technology imekuwa sana sasa ivi, kuanzia kwenye mavazi ya kijeshi mpka siraha. Naamini serikali itakuwaimejipanga kwenye hilo. Mungu awasimamie msije mkatumia siraha zenu vibaya, mkapambana na wananchi kwa faida ya wanasiasa. Asante wanajeshi kwa huduma yenu, Nawapenda sna.
Baadhi ya vijana wanakoment upuuuzi humu hawajui kuwa imani inayo wafanya wapate nafasi hata hiyo ya kukaa ndani na kichupi na kuanza kukoment ujinga ni kwa sababu ya uwepo wa amani dumishwa na askari wetu hawa.
Hamna jambo mtwara ilekazi siyo ya police kazi ya wanajeshi tangialini police akapambana na wana jeshi lawa asi la nchi ya kigeni tena wapo 300 wana muachia IGP siwa ndomana wana toloka mana wana kuwa wa mezidiwa wange wachukuaa kama fridi kama jkt wanao jenga ikulu na madalaja
@@makasionlinetv2205 ivi unaona walicho kifanya ? Yaani kikos kizima kimeingia pale je ingekua lile jengo ni mtego na kunabomu kubwa inamaaana wangekufa wote huo ni uzembe wa kwanza 2 hawana backup ya sniper kuwalinda wala hawakutawanyika baadhi kwaajili ya kugadi walio pewa nafac yakwenda kule inamaana kama ni makomando wanatakiwa kuingia wa wili au wa tatu pekeenakuokoa
@@emanuelmwanga4 Acha kifanya kazi ili ujikim kimaisha halafu shinda nyumbani tuu halafu mwambie Mungu aje kukulisha chakula usichokihangaikia! Kama vile unajishughulisha na Mungu anavyokunyanyulia watu wakukupatia fedha na ukabarikiwa kwa kazi ya mikono yako lakini ukiwa unamheshimu aliyekifanya mkono uingie kinywani, vivyo hivyo ndivyo Mungu anaweza kuilinda nchi kupitia watu aliowanyanyua kwa ajili yetu wakawa wanajeshi na tukiamini wanatulinda. Muulize Daudi angekaa nyumbani na kuamini tuu Mungu anaweza kumuangusha Goliati bila yeye kuchukua hatua ya kwenda vitani angeweza kuandikwa kwenye biblia? Na umuulize Mungu kwa nini alimtumia Musa kwenda kuwakomboa Wana wa Izrael, na kwa nini alimtumia Daudi kumuangusha Goliati kwa nini asingeshuka yeye mwenyewe?
@@lwitikokatule7069 sio akili ndogo ni fikra tuu. Jifunze kujibu kwa kuonesha ukomavu. Kuna adui wa aina nyingi.. Kuna adui wengine kujiua na kuangamiza wengine ni rahisi kwao. Hivyo kwakuwa wapo adui wa aina nyingi pia Kuna aina nyingi za mazoezi. Mf. Kuokoa mateka mjini ni tofauti na msituni.
Jwtz nawa kubali ila muishie kupiga hao magaid msituludie raia sasa maana mme pata moto hadi tunaona hi sasa isije kutulud wenyew mungu awabariki muendelee kutulinda
Watu wote mnatakiwa kutambua umuhimu wa jeshi letu sidhani kama wewe unaweza kukaa kwa amani na unafanya shughuli zako bila kuwepo kwa ulinzi imara wa jeshi letu lakini kwa ufinyu wa akili ndio maana unashindwa kujua umuhimu nchi hii hata watu walioko nje ya nchi wanaitamani lakini wanajua jeshi lipo makini
Ebwana hapo sijaelewa kabisa hivi mbona Kama hawako serious, ebwana Mimi naona warudie Tena , maana wakienda hivi vitani wataisha haki ya Nani wataisha,
Kuna baadhi ya comments humu zinasikitisha. Kwasababu mtu analala na kuamka salama, anapata wasaa wa kuchat kwa utulivu na amani basi ni kudharau kila kitu hamjui tu ila ogopa sana ukazisikia BM zinaunguruma hapakaliki. Hao watu unaweza kuona wanafanya kama maigizo ila ndiyo wanasababisha tuwe na uhakika wa kufanya shughuli zetu kila siku.
@@nshonabdll9363 ujuaji mwingi ww na wao nani anayejua zaidi? Usilete American movie theory kweny mambo ya kweli vp ww medali yyt ya kivita hd uwe na uelewa kuwazidi walioandaa hiki k2 au..
Napongeza kwa juhud za ulinzi zinazofanywa na nchi. Tunajivunia Tanzania na tunaipenda nchi yetu. Lakin hizo movement ambazo tumeonyeshwa hapo ni rahisi kwa adui asiekuwa na siraha na mbinu unless wataisha au wataomba backup ata mala nne ili wafanikiwe. Labda ningepewa nafasi ya kuuliza maswali kadhaa ili nieleweshwe. Pengine ulikua ni uvamiz wa maharamia wa kawaida maana operation hazifanani
Sio maigizo ni kweli na Tz ni moja ya nchi zenye majeshi bora kabisa duniani. Ndio maana wakufunzi wa jeshi na vikosi vya marekani huja Tz, China huja Tz, Uganda na Rwanda huja Tz, Nchi za SADC ndio usiseme wakufunzi wanatoka Tz kwenda kutoa mafunzo ya kijeshi, Ndio maana wanajeshi wa tz wamepelekwa sehemu mbalimbali kusimamia operation mf. Congo, Sudan, Liberia, Sierra Leone, Lebanon, Seashells. Jivunie JWTZ ni jeshi lenye:- Nidhamu, Vifaa, Weledi Wataalamu wa aina zote Wakiwa vikosi aina zote Maji, Anga, Ardhi. Tumebakiza kwenda anga za mbali kwenye sayari nyingine na mwezi. Iko siku tutaanza kwa kurusha satellite anga za Juu sana.
Umakini unahitajika maana usilolijua sawa na usiku wa giza sio kwamba wanaharibubrisasi maana hata wewe ulipokua unasoma shule miaka yote sio kua ulikua unaharibu pesa