Assalamu alaikum.naitwa fatma kamunuh iddi toka kenya naomba pia nikumbuke kwa dua Allah anifungulie maisha inshaallah.Allah akuhifadhi na akupe mema katika dunia na akhera.amiin
Assalam alaikum sheikh mm naitwa Fatma mwalimu kutoka Kenya Nina mitihani mizito Sana hata hayaelezeki ya Kila aina maradhi , kuchukiwa na mume ndugu majirani na hata mahalo popote nitakuwa na mm niliugua maradhi ya akili natumai madawa ya hospital lakini nazidi kulemewa UTI wa mgongo ,kichwa,kifua,kiuno mbavu,huzuni nataka kukaa pekeyangu lakini alhamdhulilah ibada zangu nafanya. Naomba unifanyie Dua na mm mambo yangu yafunguke pamoja na watoto wangu lnshallah Allah akujaze kheiri lnshallah
Sheikh shukran. Naitwa Halima mohammed, kutoka kenya. Nina mitihani mizito hata nikianza kuzieleza sitozimaliza, wanangu bado wadogo na wanapitia mazito kwasababu ya shida zangu. Naomba mnikumbuke kwa dua, maana naskia nimefika mwisho.
Assalam alaikum chehe.mimi ni mfuasi wako kutokea Mozambique kwa jina MAHANDO JOAO MBANGUIA.ningependa nifike tz na unisaidiye nisome niwe mwene elim lakini sijuwi na anza vipi.insha Allah ya rab akuzidichiye zaidi kutufikishia maneno ya Allah.
Asalamu alaikum ustadhi mmi naitwa Hadija Salim naomba unifanyie Dua nnajini mahaba nimtu wa mikosi tu ata ivi nnamchumba wangu ameniacha bila sababu tafadhali ustadhi unifanyie inshallah
Assalamu alaykum wa rahmatullah wa barakatuh shekh mie niko south Africa nakufwatiliaga Sana kiukweli majibu mengi nilishapata kwa Adhkari na izo quran unatuelekezaga kiukweli uzidi kuwa na afya na Familia yako Allah awajalie pepo ya fildausi inshaAllah
Assalaam Aleykum sheikh, shukrani sana Kwa mafundisho hayo illa je katika kuisoma hiyo Suratul Yaseen na pamoja na Waqiah mbali na huo muda wa Magharib na Ishai mtu anaeza soma baadaa ya Ishai kabla ya kulala na bado akanuilia Kwa mitihani hiyo iliyo kusudiwa
Asalam alaikum shehe mimi ninaitwa othoman Jackson mambo yangu ni magumu sana kwa kila ninachofanya pia nikaona nibadili dini niwe muslam pia sifanikiwi shehe naomba dua kwako lshaallh
Asalam aleykum warahmatullahi wabarakatuh shekh wangu yaani nakuombea Mungu akupe uzima na ajaalie uzidi kutufunza mengi shekh wangu mimi ninamitihani sana na hata nikipambana na familia yangu tuivuke bado inajirudia na kwa upendo wa mume wangu mambo hayaendi kabisa hata akifanya biashara zako kulipwa ni mtihani shekh mpk nachoka naomba dua zako
A salaam aleikum shehe natokea Kenya uniombee dua kwa maisha yangu n watoto wangu tunapitia mazito naitwa fatuma,Aisha,Shaffi,hawa,aaqil,sahil na iqran tupate wepesi kwa maisha inshaalah
Asalam alykm shekh nimzaliwa kenya mimi viva soloma sijui kusoma Quran naomba hicho kisomo unisomee kwasababu sijui kuisoma suratul Yasin niko na mitihani mingi sana
ASALAM ALAIKUM WARHMATULLAH W SHEIKH NAPENDA SANA MAFUNZO YAKO MIMI NIMEHASIDIW KWAKWEL NAOMBA UNIOMBEY JINA LANGU SUDI KHALID KUTOKA BURUNDI ALLAH ATUWEKEY WEPESI
Assalam Aleikum sheh mimi naitwa Cândido Ali, kutoka Mozambique yani na matatizo mengui yani napata feza ikayi ata dowa yani mengui tu. Sijui kuandika ki shahiri vizuri lakini utayelewa tu. Niganyie duwa mufuti
Kisha huyo bellasi mimi nitakujibu hilo,Mtume Mohammad S.A.W mwenyewe alikataa mali ili isimshughulishe na dunia akamsahau Allah pia hakutaka kuwafanya watu wamuone au kumchukulia bora kuliko wanadamu wenziwe yeye angelipenda mali Allah hangekosa kumpa
Mnataman ata nikuone ila akuna jinsi kama o nguekua jalibo nilibidi nikuone,Ola cheye naomba unisaidie, kama kuna uwezeka o wakunisaidia naomba bass cheye usiku mwema lala salama na familia si wenguine tunashindua mpaka kuisaidia family!
Aslm alkm wwt ustdh Michael ulisema dawa ya hasad ni gani mm ni daktari natibu watu watu wanapona walakini mm mwenyewe ni mgonjwa yaani uhasidi mingi ainun
Sheikh Kuna Dada Na kaaa nae Nahisi ana Jini maana anapandisha Jini lakn likipanda anajing'ata ulimi,, anakuwa Mgumu half anapoteza Fahamu hapo hadi Baadae hata akiamkua anasahau alikuwa wapi hivo sheikh Jini huyo wa aina ipi na atumie nn hio hali imuondoke
Assalam alaikum chehe mnafanha kazi na wa indi Nina miaka 4 na fanha kazi illa mpaka sasaivi sina ATA thumbs ATA mpaka sijui yela mnapo malizia mnaitua ABUDO kutoka Mozambique nataka unisaidie cheye safadali mzem Lila kitu mnapo jalibo kufanha aiendi kuamana!
Nilimtoa bibi yangu mkoani aje umsimee dua lakin ulituzungusha mpaka bibi akafariki sina maana kuwa ungeweza kuzuia kifo chake Ila hata yeye mwenyewe alitaman kusomewa na wewe
Km utaki kaa mbali , usilete maneno ya ajabu Mtume aliambiwa na Allah aseme chochote anachokitaka apew alikataa kulingana na Imani yake na hata angepew Kila kitu ktkt Dunia kisingemshughulisha cz yy Dunia alikuw ameioa mgongo na hat angetak nin angekuw nacho cz yy ndo kawafundisha maswahaba zake na maswahaba walikuw vizur Kwa Mali n.k , Allah ndo mjuzi zaidi km hujui ukae kimya sio utoe comment za kukashif
@@ashuraramadhan6467 kweli wewe jinga sasa allah ampe nini Muhammad atoe wapi kwanza n'a why hakumpa n'a akafa masikin n'a uyo allah alimwambia lin n'a wapi yani nyie watu weusi ivi akili ziko wapi mbwa nyie kwanin allah hakuokoa watoto wake wakati wanakufa kama vibudu achen ujinga nyie tumia akiri sio kuamini tu upumbavu wa waarabu
Asalam alaikum shehe mimi ninaitwa othoman Jackson mambo yangu ni magumu sana kwa kila ninachofanya pia nikaona nibadili dini niwe muslam pia sifanikiwi shehe naomba dua kwako lshaallh