Mm nina uhakika huyu mwamba ni hatari sana sema anatengenezewa figisu nyingi sana kwenye carier yake ya muziki wake na hata hao wa nigeria nahisi kuna mambo wanamfanyia huyu jamaa etu ili tu asipenye huko na kutambulika kama wao ,ila wakati wake huyu jamaa upo na soon tu atawashangaza wengi mno maana jasho lake analolipambania mungu atampa neema katika hilo kikubwa a focus tu basi hayo maneno kuongeleka kawaida 🦁💪🔥
Wanaijeria kwanza hawana Tena Ushindani ndani ya Bara la Africa Jamaa washatoka huko Zamani sana, hakuna figisu Mungu kaumba vitu tofauti na kila Mja ana Riziki yake sifahamu kwa nini Watu wanapenda kumsindanisha fulani na fulani
@@Zanzibar2023Zanzibarzanzibar sawa ila Kuna wakati mwingne mzee hizi mambo zipo katika Sana hyo huwezi jua mm nachoamini sahv huwezi SEMA eti Rema kufanya makubwa kuliko diamond ila tu ndo hvyo wenzetu Wana ile hali ya kushikana mkono kivyao kwahyo mond anakosa sapoti kubwa mno ndo maana anaonekana wa kawaida katika shoo Kama zile wanampangia mda wa show Kama msanii chipukizi kwahyo lazima mondi atafute watu wenye nguvu huko nje ili atoboe zaidi hii ni vita mzee ni kupambana kwelikweli
@@amosmemba9926 yeah ni juhudi zake tu inatakiwa ili afike zaidi mungu atamsimamia katika hilo kikubwa ni ukishakuwa na uthubutu lazima mambo yajibu vzuri
Ifike muda tuwe wazalendo naminii mungu atakujalia sana ngugu yangu muhimu nikupambana kwani kupafomu usiku ndio kuna vibe watu kama watu wanakupenda inatosha
yani apo asipoteze muda awekeze kwenye komasava dunia imjue vizur aliikwe kwenye mashow makubwa alfu atoe pap album ya makolabo makubwa au EP kwisha sas yeye anataka kujivuta muda unazidi kwenda anapoteza nafasi nyingi za kujidhihirisha ukwabwa wake kidunia maana hajawai hata kujaza watu aolfu10 kwa kuanda show yake kimataifa sasa bado watamjuona wakawaida hits zake zinaishia africa sana za mond tofauti na wenzake wakishaona hii ni hits wanaitafutia kuipa ngumu awapeke zaidi awapotez muda hv kwanin ajifunze kwa wakina CALM DOWN , TA TA TA , WATER , PERU , SOSO , TETEMA NA zingine nyingi
From Congo APA 🇨🇩🇨🇩 kwanini mnashidwa kumpa mahuwa yake #mondi amepanda jioni mnasema asingepanda mgesema kaogopa show ebu achani upumbavu wa namnaiyo uyo ni msani mkubwa Sana #mondi mpeni eshima yake
Juzi Vanny kaalikwa Albania wakaanza kumdanganya kasepa na watu Elfu 20 wakati show ya Mtu Mwengine hizi Media za Kibongo zinawadanganya sana Wasanii na Ndio mana wanashindwa kufanya vizuri
Cha utoto amesema wao ndo mwanzo kutoa ngoma za kidunia ,sasa rema sunajua kwamba ameshatowa mbele ya diamond ngoma ya kimataifa ,sisi cha kufanya nikumuunga mkono ,atafanya maajabu tu 🙏
HUYU JAMAA ALIKUWA ATOBOWE WAKATI HULE DAVIDO KAMPA COLABO ANAZALILISHWA KUANZA KUFUNGUA SHOW KAMA UNDERGROUND OR UNDERDOG ARTIST DAH HURUMA SANA NATAMANI KULIA 😭😭😭
Kawatukana wa Nigeria 🇳🇬 eti wamigia kwenye mfumo, leo anakuja kulalamika. waandishi muwe munakuwa wakweli mukiendelea na hii tabia yakuwa munawasifia wasanii vitu vya uongo mutakuja kuua vizazi na vizazi vya wasanii chipukizi
@@mrenobishoo1118 Hilo hakuna ambae hajui mda mwngne watu wanafanya hivyo waingize hela sasa ww chukulia Kila ktu serious humu kwenye mitandao utaumwa kchwa
Oooh mimi wa Nigeria hawaniwezi oooh mimi ndo msanii mkubwa kumbe unadandia show za watu wanakupa utanguliz uluke sarakas mchana usiku wanapigakaz chibu aache kujitunisha sio hatumpendi hapana ila nguvunyingi kuliko uwezo hatimae wa Nigeria wanampuuza
Tatizo kolo bado kolo unamvyo mponda huyu dogo jitasimini mwenyewe kwanza hay hizo kenge mnazo zifia hazoja Wai hata kuparfamance afro national zaodi ya huyo mnae ssema mwambino kila mwaka yeye lazimama awepo sasa wewe mwaija mkongo man unaonge sana inabidi tukufuatia kiulaia
@@ce-08 Sifikirii kama lengo ni kuingiza Mkwanja mana Jamaa ata akifanya Show za buku buku Chamanzi tu basi ataingiza Mkwanja, Issue ni kutafuta Heshima na kupanda Juu zaidi
@@WahuBoth Mimi nilivyona Ile clip anasema wamejaa kwenye mfumo wamejaa kwenye mfumo nilidhania kuna kitu kinakuja bora kumbe mambo yenyewe ya kupafomu mchana
@@Zanzibar2023Zanzibarzanzibar n kweli lengo kufika juu kmataifa ila hela anayoingiza huko sio ya chamanz napia hatumii nguvu kubwa km angefanya show Tz
Why can’t you Tanzanians organize your own Afro Nation and leave Nigerians who organized it alone? You think it is easy to pull up a show like that? Leave Nigerians artists alone. We no longer represent Africa, our music is now global with a force to reckoned with..
Angekuwa harmoniz apo au rayvan mapovu yangewatoka sema mondi ni MTU ana nusu akili ake inaelewa sana anajibu vitu vizur sana kwanza ajifanyi mkubwa ndo maana ukubwa unamfata 🔥🔥baba tufikishe nchi ya ahadi
Kila siku nawambia nyie sns kuwa sikuhizi nyote ni team wcb na nikiwa nawambia kila siku kuwa mdawake uliisha huu ni mda wa Harmonize na Rayvany . Atoke hapo mjinga tu na bado sikukoja watakuja kumzomeya
Tatizo letu moja tukiongeya mtasema tunamuchukiya ila mond tunampenda muda tumempeya naviletunaitaji kwake kwasasa bado hatujavipata Msani Rema siyo wakwimba yuma ya mond ila ndoivo wa Nigeria wametupita saaaaana
Mbona Lema kapiga show kabla ya kupanda diamond hatukatao Nigeria wametutangilia ila lazima tumpongeze hapo alipofika mbona hajaitwa alikiba kupiga show huko
akili mtu wangu, concert yenyewe Ni ya artist wa afrobeats wengne wanaalikwa tu kutokan na kufany vizur apa Africa so artist wa bongo kuperfom usiku kweny show ya afrobeats sio rahis, afu et wanamsifia uongo emb nitajie msanii wako apa bongo nmweny uwezo wa kuperfom Europe Zaid ya dakika kumi, Taj nyimbo Kam tano ivi za uyo msanii wako🤣🤣
Ifike muda tuwe wazalendo naminii mungu atakujalia sana ngugu yangu muhimu nikupambana kwani kupafomu usiku ndio kuna vibe watu kama watu wanakupenda inatosha