadi nchi yetu hawaoni? Kwa nini asiwazime chap wapumzike watuachie nchi yetu!!! Daah mungu baba sema na nchi yetu tunaibiwa sana.
Nguo zimeshavuka siku nyingi. Uongo wa Mpina kama wanavyodai ujibiwe kwa taarifa ya kitaalamu waambatanishe ushahidi kama Mpina ili ijulikane, wazi. Pia watuambie vielelezo vya Mpina amegushi ama ni halali, je kwa mujibu wa sheria utaratibu ulifuatwa ama ni maamuzi ya watu wachache?. 😮😮😮
Ukiona jambo linatajwa wazi baada ya kusemwa na mbunge, kuna asilimia karibu 80% jambo hilo lilikuwa na watu wengi nyuma yake. Kwa nini wasiseme kabla ya mpina kusema?
Acha kutudanganya mzee alieleza ukiona watoto wasimba wanachezacheza jua kuna mama yao ama baba yao nyuma,sisi siyo wajinga hizo poropoganda kamweleze mke wako
Kuna wakati najiuliza, hivi mungu baba hawa watu wanaofisadi nchi yetu hawaoni? Kwa nini asiwazime chap wapumzike watuachie nchi yetu!!! Daah mungu baba sema na nchi yetu tunaibiwa sana.