Тёмный

IKIWA SHIDA YAKO NI MALI SOMA SURA HIZI 2 TU UTATAJIRIKA, MDENI HATOKUDAI 

Riyadh Tv Online Znz
Подписаться 289 тыс.
Просмотров 28 тыс.
50% 1

#riyadhTvZnz #zanzibar
Follow Us On:
INSTAGRAM: / riyadhtvznz
FACEBOOK: / riyadhtvonlineznz
TIKTOK: / riyadhtvonlineznz
RU-vid: www.youtube.com/@RiyadhTvOnli...

Опубликовано:

 

29 фев 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 89   
@fatumaIddi-kb5zy
@fatumaIddi-kb5zy Месяц назад
Assalamu alaikum.naitwa fatma kamunuh iddi toka kenya naomba pia nikumbuke kwa dua Allah anifungulie maisha inshaallah.Allah akuhifadhi na akupe mema katika dunia na akhera.amiin
@user-xm7rj8bb2u
@user-xm7rj8bb2u 4 месяца назад
Maashallah jazakallahu khayraa shekhe othman Michael
@user-kl4km4tj3q
@user-kl4km4tj3q 4 месяца назад
Assalam alaikum sheikh mm naitwa Fatma mwalimu kutoka Kenya Nina mitihani mizito Sana hata hayaelezeki ya Kila aina maradhi , kuchukiwa na mume ndugu majirani na hata mahalo popote nitakuwa na mm niliugua maradhi ya akili natumai madawa ya hospital lakini nazidi kulemewa UTI wa mgongo ,kichwa,kifua,kiuno mbavu,huzuni nataka kukaa pekeyangu lakini alhamdhulilah ibada zangu nafanya. Naomba unifanyie Dua na mm mambo yangu yafunguke pamoja na watoto wangu lnshallah Allah akujaze kheiri lnshallah
@habbibaali7522
@habbibaali7522 4 месяца назад
Waalekum salam tafuta namba yake umtumie msg direct ndio utasaidika
@Abun70242
@Abun70242 4 месяца назад
Pole sana dadangu ln sha Allah,Allah Atakujalia unafuu hivi karibuni.
@mariambakari7988
@mariambakari7988 3 месяца назад
Naomba Dua zako Insha Allah
@MuhammadHassan-rg7ch
@MuhammadHassan-rg7ch Месяц назад
Naitwa aisha today niolewe miaka kumi na nne sina raha ya ndoa nadhalilika niombee Allah anipe alie mwema nikuwe na mawadda
@salimmbuleramadhan8120
@salimmbuleramadhan8120 16 дней назад
Sheikh shukran. Naitwa Halima mohammed, kutoka kenya. Nina mitihani mizito hata nikianza kuzieleza sitozimaliza, wanangu bado wadogo na wanapitia mazito kwasababu ya shida zangu. Naomba mnikumbuke kwa dua, maana naskia nimefika mwisho.
@majomba-chrndz5964
@majomba-chrndz5964 3 месяца назад
Assalam alaikum chehe.mimi ni mfuasi wako kutokea Mozambique kwa jina MAHANDO JOAO MBANGUIA.ningependa nifike tz na unisaidiye nisome niwe mwene elim lakini sijuwi na anza vipi.insha Allah ya rab akuzidichiye zaidi kutufikishia maneno ya Allah.
@user-uo1bu4jw2d
@user-uo1bu4jw2d 3 месяца назад
Assalam Alykum sheikh..Naitwa Omari naomba dua nipate wepesi wa maisha inshallah..Mungu akuzidishie kheir
@Jdshhd-rr3zy
@Jdshhd-rr3zy 2 месяца назад
Asalamu alaikum ustadhi mmi naitwa Hadija Salim naomba unifanyie Dua nnajini mahaba nimtu wa mikosi tu ata ivi nnamchumba wangu ameniacha bila sababu tafadhali ustadhi unifanyie inshallah
@SophiaMbogo-in7yt
@SophiaMbogo-in7yt 4 месяца назад
Shukuran jazaka Allah khairan Allah akuhifadh akujalie kher duniani na akhera wallahi tunafurhi na kufaa idhika
@MohammedCheme
@MohammedCheme Месяц назад
Mashaallah allaahu akbar❤❤❤❤❤❤ Mohammed Cheme nifanyiye duay
@user-vl4md8rj6i
@user-vl4md8rj6i 4 месяца назад
Mashaallah mola akuzidisheye imani na akuhifathy
@user-jc8jf6kt4g
@user-jc8jf6kt4g Месяц назад
Assalamu alaykum wa rahmatullah wa barakatuh shekh mie niko south Africa nakufwatiliaga Sana kiukweli majibu mengi nilishapata kwa Adhkari na izo quran unatuelekezaga kiukweli uzidi kuwa na afya na Familia yako Allah awajalie pepo ya fildausi inshaAllah
@RahmaMfaume-cc7lc
@RahmaMfaume-cc7lc 4 месяца назад
Mashaallah jazakaallahu khairah
@user-qy9pd1lu8l
@user-qy9pd1lu8l Месяц назад
Nakupenda sana Sheikh kwajili ya Allah
@khadijaissah4671
@khadijaissah4671 4 месяца назад
Assalaam Aleykum sheikh, shukrani sana Kwa mafundisho hayo illa je katika kuisoma hiyo Suratul Yaseen na pamoja na Waqiah mbali na huo muda wa Magharib na Ishai mtu anaeza soma baadaa ya Ishai kabla ya kulala na bado akanuilia Kwa mitihani hiyo iliyo kusudiwa
@ndayambajefikirini7252
@ndayambajefikirini7252 4 месяца назад
Mungu hujibu,kaka likubwa ikhlas
@MwanaidiSaidi-ey8lf
@MwanaidiSaidi-ey8lf 3 месяца назад
Asalam alaikum shehe mimi ninaitwa othoman Jackson mambo yangu ni magumu sana kwa kila ninachofanya pia nikaona nibadili dini niwe muslam pia sifanikiwi shehe naomba dua kwako lshaallh
@dj_poison255
@dj_poison255 2 месяца назад
mashallah shukran Shekh niombee dua shekh
@mwanahamismohamed7877
@mwanahamismohamed7877 2 месяца назад
Asalam aleykum warahmatullahi wabarakatuh shekh wangu yaani nakuombea Mungu akupe uzima na ajaalie uzidi kutufunza mengi shekh wangu mimi ninamitihani sana na hata nikipambana na familia yangu tuivuke bado inajirudia na kwa upendo wa mume wangu mambo hayaendi kabisa hata akifanya biashara zako kulipwa ni mtihani shekh mpk nachoka naomba dua zako
@NasriaNassor
@NasriaNassor 2 месяца назад
Shukran
@user-vs7lc9nn8i
@user-vs7lc9nn8i 4 месяца назад
Mashaallah ustadh nimekufatilia sana Allah akujaze
@MohammedAli-et6ey
@MohammedAli-et6ey 4 месяца назад
Maashaallah nakpenda san kwaajil y Allah
@user-on7sq4bq5h
@user-on7sq4bq5h 3 месяца назад
Assallam allaykum waramatullahi wabarakhatu sh naitwa ramadhan toka Congo naku omba nisaidiye n'a duwa Allah ani tatuliye matatizo
@saeeed2599
@saeeed2599 Месяц назад
A aleikum nataka dua mume wangu na mtoto wangu hawana kazi nakuomba dua
@FatumaHalima-qj9yi
@FatumaHalima-qj9yi 3 месяца назад
A salaam aleikum shehe natokea Kenya uniombee dua kwa maisha yangu n watoto wangu tunapitia mazito naitwa fatuma,Aisha,Shaffi,hawa,aaqil,sahil na iqran tupate wepesi kwa maisha inshaalah
@user-sr5xs7bw1x
@user-sr5xs7bw1x 3 месяца назад
Asalam alaykom mim nayitwa Amina nayishi burundi naomba icokisomo sijuwi kusoma shekh
@ZainabuiddKunambi-he3ic
@ZainabuiddKunambi-he3ic 2 месяца назад
Nahitaji dua zako shekh wng napitia miyihani migumu sana kiafya kiuchumi kindoa na kimaisha kwa ukumla. Naitwa( zainabu idd)
@AymanHaji-oy9iw
@AymanHaji-oy9iw Месяц назад
Asalam alaykum sheikh naitwa Aiman haji zubeir shekhe mm nlikuw nahitaj Dua mtu nimpendae aje nyumbn na tufunge ndoa inshallah
@user-uk5df9wi7k
@user-uk5df9wi7k 4 месяца назад
Asalam alykm shekh nimzaliwa kenya mimi viva soloma sijui kusoma Quran naomba hicho kisomo unisomee kwasababu sijui kuisoma suratul Yasin niko na mitihani mingi sana
@user-dq1lm2be2u
@user-dq1lm2be2u 4 месяца назад
Inshaallah shukran
@user-wq8lp4th2b
@user-wq8lp4th2b 3 месяца назад
SHUKRAN LAK sheikh ❤❤❤
@sheisgodorait5721
@sheisgodorait5721 4 месяца назад
Allah Akubariki shekhe
@HappyAstrolabe-be4lm
@HappyAstrolabe-be4lm 4 месяца назад
❤❤❤ mashallah
@user-md8gs2mk2m
@user-md8gs2mk2m 2 месяца назад
Mungu akupe kilalaheri dunia I naahela
@AshaJafari-fr3qs
@AshaJafari-fr3qs 29 дней назад
Asalam aleykum naitwa Asha jafari Yasini ninashida ya duwa ili niifadhi quran aa
@user-dq1lm2be2u
@user-dq1lm2be2u 4 месяца назад
Inshaallah
@SudiKhalid-kt4th
@SudiKhalid-kt4th 2 месяца назад
ASALAM ALAIKUM WARHMATULLAH W SHEIKH NAPENDA SANA MAFUNZO YAKO MIMI NIMEHASIDIW KWAKWEL NAOMBA UNIOMBEY JINA LANGU SUDI KHALID KUTOKA BURUNDI ALLAH ATUWEKEY WEPESI
@user-pw9lf6yt9b
@user-pw9lf6yt9b 2 месяца назад
Aamin
@KalimagiFeruzi
@KalimagiFeruzi 2 месяца назад
Assalamu alaykum,shekh jina langu BACHWA HUSSEIN FERUZI
@FatumaAbdilrahman
@FatumaAbdilrahman 4 месяца назад
Sheikh naomba Dua ya rizq maana sinielewi
@FarashuuMohammed
@FarashuuMohammed 2 месяца назад
mimi naitwa farashuu mohd abdalla naomba na mimi nisome hii saba mubini mungu anifungulie riski
@sheilajames8206
@sheilajames8206 3 месяца назад
Assalaam Aleykum sheikh niombee dua ya rizik sababu nimeteseka sana
@OmaryJuma-jy1ii
@OmaryJuma-jy1ii 2 месяца назад
Ishaallah
@SaotmAlohtm
@SaotmAlohtm Месяц назад
Shehe muombee mwanangu ana itwa idadi yopondan sina uwezo 😂😢😂
@aligermano3615
@aligermano3615 3 месяца назад
Assalam Aleikum sheh mimi naitwa Cândido Ali, kutoka Mozambique yani na matatizo mengui yani napata feza ikayi ata dowa yani mengui tu. Sijui kuandika ki shahiri vizuri lakini utayelewa tu. Niganyie duwa mufuti
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 4 месяца назад
Wallaikum Sallam Warahamatullah Wabarakatuh Alhamndulillah
@IsmaelHAKIZIMANA-hz5in
@IsmaelHAKIZIMANA-hz5in Месяц назад
Assalam alaikum warahmatullah wabarakatuh, naomba Sheikh,
@zaynabkinana4978
@zaynabkinana4978 2 месяца назад
As salaam alaikum warahmatullah wabarakatuh shekhe Mimi ninamatatizo mengi hayaelezeki
@hamzaforogo
@hamzaforogo 4 месяца назад
Kila sifanjema anastahiki Allah mola mlezi wa viumbe wote
@khadijaissah4671
@khadijaissah4671 4 месяца назад
Kisha huyo bellasi mimi nitakujibu hilo,Mtume Mohammad S.A.W mwenyewe alikataa mali ili isimshughulishe na dunia akamsahau Allah pia hakutaka kuwafanya watu wamuone au kumchukulia bora kuliko wanadamu wenziwe yeye angelipenda mali Allah hangekosa kumpa
@SaidHassan-ot3un
@SaidHassan-ot3un Месяц назад
Ufahamu wako una mushkel!uislam haujakataza mali
@brotherk5665
@brotherk5665 3 месяца назад
me naomba namba ya shekh
@CikeTanzania
@CikeTanzania Месяц назад
Anapatikana Dar no za cm hizo zinapita apo.
@AbudoAgostinho-te3sb
@AbudoAgostinho-te3sb 3 месяца назад
Mnataman ata nikuone ila akuna jinsi kama o nguekua jalibo nilibidi nikuone,Ola cheye naomba unisaidie, kama kuna uwezeka o wakunisaidia naomba bass cheye usiku mwema lala salama na familia si wenguine tunashindua mpaka kuisaidia family!
@user-kx4wd5vb4j
@user-kx4wd5vb4j 4 месяца назад
Utajiri wa nafsi ni bora kuliko utajiri wa mali wenye kibri na usio na imani
@OmaryJuma-jy1ii
@OmaryJuma-jy1ii 2 месяца назад
Asalam alaikum warhatullah ta'ala wabarakaatuh m omar juma
@mariambakari7988
@mariambakari7988 3 месяца назад
Asalam Alykum warahmatullahi wabarakaat,naomba ndua mambo yangu yawe wepesi ndoa,kiuchumi na kimaisha
@barkaabdallah2407
@barkaabdallah2407 2 месяца назад
Asalam Alekum warahmatulahi wabarakatuh Je sheikh nikiisoma usiku na sawa ama inasoma magrib peke yake na manisha yasin pamoja na waqia?
@user-lp2en8vh6j
@user-lp2en8vh6j 4 месяца назад
Assalam aylkum kum shekhe mimi nina tatizo madeni shekh mambo magumu pesa dogo naomba dua
@MwanaidiSaidi-ey8lf
@MwanaidiSaidi-ey8lf 3 месяца назад
Mimi naitwa mwajabu naomba niombee dua nifunguliwe riziki nanifanyiwe wepesi kwa kila jambo
@adammakame63
@adammakame63 2 месяца назад
Huyu shekhe anapatikana wapi.naomba namba yake ya simu
@richardahmmady3412
@richardahmmady3412 Месяц назад
Nilisahau jina naitwa Ahmad Rich
@IbrahimHaroub
@IbrahimHaroub 2 месяца назад
Sheikh mm naomb unipigie cm tafadhal nipo zanz
@ceciliamaneti5283
@ceciliamaneti5283 Месяц назад
Msaada please, naomba anaeweza kuniandikia hizi sura nitamshukuru ila Allah amfungulie Insh'Allah
@allyMkira
@allyMkira 12 часов назад
Asalamu alaikum warah matullah wabarakatuh
@allyMkira
@allyMkira 12 часов назад
Suratul yaasini na suratul yaasin
@juniorcantona4040
@juniorcantona4040 4 месяца назад
Naam Twaibu Sheikh Othman Michael Naomba uniombee Nasumbuliwa na maradhi na hospital hayaonekani Tafadhari
@user-lp5zw6bb5d
@user-lp5zw6bb5d 3 месяца назад
Aslm alkm wwt ustdh Michael ulisema dawa ya hasad ni gani mm ni daktari natibu watu watu wanapona walakini mm mwenyewe ni mgonjwa yaani uhasidi mingi ainun
@zainabuiddy
@zainabuiddy Месяц назад
Sasa kama mtu auwezi kuisoma unaweza kuisikiliza
@khalifmaalim8056
@khalifmaalim8056 3 месяца назад
Assalamu aleykum shekh na uko wapi wewe?
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 4 месяца назад
Sheikh Kuna Dada Na kaaa nae Nahisi ana Jini maana anapandisha Jini lakn likipanda anajing'ata ulimi,, anakuwa Mgumu half anapoteza Fahamu hapo hadi Baadae hata akiamkua anasahau alikuwa wapi hivo sheikh Jini huyo wa aina ipi na atumie nn hio hali imuondoke
@AbudoAgostinho-te3sb
@AbudoAgostinho-te3sb 3 месяца назад
Assalam alaikum chehe mnafanha kazi na wa indi Nina miaka 4 na fanha kazi illa mpaka sasaivi sina ATA thumbs ATA mpaka sijui yela mnapo malizia mnaitua ABUDO kutoka Mozambique nataka unisaidie cheye safadali mzem Lila kitu mnapo jalibo kufanha aiendi kuamana!
@Nailaty564
@Nailaty564 4 месяца назад
Nilimtoa bibi yangu mkoani aje umsimee dua lakin ulituzungusha mpaka bibi akafariki sina maana kuwa ungeweza kuzuia kifo chake Ila hata yeye mwenyewe alitaman kusomewa na wewe
@ashuraramadhan6467
@ashuraramadhan6467 4 месяца назад
Pole ndugu iyo ilikuw siku yake ilishafika hata angesomewa km ndo mwsho wake bc hata shekh angemsomea Bado ungemkosa maan tayar ahadi yake ishafika
@bellasi349
@bellasi349 4 месяца назад
Sasa monsieur acha uongo wa kijinga Muhammad mwenyewe alikufa masikin au yeye alikuwa hajui soma izo sura au soma wewe maisha yako tunayajua
@ashuraramadhan6467
@ashuraramadhan6467 4 месяца назад
Km utaki kaa mbali , usilete maneno ya ajabu Mtume aliambiwa na Allah aseme chochote anachokitaka apew alikataa kulingana na Imani yake na hata angepew Kila kitu ktkt Dunia kisingemshughulisha cz yy Dunia alikuw ameioa mgongo na hat angetak nin angekuw nacho cz yy ndo kawafundisha maswahaba zake na maswahaba walikuw vizur Kwa Mali n.k , Allah ndo mjuzi zaidi km hujui ukae kimya sio utoe comment za kukashif
@bellasi349
@bellasi349 3 месяца назад
@@ashuraramadhan6467 kweli wewe jinga sasa allah ampe nini Muhammad atoe wapi kwanza n'a why hakumpa n'a akafa masikin n'a uyo allah alimwambia lin n'a wapi yani nyie watu weusi ivi akili ziko wapi mbwa nyie kwanin allah hakuokoa watoto wake wakati wanakufa kama vibudu achen ujinga nyie tumia akiri sio kuamini tu upumbavu wa waarabu
@user-nn3dt5gh8e
@user-nn3dt5gh8e 3 месяца назад
​@@bellasi349usitukane huwezi kaakinya
@NasraAmini
@NasraAmini 3 месяца назад
Laa natullah ww kijana Allah atakulaani insha allah
@ashuraramadhan6467
@ashuraramadhan6467 3 месяца назад
@@bellasi349 kwanza usimshirishe Allah Allah hana mtoto km unavyodhan ww , siwez kubishan na mtu chiz nwendawazim Kaa na ujing wako
@NasibuNasibuhamisiGmailcom
@NasibuNasibuhamisiGmailcom 3 месяца назад
Sheikh minaitwa nasibu bin hidaiya naomba namimi unijumuishe kwenye hiyo dua
@stevenjohn5853
@stevenjohn5853 2 месяца назад
Shukran
@MwanaidiSaidi-ey8lf
@MwanaidiSaidi-ey8lf 3 месяца назад
Asalam alaikum shehe mimi ninaitwa othoman Jackson mambo yangu ni magumu sana kwa kila ninachofanya pia nikaona nibadili dini niwe muslam pia sifanikiwi shehe naomba dua kwako lshaallh
@richardahmmady3412
@richardahmmady3412 Месяц назад
Nilisahau jina naitwa Ahmad Rich
Далее
ПОЮ ЛЕТНИЕ ПЕСНИ🌞
3:16:55
Просмотров 1,7 млн
skibidi toilet 76 (part 1)
03:10
Просмотров 13 млн
FUNGUA RIZIKI ZAKO HAPA
46:27
Просмотров 56 тыс.
FAIDA ZA KUFANYA DHIKRI MARA KWA MARA
27:25
Просмотров 3,8 тыс.