Bro ungekuwa agent bc ata ungepiga tungechangia shughuli tu nijapokuwa huhitaji malipo umejitolea but tusaidie tuweke mzg tupate visa tushaibiwa sana bro
Dah nakufatilia sana kaka sijui lini nitaitimiza ndoto yangu natamani sana kufanya kazi nje ingawa naenda enda kongo lakin so ndoto yangu kongo sijui ata nianzie wap ili nitimize ndoto yangu
Brow i have question ikiwa nataka kwenda uko abroad hususan Canada naaplyje!! Na pia vip kuhusu pakufikia natakiwa kuwa nakeshi mfukon au inakuwaje mzee wangu? By professional mm ni artisan domestically and industrial electrical
Wabongo wezi mpaka kwenye mitandao wanatuibia huku Zanzibar wamejazana wanatuharibia na sisi punguzeni utapeli mjielewe sio kudhulumu watu tumewachoka tabia zenu
Ni kweli kaka Canada ni njia inenyooka kabisa, mwaka 2016 mume wangu alikuja Canada kutafuta uhamiaji na alitumia njia ya kuja shule alifanya MBA ambayo ilikuwa miezi 18 akamaliza mwaka 2018 November, 2019 may alianza mchakato wa kuleta familia Yaani mimi mke na watoto 3 mi walinipa work permit ya miaka 3, na watoto walipewa study permit, mwaka 2020 alianza kuaply permanet residence kupitia express entry sasa hivi tumeshapata permanet resident wote familia nzima, Suala la shule alikuja kwa kujilipia mwenyewe.
@@zozokulwa1627 angalia km una vigezo Mfano kada ambazo ziko kwenye demand km nesi Dactari eng, IT wapishi Yaani chef, na pia angalia province ambazo zimetamgaza express entry
Ila bora walau hatak kuchuma dhambi kujifanya agent alafu asikupeleke kwa kweli wakenya wanapendana kuna group nililipia nikaingia yaani kiila siku michongo ila hawatak watanzania😢 wanasaidiana wakenya tu
These people ase wapo kama scams kuna jamaa alifanyaga video nae ya jinsi ya kuenda marekani kufanya kazi kwa muda mfupi masuala ya camping ametapeli watu kibao Nawasikiliza tu then na scroll down watu wanaishi kijanja janja Wana charge pesa nyingi na badae wataku scam tu na malawama kibao Yule mzee anaitwa markrobert scam shit
Jmn mm nasikia wanachukuwa watu wakuchuma matund shambani je icho kitu ni kweli na km ni kweli mm nahitaji passport ninayo fanya unisaidie mm kz yyt nafanya pasipokuwa ya kujiuza tu ndo siwezi km ipo hata ya kufangia balabala mm niko tayari kbs ya kuchuma matunda shambani mm niko taya upatapo ujumbe huu basi fanya kunisaidia kk angu
Shule tena kwa scholarship ndio njia rahisi.. Kwasababu Express Entry ili uende moja kwa moja inabd kukidhi vigezo ambavyo kiuhalisia ni wachache wenye support ya hela ndio wanamudu. Mfano moja ya kigezo ni uwe funds sio chini ya $20,000 au uwe na job offer ya full time (na ili upate kazi wanataka xpirience na uwe na uwe registered kwenye nchi ya kufanya hizo kazi)... Ngumu sana
I think you have some wrong information about express entry. Its very straightforward option. You need to have education(kwa sababu ni skilled worker entry so elimu lazma) english exam, valid passport, kazi, experience, kama una partner pia mnaweza jaza wote na wote mnapata points. Upande wa hela inategemea na how many people accompanied with you, jedwali lake liko kwenye website ya IRCC.
ebm you didnnt explain about scammer as you said above.. can you explain more detail about them.. how are they doing and how can we know them if they are scammers.. thanks
EBM hawezi kuwaelekeza kila kitu jamani ukizingatia halipwi dalili ya utapeli ni mtu kukwambia Pete hela nitakuombea visa za Canada sijui Nina mshkaji wangu kachongewa visa sijui na nani alitoa kiasi fulani cha pesa usiamini ht siku moja visa za Canada ukienda kwenye official page ya serikali ya canada kuomba visa utapata maelekezo yote hatua kwa hatu na kila hatua watakwambia kwa email nenda labda kafanya finger print ukifika huko kwenye finger print ndo utalipia hiyo hatua,sio kwa kukupigia simu wala meseji ya kawaida kumuomba hela
Km unajilipia hatua ya kwanza ni kupata chuo kuisha pata admission toka chuo ndo hiyo unaenda kuombea visa na ili wakupe visa wataangalia ni pesa kiasi gani uko nayo bank km udhibitisho kutokana aina ya course uyoenda kufanya km ni first degree diploma au masters mfano wa sisi mr wangu chuo walitaka ada ya course nzima ilikuwa km 39 milion akaonyesha bank statement ya 50 million hawakusema tuma kabisa ni bank statement tuu, akapata visa sasa sijui km ni utaratibu wa kila chuo huku ila sisi hawakutudai tuhamishe hela kwenda account ya chuo alivyofika ndo akawa analipia kwa course akiregister ndo analipia pesa wanayotaka, kwa hiyo kwa mpango huo ht km ndugu mzazi mwenye pesa yake anaweza kukudhamini kwa kuangalia bank statement yake we unatafuta km 20m za kuanzia ukaoomba visa ukifika huku utafanya kazi utaweza kujilipia
@@lucymkemwa2319 Nimekupata vizuri ila kuna hapo chini umeniacha kidogo naomba unieleweshe yaani ni atakapoonyesha bank statement yake mzamini wangu me natakiwa nitafte tena kama 20m nje na hio kiasi kilichoonyeshwa or ni vipi hapo?
@@washuatv7099 nimetolea mfano km mtu anaweza kukudhamini kwa kukusaidia bank statement yake ukawaonyesha ukifanikiwa kupata visa ukifika huku utahangaika mwenyewe
@@daprince7545 EBM Anajua zaidi mfatilie huyuu kaka vzr keep in touch with him atawasaidia sanaaaa! Mimi nikuja Kama visitor then nikachange status hapa hapa ndani sio rahisi lkn mfatilie huyo Program ya PNP fatilieni kama anavyoelezea EBM na Mfanye English test IELTS
Kima cha chini ni $15 kwa saa inategemea na jimbo ulioko majimbo mengine $13 kwa saa na unafanya kazi masaa 8 kwa siku mpka 12 ukifanya kazi wiki 2 unalipwa sio mpka mwisho wa mwezi km huko bongo pia unaweza i kafanya kazi zaidi ya moja ni nguvu yako tuu Na kitu kikubwa nchi za wenzetu wamefanikiwa ni kuondoa tatizo la ajira hakuna mkazi wa Canada mwenye uwezo wa kufanya kazi anakosa ajira hakuna, na pia elimu ni bure mpka high school
@@lucymkemwa2319 asante sana dada naomba no yako Binti yupo interested sana kuja huko kasomea flair attendance ( hear hostess) bt anawezafanya hata kazi zingine za mikono kwa mfano kwa moll , na hotel pia kafanya thanks, nisaidie tuu nitashukuru, for more imfometion