Тёмный

JE UNAKIJUA KISIWA CHA CHANGUU AU PRISON ISLAND? 

KTV TZ ONLINE
Подписаться 375 тыс.
Просмотров 101 тыс.
50% 1

KTV ON LINE TZ na utalii wa ndani tunakuletea historia fupi ya kisiwa cha Changuu maarufu Prison Island
~-~~-~~~-~~-~
Please watch: "LIVE:SHUHUDIA WAZIRI MKUU AKIWASILI UKEREWE"
• LIVE:SHUHUDIA WAZIRI M...
~-~~-~~~-~~-~ #hakikahiinifahariyetu #hakikahiinifahariyetu

Опубликовано:

 

10 дек 2017

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 46   
@cornelytv2839
@cornelytv2839 7 месяцев назад
congratulations 🎉
@josejuma103
@josejuma103 6 лет назад
Mtangazaji upo vizuri sana Nice job
@willymosses1612
@willymosses1612 5 лет назад
vizuri sana.......naipenda Tanzania yangu
@hummymgaza6915
@hummymgaza6915 6 лет назад
Big up mtangazaji
@saidsaid9463
@saidsaid9463 6 лет назад
Majengo ya zamani imara kazi nzuri
@naslamgollo6405
@naslamgollo6405 6 лет назад
Nice me naogopa kuvuka jaman nakosa mengi
@josej9888
@josej9888 6 лет назад
Charles kisinza uko vizuri kwenye utangazaji
@joelkaruga8696
@joelkaruga8696 5 лет назад
Jamaa ni mtangazaji mzuri yupo makini sana.
@rahimarajab4306
@rahimarajab4306 6 лет назад
Kisiwaaa kizuriii nicee nitakuja one day
@ktvtzonline
@ktvtzonline 6 лет назад
tuwaombe radhi watazamaji wetu kuwa vidio hii inakosa la mwaka wa kuanza kutumika kwa jengo husika, mwaka sahihi ni 1893 na sio 1993, mtuwie radhi kwa kutumia kipande cha sauti kisichostahili. asanteni.
@hidayamussa4273
@hidayamussa4273 6 лет назад
KTV TZ Tupo pamoja
@mundhirsalum1062
@mundhirsalum1062 6 лет назад
KTV TZ sawa hamna shida naipenda KTV TZ♥♡
@khamiskhamis5323
@khamiskhamis5323 6 лет назад
KTV TZ ucjal baba binaadam wote huwa wanakosea,
@felixernesto1366
@felixernesto1366 6 лет назад
Tatizo mnakuwa na presenters vilaZa apart from kukosea mwaka , katudanganya jina Samuel ni la kiafrika really? You got to be kidding us, Samuel ni jina lenye asili ya kiebrania full stop
@cosamtitus9088
@cosamtitus9088 5 лет назад
KTV TZ ONLINE umefanya uungwana ,mwanzoni kwa hilo,, Hongera pia ,presenter unamvuto wa kumfanya mtu atazame na kusikiliza kwa makini 🙏
@graytonndamgoba4805
@graytonndamgoba4805 6 лет назад
So nice but I was expecting you to go deeper
@ahmadsaid5845
@ahmadsaid5845 4 года назад
Ilove zanzibar
@allyhassan2795
@allyhassan2795 6 лет назад
wamejiweka mbele kama mfuko wa shati kwani hakuna wenyewe wazawa wakuzunqumza ndio wanajuwa historia yao
@ktvtzonline
@ktvtzonline 6 лет назад
duh mtuwie radhi kwa makosa ya kutumia kipande cha sauti iliyo na makosa kihistoria, mwaka sahihi ni 1893 na sio 1993 .
@maliethnyoni2847
@maliethnyoni2847 5 лет назад
Upo vizuli
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 5 лет назад
Story nzr
@salembaksh6551
@salembaksh6551 4 года назад
Janja janja wizi mtupu
@ahmedyoung7300
@ahmedyoung7300 6 лет назад
1893
@ktvtzonline
@ktvtzonline 6 лет назад
1893
@salimismaily9843
@salimismaily9843 6 лет назад
WEWEE HUIJUI ZANZIBAR WALA HUNA KISOMO CHA UTALII VIPI LIMEJENGWA 1993 JELA HILO
@oopsm3574
@oopsm3574 6 лет назад
Uwongo wao unadhahirika wazi
@oopsm3574
@oopsm3574 6 лет назад
Samuel sio jina la kiafrika mshamba wee
@amalcsalim-uu7hk
@amalcsalim-uu7hk 6 лет назад
Ooops malindi 😂😂😂 na sio pedro ni pietro ama piero
@mwinjanavil
@mwinjanavil 5 лет назад
hahaha hata me nimeshangaa eti samuel jina la kiafrika? duh
@hidayamussa4273
@hidayamussa4273 6 лет назад
Mbona umakosea umesema limejengwa mwaka 1993 wakati ni juzi tu
@mohammedomar1569
@mohammedomar1569 6 лет назад
nadhani hukumfahamu vizuri alianza na mwaka 18
@ktvtzonline
@ktvtzonline 6 лет назад
ni kweli kabisa kipangele hicho kilirekebishwa na kurikodiwa upya ila iliingizwa kimakosa hapo, mwa sahihi ni 1893. asante kwa kujali
@daudimaniseli759
@daudimaniseli759 6 лет назад
muwe makin namiaka yenu mnayotaja yan kabla hamjarusha mtazame wenyewe mkirizika ndio mturushie cc... yan nilishangaa kusikia 1993 duuu
@nin6324
@nin6324 4 года назад
daudi maniseli slip of the tongue
@annemsacky131
@annemsacky131 5 лет назад
huo uongo NI 1893 NA sio1993
@nin6324
@nin6324 4 года назад
Anne Msacky kwenye karatasi nyeupe unaona doa moja jeusi tuuuu????
@oopsm3574
@oopsm3574 6 лет назад
Tilipaswa unamaana gani? Kama ulitakiwa ufanye ,Kajifunze kusema kiswahili nyinyi watangazaji mmeokotwa njiani halafu mnapewa hizo kazi.
@belgieboys9867
@belgieboys9867 5 лет назад
hiyo ilikuwa ni sehem ya kuifadhia watumwa. na hiyo minyororo ilikuwa ya kutumika kufungia watu. sasa mutwambia kama ilikuwa jela ni mznz gani au mwanasiasa gani wa znz alufungwa hapo? hizo ni historia za uongo tulioachiwa na muengereza na VIZAZI VYA Leo tuendelee kuamini. maswali ndio hayo mutuoneshe hao wafungwa kama ni Mandela hahaha. mkunazini makanisani na hapokisiwani ilikuwa ni sehemu ya watumwa
@suleymansuleyum5722
@suleymansuleyum5722 6 лет назад
mtangazaji upo vizuri mashllah
Далее
UWEKEZAJI KISIWA CHA BAWE
7:10
Просмотров 11 тыс.
PRISON ISLAND KISIWA CHENYE RAHA YAKE ZANZIBAR
5:53
Maeneo Huru ya Uwekezaji Micheweni Pemba
7:13
Просмотров 5 тыс.
IJUE COMORO
4:45
Просмотров 32 тыс.
CHUMBA MAALUM ANACHOLALA RAIS "SIMU HAIINGII"
6:33
Просмотров 428 тыс.
#YALIYOMO NDANI YA SOKO LA KWEREKWE ZANZIBAR
29:19
Просмотров 25 тыс.