Тёмный

IBRAHIM CLASS AMVAA MWAKINYO - "HAJIELEWI YULE, AKUBALI Sasa KUPIGANA na KIDUKU AACHE MDOMO" 

Bongo Boxing Safari
Подписаться 28 тыс.
Просмотров 52 тыс.
50% 1

IBRAHIM CLASS AMVAA MWAKINYO - "HAJIELEWI YULE, AKUBALI Sasa KUPIGANA na KIDUKU AACHE MDOMO"
BONGO Boxing Safari tumefanya mahojiano na bondia Ibrahim Class kuhusiana na pambano lake atakalocheza visiwani Zanzibar Agosti 27, 2023 dhidi ya Khamis Mwataya.

Спорт

Опубликовано:

 

1 авг 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 112   
@aboukillo1734
@aboukillo1734 9 месяцев назад
Huyu dogo ibrah class yuko vzr sana big up dogo Keep your head
@AngeliJoseph-es9hi
@AngeliJoseph-es9hi 11 месяцев назад
Mungu awapee maisha marefu ww na twaha
@user-fq8tp6zt3i
@user-fq8tp6zt3i 11 месяцев назад
Binafsi nimemuelewa sana Ibrah kwa maneno aliyoyasema. Kweli yeye ni bondia mzuri asie na majungu wala majivuno, pia sio mtu wa maneno maneno kama alivyokuwa Hassan Mwakinyo. Mimi ni mtu wa Tanga, lakini Hassan Mwakinyo anatudhalilisha sana sisi wanaume wa kutoka mkoa huo sababu ana vichambo kama wafanyavyo dada zetu. Ni vyema akasimama kwenye tabia ya jinsia yake, pia ni vyema akasimama kwenye nafasi ya ubondia wake. Sio maneno maneno, yeye alipigwa na visingizio alitoa, watu wakampokea na hao mabondia wenzie walikaa kimya kimtandao na ninahisi wapo waliyompa moyo kwa kupoteza kwake. Sasa sijuwi yeye anashida gani na Twaha.
@naimabdul1231
@naimabdul1231 11 месяцев назад
Ibra and mwakinyo wote wanangu na wote wapambanaji hamna baya alilolisema hapo alaf huyu dogo anajielewa sana hua haropokwi ovyo anajiheshim na anajua sport big up tanzania boxers kazeni buti mfike mbali msichukiane nyie wote ni ndugu watoto wa jamuhuri ya muungano wa tanzania
@williamjohn7907
@williamjohn7907 9 месяцев назад
Safi unajitaidi sana kuongea kisport mungu akubariki
@hamadimujungu9058
@hamadimujungu9058 11 месяцев назад
Sema ibra umeongea kikubwa mno achana hao wengine …. Umedhihirisha ukubwa wako dua mzee umeonesha haupo upo wowote wewe unataka ngumi tu 🙏🏻
@saulnkya
@saulnkya 11 месяцев назад
Kazi kazi mwamba..!!
@zuheorsalim7759
@zuheorsalim7759 11 месяцев назад
Ni bondia mzuri sna classic ila nakupa nasaha uwache kusuka
@kiya0910
@kiya0910 11 месяцев назад
Ibrahim maweeee anajua ngumi nzur Yan anamchezo mzur sana
@user-hc9ek5gc4u
@user-hc9ek5gc4u 11 месяцев назад
Wa pili kukoment
@mazengojohn2090
@mazengojohn2090 11 месяцев назад
Utauliwa na mwakinyo ibra
@user-bn8ps9wz4g
@user-bn8ps9wz4g 11 месяцев назад
umeskia kaka ibra achana na mrembo uyo mwakinyo anaimba tarabu tu
@husrisanchez9781
@husrisanchez9781 11 месяцев назад
Big up sana nakubali kk achana nauyo mcheza taarabu mwakinyo
@muudante-ix1wm
@muudante-ix1wm 11 месяцев назад
Yule choko simkubal yl ana jikut ana jua
@kastorymalila1109
@kastorymalila1109 11 месяцев назад
Safi sana Ibra Mwakinyo ni Msenge kinoma
@kitutujuma9602
@kitutujuma9602 11 месяцев назад
Na ww pia ndio maana umemjua
@thomassalvatory8303
@thomassalvatory8303 11 месяцев назад
ila kwa said kwel ulimpiga kwel ila mwakinyo muacheni pls pls aende anapopataka nyinyi bakini hapa mpewe 5-10m pls muachani
@MagrethMakesha-vg6qb
@MagrethMakesha-vg6qb 11 месяцев назад
Ibra yupo vzr na anapigana kwa akili sana
@pioustrevol3468
@pioustrevol3468 11 месяцев назад
Uyu nae Anaongelea Ushabiki Tu Asaa Kwa Zile Jab za Kiduku Alokua Anarusha Ndo Umuweke na Mwakinyo 😅
@raphaelnkulamasala108
@raphaelnkulamasala108 11 месяцев назад
Yes Kiduku anapigana kizamani, ngumi haihitaji maguvu bali maarifa yawe ya kutosha asikilize wanao mshauri
@user-sd5hj2im4q
@user-sd5hj2im4q 11 месяцев назад
Classic upo vizuri mm nakkbali upo serious ktk kazi, ww na kiduku n Muko pw kwza hamna midomo lkn munirekebishe musifate mambo ya mbele km limbukeni MAKMUGA MWAKINYO,, ACHENI KUSUKA NA KUVAAA HERINI JUENI IPO CKU MUTAITANGAZA TANZANIA NJE
@user-lq4sm1nr2o
@user-lq4sm1nr2o 11 месяцев назад
Kweri mwakinyo staa kiramtu anamzungumzia yeye tu
@MnyatibuBarua-md4pw
@MnyatibuBarua-md4pw 11 месяцев назад
Mwakiny n bor san maan kil bondia lazm amtaj mwakiny
@HamisiKisime-gl9ve
@HamisiKisime-gl9ve 11 месяцев назад
Classic unaenda kudundwa. Ogopa majina Hamis
@user-vo5eu5hr9v
@user-vo5eu5hr9v 10 месяцев назад
Heshima ifwate mkondo
@mkanganails5839
@mkanganails5839 11 месяцев назад
Kiukweri nimependa Sana kama mapozi angeleta ibra kupigna Tanzania kwanza ameanzia amacha sio uyo bondia alieanzia mtaani na kuleta Shelia zake za kuchagua mabondia Kama ngua mnadani
@hamadeddymaclayz
@hamadeddymaclayz 10 месяцев назад
Choko yule mwakinyoko
@IbrahimDaud-be2tj
@IbrahimDaud-be2tj 10 месяцев назад
nakukubali xana wajina
@iamchusse
@iamchusse 11 месяцев назад
yan serikali ya zanzibar vp sielew jaman nachoka sana mimi 😂😂
@user-uc7eo3wp9o
@user-uc7eo3wp9o 11 месяцев назад
Iringa moja hiyoo..
@shebanishebe7866
@shebanishebe7866 11 месяцев назад
Nakuombea ushindi bro
@habibuhabibu9728
@habibuhabibu9728 11 месяцев назад
Ila kwel kiduku inabid abadirike katika upiganaji
@Mtazyinstrumental
@Mtazyinstrumental 11 месяцев назад
uyu bado ajapigana sana mbaka maneno anaongea vizur bila mdomo na taya kuuma
@SingoMedia
@SingoMedia 11 месяцев назад
Katika mabondia wanaopigana vizuri na kwa akili nyingi mmoja wapo ni wewe Ibrahim Class, wakisema unabebwa ni chuki zao tu kaka... Keep it up mwamba 🤜🤜
@jumajumanne4997
@jumajumanne4997 11 месяцев назад
Fact🤝
@malbarahassan92
@malbarahassan92 11 месяцев назад
Ww akili huna unatafuta umaarufu kupitia mwakinyo kwan hujui tanzania One humjui mwakinyo anapigana natwaha anatafuta jina au gar acheni ushamba wabongo
@reubenmwidima5723
@reubenmwidima5723 11 месяцев назад
Cheza ngumi kaka acha vitu vya kiswahili kuongea vibiya vibaya
@kitutujuma9602
@kitutujuma9602 11 месяцев назад
Mwakinyo mtu Hata interview ya boxing yeyote tz lazima ausishwe.
@sadunabdallah7303
@sadunabdallah7303 11 месяцев назад
Kuma Kuma la mama ako ww boya usimseme mwakinyo olewako uje tanga sasa 2takuchanganyisha nae sasa kuma kibuyu ww
@salehegiza3305
@salehegiza3305 11 месяцев назад
Ongela sana kwa hilo.
@MendradGalus
@MendradGalus 10 месяцев назад
Dj mapoda
@user-lk8ws3fz9x
@user-lk8ws3fz9x 11 месяцев назад
Wew ibra achana na mwakinyo usimsemee na akikugeuka atakusema na utalia
@shukuruiddi82
@shukuruiddi82 11 месяцев назад
Watoto wa Tanga watalalamika km ndg yao tu, ila wanasahau kuwa twaha ndio twaha km wanajua twaha ni wakawaida wamshauri ndg yao apande ulingoni
@fj8317
@fj8317 11 месяцев назад
MWANDISHI UWEZO WAKO MDOGO VYUO VIPO RUDINI SHULE MWAKINYO HAKUTAJA JINA ALITUPA JIWE GIZANI MWANDISHI HUJIELEWI
@lama6310
@lama6310 11 месяцев назад
Hamna Bondia Anayempenda Mwakinyo
@hamadeddymaclayz
@hamadeddymaclayz 10 месяцев назад
Sababu ya kuwatukana wenzake kwanini awaite wenzake wanawake wewe utakubal
@Sogoma26
@Sogoma26 11 месяцев назад
Wakwanza ku comment
@jumannerajabu8259
@jumannerajabu8259 11 месяцев назад
wewe Ninani kwanza.jitambulishe ww Ninani unatokea.wap ili watu tukujue bro sasa ww unakuja2 yani kama unajulika vile we nnani
@onecmolegama4797
@onecmolegama4797 11 месяцев назад
Mm nimeona game zote za classic!!! wamepingwa kabisa classic nembo tz
@onecmolegama4797
@onecmolegama4797 11 месяцев назад
Hekima!!,busala nimekukubali
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 11 месяцев назад
MNASEMA MWAKINYO,,HUKU INTV NZIMA UNAJISIFIA,,USHAURI WANGU TAMBO ZIWE CHACHE,,ULINGO UTAONGEA
@inearclassictz1233
@inearclassictz1233 11 месяцев назад
Ajaongea vibaya
@halimahmwalimu-fo9ri
@halimahmwalimu-fo9ri 11 месяцев назад
Kuwa mpole tunakukubali
@bonifacemizambwa2251
@bonifacemizambwa2251 11 месяцев назад
Mawe mawe class mwamba wanaokuponda wote mashoga tu awajui bondia mkali wewe mwamba zaidi ya mwamba
@bahatimwerinde496
@bahatimwerinde496 11 месяцев назад
Wewe usilinganish mtoto mdogo na baba ake ya twaha kwamwakinyo n mtot
@thomassalvatory8303
@thomassalvatory8303 11 месяцев назад
mwakinyo anafikiria kimataifa nyiny mnanganiza apigane na hawa wakina mandonga na twaha kwenye maisha ilewa sio kila mtu utaenda nae ww route moja kama kasema yy anafocus kimataifa muachen mbona mnangangania nyinyi piganene hapa ndani mpewe 5m yy anaona 5m au gari hazna deal kwake anafikiria ulaya msinganganie mtu akae na nyinyi nyie bakin mlipo mbona yy hawanganganii nyinyi
@hamadeddymaclayz
@hamadeddymaclayz 10 месяцев назад
Kwani yanga akicheza kimataifa hawezi kucheza na kmc hujui kitu
@jimmymungai522
@jimmymungai522 11 месяцев назад
Sijaisikiliza mpaka mwisho lakini Mwakinyo na Kiduku wapigane ktk uzito upi? Mwakinyo ni welterweight, Kiduku ni supe middleeweight au light heavyweight, sasa wapigane uzito upi?
@IddKasabe-kf2wk
@IddKasabe-kf2wk 11 месяцев назад
Inawezekana vizuri tu ndomana watu wanataka wapigane
@anastazimichaelmbua1559
@anastazimichaelmbua1559 11 месяцев назад
😂😂😂 hivi mnawasikilizaga mabondia wa nje kwanza ama kisa wanaongea kwa English au lugha za nje na mwakinyo ni mbongo ndo mnamwona ana mdomo. Boxing ni majigambo sana na mikwara kama yote.
@SaeedMughayyar-jv8et
@SaeedMughayyar-jv8et 11 месяцев назад
Hwajui waambie ndugu 😅
@SaeedMughayyar-jv8et
@SaeedMughayyar-jv8et 11 месяцев назад
Wengi wao humu ni mashabiki maandazi hawana wajualo 😂😂
@user-xv7uh1vm6o
@user-xv7uh1vm6o 11 месяцев назад
Tareee 30 mweziii huuu utamjuwa mwakinyo ni nani
@ChachaNmwita-cp4tj
@ChachaNmwita-cp4tj 11 месяцев назад
Classic binafsi namkubaru sana.Pia wanaosema anabebwa wachuki binafsi ila wajue ndie bondia anaongoza kuletewa bondia wagumu.
@kisuwamwabaka333
@kisuwamwabaka333 11 месяцев назад
Kama unaitaji mtu yeyote mm Kisuwa nakuitaji leo kesho ata bure
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 11 месяцев назад
Mtoke nje ya nchi na nyinyi. Kila siku mko humuhumu tu. Muende hata South hapo.
@directorimmah_vfx3043
@directorimmah_vfx3043 11 месяцев назад
wee na bab ako uliwai kuenda??
@rajanamzah6383
@rajanamzah6383 11 месяцев назад
Wapeleke mkuu
@user-ig8wc8ye3k
@user-ig8wc8ye3k 11 месяцев назад
Ibra niprofessional kiukwel ngum anajua..
@patrickmfundiri8669
@patrickmfundiri8669 11 месяцев назад
Mtu mwenye akili nyingi sana one tz
@gerraldchristian2001
@gerraldchristian2001 11 месяцев назад
We ndo no 1 TANZANIA
@ahadjuma8356
@ahadjuma8356 11 месяцев назад
kama ww unaongea kimichezo hao unasema utawapiga waamkie muhimbiri sio wana michezo au ndio nyani hauni,,,,,😂😂😂
@modestusmayowa-vc4gj
@modestusmayowa-vc4gj 11 месяцев назад
Ibra akili nyingi San...! 👏
@johnycavishe5207
@johnycavishe5207 11 месяцев назад
Akna asyo pgwa aache maneno mengi
@adammswaki703
@adammswaki703 11 месяцев назад
Wana semaje kina nan siwewe yan hakuna watu wanafk kama wandish
@yahkiwera3611
@yahkiwera3611 11 месяцев назад
Sikiliza wewe Dogo usifate mkumbo wa kumsema ovyo Mwakinyo yeye hajakutaja wala kukusema vibaya kwahiyo nakuamini Fanya yako achana na kufuata mkumbo kk fanya yako kk utafika mbali lkn usiingilie ugomvi wa mtu asie kusema kk nihayo2
@JeremiahMyrosse-qb1yj
@JeremiahMyrosse-qb1yj 11 месяцев назад
Fact brother dogo asimtafute mtu ambaye hana mpango nae mtoto kisha kuwa kiazi huyu anahisi anaweza Mwakinyo vitoto hivi vina mdomo sana hivi
@pettymsungu6420
@pettymsungu6420 11 месяцев назад
Fuatilia vizuri Interview Alafu ielewe kwanza, kaka hakuna sehem ambayo ibra kamsema vibaya Mwakinyo, tena kajitahidi sana kumkwepa Muandiashi, japo Muandishi alikuwa anataka kuchokonoa mambo, ili kama ibra atatema shiti lkn ibra hayopo ivyo, naweza kusema kamkataa kiutu uzima.
@ernestboniface1849
@ernestboniface1849 11 месяцев назад
Acha upuuzi na wewe kasema wapi yeye anasema uwanamichezo jinsi ulivyo siyo kuchekana yeye alivyopigwa nani alimcheka
@shabanipande5379
@shabanipande5379 11 месяцев назад
We kumbe nawe choko kwan mwakinyo nan c Fala tu
@shomarimiraji6576
@shomarimiraji6576 11 месяцев назад
😃😃😀😀
@ayubutwalbu6594
@ayubutwalbu6594 11 месяцев назад
K o huwezi
@bonifacemizambwa2251
@bonifacemizambwa2251 11 месяцев назад
Uyo mwakinyo siku zote kelele nyingi kama mtoto wa kike kipigana muoga yeye kama mwanaume hapande ulingoni haonyeshe anachoongea cyo kelele tu kama shoga
@kwisa4899
@kwisa4899 11 месяцев назад
mwakinyo ni mfanya Biashara anajua nini anafanya.
@FilipoBoniface-fd3jd
@FilipoBoniface-fd3jd 11 месяцев назад
Mimi wa tatu
@lloveyoutanzania5315
@lloveyoutanzania5315 11 месяцев назад
Mwakinyo tena🤣🤣🤣🤣
@mahanjisanga3077
@mahanjisanga3077 11 месяцев назад
Kwa mabondia wa tz wewe nakupa asirimia 100 unajua kupigana
@JosephKifisha-ml7ju
@JosephKifisha-ml7ju 11 месяцев назад
Ibrahim husifatishe maneno ya watu fanya lako ya watu yaache hukijichanganya mwakinyo atakuua kabisa yaaan angalia maisha yako , akili nyingi ww
@hamadeddymaclayz
@hamadeddymaclayz 10 месяцев назад
Hana uwezo wa kumpiga ibra huyo choko mwakinyoko
@user-lk8ws3fz9x
@user-lk8ws3fz9x 11 месяцев назад
Sasa wew ibra ivi unamuona kiduku kama ni champion?nenda ukamfundishe twaha ngumi maana anapigana kizamani sana hatumii akili hakika mim nakuambia kuwa twaha akipigana na mwakinyo twaha atapigwa vibaya kwa sabab wew na mwakinyo na kidunda mnatumia akili kupigana lakin twaha na dulla wanatumia nguvu pekee bila kushitikisha akili hivyo kwa tanzania hii mabondia bora ni wa tatu mwakinyo,class,kidunda hao ndo wapo top af pia wanafuatia wengine kukiwaondoa dulla na twaha
@MudizzoOmary
@MudizzoOmary 11 месяцев назад
CLASS NAWEWE UMEANZA CHUKIIIII""Swali ni kwamba kwani mwakinyo alimtaja mtuuu? Kamakapigwakapigwa 2
@amanichanga3448
@amanichanga3448 11 месяцев назад
Daah, watu hata kufuatilia tu uzito wao hamtaki, kidunda na Twaha ndio uzito mmoja, na ktk ranks za tz twaha wa 1 na kidunda wapili,,, Ibra, Nasib, mwakinyo wana uzto unaofanana… so ili mwakinyo apigane na twaha lazıma twaha ashuke uzto
@Ram_1893
@Ram_1893 11 месяцев назад
​@@amanichanga3448Ibra gani ana uzito sawa na Hassan Mwakinyo na Nassib?
@hamadeddymaclayz
@hamadeddymaclayz 10 месяцев назад
Mwakinyo wako taarab tu ana kimbia kimbia hajawagi kuletewa bondia mzuri analetewa wahindi anaimba sana taarab watu walimwambia waweke pesa apigane na champs twaha anaogopa choko huyo
@mwakilamwaki7308
@mwakilamwaki7308 11 месяцев назад
Mtakuja kumkataa uyu
@godlistenmkonyi5109
@godlistenmkonyi5109 11 месяцев назад
Classic sio mtu wa fujo anacheza kwa akili nyingi kama Terence Crawford
@faisalmuhidini2712
@faisalmuhidini2712 11 месяцев назад
Emb acha kufananisha usiku na giza😂😂😂😂
@happinessmateru1121
@happinessmateru1121 11 месяцев назад
Anaiga style ya devin Haney..anatumia jab na kumaintain distance na kufanya footwork yan anapiga jab afu anamaana eneo...ana tatizo LA stamina na jab yake haina accuracy kubwa sana
@AbdulatifSaidy
@AbdulatifSaidy 11 месяцев назад
​@@happinessmateru1121dada we ni boxer nini mbona umeongea kama unaifuatilia sana sio kawaida ya wanawake kuifuatilia ngumi ni wachache sana wanaangalia 😅
@happinessmateru1121
@happinessmateru1121 11 месяцев назад
@@AbdulatifSaidy huhu
@shomarimiraji6576
@shomarimiraji6576 11 месяцев назад
Kasema Hana ujamaa na mwakinyo
Далее