Тёмный

POLISI LAWAMANI TENA! WADAIWA KUMKATA MGUU OSTADH na KUCHUKUA MILIONI 7 -YULE ALIYESOTA JELA MIAKA10 

Global TV  Online
Подписаться 4,9 млн
Просмотров 56 тыс.
50% 1

POLISI LAWAMANI TENA! WADAIWA KUMKATA MGUU OSTADH na KUCHUKUA MILIONI 7 -YULE ALIYESOTA JELA MIAKA10...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

4 янв 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 285   
@globaltv_online
@globaltv_online 7 месяцев назад
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@hassnsalim5156
@hassnsalim5156 7 месяцев назад
Waislam tujitowe kwa huyu mtu inauma sana zaidi ya sana
@user-cf7rk6co7e
@user-cf7rk6co7e 5 месяцев назад
Usiseme huyu wote ni binadamu tusaidoane tuinue sauti zetu apewe pesa zake basi
@zulekhasaeed6046
@zulekhasaeed6046 2 месяца назад
Watuwatweswa sana tanzaniya hakinyigi hazitendeki polisi wanachukuwa shariya vibaya
@user-gn8zs4qx2y
@user-gn8zs4qx2y 7 месяцев назад
Usipoipata haki duniani inshaalah utapata mbele ya haki mungu ndio mwenye kuhesabu
@user-uz5cu7cr9h
@user-uz5cu7cr9h 7 месяцев назад
18:26
@joycemkeka3769
@joycemkeka3769 7 месяцев назад
Hakika
@maryamabdullah9169
@maryamabdullah9169 6 месяцев назад
Dhuluma kubwa Allah yuko pamoja na wewe
@kilimanjaro77international26
@kilimanjaro77international26 5 месяцев назад
UPUUZI huo wa kikoloni eti tutaenda paradise tukipata shida duniani, bullshit
@user-zs4xz1vv4o
@user-zs4xz1vv4o 7 месяцев назад
Pole sana ustadhi Allah Yuko pamojanawe hao mapolisi niwashenzi sana hao tumewachoka hasa hatunalakufanya ila Allah anacho chakuwafanya umbwa hao
@awadhally1052
@awadhally1052 7 месяцев назад
Kwel kabisaaa Allah atawalipizia kama walivo mfanyia shehee inshallah
@KhamisHaji-pw4jo
@KhamisHaji-pw4jo 7 месяцев назад
Kuaeni na subra sote tutaenda kuhukumiwa waacheni watunyanyase ila mwenye nguvu Allah,,,, Allahu-akbar ☝️
@melkiorykweka438
@melkiorykweka438 7 месяцев назад
Hamza alikua sahihi tu kuwauwa polisi kama mambo ndo hivi 😢 bora jeshi la polisi lifutwe kitengo hicho kitokee jwtz
@user-uc8ei8kn3l
@user-uc8ei8kn3l 7 месяцев назад
Amza akuwa mjinga aliwalipua kudadadeki walimdhulumu pesa na dhahabu za mamilion akaona dawa yak ni kuwaua tu
@user-df6ui9ro8s
@user-df6ui9ro8s 6 месяцев назад
Kabisa me siwqpendi viongoz matapel
@SALEHSALEH-lk5jr
@SALEHSALEH-lk5jr 6 месяцев назад
Na jwtz ni wazuri kwasababu hawafungamani sana na raia lkn huenda nao wakawa wabaya zaidi pale tu watapokabidhiwa majukumu ya polisi
@user-su7np6sn7s
@user-su7np6sn7s 7 месяцев назад
Yaani mpaka natokwa na machozi daaah!!! Pole sana bro ALLAH yupo pamoja na wewe atakulipia tu hapahapa Duniani kwa ulivyoonelewa Swali sana na inua mikono yako mbinguni Mungu ataitikia Dua zako IN SHA'ALLAH
@abdulsaid1721
@abdulsaid1721 5 месяцев назад
Tunamuomba. Allah. Akuvue kwa. Hili. Na. Jengine. Pia. Allah. Ni. Muadilifu anajua yaliofichikana. Atahukumu kwa. Mahakama. Ya. Mbinguni kwa kila. Aliye. Stahiki. Ameen
@marykennedymarwa1641
@marykennedymarwa1641 6 месяцев назад
Nafikiri ,unatakiwa kulipwa fidia ya kusingiziwa kesi ya uongo , huyu baba arudishiwe haki yake na fidia za kukatwa mguu. Pole sana ndugu
@jasmintanga2474
@jasmintanga2474 6 месяцев назад
Yan hapo ndo atakua kalipwa haki yke yan km anawajua hao police vzur sura na majina serikali ifuatilie hao wote walotoa ushahid sio wote wachukuliwa hatua yan mtu katumikia miaka yote hyo alafu anakuja kuambiwa kirahic tu umeachiwa kwa sabab ushahid haujawa na mashiko kweli asaa,!? Serikali ikiamua kufuatilia jambo haishindwi lazma huyu kaka apate haki yake km kweli hii nchi ya amani, inasikitisha sana Allah aendelee kukupa subra uipate haki yko
@gilbertshirima2684
@gilbertshirima2684 7 месяцев назад
Nimeumia sana sana😢 Watu wanateseka sana kwenye hii nchi.
@user-gw4vv5uh9z
@user-gw4vv5uh9z 7 месяцев назад
Pole sana imani yako imekuponza Mungu atakutetea na Mama atakusaidia utalipwa haki zako zote na fidia ilipwe kubwa sana umekatwa mguu pole sana Serikali ilipe fidia kubwa Taifa linakujali na litakusaidia Kaka tunakupenda woe Watanzania
@user-jv1ch4tr8q
@user-jv1ch4tr8q 3 месяца назад
Imani haijamponza alikuwa anatetea haki yake kwani angekubali ndo angeachiwa ukikubali ukikataa watakuuwa tu km wamekuamlia ila hawamshindi mungu ndo mana yupo hai hadi leo
@johnnnko5814
@johnnnko5814 7 месяцев назад
Duuh inauma sana. Pole sana Mkuu. Mungu anajua la kufanya...
@daudymlauletv8489
@daudymlauletv8489 7 месяцев назад
Adui wa muisilam ni muisilam mwenziwe pole sana sheikh walio kuchoma ni viongozi mamluki wa kiisilamu ambao hawana nia njema na uisilamu yawezekana ulikua mlinzi mzuri wa mali za uisilamu ikawakera wapigaji wakakuundia zengwe
@marrypius576
@marrypius576 7 месяцев назад
Mungu atakulip kaka angu hao polis hawatoishi kwa amani maishani mwao
@awadhally1052
@awadhally1052 7 месяцев назад
Kwel kabisa Amiin
@saidially1573
@saidially1573 7 месяцев назад
Daa ndugu yangu katika imani kwanza pore sana piri tatizo sio pesa tatizo ni hicho kiungo urichopewa na mungu wao watakirudishaje
@mangulimanguli3974
@mangulimanguli3974 7 месяцев назад
Police wa Tanzania waonevu sana iyo ndo Tabia yao ya kubambikia watu kesi asilimia 80 waliokua Gerezani kesi co zao,ndo maana Police wengi wanakufa Maskini kwa dhulma
@Serenawilson11
@Serenawilson11 6 месяцев назад
Walai dear yan nikikumbuka mm yaliyonikutaga 😢ni mungu tu
@mangulimanguli3974
@mangulimanguli3974 6 месяцев назад
@@Serenawilson11 wanafanya dhulma sana pole walah
@abdulshakuru3992
@abdulshakuru3992 7 месяцев назад
Pole sana shekh wangu Allah utakulipia
@chikujuma18
@chikujuma18 7 месяцев назад
Mwenyezi mungu asimame nawe upate haki yako inshallah
@misomisomisoji7722
@misomisomisoji7722 7 месяцев назад
Hili jeshi la Polisi ni lakihuni, hii yote inatokana na uongozi mbaya wa inchi.
@awadhally1052
@awadhally1052 7 месяцев назад
Kwel kabisaa
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 7 месяцев назад
Police mungu anawaona msifikili mtaishi milele
@OnlyRuky
@OnlyRuky 7 месяцев назад
Jamani Number zake zina pita hapo tumchangie kila atakayejaaliwa
@dismaslalubare4196
@dismaslalubare4196 7 месяцев назад
Mama samia.apige simu moja tu. Kwa kamanda masejo tunamuamini masejo hela zako zitapatikana....hata kama amestaafu huyo askari aliekupekua atafuatwa Mali zake ziuzwe upewe haki.zako ...pole sana kaka
@AliAbdalla-lb8su
@AliAbdalla-lb8su 6 месяцев назад
Hii nchi ina wahuni sana wanaolalamikia serikali ni wengi sasa kuna haja gani kua na sheria bora tuishi tu na uongozi wa kifalme mtu mmoja ndio mwenye maamuzi
@estachengula3902
@estachengula3902 7 месяцев назад
Pole shehe mungu wa mbinguni atawahukumu
@ndimimaskati3641
@ndimimaskati3641 7 месяцев назад
Hao ni Polisi wa madikteta kazi zao kutesa wananchi.
@user-pb4en4te7m
@user-pb4en4te7m 7 месяцев назад
Kwakweli ni uonevu inahudhunisha, Serikali imhurumie kwa ulemavu alioupata, na kumpatia haki yake.
@user-uc8ei8kn3l
@user-uc8ei8kn3l 7 месяцев назад
Dah ,,roho yangu imeniuma sana tena sana
@MellanieKay
@MellanieKay 7 месяцев назад
Pole sana
@al-mamarial-mamari5457
@al-mamarial-mamari5457 7 месяцев назад
حسبي الله ونعم الوكيل
@MdNasr-jm8pj
@MdNasr-jm8pj 7 месяцев назад
Na magaid ni waislam jmn vbaya ivyo msiwapake watu ugaid loooh Laana za Allah ziwqfikie 😢
@methodkigenda4635
@methodkigenda4635 6 дней назад
Pole Sana. Polisi Mungu aliwajua toka zaman Ndo Marana akawaweka katika maandiko yake. Taifa lolote linalotegemea polisi mungu mnaona na Kusikia haya. Lakini uku uraiani ni hatari sana.
@jacobmwalituke8981
@jacobmwalituke8981 7 месяцев назад
Columba hebu omba kazi itv au azam bwana,we ni mkubwa inatosha hufai kuwa global,unahitajika uende media kubwa
@AbdillahMngoya-zj5or
@AbdillahMngoya-zj5or 7 месяцев назад
jamaa kweli anajua aende media kubwa
@paskaziasholla7471
@paskaziasholla7471 7 месяцев назад
Polis siwapendi maana rushwa wanayopokea wanabadili ukweli uwe uongo na uongo uwe ukweli tena na maneno ya dhihaka
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 7 месяцев назад
Innalillah wainnah lillah lajuun,daaaa pole sana ustadhi umeongea kwa uchungu mnoooo wallah wamekuludisha nyuma mno
@zwinaalhabsi664
@zwinaalhabsi664 7 месяцев назад
Allah atakulipia haki yako hapa hapa duniani kabla ya keshoakhera inshaallah
@MrKhatibu
@MrKhatibu 6 месяцев назад
Hapana police wazirudishe pesa zake.
@MauBonde
@MauBonde 25 дней назад
Pole sana sheikh tatitzo la serikali yetu mfumo wa polisi mahakama magereza wanaendelea na mfumo ule ule aliotiachia mkoloni
@user-zk1ho5ig2c
@user-zk1ho5ig2c 6 месяцев назад
Nitumieni namba zake nikipata hela Ntamtumia pesa huyu kaka Mungu Amsaidie dunia inavituko.
@MdNasr-jm8pj
@MdNasr-jm8pj 7 месяцев назад
Tanzania mnawadhalilisha sana viongoz wa kiislam 😢
@hawakiza6067
@hawakiza6067 7 месяцев назад
Sana
@gilbertshirima2684
@gilbertshirima2684 7 месяцев назад
Acheni Udini. Hii nchi uonevu umejaa kila kona na tunapaswa kwa pamoja kulaani matendo maovu dhidi ya raia wema
@FridayMwassa
@FridayMwassa 7 месяцев назад
Mbona mlikuwa mnashangilia pale mchungaji mbarikiwa mwakipesile alipofungwa
@MdNasr-jm8pj
@MdNasr-jm8pj 7 месяцев назад
@@FridayMwassa huna haya ww hakuna kitu km icho
@Ernestlaiza
@Ernestlaiza 6 месяцев назад
​@@MdNasr-jm8pj walahi mko na udine sana sana waislamu mko roho mbaya
@ThomasErro
@ThomasErro Месяц назад
pole sana, Mungu akulipe ktk maisha yako, ikiwa ww umesingiziwa kwa jambo hilo unalotuhumiwa nacho
@user-ie2sr4fi4k
@user-ie2sr4fi4k 7 месяцев назад
Hinaskitisha sana
@zwinaalhabsi664
@zwinaalhabsi664 7 месяцев назад
Allah atakulipia haki yako hapa hapa duniani kabla ya akhera inshaallah
@DeBoy-oy2jg
@DeBoy-oy2jg 5 месяцев назад
Aamin yarabbil'alamin
@HabibuKiyondo
@HabibuKiyondo 6 месяцев назад
Pole sana shekhe allha atakulipa nahao walio fanya ivo malipo niapaapa dunian kwa mungu ni esabu
@abdallahkassim8600
@abdallahkassim8600 7 месяцев назад
Mungu atakulipia hapahapa duniani mungu yupo na wewe
@abdunasiriathumani9011
@abdunasiriathumani9011 6 месяцев назад
Dunia tu hii tunapita Kuna maisha baada ya hapa enyi wenye kudhulumu watu
@user-bw8lt8wy1i
@user-bw8lt8wy1i 7 месяцев назад
Pole Sana kaka yangu mungu atakuona
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 7 месяцев назад
Mungu atawalaani ape kila aina ya maradhi
@charlesbutera897
@charlesbutera897 6 месяцев назад
Ndo maana siwapendi polisi yaani 😢baadhi Yao Siyo watu wazuri
@carolinannhaule8187
@carolinannhaule8187 7 месяцев назад
Chalamila yuko wapi mwamba namkubali atakusahidia Tanzania iko wapi haki za kinadamu zitendeke police nao wakihukaji wakamatwe
@lupefiascojr.1896
@lupefiascojr.1896 7 месяцев назад
Imeniuma sana Mimi hii ni Tanzania kweli
@FrolFrol-qq4vk
@FrolFrol-qq4vk 7 месяцев назад
Pole sana kaka mungu yupo pamoja na wewe
@KassimuTitu-nu6jn
@KassimuTitu-nu6jn 6 месяцев назад
Police walaaniwe kabisa kwan wanatesa sana raia
@christiancalvin2183
@christiancalvin2183 7 месяцев назад
Sema polisi wanamalalamiko ya watu wengi sana
@abdallahkassim8600
@abdallahkassim8600 7 месяцев назад
Inauma sna kwli rais wetu tunakuomba usaidie hii hali inauma sna
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 7 месяцев назад
Mungu mkubwa mungu mkubwa
@saidibanda8347
@saidibanda8347 6 месяцев назад
Daaaaah nchiiii kuna watu wanateseka sana😢😢😢😢😢
@josephmasanja8584
@josephmasanja8584 6 месяцев назад
Tatizo lingine LA kuhusishwa na ughaidi ni kule kuamini dini pamoja na kuamini saana mila desturi na tamaduni za kigeni kupitiliza!!!
@user-ij9te1ck9p
@user-ij9te1ck9p 2 месяца назад
Laahaula walaa kuwwata illaa Billa!.Mungu amemuwekea mwanadam njia mbili:- immaa shakiran waimmaa kafuura, njia ya kushukuru na njia ya kukufuru.hukulazimishwa kufuata njia sahihi ya M/Mungu Kila mtu ana uhuru WA kuabudu,fata unachokiamini na kukiabudu hutamuona muislam anakuja kukubughudhi ila usiumie unapoona wenzako wakiabudu njia sahihi. "Lakum diinukum waliadiin". Nyinyi mna dini yenu na sisi tuna dini yetu.
@LoshilaaMollel-qh5pb
@LoshilaaMollel-qh5pb 7 месяцев назад
Jamani nyie police acheni unyanyazaji kuwanyanyaza wananchi
@aishahazary4097
@aishahazary4097 7 месяцев назад
Walahy hii inauma mno.Ila haki pekee iko kwa ALLAH.
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 7 месяцев назад
Pole SANA Jamani. Mapolisi SIJUI wamekula Nini kwetu. TANZANIA. WOTE NI njaaa ya magendooo. WALUDISHE PESA ZA BABA WA WATU ZAMBIIII. WALANIWEEE. ILA NI KAMA SIASA HIIIOOOOO WALAI. WATESAJI HAO WALUDISHE PESA ZA BABA HUYOOO ZAMBIIII SANA. KAZI GANIII HIIII WANA NYANYASA WATU.😢😰😭😭😭😭😭🥳😭
@user-ny2fu8bu2u
@user-ny2fu8bu2u 3 месяца назад
Pole sana mungu atlifanyia kazi
@user-zq9jc5sw7t
@user-zq9jc5sw7t 7 месяцев назад
Pole.sana.nshallah.alla.yupo
@EshaHamd-ed9yv
@EshaHamd-ed9yv 7 месяцев назад
Allah wasaidie waja wako hawa uwasaidie kila hatua Dua Ugaidi ni anayeuwa au anayeuliwa Allah ndiye mlipaji
@issamatola2031
@issamatola2031 7 месяцев назад
Police ndio maaana wanakufa masikini sana
@ndimimaskati3641
@ndimimaskati3641 7 месяцев назад
Hao mapolisi wanfaa washtzkiwe, na kama hawashtakiwi hapo hakuna segikali inayofuata sheria.
@shuwehaharuna6309
@shuwehaharuna6309 7 месяцев назад
Maaskari ni fuel of hellfire ,,,maisha mafupi yaduniani yanawapa kiburi
@user-zk1ho5ig2c
@user-zk1ho5ig2c 6 месяцев назад
Masikin mungu afanye wepes upate usaidizi inshaallah
@user-rs7cf9lb5w
@user-rs7cf9lb5w 5 месяцев назад
Pole sana ustadh hakika mungu atakulipia polisi ni washenzi sana
@khalidmdimu4177
@khalidmdimu4177 7 месяцев назад
Polis ni wauaji wenye kibali cha kikazi ndo maana nawaogopa kuliko hata majambazi ''langa''
@officialtinnyaltezza9878
@officialtinnyaltezza9878 7 месяцев назад
Kwan broo ulikuwa na viashiria gani had yakafikia huko????
@samiraabdimahamed4449
@samiraabdimahamed4449 7 месяцев назад
Nchi imekuwa ya dhuluma sana kwa kweli. RIP MAGU 😭😭😭😭😭😭 sikuhizi kwa kubandika watu kesi na kuuwawa imekuwa rahisi sana. Yaani sasaivi ukiwa na matatizo kitu cha polisi unakiogopa kabisa.
@GodfreyShayo-ix5be
@GodfreyShayo-ix5be 7 месяцев назад
Hiyo ni toka 2014 siyo karibuni
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 7 месяцев назад
Waislam wameanza kufyekwa tokea kipindi cha Mkapa , Tena kipindi cha Magu siwezi Sema apumzike tu kwa Amani, hata wale Uhamso walikuwa wanaliwa timing tu wafyekwe ila Mungu ndio mpangaji wa yote
@peterjengela1770
@peterjengela1770 7 месяцев назад
Hayo yalitokea wakati wa utawala wa Jakaya
@meryshekoloa961
@meryshekoloa961 3 месяца назад
Ostadhi pole tulikua pamoja nilikamatwa na mchicha nikapewa uhujumu kipindi kile Lulu kajala mimi sero no 5 lulu no 1 mungu hatakuacha
@josephfrank4446
@josephfrank4446 7 месяцев назад
Pole kaka pole sana
@tabithaeppyness3867
@tabithaeppyness3867 7 месяцев назад
Haki itatendeka Mungu hapendi kuona machozi mtu anayedhurumiwa watalipa
@MussaSuleiman-ui9fy
@MussaSuleiman-ui9fy 7 месяцев назад
Hao polisi wapo waliochukua hizo pesa wapo na pesa zipo wazitoe wampe mwenyewe. Dhuluma hazifai na mguu mliokata mnunulie wabandia Ili na yeye apate hata kusogea na mumpe bajaji muogopeni mungu muumba
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 7 месяцев назад
😂😂😂😂 matako bar aise pole sana
@ramadhanmwandambotuntufye5972
@ramadhanmwandambotuntufye5972 6 месяцев назад
Innalillah wainna ilayhi rajiun, hasbna llah waniimal wakil
@austridhaule8747
@austridhaule8747 6 месяцев назад
Mimi mtoto wangu akiniambia anataka awe polisi nitamlaani mpaka kifo changu.
@AishaTarimo
@AishaTarimo 7 месяцев назад
Daaah,,,😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢Mungu atakulipa hapa hapa duniani
@awadhally1052
@awadhally1052 7 месяцев назад
Na kesho ahera Allah atamlipia ishaallah
@user-kn5pb5xp5y
@user-kn5pb5xp5y 6 месяцев назад
pole sana malipo hapahapa
@AyoubNehemia
@AyoubNehemia 5 месяцев назад
Mwenyezi Mungu,ndie,atakae wahukum,wanaiona kuwa dunia yote wameikamata wao,inawapasa kujuwa kuwa kuna kufa na,watajibu nini siku ya mwisho,mshukuru Mungu kwa,kila jambo
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 7 месяцев назад
Waislam sana wanaonewa
@user-vq5ut3rx7m
@user-vq5ut3rx7m 6 месяцев назад
Pole sana kakangu nimelia kwa uchungu 😢😢😢mungu halali na haki yako utaipata inshallah...hasibu Allah wali mli hakimu ☝️
@hayunahabibu4951
@hayunahabibu4951 7 месяцев назад
Pole saana inauma Allah hatakulipia
@acrambilqees8638
@acrambilqees8638 5 месяцев назад
Eeeh mwenyezi mungu mtukufu muumba mbingu na ardhi nakuomba utoe hukumu ya yakitendo hiki cha huyu mja alichofanyiwa inshallah. Ila inauma sana tena sana yaani hiki kitendo cha kupoteza kiungo mi ndio kilichoniuma sana yaaani inshallah mwenyezi mungu yu pamoja nasi
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 7 месяцев назад
DAH BINAADAMU ANAMTESAJE MWENZIE HIVII JAMANII 😢😢😢😢😢😢NI TANZANIA KWELI AU 😮😮😮😮😮😮😮😮
@user-uc8ei8kn3l
@user-uc8ei8kn3l 7 месяцев назад
Yaani acha tu
@AmisseSulemane-sb4re
@AmisseSulemane-sb4re 6 месяцев назад
Ina lilah waina ilah rajiun
@user-rk8ei3gx9e
@user-rk8ei3gx9e 6 месяцев назад
pole sana
@ApostleEmmanuelLyimo
@ApostleEmmanuelLyimo 6 месяцев назад
Ugaidi Ni mbaya Sana unaleta athari kubwa Sana .tunaweza tukawalaumu policy lakini yakitokea matendo kama hayo tunaanza tena kuitaji Masada wa vyombo vya usalama
@nurdinkisaria9476
@nurdinkisaria9476 6 месяцев назад
Wasomee albadil wote waliodhulum haki yako
@jumanesaidi7635
@jumanesaidi7635 3 месяца назад
Mama Tz kisiwa cha amani, Shuhudia mateso haya, wayapatayo wanao, bila ushahidi masikini ! uko wapi, ukatili, unyanyasaji, na dhuruma kama hizi, hata huko kusikokua visiwa vya amani.
@user-zl4ch7kz3b
@user-zl4ch7kz3b 5 месяцев назад
Mungu yupo na tunamuamini San na atawalipa hao police kwa walichokufanyia mungu hapendi mtu kuonewa
@susananyasani6526
@susananyasani6526 4 месяца назад
Badala ya Polisi kumlinda Mwanadamu huiba Vitu vyao na kuwatesa pole sana waliharibu maisha yako yote hari hii ifikishwe mbele ya Umoja wa Mataifa adhabu kama hili hairuhusiwa katika Dunia nzima haya yote ni Machozi tu Mungu ni mkubwa
@ColinMhema-ne3lz
@ColinMhema-ne3lz 7 месяцев назад
Nadhani polisi wao wamejitoa kabisa kwenye ubinadam wameamua kujipa kazi ya israel mtoa roho na pamoja naaelezo haya ndugu zanguni hakuna hatua zitachukuliwa watasikia lakini wataziba masikio tumushukuru mwenyezì Mungu kwa magumu haya ambayo yanafanywa na hawa tunaowaita walinzi wetu
@user-yy1rf1de5u
@user-yy1rf1de5u 5 месяцев назад
Dah hii ndo Tanzania yetu nchin ambayo tunaaminii inaamani lakin wananchi wa Hali ya chini tunateseka tunachagua watu tukiamin wametuzidi ilii watuongoze lakini wanatukandamiza ni kherii tungebakii kwa mkolon tupigwe fimbo tuuwawee kuliko kinyanyasana wenyewe ..Tunasema hatuna ukabila lakini nchii hii Ina matajir na maskini,..maskin tunateseka sanaaa
@japeramadhan
@japeramadhan 5 месяцев назад
Mungu atakulipia
@dullahtechtz3422
@dullahtechtz3422 7 месяцев назад
Dah nimejisikia vibaya mngeweka namba tumchangie we mama samia angalia haya mabo police sio haki
@samirazuberi186
@samirazuberi186 4 месяца назад
Eti hujakoma tutakurudisha huko huko 😭😭😭nyie kwa mungu kuna adhabu 😪
@zakariaissa7574
@zakariaissa7574 5 месяцев назад
Pole sana ndugu haya nimapito tu mungu atakulipa zaidi
@user-hq5mo3dx7l
@user-hq5mo3dx7l 27 дней назад
Pole kaka hata sjamalizia inauma.sana
@rayahamisi118
@rayahamisi118 7 месяцев назад
😢😢😢wanataka watolewe mabusha walahi
@jumarajab5316
@jumarajab5316 7 месяцев назад
hawa magaidi sio kwamba walishinda kesi bali mama samia katika vitu aliombwa ktk maridhiano ni pamoja na kuwaachia magaidi kwa kuwa wamekaa muda mrefu na hayo MA CD bila shaka ni mafunzo ya ugaidi aliokuwa nayo ndani
@Mentorship_clips
@Mentorship_clips 7 месяцев назад
Ukiambiwa uthibitishe hayo unayoyasema una uthibitisho??
Далее
What is going on? 😂 (via haechii_br/IG) #shorts
00:15
ПОМОГЛА НАЗЫВАЕТСЯ😂
00:20
Просмотров 2,5 млн
What is going on? 😂 (via haechii_br/IG) #shorts
00:15