Gari aina ya Fiat ni miongoni mwa gari za zamani ambazo zina nguvu sana kutokana na uwezo wake wakubeba mzigo mkubwa,dereva anayeendesha gari hiyo amesema ina gia tisa ukijumlisha na revised
Inaitw 682 N3 torino fiat.A.k.a mbaula,mkasi juu mkasi chini,kula laik wazeee wenzang wa ngoma ngumu,w wazeee wa popo umetukuna ipasavo axe,usiku ndo mida yetu,mchana tunapak tunaenda kula bata kwa sokota,ucku kama mchana vile,mwandish uje Azam tunakupa na uendesh kbxa,ila kumbuka kuja na kidum cha diesel tu.
Kwajinsi ninavoijua hii mashine hakii, Dereva hakuitendea haki katika maelezo na kuielezea, hii kitu inabeba mzigo inapita rafu load inapanda milima yaani kazi juu ya kazi a,k,a MBAULA. Saluti kwa mtaliano kutengeneza hii kitu
Huyu dereva hajaitendea haki kuielezea fresh aisee....ivi anaelewa shughuli ya chuchu mbili pale mbele kwa chini.....😃😃😃😃vipi kuhusu honi ya mbaula....atariii...hiyo inapigwa kwa mguu mzee achakabsa huo mzigo sio wakitoto...nataman huyo mwandishi angekutana na mimi nahisi angenitafuta zaid na zaidi bna
Is very unfortunate anae hoji ajui namna ya kuhoji issue za magari... Huyu alitakiwa a hoji technical issues za hii gari zinazo itofautisha latest malori.. mfumo wa injini na giabox na pamoja na uimara wa axle..., Mifumo ya brake na ubora wake ukilinganisha na wa leo... Pia kama ingewezekana angeuliza matoleo mengine yalio fuata kama fiat iveco.....
Msgari ya zamani hayo fiat 682. Hayo yalikuwa wakati wa kwenda Zambia hasa na wasomali. Halafu hao watu wanakaa juu ya magogo au juu ya cabin ni hatari kama gari ikipata ajali.
Niwe mkweli hakuna tv 📺 ninayo ichukia kama hii yaani waweke billion 90 za Somalia na hii tv naichukua hii tv 📺 pasipo kupepesa macho yangu mimi nilijua anaenda kuhoji hiyo shehena ya kikausha misitu yetu kisha kila siku tunalia na ukame mara oh mito inakauka wakati hao ndio chanzo acheni kukata miti ovyo ovyo sasa swali kwenu nyie vitv uchwara hivi mimoyo yenu haijaogopa kuona hiyo migogo? Daa RIP 🙏 mzee baba nakupa salaam Tanzania yetu pendwa tayari tupo kwenye chukuwa chako mapema iwezekanavyo😳😳😳😭😭😭😭😭
Tafuta mtaalam na wakongwe wa hiyo gari utaifurahia huyo dereva anaijua hiyo gari ila hawezi ielezea maana hajui gari zingine nachojua kuna mahali hiyo gari inapanda na mzigo Scania hauendi
Achakabsa dereva hana mzuka kivile katika kuielezea hiyo mashine bna..mkasi juu mkasi chini inaitwa kisusio bna...hapo kwenye kibin unaeweza kuchemsha chai bna.😃😃😃😃... kwenye accl.plate unaweka kipande cha tofali baada yakumaliza gears mzee...duh kumbuka mbali sana
Hiyo hunenepi Zilikua xinapigwa HIZO mashine dsm to Zambia na Tani 80,,kila kitu mechanical,, Afu dereva anakaa upande upande na lazima avue shati,sigara kwa wingi Acha kabisa hiyo