Ndio mjue nyie chawa,ccm hina wenyewe tena wanatoka familia bora sio nyie maskini tu,chawa..Well done comrade Mpina..safi sana kuwapa mahua yao Mh Samuel Sitta and Anna ...
Jamani tuache kila kitu kwa Mungu. Mungu mwenyewe anasema"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa" Maarifa yenyewe tayari yamewekwa kwenye Ibara ya Nane(8) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano ambacho kina toa Mamlaka yote ya Nchi kwa Wananchi na wala si kwa Rais. Sisi Wananchi tunashindwa kutumia madaraka haya lakini tumeshindwa na sasa tunamwachia Mungu. Watanzania tuwaige wenzetu wa Kenya. Tuchukue na kutekeleza Mamlaka yetu kikatiba kuwawajibisha Watawala na Bunge vyombo ambavyo haviwajibiki vilivyo.
Mpina usichokijua bunge letu la Sasa ni la ccm! Na ccm ni chama kinachowachukia watu waadilifu ni chama kinachotetea ufisadi.Ukifichua maovu wewe ni adui wa chama na bunge sababu bunge Hilo lipo kwaajili ya kutetea uovu na kujitajilisha wao binafsi Hawa uchungu na maisha ya watanzani.
Ndio maana mimi huwa sianglii bunge letu la TANZANIA, KWASABABU HILO BUNGE KWASASA SIO BUNGE NI KIKAO CHA CHAMA CHA MAPINDUZI,, ,KILA KITU USEME NDIO NDIO HUKUSEMA NDIO WEWE NI MSALITI
Watanzania hatuna maamuzi wabunge wanao tetea wananchi kwa dhati wananyanyaswa namna hii 😂😂😂 watanza nia tuna heshimiana sana hebu tuendelee kuheshimiana tendeni haki vyeo ni dhamana tu❤❤❤❤
Hongera Mpina ! Hata kanuni wazotunga wabunge wetu hawazijui hata spika, kumbe ndiyo maana mwanafun,I we fani ya😊 shule sheria shetia wafail😊ing wa mitihani waalimu eweinyewae
Kwa mtazamo wangu tumebaki na Mbunge mmoja tu wa wananchi katika Bunge la JMT anayefaa kuwa Mbunge katika Jimbo lolote Tanzania. Namwomba Mhe. Mpina asivunjike moyo wala kukata tamaa, Mungu yuko upande wake.
Hadi hapa nimegundua kuwa:Tangu Tulia awe spika wa bunge Benger letu lomepoza mwelekeo,spika huyu ni wa hovyo kabisa!Wanambeya mmetuletea bomu bungeni!
Siasa ningumu sana unahitaji uwe na moyo ujitoe kweli kweli TANU kilukua Chama Cha watu..baadae kikabidilishwa kikawa chama Cha ccm Hapa watu wachache ndio walikua na nguvu hasa mwenyekiti...Tangu mwaka 1964 Maslahi na maamuzi ya Tanzania yamekua yakiamuliwa na watu wachache
Sawa lakini nikuombe Sana Usije ukamkosea Mungu kwakutaka huruma ya hao walio kutenda isivyo haki mwache Mungu akupambanie wacha Mungu wanakuomea Sana ,kwani Ninani unayemsikia mwingine akipiga kelele kwaajili ya haki???
Nfugu Mpina,jibu ni kwamba huomradi ni wa spika na hao watu wake. Kwahio umeganyaka nyoka mkia kaka yetu. Lakini Mungu yuko mbioni kutoa majibu . Na saa yake ndio sasa imewadia
Mh umegeuziwa kibao Kwa kuwa unasimamia haki na kweli,,Ulipinga uzwaji wa bandari,Utoroshwaji pesa za umma Kwa badhi ya mawaziri,Walikuwa wanakutafutia makosa ya kukutoa bungeni
Wenzio hawakutaka uongelee mahali pawazi walitaka uwanong'oneze, watz wasije wakaelewa kinacho endelea pole ila Mungu muumba wa Mbingu nanchi hadhihakiwi.
Kwa hili wametukosea watanzania wote sio wewe tu kama sio Mimi peke yangu nikiangalia bunge basi fahamu nataka kuona unaongea nini kwani walio wengi wamebaki kutafuta kiki tu
Kuweni makini na mambo mnayofanyia watu Spika na CCM huyu mtu atawapunguzia heshima ya chama na uongozi na wengine hawatarudi 2025 ikiwezekana watanzania tumalizane na ccm mwakani.
Mpina you ok according your explanation Rong doing acson tulia take action agest you and lmbarasing to acson tulia as the palament speaker into our palament house but ccm won't agree on all this low act into Tanzania constitution still they will crush you by full force fear of cicret of explanation from you mpina you need saport from Tanzania opposition religious leader free team organization of tanzanian backing you if they won't backing you you will be on hard time way we know ccm ruling part
Hilo ni bunge la nani?nanikalichagua?bunge batili matendo yake lazima yawebatili SI vinginevyo,,wamejaa uchawa,mtupu,hao wote ni wasakadili Kwa warabu,
Mpina nenda chadema hao wabunge na spika wote ni wachongo wa magu hakuna hta aliyechaguliwa na wananchi acha kupoteza muda kuwajibu wajinga wanajulikana japo wao hawajioni
Si uachane nao kaka kwani ccm imekuzaa mpina I imekusomesha?achana na ccm mpina kwani kabula hujawmbunge ilikua juli huvai?mbona mpina uwezo wa kula milomitatu mpende akupendae mpina achana nao fanta mambo yako achana na ccm mipina waachie lichama lao
Rudisha hela za wenye viwanda vya sukari ....sisi tunachofurahi sukari inaendelea kujaa na Bei kushuka...wenye viwanda unaowatetea walimsumbua hata magufuli hadi akamuagiza waziri mkuu aandae utaratibu wa serikali yenyewe iagize sukari baada ya kubaini wafanyabiashara wenye viwanda vya sukari wanatengeneza uhaba wa sukari kwa kuficha sukari ile Bei ipande wauze kwa Bei ya juu
Ndugu zangu mnashanaa nini? CCM uozo tu na hawana boa Wala Lego lá kubadilika. Ni Sisu tu kufanya maamuzi magumu ya kuchukua mundo na make e yao kutwanga nazi na kuzika tu,2025 na kufuta kumbukumbu ya CCM Tanganyika.
It show asheme to acson tulia on is low education doughty way mpina translation into Tanzania constuetion low act wich acson tulia use is lmbarasing under mpina low act translation Sasa watanzania ndio mchambue huyo mama uwanasheria wake alisoma wapi kwa nini ni speaker wa bunge lakini hizi hoja za mpina aibu tupu kwa speaker acson tulia ashrm to her lmbarasing her saif use act not me but is fellow ccmpina translate low act under Tanzania constitution