Тёмный

KAMA MOVIE UMAHIRI WA JWTZ KUOKOA MATEKA WAKIVITA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 261 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

23 окт 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 678   
@francismshumba7564
@francismshumba7564 3 года назад
Ukiona una amka asubuhi ujue kuna watu wamekesha kwa ajili yako
@mohamedayoub8576
@mohamedayoub8576 3 года назад
Swadakta Mkuu
@jumaabdallah3495
@jumaabdallah3495 3 года назад
@@mohamedayoub8576 Ndo wanalipwa wafanye hvyo, sio kwamba wanatoa msaada!
@petermahimbo6703
@petermahimbo6703 3 года назад
Anakuamasha Mungu pekee.
@MsAggie5
@MsAggie5 3 года назад
Peter Mahimbo jilinde na mimi nikulinde
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 3 года назад
@@jumaabdallah3495 fara wew
@erickzephania1030
@erickzephania1030 3 года назад
technology imekuwa sana sasa ivi, kuanzia kwenye mavazi ya kijeshi mpka siraha. Naamini serikali itakuwaimejipanga kwenye hilo. Mungu awasimamie msije mkatumia siraha zenu vibaya, mkapambana na wananchi kwa faida ya wanasiasa. Asante wanajeshi kwa huduma yenu, Nawapenda sna.
@user-jj7qv7kh2s
@user-jj7qv7kh2s 3 месяца назад
Unaakili kubwa sana wewe mtu, hongera kwa kuwakumbusha wanajeshi hao.
@ezevisionmediastudioezevis7855
@ezevisionmediastudioezevis7855 3 года назад
Kumbe tupo vizurieeee ! Hongera sana majeshi yetu kwa kuhakikisha nchini yetu inakuja salama.
@rizmkondo1344
@rizmkondo1344 3 года назад
Vita ya kizamani sana
@samsonezekiel9232
@samsonezekiel9232 3 года назад
Hivi kwnn isipitishwe kila mtanzania umri Fulani apitie mafunzo jeshini kwaajili emergency ikitokea coz naipenda inchi yangu
@revocatussebastian5698
@revocatussebastian5698 3 года назад
Wazo zuri sanabosss
@revocatussebastian5698
@revocatussebastian5698 3 года назад
Ila tutakuwa na wize wengi sana haitakiwe kabisa hiyo
@t.h.u.g934
@t.h.u.g934 3 года назад
Nenda ww
@maryammohd5994
@maryammohd5994 3 года назад
Yaan tunafanana akili...
@mohammedmhina3973
@mohammedmhina3973 3 года назад
Nenda ww
@sadamissa5687
@sadamissa5687 3 года назад
Akuna ata ndege inayowashambulia kwa juu😂😹🤣🤣🤣🤣🤣tuone itakuaje
@babanurdeenommydephb8992
@babanurdeenommydephb8992 3 года назад
Ausio
@karambolageorge8656
@karambolageorge8656 3 года назад
Kujito sadaka hongereni majeshi wetu Mungu atawalipeni kwawkutupigani
@magamboshabani2459
@magamboshabani2459 3 года назад
Ngoja Rambo awakute hapo ndio mtalijuwa jiji😁😁
@damsonwillison435
@damsonwillison435 3 года назад
Hahahaha hahahaha
@jumachilundajr4853
@jumachilundajr4853 3 года назад
Rambo basha wa au sio?
@UMUHANYITV
@UMUHANYITV 3 года назад
Hhhhhhhhhhhh
@theprincejr1417
@theprincejr1417 3 года назад
Hahhah😀😃😅🤣ase nimecheka
@taliqmaliq4767
@taliqmaliq4767 3 года назад
the last hope of innocent people all over the world TPDF
@BON357
@BON357 Год назад
Naona wanalukaluka tu alafu kwenye vyombo vya habari kujizaririsha tu
@lightrich790
@lightrich790 3 года назад
I wish kuja kuwa mke wa mjeda in shaa Allah
@nelsonmwakibuti3629
@nelsonmwakibuti3629 3 года назад
0713853004 ntafute
@lightrich790
@lightrich790 3 года назад
@@nelsonmwakibuti3629 ok hii number IPO WhatsApp
@samorahezron7808
@samorahezron7808 3 года назад
0629807017 nicheki so utani
@lightrich790
@lightrich790 3 года назад
@@nelsonmwakibuti3629 mbona haisomi
@lightrich790
@lightrich790 3 года назад
@@samorahezron7808 haipo WhatsApp
@datiusleonce9978
@datiusleonce9978 3 года назад
Hahahahha nimefurahi nikikumbuka walio kimbia na kuacha kifaru @mtwara
@abdallahyasin6829
@abdallahyasin6829 3 года назад
🤣🤣🤣
@judaspantaleo9779
@judaspantaleo9779 3 года назад
Kuna waliokimbia mtwara?
@raphaelfrank3113
@raphaelfrank3113 3 года назад
😀😀yale sio maonesho bro
@chrisedward8784
@chrisedward8784 3 года назад
@@abdallahyasin6829 f
@Puxladen
@Puxladen 3 года назад
acha uwongo ww
@abdallahkawambwa9041
@abdallahkawambwa9041 3 года назад
Poleni sana mishahar.ni halaliyenu
@henryabisalami4646
@henryabisalami4646 3 года назад
Nawakubali sana hawa wana hawalali kwa ajiri yetu nilitamani niwe mmoja wao ila daah ndoto imepotea😥😥😥
@johncondrad6258
@johncondrad6258 3 года назад
Pole Sana haikuwa ridhiki yako! Lakini usihofu Mungu amekuwekea ridhiki yako ingine
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 3 года назад
Safi sana aisee🇹🇿🇹🇿💪💪💪
@djungleulaya1792
@djungleulaya1792 3 года назад
Mnamaliza risasi tuu
@VeronicaAdam-lx8yd
@VeronicaAdam-lx8yd Месяц назад
Nizababaako hiz lisas
@zaynabadam6957
@zaynabadam6957 3 года назад
Tz tuna pamban na tail za et mazoezi naipenda Tanzania 😂😂😁😁😁🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💝
@jokandagoyetu831
@jokandagoyetu831 3 года назад
Hata ujui kinachoendelea hapo ni kheli ukakaa kimya
@jimmybernad8930
@jimmybernad8930 3 года назад
Uo umahiri waupeleke mtwara😅
@shedrackjacob6038
@shedrackjacob6038 3 года назад
Unadhan hawajafika au
@amidumselle5659
@amidumselle5659 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Huku wapo mkuu ndo mana mpaka sasa tunashuhudia wanavyokamatwa kama kuku wa kisasa yan Jeshi letu lipo makini sana
@sadamissa5687
@sadamissa5687 3 года назад
😂😹😂😂😂😂🤣🤣
@amidumselle5659
@amidumselle5659 3 года назад
Kipekee nalikubali sana jeshi la nchi yetu M/Mungu azidi kuwapa nguvu
@josephndimi6135
@josephndimi6135 3 года назад
Kweli hi Ni mooveee
@kaundasutikaunda7769
@kaundasutikaunda7769 3 года назад
Baadhi ya vijana wanakoment upuuuzi humu hawajui kuwa imani inayo wafanya wapate nafasi hata hiyo ya kukaa ndani na kichupi na kuanza kukoment ujinga ni kwa sababu ya uwepo wa amani dumishwa na askari wetu hawa.
@emanuelmwanga4
@emanuelmwanga4 3 года назад
Mungu ndiy mlinzi wetu hakuna cha jeshi
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 3 года назад
🤭🤭🤣🤣🤣🤭🤭
@makasionlinetv2205
@makasionlinetv2205 3 года назад
Hamna jambo mtwara ilekazi siyo ya police kazi ya wanajeshi tangialini police akapambana na wana jeshi lawa asi la nchi ya kigeni tena wapo 300 wana muachia IGP siwa ndomana wana toloka mana wana kuwa wa mezidiwa wange wachukuaa kama fridi kama jkt wanao jenga ikulu na madalaja
@pznmasai9815
@pznmasai9815 3 года назад
@@makasionlinetv2205 ivi unaona walicho kifanya ? Yaani kikos kizima kimeingia pale je ingekua lile jengo ni mtego na kunabomu kubwa inamaaana wangekufa wote huo ni uzembe wa kwanza 2 hawana backup ya sniper kuwalinda wala hawakutawanyika baadhi kwaajili ya kugadi walio pewa nafac yakwenda kule inamaana kama ni makomando wanatakiwa kuingia wa wili au wa tatu pekeenakuokoa
@johnaugustino3389
@johnaugustino3389 3 года назад
@@emanuelmwanga4 Acha kifanya kazi ili ujikim kimaisha halafu shinda nyumbani tuu halafu mwambie Mungu aje kukulisha chakula usichokihangaikia! Kama vile unajishughulisha na Mungu anavyokunyanyulia watu wakukupatia fedha na ukabarikiwa kwa kazi ya mikono yako lakini ukiwa unamheshimu aliyekifanya mkono uingie kinywani, vivyo hivyo ndivyo Mungu anaweza kuilinda nchi kupitia watu aliowanyanyua kwa ajili yetu wakawa wanajeshi na tukiamini wanatulinda. Muulize Daudi angekaa nyumbani na kuamini tuu Mungu anaweza kumuangusha Goliati bila yeye kuchukua hatua ya kwenda vitani angeweza kuandikwa kwenye biblia? Na umuulize Mungu kwa nini alimtumia Musa kwenda kuwakomboa Wana wa Izrael, na kwa nini alimtumia Daudi kumuangusha Goliati kwa nini asingeshuka yeye mwenyewe?
@himnajuma8463
@himnajuma8463 3 года назад
Mbona risas zinaenda bure tuingieni Somalia kidogo Apo tukatokomezeni waasi .
@mukhtaryanhussein6449
@mukhtaryanhussein6449 3 года назад
Wanajeshi wetu imara sana hajafa hata mmoja😎
@freddiemwanyika3804
@freddiemwanyika3804 3 года назад
waende kitaya huko wakaokoe ndugu zetu
@haganagobu2524
@haganagobu2524 3 года назад
Jameni Sasa wanapigana na upepo Nini kwanini hatuoni hao maadui TZ😂😂😂
@victorsanga2229
@victorsanga2229 3 года назад
Haaaah we kichwa maji kweli
@masoudshabani8931
@masoudshabani8931 3 года назад
Good work 👍
@abelmange5430
@abelmange5430 3 года назад
Jeshi letu bado sana, mnafatana Kama nyuki...Sasa adui akitokea kwa nyuma, si mmeisha wote....!! 😂
@ama7742
@ama7742 3 года назад
Naona movies zimekuhalibu
@revocatussebastian5698
@revocatussebastian5698 3 года назад
We kima kweli. Unadhubutu kutukana jeshi tunafuatakama nyuki we unajua nini sasa pimbi tyuu fyuu
@yohanemtewa1227
@yohanemtewa1227 3 года назад
Ww ndo umeona hivoo etiii
@rajabueliud1830
@rajabueliud1830 3 года назад
Awezi kuonesha mbinu zao iyo nimfano
@hassanbinally7127
@hassanbinally7127 3 года назад
Inafaa unyamaze kama huna unachokijua kwenye jeshi
@glorysimon775
@glorysimon775 3 года назад
Ila wanajeshi kazi yao ni ngumu Mungu awalinde
@dicksonkimambo3855
@dicksonkimambo3855 2 года назад
Kwn hizooo wanazopig siyoo risas kwn ukipigw risas ya kichw itakuwajee hapo
@greysonmbembelakarateka5842
@greysonmbembelakarateka5842 3 года назад
Very, Kalunde Tc
@revocatussebastian5698
@revocatussebastian5698 3 года назад
Daa nalipenda sana jeshi jamani
@speedonechimbamawe1419
@speedonechimbamawe1419 3 года назад
Apana jamani tanzania amani baba wetu wa tanzania kamalinza na mueshimiwa wetu wa sasa yuko sawa
@queenjayztz8615
@queenjayztz8615 3 года назад
Mungu awabark❤️❤️
@hamzaforogo
@hamzaforogo 3 года назад
Mbona wanakaa pamoja pamoja kama ndege. Wakipigwa bomu hapo sishughuri imeisha.
@georgegerald4153
@georgegerald4153 3 года назад
Ilo hema kama kama lime tegwa mabomu c wanaisha wote make wame zama kwa pamoja.
@nshonabdll9363
@nshonabdll9363 3 года назад
Si ndo hp ht mm nashangaa
@lwitikokatule7069
@lwitikokatule7069 3 года назад
Akili ndogo inavyofikiria
@rewaatesh4877
@rewaatesh4877 3 года назад
@@lwitikokatule7069 sio akili ndogo ni fikra tuu. Jifunze kujibu kwa kuonesha ukomavu. Kuna adui wa aina nyingi.. Kuna adui wengine kujiua na kuangamiza wengine ni rahisi kwao. Hivyo kwakuwa wapo adui wa aina nyingi pia Kuna aina nyingi za mazoezi. Mf. Kuokoa mateka mjini ni tofauti na msituni.
@alisonngaila1393
@alisonngaila1393 3 года назад
Hata hiyo move ya Pamoja kama Adui kawaona kabla RPG si inawahusu kiulain.
@immasaid667
@immasaid667 3 года назад
Jinsi alivyoingis kwenye hema🤣🤣,pia wanafatana bila kuachiana nafasi
@sandenjumbo2596
@sandenjumbo2596 3 года назад
Jwtz nawa kubali ila muishie kupiga hao magaid msituludie raia sasa maana mme pata moto hadi tunaona hi sasa isije kutulud wenyew mungu awabariki muendelee kutulinda
@salmatiba7739
@salmatiba7739 3 года назад
Big up
@ikrammahonda4566
@ikrammahonda4566 3 года назад
Ivi ilikuwaje walivyoenda kule kipindi kile walilud kofia tu na buti tu au mafunzo yalikua ayajakolea
@ikrammahonda4566
@ikrammahonda4566 3 года назад
Ila hongereni sana kwakugomboa mateka
@hassanmassaga2476
@hassanmassaga2476 3 года назад
Millard unazingua...bora ungeweka clip ya call of duty
@blessanthony9905
@blessanthony9905 3 года назад
😂😂😂
@hamzanangameta6243
@hamzanangameta6243 3 года назад
Unajifanya shujaa kwa kuwa uko kwa mama, chai unaletewa mezani, unaenda disco na bodaboda
@theprincejr1417
@theprincejr1417 3 года назад
Jeshi kama jeshi 💪
@jumannebundala2594
@jumannebundala2594 3 года назад
Watu wote mnatakiwa kutambua umuhimu wa jeshi letu sidhani kama wewe unaweza kukaa kwa amani na unafanya shughuli zako bila kuwepo kwa ulinzi imara wa jeshi letu lakini kwa ufinyu wa akili ndio maana unashindwa kujua umuhimu nchi hii hata watu walioko nje ya nchi wanaitamani lakini wanajua jeshi lipo makini
@hakimhakim9631
@hakimhakim9631 3 года назад
tuwapeleke congo tukawajaribu ushujaa
@ngomaaidrisah4415
@ngomaaidrisah4415 3 года назад
Noma sanaa
@TheTemba1
@TheTemba1 3 года назад
Ebwana hapo sijaelewa kabisa hivi mbona Kama hawako serious, ebwana Mimi naona warudie Tena , maana wakienda hivi vitani wataisha haki ya Nani wataisha,
@josephmatonyi1802
@josephmatonyi1802 3 года назад
😀😀😀hakyamungu
@mwinyimohammed9846
@mwinyimohammed9846 3 года назад
Bado sana 😂😂😂.....njooni Kenya tueafunze
@jmwalimtzafrica3791
@jmwalimtzafrica3791 3 года назад
Chokozeni muone. Kama Uganda tulivyo wafanyia
@kaundasutikaunda7769
@kaundasutikaunda7769 3 года назад
Safi sana
@abrahamkibona7038
@abrahamkibona7038 3 года назад
Kiongozi mashuhuli huyo dada. Ahahaha
@polytarimo324
@polytarimo324 3 года назад
Duuh wako vizuriii
@linkreuben5804
@linkreuben5804 3 года назад
Safi sana makomandoo wanavyo fanya kazi zao, plole pole, Tanzania tunalo Jeshi. Mungu kaa upande wetu. Ameni!
@WASHATube
@WASHATube 3 года назад
TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WALIO-TREND ZAIDI 2020👇👇👇 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-mJ5_G0bF-uw.html NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@mpokijasson7872
@mpokijasson7872 3 года назад
Jeshi letu imara Sana ... Mola azidi kutupambania
@omaryally198
@omaryally198 3 года назад
Nice job
@abdillahshabani7810
@abdillahshabani7810 3 года назад
Miladi Ayo unatuzingua sasa mazoezi unatuletea ya nn nenda kalete habari za mtwara
@sophiamfikwa7340
@sophiamfikwa7340 3 года назад
Kwakweli akatuletee Jabari za mtwala kwakweli
@kramsjunior4447
@kramsjunior4447 3 года назад
Kwa mfano ndo vita sasa weee , 😂😂😂😂😂😂😂😂
@sophiamfikwa7340
@sophiamfikwa7340 3 года назад
🤣🤣🤣🤗
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 3 года назад
Fire 🔥
@allyhamadi678
@allyhamadi678 3 года назад
ongera jeshi letu kwa mazoezi mazuri
@canacana9267
@canacana9267 3 года назад
Mbona kama wapo kwenye zowez
@saidnjechele1838
@saidnjechele1838 3 года назад
ilo ni zoezi
@canacana9267
@canacana9267 3 года назад
Ndo naona et
@kiblahmchengule129
@kiblahmchengule129 3 года назад
Mtwara Kijiji cha kitaya mpakani na mozambek wamewateka wanakijiji nendeni mkawakombowe Kama kweli mpo vizur
@benjaminonpiano304
@benjaminonpiano304 3 года назад
Mjinga kweli wewe
@bennie7239
@bennie7239 3 года назад
Ulitaka wakutaarif kila wanachofanya, au ww unajua sana utendaji kazi wa vikosi vya kiusalama??
@issayahya1640
@issayahya1640 3 года назад
Your very right, drills alone without testcases are plays. Wale waliojaa znz ndio wangesongeshwa mtwara mapema asubuhi
@shhaabu
@shhaabu 3 года назад
Suppressing fire 🔥
@floragordon164
@floragordon164 3 года назад
👊💪
@wistonkapilipili4853
@wistonkapilipili4853 3 года назад
Haya ss wakaende mtwara kitaya uko field
@metv6385
@metv6385 3 года назад
Mtwala hawaend hawa
@maishacenter-eastafricatv3976
@maishacenter-eastafricatv3976 3 года назад
Hivi Kama nyuma ya hiyo nyuma kuna magaidi na RPG na makomando wakiwa wameingia ndani wote si wanakufa?
@shabanikamsawa181
@shabanikamsawa181 3 года назад
Siwaende mtwara hao mashuhuli mnatuletea comedy huku nduguzetu mtwara hatujui walipo bongo bwana tuna leta comedy huku tunaumia wakawahokoe ndugu zetu walio tekwa mtwara cyo huo mchezo wa kumbolela wakujifichaficha tulisha cheza utotoni mnazingua
@zaynabadam6957
@zaynabadam6957 3 года назад
Wana pigana na nani😁😁😁😁💝💝🇹🇿
@shukurkatembo2807
@shukurkatembo2807 3 года назад
Kuna baadhi ya comments humu zinasikitisha. Kwasababu mtu analala na kuamka salama, anapata wasaa wa kuchat kwa utulivu na amani basi ni kudharau kila kitu hamjui tu ila ogopa sana ukazisikia BM zinaunguruma hapakaliki. Hao watu unaweza kuona wanafanya kama maigizo ila ndiyo wanasababisha tuwe na uhakika wa kufanya shughuli zetu kila siku.
@kalebuwilliam1014
@kalebuwilliam1014 2 года назад
watu huwa wanachukulia easy tu,kama hawa watu wasingekuwa wa kesha porini hii nchi isingekuwepo
@mr.royalq7062
@mr.royalq7062 3 года назад
Wanaumahiri gani hawa kazi kuuwa watu na kupoka hakinza Watanzania Mungu anawaona
@victorjames3730
@victorjames3730 3 года назад
Hapa ni twara au
@issamchocho4623
@issamchocho4623 3 года назад
Iyo ndio kazi sio kazi kuiba kura za watu
@salhamrisho8138
@salhamrisho8138 3 года назад
Tanzaniaaaaaaaaa
@mataamiry6720
@mataamiry6720 3 года назад
Mbona sasa wanaenda kundi lote hawajatuma hata chambo, mimi sijaona iokoaji wa ivo. Sasa ilo hema kama kuna bomu je
@Pulse_tips
@Pulse_tips 3 года назад
We movi za kihindi zinakupotosha
@nshonabdll9363
@nshonabdll9363 3 года назад
Yn ht mm sio jeshi lkn kwa umahili ni ziro kbs ss hp km Kuna bomu si wanakuwa kbs Tena wasiigize ujinga wao wakatuona watu wanje wakativamia hp
@rubetaalexis8235
@rubetaalexis8235 3 года назад
Movie zinawandanganya nyinyi🤣 mna Watch Indian movies sana🤣
@omypaxtore8740
@omypaxtore8740 3 года назад
@@nshonabdll9363 ujuaji mwingi ww na wao nani anayejua zaidi? Usilete American movie theory kweny mambo ya kweli vp ww medali yyt ya kivita hd uwe na uelewa kuwazidi walioandaa hiki k2 au..
@nshonabdll9363
@nshonabdll9363 3 года назад
@@omypaxtore8740 ww Kanye mbele uko
@egibartrespicius6748
@egibartrespicius6748 3 года назад
🔥🔥
@scolajapheth487
@scolajapheth487 3 года назад
Tz we are winner
@msawanga
@msawanga 3 года назад
Napongeza kwa juhud za ulinzi zinazofanywa na nchi. Tunajivunia Tanzania na tunaipenda nchi yetu. Lakin hizo movement ambazo tumeonyeshwa hapo ni rahisi kwa adui asiekuwa na siraha na mbinu unless wataisha au wataomba backup ata mala nne ili wafanikiwe. Labda ningepewa nafasi ya kuuliza maswali kadhaa ili nieleweshwe. Pengine ulikua ni uvamiz wa maharamia wa kawaida maana operation hazifanani
@allybinally1901
@allybinally1901 3 года назад
Kumbee mazoez niljuaa kimenukaaa muwee mnatueleweshaa mapema Mana nilklkuaa najiulza mbonaa maadui awarudshii mashambulizii
@bernardoleonard7331
@bernardoleonard7331 3 года назад
🙄🤣🤣🤣🤣
@mauricempinga935
@mauricempinga935 3 года назад
Hapo msumbiji mmechemka subilieni suprise
@emanuelmwanga4
@emanuelmwanga4 3 года назад
Haya maigizo haya fanyeni kweli kama amjachakazwa tz jeshi hakuna zaid police ccm
@petermachondo8285
@petermachondo8285 3 года назад
Haujuw chochote ndugu bara ukae kimya
@MsAggie5
@MsAggie5 3 года назад
Kwa nn usifanye utafiti? Bando lako litumie kuuliza mambo ya maana, uliza Tz ya ngapi kwa Afrika kuwa na jeshi bora sio kuropoka
@mhandomussa5232
@mhandomussa5232 3 года назад
Wewe utakuwa mkimbizi nina mashaka na wewe
@rewaatesh4877
@rewaatesh4877 3 года назад
Sio maigizo ni kweli na Tz ni moja ya nchi zenye majeshi bora kabisa duniani. Ndio maana wakufunzi wa jeshi na vikosi vya marekani huja Tz, China huja Tz, Uganda na Rwanda huja Tz, Nchi za SADC ndio usiseme wakufunzi wanatoka Tz kwenda kutoa mafunzo ya kijeshi, Ndio maana wanajeshi wa tz wamepelekwa sehemu mbalimbali kusimamia operation mf. Congo, Sudan, Liberia, Sierra Leone, Lebanon, Seashells. Jivunie JWTZ ni jeshi lenye:- Nidhamu, Vifaa, Weledi Wataalamu wa aina zote Wakiwa vikosi aina zote Maji, Anga, Ardhi. Tumebakiza kwenda anga za mbali kwenye sayari nyingine na mwezi. Iko siku tutaanza kwa kurusha satellite anga za Juu sana.
@emanuelmwanga4
@emanuelmwanga4 3 года назад
@@rewaatesh4877 hhhhhhhhhh mbn waoga sasa kwanza mafunzo mbona Congo walichakazwa wale 14 amna kitu labda kupigana na chadema
@peteradamu4081
@peteradamu4081 Год назад
Ni kumaliza risasi tu ndomaana Kodi zinapanda Kila kukicha
@Martin-lv1xw
@Martin-lv1xw 3 года назад
sikuhiz majeshi yanatumia high tech...adui anapgwa hukohuko aliko bila kelele wala chenga...ifike wakt wabadilike😏
@jjumageu6357
@jjumageu6357 3 года назад
Najivunia tz
@donatusngowi2267
@donatusngowi2267 3 года назад
Kwenye uwasili hakuna muda huu ,hawa jamaa ni noma
@ahmedsalum4656
@ahmedsalum4656 3 года назад
ssa likipigwa bomu 1 kwa jinsi wanavyo move a kwa kikundi
@abrahamkibona7038
@abrahamkibona7038 3 года назад
😂😂😂😂
@catharinacostantine3429
@catharinacostantine3429 3 года назад
Haya sas tz nayo inatoa move jii mbon trela 😁😁😁😁
@gullaalex6590
@gullaalex6590 3 года назад
😂😂😂😂😂
@alibell5246
@alibell5246 3 года назад
Mashaallah
@odierohenry500
@odierohenry500 3 года назад
Mazoezi na vita ni tofauti sana.hawa bado wajui vita ni nini
@hamadshein498
@hamadshein498 3 года назад
NILIVYO WAONA WATALEBAN CNA HAKIKA KAMA GAME LITAPGWA HVI.
@graysonmarcelin2472
@graysonmarcelin2472 3 года назад
hii channel uongo kuzoea
@USDisdoomed
@USDisdoomed 3 года назад
Wanaskia raha kushoot tu wanapenda izo sauti hya malizeni risasi mukipiga hewa na nyasi😂😂
@gullaalex6590
@gullaalex6590 3 года назад
😂😂😂😂😂😂
@ababuumwanazanzibar4908
@ababuumwanazanzibar4908 3 года назад
Tanzania Kwanzaa Mengine Baadae JPM Nambari 1
@michaelmickey7652
@michaelmickey7652 3 года назад
Like it,,,,,
@mzeeomyguy6203
@mzeeomyguy6203 3 года назад
Hahaha lkn mtwara wanakimbia
@ru7benniesospeter776
@ru7benniesospeter776 3 года назад
Acha kuropoka dogo
@azuboy2152
@azuboy2152 3 года назад
Oy waambie wezio vita sio maigizo
@johndamas8880
@johndamas8880 3 года назад
Hapo kwote xifuri
@dicksongerald4714
@dicksongerald4714 3 года назад
komando wanatumia bunduki kwa nguvu hivyoo siwanasemaga wanatumiaga akiliii acheni bana
@thewavenetwork
@thewavenetwork 3 года назад
KWA upande wangu wanaharibu risasi za bure
@fredmushendwa357
@fredmushendwa357 3 года назад
Hizo sio risasi za moto ni risasi za mpira,huwwzi fanya hiyo michezo na risasi za moto,ni hatari sana.
@hassanbinally7127
@hassanbinally7127 3 года назад
Umakini unahitajika maana usilolijua sawa na usiku wa giza sio kwamba wanaharibubrisasi maana hata wewe ulipokua unasoma shule miaka yote sio kua ulikua unaharibu pesa
@johnaugustino3389
@johnaugustino3389 3 года назад
Hongera kwa kuonesha umahiri katika mambo usiyoyajua
@themagadir
@themagadir 3 года назад
Kumbe ni drill
@ramachambela1802
@ramachambela1802 3 года назад
Mazoez ama
@onesphoryo407
@onesphoryo407 3 года назад
Upuuzi tu walishaga uliwa kitambo ,,,no such kind of troop nowadays they have to watch themselves twice
@georgeisdory9998
@georgeisdory9998 3 года назад
Tz 🇹🇿 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@gisineywashani8781
@gisineywashani8781 3 года назад
Mambo ni fire
@ammyallt2292
@ammyallt2292 3 года назад
Ndo ushapata dhambi
@madooog6067
@madooog6067 3 года назад
Yallabi wabaliki wanajeshi wetu
@Filopolazalo
@Filopolazalo 3 года назад
risasi kama njugu mnapigana na matairi
@elisantemrita9894
@elisantemrita9894 2 года назад
Raha sana jamani kazi naitamani Sana hii 😭😭😭😭😭😭😭
@kelvine6167
@kelvine6167 3 года назад
😳 millard xiku izi una kipindi cha wanajesh nn
@WASHATube
@WASHATube 3 года назад
TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WALIO-TREND ZAIDI 2020👇👇👇 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-mJ5_G0bF-uw.html NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥🔥
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 3 года назад
Hahahahaha
@superwhitetz3258
@superwhitetz3258 3 года назад
Sijaelewa kitu apo
@saumuomariahmad9540
@saumuomariahmad9540 3 года назад
Ushenzi
@johnsospeter1762
@johnsospeter1762 3 года назад
Safi Sana najisikia was naamani
Далее
The UK Election Results Explained
8:17
Просмотров 1,2 млн
Хотите поиграть в такую?😄
00:16
Просмотров 263 тыс.
Waasi Wa M23 Wasalimu Amri
4:08
Просмотров 161 тыс.