Тёмный

MBOWE BALAA! AKINUKISHA MOSHI MJIN, ATANGAZA VITA RASMI NA CCM, WANANCH WAIKATAA CCM, MBOWE ASHANGAA 

Mwanzo TV Plus
Подписаться 162 тыс.
Просмотров 17 тыс.
50% 1

Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE RU-vid Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Опубликовано:

 

10 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 60   
@davidmpiluka5224
@davidmpiluka5224 27 дней назад
Hapo nimependa. Wanaume mpo kazini kweli kweli. Vyovyote vile ilivyo au itakavyokuwa, kwa sasa mabadiliko ni lazima.
@user-ng1zw7gk5w
@user-ng1zw7gk5w 27 дней назад
Mungu ibariki chadema
@MayleenDonaldharris
@MayleenDonaldharris 26 дней назад
Nilikuwa ccm kipindi Cha magufuli, toka afe rais wawanyonge ccm siitaji tena
@TNgwale-eu3xl
@TNgwale-eu3xl 26 дней назад
Hongera sana Mheshimiwa Mbowe
@MageAwe-hl5zb
@MageAwe-hl5zb 26 дней назад
Hongera baba hukuna kulala wala kusinzia Mungu akutie nguvu na awatangulie kila mahali
@coolruler6820
@coolruler6820 27 дней назад
Mbowe anastahili kuwa mwenyekiti wa kudumu chadema,,,Mwamba hayumbi hayumbishwali, tangu namjua ni mzee wa kunyoosha, mpinzani wa kweli asiye na wa kupimana linapokuja swala la vyama vya upinzani
@ceciliamagalabajimmy4391
@ceciliamagalabajimmy4391 27 дней назад
Ndio maana wenzetu wanakusanya wanafunzi na walimu kuhudhuria mikutano yao! Mmmmmh, malori mangapi yangebeba nyomi hiii?
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 26 дней назад
Hahahaaaa
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk 27 дней назад
Ccm ndiyo maana hawalali wakisikia sauti ya Simba Mbowr ikitema madini yenye afya!
@FrankMwakatundu-cu6bd
@FrankMwakatundu-cu6bd 27 дней назад
NAAM HUYU NI KIBOKO CHA CCM!!!
@SundaySteven-bz4yq
@SundaySteven-bz4yq 27 дней назад
Viongozi hawa viongozi wanadanganya watanzania et wawe wazalendo ili wazidi kuwakandamiza wao wakila kodi zetu ubwege
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 27 дней назад
Kwa hiyo wewe unaona Heri ccm iendelee kuiongoza kwa hicho Kikundi kilichopo kwenye baraza la mawaziri tu, na nchi ikiendelea kukatwa vipande vipande sio??
@ARABIMAARUFU
@ARABIMAARUFU 20 дней назад
We Sunday k
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 12 дней назад
Viva Chadema ✌️✌️💪 Chadema Ni Mpango Wa MUNGU #CcmMustEnd
@user-cj2iq1qv6n
@user-cj2iq1qv6n 27 дней назад
CCM Wabaguzi Sana Kwenye Erimu Ndio Maana. Hata Wabunge Wanajirudia Km Babako Alikua Mbunge Na Ww Utakua Mbunge Ccm Walaniwe
@IssaAlly-lp4uf
@IssaAlly-lp4uf 27 дней назад
Kenya wako vizuri kielimu
@TNgwale-eu3xl
@TNgwale-eu3xl 26 дней назад
@IssaAlly-lp4uf Sanaa tu na huo ndio ukweli. Elimu yao inawafungua akili na kuwapa uwezo wa kupembua na kuchanganua mambo ya maisha ya jamii, siasa na uchumi. Na wanaijua vizuri Katiba ya Nchi yao: wajibu wao na haki zao. Tofauti na ya Elimu ya Tanzania inayozalisha Machawa kuanzia Profs, Drs, hadi wanaojiita Wasanii.
@francissimwinga-gb2vd
@francissimwinga-gb2vd 26 дней назад
Chezea chadema wewe people's powee
@IssaAlly-lp4uf
@IssaAlly-lp4uf 27 дней назад
Allah ibariki chadema kwenye ushindi
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 26 дней назад
Ndoto
@godfreybitakama9845
@godfreybitakama9845 27 дней назад
Tunabaki machinga na boda boda
@GasparMfoi
@GasparMfoi 23 дня назад
Iikitu mbona inaeleweka wa Tanzania tubadilike tujitambue
@IdrisaTuppa
@IdrisaTuppa 25 дней назад
Kwenye Lugha Manga Mkono.Watu Wanaenda na Wakati Tibadilike. CCM Tumewachoka.
@RodrickMmanyi-lr6lr
@RodrickMmanyi-lr6lr 26 дней назад
Shkamoo Mh. Mbowe.
@STEVENRingo-vf7ox
@STEVENRingo-vf7ox 27 дней назад
Jamani hizi tozo zinaumiza umeme wameongeza Kodi sasa elfu mbili Kila mwezi vitu muhimu vyote petrol nondo cement bado hata choo tutadaiwa Kodi
@JeremiahMwakanyamale
@JeremiahMwakanyamale 26 дней назад
kinachotuleteleza ni nchi kuwa na mambumbumbu wengi,,bahatimbaya hatawasomi,vyuo vikuu nawengine waliotoka ujinga hawana mtazamo wakuitetea nchi. jamani Tanzania tunatia huruma.
@GasparMfoi
@GasparMfoi 23 дня назад
Tunataka kadi jamani
@TNgwale-eu3xl
@TNgwale-eu3xl 26 дней назад
Haya matatizo na ujinga wote huu unaanzia ktk shule zetu. Elimu yetu haitengenezi Critical and analytical thinkers bali watu wasiofikri vizuri na waoga. Watu wasiojielewa na ndio maana tuna wasomi ovyo, wasanii ovyo ..machawa chawa tu wa kutetea matumbo yao ..wapuudhi mno. Angalia wasomi wa Kenya, wasaanii wa Kenya graduates wa kenya wako smart na very intelligent. Mfumo wa elimu inatakiwa ubadilike
@user-zm7kk1tr5l
@user-zm7kk1tr5l 26 дней назад
Kufa kondagita kufa derava mabadiriko lazima
@faithagrey962
@faithagrey962 26 дней назад
Wametudanganya ,kupeleka umeme vijijini kwa bei rahisi, kumbe ni mpango, wa kupata kodi ya arthi ,mpaka kwenye nyumba za makuti,,
@ceciliamagalabajimmy4391
@ceciliamagalabajimmy4391 27 дней назад
Inauma sana. Soko la ajira hatuna. Lugha mama kisukuma, lugha ya pili kiswahili tena cha kuvunjikavunjika aka broken.
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 27 дней назад
Mkichukua nchi viongozi wote walipe kodi zao. Katiba mpya ilazimu viongozi walipe kodi. Katiba itoe kinga za viongozi wote wahujumu na waadhibiwe. Wote waliohusika kuhujumu nchi washtakiwe.
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 26 дней назад
Kwani hiki chama ni cha kaskaziniiii........😂
@MageAwe-hl5zb
@MageAwe-hl5zb 26 дней назад
Waambieni watu wajiandikishe pamoja na mambo yote kila mtanzania wajiandikishe na wapige kura
@dillonfoya
@dillonfoya 26 дней назад
Kanda Kaskazini Majimbo yote tuhakikishe yamekuwa upande wetu
@user-zm7kk1tr5l
@user-zm7kk1tr5l 26 дней назад
Mbowe oyeeee hapa kazi akuna kulala mpaka kieleweke
@user-iv6pr8ze1x
@user-iv6pr8ze1x 27 дней назад
kaza mwendo kamanda
@sophiemsuya6507
@sophiemsuya6507 27 дней назад
Kwetu kuna mafao ya wenza wa viongozi ila waztaafu wengine wenza wao anapewa bima ya afya tu😅😅😅
@odoieriasmonga6591
@odoieriasmonga6591 27 дней назад
MWAMBA NADANI YA MOSHI TOWN,PIGENI KAZI WAPENDWA
@StevenGendo-vx9jo
@StevenGendo-vx9jo 27 дней назад
Huwa naumiaa Sana ninapoyaona magari yanjano, huku Asante kayumba mtoto anapewa mtihan anaulizwa et katibu was shule anaitwa nani? Jaman inauma Sana jina la katibu wa shule linamsaidia nn mtoto. Daaaa!
@IssaAlly-lp4uf
@IssaAlly-lp4uf 27 дней назад
Haya yote ni sahihi alio ongea mbowe kingereza muhimu mwenye akili ataerewa
@IssaAlly-lp4uf
@IssaAlly-lp4uf 27 дней назад
Ndio mana atupati maendereo ya haraka kwakufuja pesa kwa mamboyao binafsi
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 26 дней назад
Nyerere alijenga viwanda alipotoka tu wakaanza kuviuza. Dhambi mbaya aliyoifanya Mkapw wa CCM na Kikwete anaendeleaza na mpaka leo anamshauri mama yake amemalizia kuuza Bandari zote Tanganyika hapo hapo Zanzibar imejiyoa kwenye muungano lakini CCM wanaimba ati muungano wetu umekuwa kweli akili matope ta watawala wa CCM
@JoseSimon-mt6oc
@JoseSimon-mt6oc 26 дней назад
Aman ndo kila kitu
@ChristianMkumbo-ix2ke
@ChristianMkumbo-ix2ke 27 дней назад
Simba anaguruma tusikilize
@aloycemruma6552
@aloycemruma6552 27 дней назад
Waelimishwe. Wajiandikishe kwani hapo.ndipo penye ushindi
@rosestigeneriksson8387
@rosestigeneriksson8387 24 дня назад
Sembe chapa kitambi
@TNgwale-eu3xl
@TNgwale-eu3xl 26 дней назад
Sasa Watu kama kina Mwinjaku na Steve Nyerere Wanachangia nini katika pato la Taifa! Hawa ni Machawa tu ambao kazi yao ni kunyonya kodi za Wananchi.
@eliudmugendi9619
@eliudmugendi9619 27 дней назад
Unayempinga kamanda tulia wewe ni chawa
@josephkmarwa7425
@josephkmarwa7425 27 дней назад
Viongozi..wetu .wakiaka..asubuhi..wanashika..tumbu..leo..nile..nini..masikini..anawaza..leo..nitapata..wapi..matembele..na..nyanya..chungu😭😭😭😭😭🙏🙏..wakati..umefika..maisha..ni..yetu
@TNgwale-eu3xl
@TNgwale-eu3xl 26 дней назад
Watanzania Bajeti inapitishwa, Mwigulu anawatukana kuwa kama hawataki kulipa tozo waende Burundi ... watoto wa Tanzania .graduate wa Vyuo Vikuu hawana habari ..wanashangilia Manchester United na tamasha za muziki za kipuudhi za Wasanii Machawa 😂😂😂😂
@user-dk3ou5yk2f
@user-dk3ou5yk2f 25 дней назад
Kama kwenu Kenya Nenda zako Tuache Watanganyika na Rais wetu MBOWE
@user-wh3tb9ve8x
@user-wh3tb9ve8x 27 дней назад
Mbowe tusemee tupate ajira
@AiserAli-mq6sz
@AiserAli-mq6sz 27 дней назад
Wacha uongo mm ni mkenya hapa
@user-mo3ik6go6r
@user-mo3ik6go6r 27 дней назад
Hata Kenya wapo mazuzu
@FrankMwakatundu-cu6bd
@FrankMwakatundu-cu6bd 27 дней назад
Ni Mkenya MBUMBU!!! Labda ulizaliwa Tanzania umehamia tu Kenya ndiyo sababu ni MBUMBU.
@TNgwale-eu3xl
@TNgwale-eu3xl 26 дней назад
Kweli kabisa ..ni chawa wa Tza aliehamia Kenya..hakuna mpumbavu hivyo ​@@FrankMwakatundu-cu6bd
@saivellybrutally2994
@saivellybrutally2994 26 дней назад
Bainisha uongo ni hupi.
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 26 дней назад
Mkenya waambie mazuzu hawa
Далее
СМОТРИМ YOUTUBE В МАЙНКРАФТЕ
00:34
Просмотров 1,4 млн