Тёмный

#LIVE 

Mwanzo TV Plus
Подписаться 162 тыс.
Просмотров 18 тыс.
50% 1

Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE RU-vid Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Опубликовано:

 

28 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 104   
@michaelshegwando9125
@michaelshegwando9125 Месяц назад
Mungu aendelee kukupa nguvu na hekima... Hakika utasimamiwa na Mungu
@alphoncejmrema7912
@alphoncejmrema7912 Месяц назад
Mheshimiwa Mpina sheria imebadilika imekaa chin ya cheo kiongoz sio juu pole mheshimiwa mungu ni mwema kila wakat
@humphreymkony8915
@humphreymkony8915 Месяц назад
Wala usijieleze sana Mhe Mpina. Wenye akili wanajua kinachoendelea ktk ufisadi wizi kuhujumu kunakofanywa na viongozi wanaojiita wasomi.
@mchunguliechibwa198
@mchunguliechibwa198 Месяц назад
Ndio mjue nyie chawa,ccm hina wenyewe tena wanatoka familia bora sio nyie maskini tu,chawa..Well done comrade Mpina..safi sana kuwapa mahua yao Mh Samuel Sitta and Anna ...
@nicholaskileka1160
@nicholaskileka1160 Месяц назад
Mpina Mungu akutangulie karika kutekeleza majukumu yako. Mungu anawaona hao wenye nia ovu
@matiredms917
@matiredms917 Месяц назад
Jamani tuache kila kitu kwa Mungu. Mungu mwenyewe anasema"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa" Maarifa yenyewe tayari yamewekwa kwenye Ibara ya Nane(8) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano ambacho kina toa Mamlaka yote ya Nchi kwa Wananchi na wala si kwa Rais. Sisi Wananchi tunashindwa kutumia madaraka haya lakini tumeshindwa na sasa tunamwachia Mungu. Watanzania tuwaige wenzetu wa Kenya. Tuchukue na kutekeleza Mamlaka yetu kikatiba kuwawajibisha Watawala na Bunge vyombo ambavyo haviwajibiki vilivyo.
@damaswikoko2596
@damaswikoko2596 Месяц назад
Mpina uko vizuri sana
@minazsaid2470
@minazsaid2470 Месяц назад
Mpina mungu akusimamie 👏👏
@EmmanuelJailos-pe3du
@EmmanuelJailos-pe3du Месяц назад
Mpina usichokijua bunge letu la Sasa ni la ccm! Na ccm ni chama kinachowachukia watu waadilifu ni chama kinachotetea ufisadi.Ukifichua maovu wewe ni adui wa chama na bunge sababu bunge Hilo lipo kwaajili ya kutetea uovu na kujitajilisha wao binafsi Hawa uchungu na maisha ya watanzani.
@user-eo4bl3do8k
@user-eo4bl3do8k Месяц назад
Ndio maana mimi huwa sianglii bunge letu la TANZANIA, KWASABABU HILO BUNGE KWASASA SIO BUNGE NI KIKAO CHA CHAMA CHA MAPINDUZI,, ,KILA KITU USEME NDIO NDIO HUKUSEMA NDIO WEWE NI MSALITI
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 Месяц назад
Sahihi Kabisa.
@albertvalentino130
@albertvalentino130 Месяц назад
Mmmmh ! Pole brother --- " Mungu ni mwenye haki,atakutetea "
@user-eg1pk1sw4j
@user-eg1pk1sw4j Месяц назад
Mpina GOAT,take your 🎉🎉🎉
@user-cd9re4wt2b
@user-cd9re4wt2b Месяц назад
Wabunge hoja wazijibu wasikimbilie kukufukuza watanzania tunalaani vikali kufukuzwa kwa mh Mpina
@danielhumble4292
@danielhumble4292 Месяц назад
Tulishasema wakiwamaliza wapinzani watarudiana hivyo Mpina ni mwanzo wengine watafuata kutolewa sadaka au kafara
@lupefiascojr.1896
@lupefiascojr.1896 Месяц назад
Aiseeeee mpina kaonewaaaaaaaa Iko wazi
@user-nh9xk9zw5m
@user-nh9xk9zw5m Месяц назад
mpina mungu akupe uzima kaka
@danielkanso
@danielkanso Месяц назад
Pole mheshimiwa shida ni kusema kweli kwa watu ambao hawahitaji ukweli na uwazi inaonekana unawakera kwa maswali na hoja zako keep it up
@omariSaliboko
@omariSaliboko Месяц назад
Mpina uko. Sahihi tuandamane
@MariaCassian-e2i
@MariaCassian-e2i Месяц назад
Watanzania hatuna maamuzi wabunge wanao tetea wananchi kwa dhati wananyanyaswa namna hii 😂😂😂 watanza nia tuna heshimiana sana hebu tuendelee kuheshimiana tendeni haki vyeo ni dhamana tu❤❤❤❤
@simonnaivasha6393
@simonnaivasha6393 Месяц назад
Hongera Mpina ! Hata kanuni wazotunga wabunge wetu hawazijui hata spika, kumbe ndiyo maana mwanafun,I we fani ya😊 shule sheria shetia wafail😊ing wa mitihani waalimu eweinyewae
@MariamKhamis-i3v
@MariamKhamis-i3v Месяц назад
Mpina👏👏👏
@petersongoma7183
@petersongoma7183 Месяц назад
Kwa mtazamo wangu tumebaki na Mbunge mmoja tu wa wananchi katika Bunge la JMT anayefaa kuwa Mbunge katika Jimbo lolote Tanzania. Namwomba Mhe. Mpina asivunjike moyo wala kukata tamaa, Mungu yuko upande wake.
@meryshekoloa961
@meryshekoloa961 Месяц назад
Kikubwa.mungu akutunze vuta subra.mtangulize mungu tusikupoteze napia usichoke kuomba rehema
@VolvoMwamakula-ci2we
@VolvoMwamakula-ci2we 25 дней назад
Hiyo ndo ccm bunge la chama kimoja. Pole sn mpina
@johnpeterson9333
@johnpeterson9333 Месяц назад
Another jpm ... Uzalendo unatakiwa ktk hii nchii tupo pamoja mpina big up
@MsanangoMwalabu-rx1oo
@MsanangoMwalabu-rx1oo Месяц назад
Jamani kuweni makini haka kamchezo uchaguzi umekaribia tujifunze kws nyarandu na lowassa na sumayi
@asungwilemwaifungapenginei2385
@asungwilemwaifungapenginei2385 Месяц назад
Mpina ni kweli ni mnyonge wa Tanzania. Ameongeza kwa uchungu mkubwa kwa kuzuia kutekeleza wajibu wake wa kikatiba. Hazungumzii uchungu wa kukosa posho
@RamadhanAndrea-q6j
@RamadhanAndrea-q6j Месяц назад
Mpina oyee
@tridabalira5992
@tridabalira5992 Месяц назад
Too many mbuzi bungeni Ahsante Mh. Mpina fight on for the common Tanzania. Corruption inatuchosha.
@ErastoMartin-u6d
@ErastoMartin-u6d 4 дня назад
Mom
@kipeshafanuel3389
@kipeshafanuel3389 24 дня назад
Wewe ni mwanaume,umeshatueleza ukweli,hata wakikuzulumu. Hakika tumeshajua ukweli
@michaelmwambije3603
@michaelmwambije3603 Месяц назад
Tanzania hatuna bunge tangu mwenda zake alipo jiona Yuko juu ya mungu mpaka leo tuna vibaka na majambazi ndo yamekalia bunge wanachi tuamke
@mariamfaicalhassan2890
@mariamfaicalhassan2890 Месяц назад
Na huko chadema hamuoni aibu kusema hivyo mxiiiuuu
@simonmanga7157
@simonmanga7157 Месяц назад
Hadi hapa nimegundua kuwa:Tangu Tulia awe spika wa bunge Benger letu lomepoza mwelekeo,spika huyu ni wa hovyo kabisa!Wanambeya mmetuletea bomu bungeni!
@negelepeter2295
@negelepeter2295 Месяц назад
Nakuelewa sana
@BenjaminiEdward-zh7zt
@BenjaminiEdward-zh7zt Месяц назад
Kwa kitendo hiki cha kumnyanyasa Mpina CCM na Spika hawana nia njema na Watanzania tukutane Uchaguzi mkuu
@matiredms917
@matiredms917 Месяц назад
Sawa kabisa ndugu umenena vema. Tawaamue kuwaondoa madarakani waliyopachikwa na Magufuli kinyume cha Katiba.
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu Месяц назад
​@@matiredms917Mfumo huo tunaooooo??!!
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu Месяц назад
Mfumo wakufanikisha Hilo tunaooooo??!!
@user-kg8dn6qr8o
@user-kg8dn6qr8o Месяц назад
Mpina ana fanya kazi kwa maslahi ya uma
@user-cd9re4wt2b
@user-cd9re4wt2b Месяц назад
Mh Mpina uko vizuri tunakuunga mkono uonevu huu uliotendewa ni unyama
@gasperjohnson3388
@gasperjohnson3388 Месяц назад
Bora utufungue mana kanuni za kibunge sisi hatuzijui😢dah umeonewa kweli
@user-ig7tb1cf8z
@user-ig7tb1cf8z Месяц назад
Yaani Binge la wananchi lilikuwa katika kipindi cha Samuel Sitta, na Anne makinda sasa vioja tupu
@simonchristian6319
@simonchristian6319 Месяц назад
Dili ya sukari hiyo mpina,pole sana ,Sasa Kama mtu anaufanyia hivi mti mbichi,itakuaje kwa mti mkavu
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku Месяц назад
Siasa ningumu sana unahitaji uwe na moyo ujitoe kweli kweli TANU kilukua Chama Cha watu..baadae kikabidilishwa kikawa chama Cha ccm Hapa watu wachache ndio walikua na nguvu hasa mwenyekiti...Tangu mwaka 1964 Maslahi na maamuzi ya Tanzania yamekua yakiamuliwa na watu wachache
@NickTajir
@NickTajir Месяц назад
Utashinda wameaibika wao na waliochangia walipangwa na spika
@richardmakweta8875
@richardmakweta8875 Месяц назад
Sawa lakini nikuombe Sana Usije ukamkosea Mungu kwakutaka huruma ya hao walio kutenda isivyo haki mwache Mungu akupambanie wacha Mungu wanakuomea Sana ,kwani Ninani unayemsikia mwingine akipiga kelele kwaajili ya haki???
@mariaanthoniangowi9376
@mariaanthoniangowi9376 Месяц назад
Walikuwa wamejiandaa baba
@othmanyasin2838
@othmanyasin2838 Месяц назад
Mpina mwamba sana,mtu mmoja ni jengo zima
@walesbernard9115
@walesbernard9115 Месяц назад
Mpina wewe ndiye mbunge pekee bungeni unayetetea wananchi. Muda utasema hao wabunge wa ikulu itafika muda mkatafute kura huko.
@mariaanthoniangowi9376
@mariaanthoniangowi9376 Месяц назад
Nfugu Mpina,jibu ni kwamba huomradi ni wa spika na hao watu wake. Kwahio umeganyaka nyoka mkia kaka yetu. Lakini Mungu yuko mbioni kutoa majibu . Na saa yake ndio sasa imewadia
@elimelamerii2342
@elimelamerii2342 Месяц назад
Hivi ni 26d na e au ni 29d&e??...mbona kuna kuchanganya hapo??
@williamfrancis8724
@williamfrancis8724 Месяц назад
Wanawake Hawana uwezo wakuongoza Nchi
@minazsaid2470
@minazsaid2470 Месяц назад
Huyu ndio mwenye uchungu wa nchi yake ipo siku mtaelewa
@Stevenmwanisawa-dt5vb
@Stevenmwanisawa-dt5vb Месяц назад
Mpina huna BAYA wanainchi tuko na wewe. Huyo bashe amekuwa mpiga maadili kama mwiguru. Taifa limeona
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku Месяц назад
Mpina ukiwa kwenye Hilo gwanda kazi Yako sio yakitoto
@AizackKalenge-ro5rc
@AizackKalenge-ro5rc Месяц назад
Mh umegeuziwa kibao Kwa kuwa unasimamia haki na kweli,,Ulipinga uzwaji wa bandari,Utoroshwaji pesa za umma Kwa badhi ya mawaziri,Walikuwa wanakutafutia makosa ya kukutoa bungeni
@wegesawaryoba3316
@wegesawaryoba3316 Месяц назад
Mpina jeshi kubwa,sisi wananchi tunakuelewa.
@PeterKazimoto
@PeterKazimoto Месяц назад
Wananchi tunakuelewa sana.Tupo NYUMA yako.
@richardmakweta8875
@richardmakweta8875 Месяц назад
Wenzio hawakutaka uongelee mahali pawazi walitaka uwanong'oneze, watz wasije wakaelewa kinacho endelea pole ila Mungu muumba wa Mbingu nanchi hadhihakiwi.
@user-ii2vm5vv1b
@user-ii2vm5vv1b Месяц назад
Elieshi poul: Hakika Mpina ndie aina ya wabunge tunawowahitaji kwani anatetea haki ya wananchi
@CharlesElias-zh5hz
@CharlesElias-zh5hz Месяц назад
Jaman Mpina kumbe Kuna madudu hayo. Mzee ulilusha ndoano Nini? Mbona anakunyanyasa hivo Kuna nini? Funguka baba unawavua nguo Leo. Ila jiandae kuhama
@komuhsengo9796
@komuhsengo9796 Месяц назад
Hivi haya yana ukweli au😮 maana inauma sana ss wananchi
@CharlesElias-zh5hz
@CharlesElias-zh5hz Месяц назад
Hata bungen Kuna makund mzee
@feliciankavishe6792
@feliciankavishe6792 Месяц назад
Today huko ccm,wenimsema kweli
@yonassngonye3759
@yonassngonye3759 Месяц назад
Tumehama kwenye Reli
@otswardowden6060
@otswardowden6060 Месяц назад
Ngosha
@idfoncekilawa7354
@idfoncekilawa7354 Месяц назад
Hii vita ni ngumu ila kunaanguko la mtu hapo mbeleni mwenye nguvu atashinda
@BatazalNdifwa-nk2hl
@BatazalNdifwa-nk2hl Месяц назад
Mimi mipnzani ila nakuunga mkono. Pambana mh. Ccm waonevu mno. Ok
@CharlesElias-zh5hz
@CharlesElias-zh5hz Месяц назад
Ndo maana kumbe walikuwa wameandaliwa kukandamiza
@charlesmbaga6115
@charlesmbaga6115 Месяц назад
Kinachokupponza nikiapo na sitaioa Siri xa BARAZA LA mawaziri Aluta cont
@user-ju5ph3jp6f
@user-ju5ph3jp6f Месяц назад
Kwa hili wametukosea watanzania wote sio wewe tu kama sio Mimi peke yangu nikiangalia bunge basi fahamu nataka kuona unaongea nini kwani walio wengi wamebaki kutafuta kiki tu
@ErastoMartin-u6d
@ErastoMartin-u6d 4 дня назад
L
@BenjaminiEdward-zh7zt
@BenjaminiEdward-zh7zt Месяц назад
Kuweni makini na mambo mnayofanyia watu Spika na CCM huyu mtu atawapunguzia heshima ya chama na uongozi na wengine hawatarudi 2025 ikiwezekana watanzania tumalizane na ccm mwakani.
@elimelamerii2342
@elimelamerii2342 Месяц назад
KWANI TARATIBU ZA KUAPPEAL ZIKOJE??... KWA NINI ASIKATE RUFAA YA ADHABU ALIYOPEWA??
@matiredms917
@matiredms917 Месяц назад
Ndugu yangu utakata rufaa kutoka mahakama ambayo iliyotoa ilikuwa inaongozwa na kima/ngedere na unategemea mahakama ya nyani ndiyo itakupa haki?
@MonayLai
@MonayLai Месяц назад
Bora awawahi kabla wao hawajafanya lolote dhidi yake
@labancharles8453
@labancharles8453 Месяц назад
Hata itokeee nini MUNGU yu pamoja nawe Tanzania ni ya MUNGU ametupa usiogope sema ukweli maana msema kweli kipenz cha MUNGU
@yonassngonye3759
@yonassngonye3759 Месяц назад
Kipimo cha jazba!
@matiredms917
@matiredms917 Месяц назад
Mpina USHINDI dhidi ya Majambazi hayo ni dhahiri kabisa 2025. Magufuli ambaye kwa ubabe mkubwa angewatetea alishakwenda mbele ya HAKI.
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 Месяц назад
Mpina you ok according your explanation Rong doing acson tulia take action agest you and lmbarasing to acson tulia as the palament speaker into our palament house but ccm won't agree on all this low act into Tanzania constitution still they will crush you by full force fear of cicret of explanation from you mpina you need saport from Tanzania opposition religious leader free team organization of tanzanian backing you if they won't backing you you will be on hard time way we know ccm ruling part
@AdamKaponda
@AdamKaponda Месяц назад
Hilo ni bunge la nani?nanikalichagua?bunge batili matendo yake lazima yawebatili SI vinginevyo,,wamejaa uchawa,mtupu,hao wote ni wasakadili Kwa warabu,
@odoieriasmonga6591
@odoieriasmonga6591 Месяц назад
hilo siyo bunge bali ni kikao cha wahuni mjanja ni wewe tu
@fredrickmwakalinga6390
@fredrickmwakalinga6390 Месяц назад
Mpina nenda chadema hao wabunge na spika wote ni wachongo wa magu hakuna hta aliyechaguliwa na wananchi acha kupoteza muda kuwajibu wajinga wanajulikana japo wao hawajioni
@JoyceKabula-in1sh
@JoyceKabula-in1sh Месяц назад
Si uachane nao kaka kwani ccm imekuzaa mpina I imekusomesha?achana na ccm mpina kwani kabula hujawmbunge ilikua juli huvai?mbona mpina uwezo wa kula milomitatu mpende akupendae mpina achana nao fanta mambo yako achana na ccm mipina waachie lichama lao
@simonmanga7157
@simonmanga7157 Месяц назад
Spika sufuri kabisa!
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 Месяц назад
Rudisha hela za wenye viwanda vya sukari ....sisi tunachofurahi sukari inaendelea kujaa na Bei kushuka...wenye viwanda unaowatetea walimsumbua hata magufuli hadi akamuagiza waziri mkuu aandae utaratibu wa serikali yenyewe iagize sukari baada ya kubaini wafanyabiashara wenye viwanda vya sukari wanatengeneza uhaba wa sukari kwa kuficha sukari ile Bei ipande wauze kwa Bei ya juu
@user-xx1je7sy4h
@user-xx1je7sy4h Месяц назад
Wew ni chawa wa kijani achana na mpina huna hakir ya kubishana naye baki kuwa chawa ss wananchi tunamuelewa mpina
@mariaanthoniangowi9376
@mariaanthoniangowi9376 Месяц назад
@ hajimnubi acha upumbavu que weelewa, au Ww ni Migongo mwauo uozo?
@mariaanthoniangowi9376
@mariaanthoniangowi9376 Месяц назад
Ndugu zangu mnashanaa nini? CCM uozo tu na hawana boa Wala Lego lá kubadilika. Ni Sisu tu kufanya maamuzi magumu ya kuchukua mundo na make e yao kutwanga nazi na kuzika tu,2025 na kufuta kumbukumbu ya CCM Tanganyika.
@user-cd9re4wt2b
@user-cd9re4wt2b Месяц назад
Tunakuunga mkono tutetee mh Mpina uonevu waliokutendea tunaulaani vikali wananchi , WATANZANIA .Tuna laani kufukuzea Bungeni
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 Месяц назад
It show asheme to acson tulia on is low education doughty way mpina translation into Tanzania constuetion low act wich acson tulia use is lmbarasing under mpina low act translation Sasa watanzania ndio mchambue huyo mama uwanasheria wake alisoma wapi kwa nini ni speaker wa bunge lakini hizi hoja za mpina aibu tupu kwa speaker acson tulia ashrm to her lmbarasing her saif use act not me but is fellow ccmpina translate low act under Tanzania constitution
@yonassngonye3759
@yonassngonye3759 Месяц назад
Kamati ya bajeti kumbe dili
@davidkawesa3594
@davidkawesa3594 Месяц назад
Mwenda zake alijuwa atapata nafuu angalijuwa angeweka katiba mpya jina lake lingeandikwa kwenye kumbukumbu Ssm muache hila Mungu yupo kazini
@JosephIbrahimu
@JosephIbrahimu Месяц назад
Mpina uko vizuri
@MariamKhamis-i3v
@MariamKhamis-i3v Месяц назад
Mpina👏👏👏
@edwiniedwin3347
@edwiniedwin3347 Месяц назад
Tungepata wabunge km hawa watano , Bunge lingekuwa bungen.
@richardnganya2311
@richardnganya2311 Месяц назад
Uchaguzi ujao ifanyike kwa vitendo. Inawezekana sana kama tutaamua
@user-tu2ne7so3b
@user-tu2ne7so3b Месяц назад
Njoo chadema ubunge wako upo pale pale
@JosephIbrahimu
@JosephIbrahimu Месяц назад
Mpina uko vizuri
Далее
На фейсконтроле 💂
09:41
Просмотров 994 тыс.
The lightweights ended Round One with a BANG 💪
00:10
На фейсконтроле 💂
09:41
Просмотров 994 тыс.