Тёмный

#EXCLUSIVE 

Global TV  Online
Подписаться 4,9 млн
Просмотров 195 тыс.
50% 1

#EXCLUSIVE:LULU AVUNJA UKIMYA - "NIMETUA MZIGO wa MAMA KANUMBA, MSALABA NILIOUBEBA NITAUBEBA HADI KUFA"...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

7 сен 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 292   
@globaltv_online
@globaltv_online 10 месяцев назад
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
@HabimanaAbdaul
@HabimanaAbdaul 10 месяцев назад
0aaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0l0aaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaa
@HabimanaAbdaul
@HabimanaAbdaul 10 месяцев назад
L0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaa9aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaal0aaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaa9aaaaaaaaaa0a0a9a0aa0aaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaa9aaaaaaaaaaaal9aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa9aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaal0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa90aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaa9aaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@HabimanaAbdaul
@HabimanaAbdaul 10 месяцев назад
L0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa9aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@lizzybeth6344
@lizzybeth6344 10 месяцев назад
Mweee mdogo angu wa shule lulu na mtaani kwetu tabata mungu akubariki dada ako wa shule nilikuwa nakuetetea kishule shule mtaani,,kwako mimi apa jina la shule dada ako bwasile wajina wako elizabeth,,baunsa wako kishule shule,,,
@lizzybeth6344
@lizzybeth6344 10 месяцев назад
Lulu dada ako apa,,mimi apa bwasile apa mi kishule,,kishule shule,,,tabata chumba kimoja mimi pia nilikuepo mamy,,,,nilikuwa nakusindikiza hadi kanisani baby wangu kipindi unasomoea ,,,izi moments uwezi kuzisahau mdogo angu global please,,,nikiiimuita tu kimemeta ndo jina nalopenda kumuitta ilo jina la ukoo uwa namuita mimi tu,,tokea shule,...
@bethwambui7581
@bethwambui7581 9 месяцев назад
This girl is very wise, I love the way she answers and expresses herself. Big up Lulu.
@ernestmwakalambo3938
@ernestmwakalambo3938 10 месяцев назад
Lulu nakupenda jmn huna baya na mtu, ni mtu unaejiheshm sana Mungu akupe maisha marefu 💞
@halimasanga3830
@halimasanga3830 10 месяцев назад
Kwa hili la mama Kanumba umezidi kudhihirisha kuwa wewe ni mnyenyekevu wa viwango vya juu. Mungu azidi kukubariki.
@joycerusimbi5083
@joycerusimbi5083 10 месяцев назад
Nimekupenda Lulu uko na hekima sana Mungu azidi kukulinda na kukuinua zaidi katika kazi zako.
@rosehaule6765
@rosehaule6765 10 месяцев назад
Mtoto huyu kichwani yupo vizuri mnoo sana awee lulu umenyookaaa❤
@happymarwa4517
@happymarwa4517 10 месяцев назад
Hongera sana kwa kujua huyu mama anaumia sometimes ila hii imetokana tu! Na lulu kuzaa umeelewa uchungu wa mwana
@marykarebeti9410
@marykarebeti9410 10 месяцев назад
That is Liz That is my lulu, anaeangalia baraka zaidi ya mapito. Nakupenda sana mdogo wangu. Mungu aendelee kutunza hekima yako.
@Mimi-wf7mb
@Mimi-wf7mb 10 месяцев назад
Lulu wewe ni mzuri naturally. Huhitaji makope ya kubandika na makucha ya kichawi. Utukufu kwa Mungu Baba
@umfahad2609
@umfahad2609 10 месяцев назад
Nakupenda sana Lulu. Nakuombea udumu ktk ndoa yako. Nimefurahi kuckia unaheshimu ndoa yako. From Oman 🇴🇲🇹🇿
@edinachami4318
@edinachami4318 10 месяцев назад
Majizo umeoa mwanamke na nusu hongera sana
@MsAggie5
@MsAggie5 10 месяцев назад
I hope na yeye analijua hilo (majizo) na Anam take care vzr mkewe
@jamesadrian4557
@jamesadrian4557 10 месяцев назад
Bonge la interview mdogo wangu upo vzr nimeipenda zaidi na nimejifunza mengi kutoka kwenye maneno Yako ntazidi kuishi umo HONGERA SANA
@brijidalawrence1097
@brijidalawrence1097 10 месяцев назад
nakupenda bure lulu una busara sana na hekima mungu alinde ndoa yako mwishi miaka mingi ❤❤
@berthatz
@berthatz 10 месяцев назад
Lulu ni mrembo ,beauty with brain..Well done mama G👏🏾👏🏾👏🏾@Imelda unatupa mambo mazuri sana kila kukicha…Kazi safi sana👏🏾👏🏾👏🏾🫡
@nesielias9493
@nesielias9493 10 месяцев назад
Lulu ni mwanamke na nusu Mungu akubariki
@tricemollel6739
@tricemollel6739 10 месяцев назад
Lulu nakukubali sana una busara mnoo!! Na majibu yale yako nayapendaga pia sanaa Mungu akubariki sana huna baya na mtu!!! Hongera pia kwa mama mzaa na mlea chema!
@mwanjammassa8563
@mwanjammassa8563 10 месяцев назад
Kuzaa ndo zawadi pekee tuliyo jaliwa na Mwenyezi MUNGU. Namaanisha USIJUTIHI KUZAA.hata wa 3 tunasema KARIBU
@jeanneandfrancislifestyle1518
@jeanneandfrancislifestyle1518 9 месяцев назад
True watoto ni Baraka🙏🏾
@RachealMndambi-kv9sd
@RachealMndambi-kv9sd 10 месяцев назад
Lulu uko vizur sana,sikujua kama wewe ni mama mzur, na unajua kujieleza na una busara Mungu akujaalie.lov uu
@Official83640
@Official83640 10 месяцев назад
Masikini hd ametoa machozi alipokumbuka alipotoka dah nimejisikia kulia maana wengi tumepitia haso za kuhangaika hd kwenye mama ntilie Allah atupe nguvu ktk maisha yetu na sie tukae chini tuje kusimulia watoto wetu
@hadiadaoman1981
@hadiadaoman1981 10 месяцев назад
Lulu kichwan zipo kamili ana akili nyingi ❤maashallah ♥️ ♥ 😊
@yuwellsham-fv7fn
@yuwellsham-fv7fn 10 месяцев назад
Nakupenda Sana Sana my mdogo ..mzuri wa Sura na akili....mungu .akutunze unamfano wa kujifunza Vingi..❤
@khadijaali4657
@khadijaali4657 10 месяцев назад
Mashallah nakupenda sana Lulu from kenya yaani umezungumza kama watu 100 ❤
@naimatanzania
@naimatanzania 10 месяцев назад
Lulu nakupenda sana unajielewa mnooo❤
@josephmilandononi1096
@josephmilandononi1096 10 месяцев назад
Rafiki wa Mimi hongera sana mungu azidi kukupa ujasiri,upendo Mkuu na busara na hekima teletele hakuna jipya chini ya jua.mungu akubariki.
@marrypius576
@marrypius576 10 месяцев назад
Mungu akubariki sana lulu yan katika wasanii wew ndo huwa nakuelewa
@marykarebeti9410
@marykarebeti9410 10 месяцев назад
That is Liz That is my lulu, anaeangalia baraka zaidi ya mapito. Nakuoenda sana mdogo wangu. Mungu aendelee kutunza hekima yako.
@user-kv4sj7bq4f
@user-kv4sj7bq4f 10 месяцев назад
Asante sana lulu Kwa maneno Yako uliyomjibu uyo dada
@emilyondari4796
@emilyondari4796 10 месяцев назад
Am à aà
@user-hw9um8su3k
@user-hw9um8su3k 10 месяцев назад
Mungu aendelee kukumininia baraka mrembo wetu unastahili furaha mami❤❤❤❤
@marthatemba8738
@marthatemba8738 9 месяцев назад
Nakupenda bureeeee mdogo wangu Mungu azidi kukutunza....unakitu kizuri sana ndani yako....
@cocorita8367
@cocorita8367 10 месяцев назад
Ni kweli nakufaham sana Lulu tukiwa wote Tabata karibu na mambo sasa Hotel ❤😊
@heleneelsa4707
@heleneelsa4707 10 месяцев назад
Da imelda I love your interviews you’re professional
@valentinamjindo5374
@valentinamjindo5374 10 месяцев назад
Mungu ambariki mwanamke aliekuzaa big up mdogo wangu
@irenembura8045
@irenembura8045 10 месяцев назад
Lulu so cute❤ alafu anajiamini saana na Ana visio!! very Wise!!
@winifridajohn7390
@winifridajohn7390 10 месяцев назад
Nakupenda sana dada. Ubarikiwe na Mungu dada lulu
@pendokissatu937
@pendokissatu937 10 месяцев назад
Huyu Binti Ana Akili Kubwa sana Na Ana IMANI SANA SANA ❤
@rehemasandube5390
@rehemasandube5390 10 месяцев назад
Mtazamo wako sawa na mimi kima2azo kuhusu lulu nampenda sn huyu bint
@lacheekah1849
@lacheekah1849 10 месяцев назад
She has matured so much love it 😌😊
@salomewandya7257
@salomewandya7257 10 месяцев назад
Mungu ni mwema kila wakati 🙏🙏
@user-zh7fm3mk4t
@user-zh7fm3mk4t 10 месяцев назад
Big brain and beautiful woman
@doricewairanga6805
@doricewairanga6805 10 месяцев назад
Mungu akutangulie lulu nimependa ulivyo jibu maswali na majibu
@shaymaamlanza3949
@shaymaamlanza3949 10 месяцев назад
Yani lulu nakupenda sana ❤❤❤❤
@theresiamartin3150
@theresiamartin3150 10 месяцев назад
Nakupenda sana lulu my role model ❤
@kibabysaid6692
@kibabysaid6692 10 месяцев назад
Lulu nakupendaa bureeee❤❤❤❤
@sarahmse9357
@sarahmse9357 10 месяцев назад
Mungu akubariki da lulu.
@KhadijaKalinga
@KhadijaKalinga 10 месяцев назад
Hongera sana Kwa kujitambuwa kipenziii❤
@queenbibisha1961
@queenbibisha1961 10 месяцев назад
Beauty with brains , Lulu ni mmoja wa mastar ambao wanajuwa kujibu maswali kwa akili sana
@Bwenge-minecraft
@Bwenge-minecraft 10 месяцев назад
LuLu umependeza sana ongera sana mungu awabariki unajuwa kuongeya ❤
@elizabethnguma3379
@elizabethnguma3379 10 месяцев назад
Kwa kuongezea alicho kisema lulu,,,Kuna aina ya wanawake ambao wakijifungua mahips hua na muonekano tofauti,yaani hupanuka na ukawa na shape nzuri kushinda ya mwanzo,,,,ni siwe mnafiki hata mm nimmoja wao,,,na pia Kuna wengine wakijifungua huzidi kupoteza kabisa,,,,,,,
@JokhaJoko
@JokhaJoko 10 месяцев назад
Iulu nakupenda sanakipenzi
@thomasjoseph4709
@thomasjoseph4709 10 месяцев назад
Maisha ni safar ndefu. Don't look back, go ahead. Be bless
@masatumtani1588
@masatumtani1588 10 месяцев назад
Umekuwa mdogo wangu ulicho ulizwa na ulichokuwa unajibu sahihi kabisa yani umekuwa mama mwenye akiri kubwa
@catherinesembeka1417
@catherinesembeka1417 10 месяцев назад
Kila jambo jema hutoka Kwa mungu hongera xana lulu jaman. Yaliyopita c ndwele kilichobaki kuishi Kwa aman dunian.
@shamsakiobia6421
@shamsakiobia6421 10 месяцев назад
Mi sisemi kitu maana unajua nakupenda ❤❤ lulu
@gladnesswazir-zz9lk
@gladnesswazir-zz9lk 9 месяцев назад
❤❤❤smart girl with good brain🙏
@hawamjungu3396
@hawamjungu3396 10 месяцев назад
Lulu uko vizuri sana ❤❤❤
@yesunimwema4497
@yesunimwema4497 10 месяцев назад
Uuum lulu nilikuwa nime mu miss kweli,hongela kwa kupata Baraka kutoka kwa mungu❤
@simontumaina8658
@simontumaina8658 2 месяца назад
Lulu is just a masterpiece
@agnesyjoseph3906
@agnesyjoseph3906 10 месяцев назад
Nakupenda umetulia Sana unamajibu manzr unajitambua God bless you
@G.S985
@G.S985 10 месяцев назад
Lulu ❤you're so smart in everything ❤
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 10 месяцев назад
Msanii pekee anaejiheshimu pamoja na monalisa pia.
@MJ-rr6dy
@MJ-rr6dy 10 месяцев назад
lulu akili kubwas ❤❤
@victorsamaytu3487
@victorsamaytu3487 9 месяцев назад
Big up Lulu nime inspire sana exclusive interview yako.
@user-yq4sn6cq1l
@user-yq4sn6cq1l 10 месяцев назад
Uyumu dada LULU nampendaka saana sana kbsa
@purityneema218
@purityneema218 10 месяцев назад
Nakupenda sana lulu mungu azidi kukubariki 🥰🇰🇪
@user-qs4fb5fo5f
@user-qs4fb5fo5f 10 месяцев назад
Ila lulu mzuri sana
@mafurumatijo8803
@mafurumatijo8803 10 месяцев назад
Kweli kabisa hujaweka mikope ya mbuzi na mikucha ya mbwa mwitu hongera sana.
@melitalaunoni4018
@melitalaunoni4018 9 месяцев назад
Da imelda nakupenda mwayaaa ulivo mungu akupe maisha marefu
@annamosha968
@annamosha968 10 месяцев назад
❤❤❤❤❤ Elizabeth
@edithaeugeni9695
@edithaeugeni9695 10 месяцев назад
Lulu jamanii kukupenda tu mdogo wangu❤❤❤❤❤❤🎉
@MozaAlkhaif-dg9pk
@MozaAlkhaif-dg9pk 10 месяцев назад
Kwa changamoto za kimaisha alizopitia huyu binti akiwa mdogo sanaaaa kiasi awe makini zaidi!
@rachelmgoba
@rachelmgoba 10 месяцев назад
Lulu nakupenda en I realy mean it ,I feel so sad when I feel your situation with mom kanumba and be strong forever lulu wangu 😭
@bahatidominic8923
@bahatidominic8923 10 месяцев назад
Imelda wewe ni mtangazaji mzuri
@magrethbujiku6829
@magrethbujiku6829 10 месяцев назад
Nakupendaaa sana lulu wangu❤❤❤❤❤❤
@madamelucy8429
@madamelucy8429 10 месяцев назад
Uko vizuri kwenye mahojiano una akili ndio maana majizo aliona loti kqajo alikukubali akakuoa hongera sana bint I love you❤
@emmygeorge9415
@emmygeorge9415 10 месяцев назад
Hongera sana lulu mungu akutunze
@queenmwasanguti2370
@queenmwasanguti2370 10 месяцев назад
Uko vizuri sana
@HannahHollyNhabalyaga-of6bv
@HannahHollyNhabalyaga-of6bv 9 месяцев назад
You are a very wise woman nimekupenda lulu ❤❤❤❤💚🖤
@JenniferNgata-gy5pc
@JenniferNgata-gy5pc 10 месяцев назад
Safi sn LuLu wetu hakika wewe ni wa mfano mzuri kwa Jamii mm nakuelewa sn mdogo wngu ❤❤❤❤❤❤❤!❤!
@GraidesiJordani
@GraidesiJordani 9 месяцев назад
Lulu mungu akulinde wewe na family yako
@user-qo8eu1br6f
@user-qo8eu1br6f 10 месяцев назад
Elizabeth Lulu Michael i love you 😍 🔥🔥🔥
@stellah3844
@stellah3844 10 месяцев назад
Lulu ❤❤❤❤
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 10 месяцев назад
Mashallah, hongera sana kipenzi
@upendolema3323
@upendolema3323 9 месяцев назад
Love you my Lulu❤❤❤❤🥰🥰🥰❤❤❤❤
@moriscollins4494
@moriscollins4494 10 месяцев назад
Hii hata mimi na mke wangu ilitikea mpk wakawa kama mapacha ila ina raha yake❤
@babrokijazi_unique4133
@babrokijazi_unique4133 9 месяцев назад
Lulu huongei km unaongea tu, unaongea unajielewa unachokiongea, we ni bright. Nimependa
@spreadlove5300
@spreadlove5300 10 месяцев назад
Sema uchumi mzuri pia unachangia 😂😂😂😂
@piusbaruhuwundi8987
@piusbaruhuwundi8987 10 месяцев назад
Great
@fatumamakwaia1126
@fatumamakwaia1126 10 месяцев назад
Maneno mazuri sana nimejifunza❤
@ifraimifraimuhusen282
@ifraimifraimuhusen282 10 месяцев назад
Interview nzuri sana, Na nacho kifikilia ndomaana umekaa ndani ya ndoa Hongera sana, Na Majizo naesi mtu wa kujikweza
@MsAggie5
@MsAggie5 10 месяцев назад
Kweli hata mumewe sio WA kujikwaza
@nevermwambela3719
@nevermwambela3719 9 месяцев назад
Hongera sana, kweli u.ekua na una akili yingi umekua mama na mke kwelikweli, ni mfano wa kuigwa na wasanii wengine❤
@user-np1kb5cw2o
@user-np1kb5cw2o 10 месяцев назад
Mashaallah binto anaheshima hadi raha
@queenmwasanguti2370
@queenmwasanguti2370 10 месяцев назад
Amina
@Bettymnzava
@Bettymnzava 9 месяцев назад
Hongera lulu, wajina wangu.tumezaliwa siku moja
@user-sv2lz9ro5f
@user-sv2lz9ro5f 8 месяцев назад
Me also 🎉❤
@MauaAlly-gy6sc
@MauaAlly-gy6sc 9 месяцев назад
Lulu nakupenda Sana. Mungu ukulindie na akukuzie watoto wako
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 10 месяцев назад
Kajala uwe unapata na viushauri Kwa Lulu ama uige kidogo kidogo
@EsherMacha
@EsherMacha 10 месяцев назад
😅😅😅😅
@tracyglory9804
@tracyglory9804 10 месяцев назад
,🤣🤣
@fatumambudo3903
@fatumambudo3903 9 месяцев назад
I love you so much bby❤mdogo lakin akili nyingi sana unajibu kwa kutumia knowledge hukurupuki hongera sanaa
@reginamanyangu7258
@reginamanyangu7258 10 месяцев назад
Lulu mungu akubariki ila umkumbuke mama kanumba panapo wezekana
@catherinekiwipa9271
@catherinekiwipa9271 10 месяцев назад
Amkumbuke kwa kipi mbona ameshafanya hayo maisha unayoyawaza we Ni maisha ya mvunja kikombe yaan kilichotokea Ni Mungu aliruhusu sio Lulu aliruhusu
@zohrazohra1051
@zohrazohra1051 10 месяцев назад
Nakupenda lulu ❤❤❤
@donnahcyldion4609
@donnahcyldion4609 9 месяцев назад
Hongera sana Lulu uko vizuri
@Abrhami
@Abrhami 18 дней назад
❤ Nakupendasan nigeweza .kukuwanawuwezo ningekuwoa
@monicamsile2284
@monicamsile2284 9 месяцев назад
Nakupenda sana lulu walahi
@maryjkiosa3380
@maryjkiosa3380 10 месяцев назад
Anajua sana kujibu maswali ❤
Далее
Макс Пэйн - ТРЕШ ОБЗОР на фильм
47:02
Elizabeth Michael - WAKATI MGUMU NAUMALIZA.
5:10
Просмотров 118 тыс.
Salama Na Shikana Ep 17 | DYNAMITE Part 1
29:48
Просмотров 338 тыс.