Тёмный

LUKAMBA ANAISHI KAMA MFALME GHOROFA LAKE KAMA HEKALU/ANALIPA MILIONI 36 KWA MWAKA -  

ZamaradiTV
Подписаться 246 тыс.
Просмотров 76 тыс.
50% 1

Usisahau ku"SUBSCRIBE" RU-vid channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi #showbizz

Развлечения

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 261   
@bintqassimidarous1636
@bintqassimidarous1636 11 месяцев назад
Juice zinaletwa mkononi na si kwa trei? Maisha ya mastaar tuyaone tu kwenye mitandao tukimaliza kuangalia turudini kwenye maisha yetu ya furaha na amani
@Noah-zt5zf
@Noah-zt5zf 11 месяцев назад
Kwan tray inaliwa pia?
@tikaeddie7284
@tikaeddie7284 10 месяцев назад
Wakiumwa wanaanza kuomba michango! Wekezeni mali lukamba ni baba!! Anafikiri hazeeki eh shauriyoooo
@husnaameen9309
@husnaameen9309 11 месяцев назад
Yani hiyo pesa angeichsnga kwa miaka miwili tu angejenga nyumba yake nzuri zaidi ya hii kuliko kulipa million 36 Kwa mwaka kedho na keshokutwa mnaomba msaada kwa sisi masikin
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 11 месяцев назад
milioni 36 mchezoo
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 11 месяцев назад
Akili huwa hawana wanakalia ubishoo tu
@modycombo7421
@modycombo7421 11 месяцев назад
labda kapewa alinde😂😂
@binaljabirmshihirzanzibar8369
@binaljabirmshihirzanzibar8369 11 месяцев назад
Upo sahihi maneno yako na una kili sana2
@stevensimon5642
@stevensimon5642 11 месяцев назад
@@sabihaibrahim143umeona eee wanalopokaga tu, angeipata hiyo wala asikuwa hapo
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 Месяц назад
Unalipa kod hujui nyumba ina nini na nini eti jiko sijui kitchen 😂
@wahidaabeid5712
@wahidaabeid5712 11 месяцев назад
Lukamba umechemka wewe mtoto mzuri mashallah Kila mke unaemchukuwa wanashinda kwa ubovu chagua kitu watu wakufahamu sada hapo ukizaa mtoto unategemea nini labda akufate sura Yako na rangi mambo engine tizameni msiingie tu mitaroni
@faithfaith-zr6gz
@faithfaith-zr6gz 11 месяцев назад
Unaambiwa Lilia bahati,Sio uzuri.
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 8 месяцев назад
Hovyoooo, ametembea na ameshakitana na wengi na amepita nao wengi, sasa wewe unataka aoe slay qn baada ya mwezi ameachwa hauoni haji manara ameachwa na wake zake wote wawili na dula makabila ameoa mwanamke alieachwa ndani ya mwezi mmoja na yeye akamuoa akadumu nae mwezi mmoja ameachwa sasa yupo na manara na jamaa amenogewa ametangaza ndoa, sisi tunachoangalia ni utulivu wa mwanamke baasi uzuri kama mtaji basi mkanunue ndege mfanye biashara.
@salmabasil385
@salmabasil385 7 месяцев назад
Lukamba anapenda wanao weza kumlea
@barakatabdul3212
@barakatabdul3212 11 месяцев назад
Lukamba yuwaokota Mapokosh" wakimlea kumueka kisha akisha kosana nao wakae wakimbonga😂😂😂😂😂
@lisauroble31
@lisauroble31 6 месяцев назад
Safii sana nyumba hatariii nzuri mnoo
@husnaameen9309
@husnaameen9309 11 месяцев назад
Eti jiko na kitchen 😂😂😂 wabongo tunakazi mungu akuongoze uhenge uwache ufahari kimfacho mtu ni chake
@wahidaabeid5712
@wahidaabeid5712 11 месяцев назад
Nyinyi wasaniii ni walimu wa sanaaa kwa uwongo mtu hutambi kama huna chako Sasa nyie mnakaa nyumba za kukodi maisha feki acheni kutia mambo yenu mitandaoni mtajifedhehesha bure
@Ndiminijunior
@Ndiminijunior 11 месяцев назад
Wewe unaumia na nini Sasa hapo Kuna hela unampatia ya kuongezea Kodi?
@babiddi8620
@babiddi8620 11 месяцев назад
Tatizo wakeshaanza na matatizo wanachangisha
@joycechaz2840
@joycechaz2840 10 месяцев назад
Kumbe nyumba inaweza kua yako afu usijue vyumba viko vingapi mpaka ufikirie🤔
@user-jk3or1xw2d
@user-jk3or1xw2d 8 месяцев назад
Mwana ana mvuto jaman lukamba uwaga ukitongza unavumbga macho au😂😂
@cdeleo9336
@cdeleo9336 10 месяцев назад
Hapo ukienda kwenye account yake hana hata million. Hawa watu kwa maisha fake eeh Mungu
@hamisahamisa5896
@hamisahamisa5896 8 месяцев назад
Mwenye nyumba hapo anaitazama 😂😂😂😂😂😂😂😂 anaogea na moyo
@abdillahrashidnassor7973
@abdillahrashidnassor7973 6 месяцев назад
Anawaambia malizeni kisha mnipe kodi yangu 😂😂😂😂
@khadijasalum2302
@khadijasalum2302 11 месяцев назад
Wanawake mnaendekeza zinaa hivo astaghfirullah kesho muwe tayari kuulizwa maswali na muumba wetu
@Lululemon55
@Lululemon55 11 месяцев назад
Sio wanawake tu!!! Hata wanaume hawatanusurika siku hiyo
@stevensimon5642
@stevensimon5642 11 месяцев назад
@@Lululemon55hapo umenena kwani mwanamke anajifanya mwenyewe, yaani wanaume wanatuonaga sisi ni malaya sana utafikiri tunajifanyaga wenyewe
@user-qb3hx2ku9v
@user-qb3hx2ku9v 8 месяцев назад
Mazingira tu yanaonyesha bado sana maisha naona kagari moja au mengine yameenda shopping ghorofa la kupanga au
@mypsychology185
@mypsychology185 5 месяцев назад
We una magari mangapi?
@hasani565
@hasani565 11 месяцев назад
Hongera lukamba ..ingawa kuna Roho za korosho hawazezi Hata kukupa hongera zako .
@faithfaith-zr6gz
@faithfaith-zr6gz 9 месяцев назад
Roho za korosho wapi wewe!! Yaani roho ya korosho Kisa kuolewa ndio watu wamuonee wivu!!! Tchaaaa
@sarahmcharo1548
@sarahmcharo1548 9 месяцев назад
kwasababu pia ni usanii na uongo mtupu
@rosemarykipesha4242
@rosemarykipesha4242 8 месяцев назад
Kweli bwana hongera zake kwakutokua namahesabu
@hamisahamisa5896
@hamisahamisa5896 8 месяцев назад
Hii ni nyumba ya huyu dada anaijua vizuri
@user-ml9yi5sd6o
@user-ml9yi5sd6o 10 месяцев назад
Jaman Zamarad Tv boresheni Camera zenu maana hazina U Quality sana
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 11 месяцев назад
Halafu huyu lukamba wanawake zake anawatoa kimboka nini mmh😮 mbona hawaeleweki
@bakariomari8758
@bakariomari8758 11 месяцев назад
😂😂😂
@MariamSalim-wd3nz
@MariamSalim-wd3nz 11 месяцев назад
Hehehee kwakweli
@scholamodestus9386
@scholamodestus9386 11 месяцев назад
Hahahah jamni
@NancyBrayan-wi2lr
@NancyBrayan-wi2lr 8 месяцев назад
Kma happy wa sug sema happy sio chiz kma huy
@givenessdavid3743
@givenessdavid3743 9 месяцев назад
Ni vile tu mambo ya mjini ila dada ana ka u wife Material flani hivi......... amelelewa kiasi
@pilimwanza8117
@pilimwanza8117 11 месяцев назад
Nimependa kumuona Harmonize kwa TV na miss Bantu😅😅😅😅 mambo ya kodi ya mil 36 kwa mwaka hayanihusu. Uwezo wao wenyewe 😅
@salmanassor8732
@salmanassor8732 8 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@FestinaMlelwa
@FestinaMlelwa 11 месяцев назад
Wakiumwa wanataka mchango saizi wanaonekana mastaa chamana mwisho wakiumwa mchango wanataka..
@zenachuo2963
@zenachuo2963 11 месяцев назад
Alafu huyu dem sindoameshoot nae ile move ya azam tv jeraha au macho yangu
@FaridaNdege-cc4dm
@FaridaNdege-cc4dm 11 месяцев назад
Ndy
@nasraniko-mr2lv
@nasraniko-mr2lv 11 месяцев назад
Ndo yeye huyoooo😅😅😅😅😅
@emeranceekondo3865
@emeranceekondo3865 11 месяцев назад
Jesca wa jaraha
@user-ky7mz7qh1o
@user-ky7mz7qh1o 6 месяцев назад
Acha upuuz umepanga floo ya juu tuu hapo kuna walamgani 4 mboma sifs za kijongaa ww.mm mwenyew .naish hapa hapa
@upendommbaga7070
@upendommbaga7070 7 месяцев назад
Nani kasikia becon😂😂😂 badala ya balcony😂😂😂
@adamkisheta8439
@adamkisheta8439 8 месяцев назад
Beconi wangap mmesikia kama Mimi gonga like😂
@user-bj8gi2hn4l
@user-bj8gi2hn4l 11 месяцев назад
Watangazaji wanachekaga tuh😅😅😅😅
@aishamossile6336
@aishamossile6336 11 месяцев назад
Demu ana kiherehere
@kerryestomic8099
@kerryestomic8099 9 месяцев назад
Mwanamke ndo Ana hela hapo
@msolekaonlinemedia
@msolekaonlinemedia 5 месяцев назад
cha ajabu mama yake anaishi kwenye pagala pale uvinza😂😂😂😂😂😂😂
@faithfaith-zr6gz
@faithfaith-zr6gz 11 месяцев назад
Weee acha kujishaua eti nani anavaa nywele ya millon moja,, weee zipo sana tena OG. zinavaliwa vzr tu.
@sumecute2513
@sumecute2513 11 месяцев назад
Samahi huyo dada mbn anamuegemea mtangazaji hivyo?kwa mumewe huyo mbn unakua huru kiasi hicho
@zenachuo2963
@zenachuo2963 11 месяцев назад
Najiulizaga lukamba ni mzuri kuliko wanaake zake kwakweli anapendaga kuchukua namba A
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 11 месяцев назад
Duuh na A ndio nini 😂😂😂
@Yunis-hn9hn
@Yunis-hn9hn 11 месяцев назад
Hahaaa😂😂😂
@Yunis-hn9hn
@Yunis-hn9hn 11 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂Wooyii
@user-fz8cq4ff6i
@user-fz8cq4ff6i 11 месяцев назад
Kumbe yale mapenz ya jeraha yamekuwa kweli
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 11 месяцев назад
​@@user-fz8cq4ff6itulijua wanadanganya kumbe kweli
@NaseebMgono-wl3bu
@NaseebMgono-wl3bu 11 месяцев назад
Mbona kma sio kwake yn the way anavyomuonyesha kma sehem hazijui vzr
@barakatabdul3212
@barakatabdul3212 11 месяцев назад
😂😂😂😂😂 kweli
@chany9950
@chany9950 11 месяцев назад
Ona kafriji jmn😂
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 11 месяцев назад
Huo muwigi kama jini kash kash fyuuu hovyoooo
@christinatemba
@christinatemba 11 месяцев назад
Good life❤
@bimkubwaali1605
@bimkubwaali1605 11 месяцев назад
ushambaaaaa😢😢hardd 😅😅
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 4 месяца назад
Wigi la kijani khaaa😂😂😂
@everlyne8595
@everlyne8595 9 месяцев назад
Nyumb kubwa haina furniture bora ungepangisha nyumba ya kawaida
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 4 месяца назад
Dada amekauka km mimi😂😂
@khamisbk8569
@khamisbk8569 11 месяцев назад
Yaan Wabongo izo ndio pigo zenu kutaka Maisha ya juu yaan unajiumiza ili tyu jamii ikuone Una Maisha flan achen kufake Maisha izo ela unazolipa apo ungejenga kwako au kwenu ingekuaje?? All in all Kila mtu na Maisha yake
@Yunis-hn9hn
@Yunis-hn9hn 11 месяцев назад
Huo mkao waliokaliana jamani😂😂😂
@zenadaudzena2849
@zenadaudzena2849 8 месяцев назад
😂😂😂
@hashymharun9337
@hashymharun9337 9 месяцев назад
Muongo mamaee🤣🤣
@user-jy8hi7lf4m
@user-jy8hi7lf4m 5 месяцев назад
Xaxa mbona kama anajibebisha sana kwa salehe jaman
@agriparose3942
@agriparose3942 11 месяцев назад
Mwajuma ndala ndefu
@SelinaMdoe-jv1pu
@SelinaMdoe-jv1pu 9 месяцев назад
Mbona wasanii wa b ongo wanaigiza ma isha sana yani
@rayahamisi118
@rayahamisi118 8 месяцев назад
Kwaiyo ujaona pakuaa au😊😊😊
@user-rh2ei5wg8x
@user-rh2ei5wg8x 11 месяцев назад
Haa wasanii asa hawana akili ee asa izo pesa c angejenga yak😅😂
@user-qb3hx2ku9v
@user-qb3hx2ku9v 8 месяцев назад
Mke wa mtu ameshika paja la mtangazaji kweli 😅😅😅 alafu million hizo zote bora upange Kanyuma tu pesa ujengee😅😅
@mrsawadh5716
@mrsawadh5716 11 месяцев назад
Wigi la manyasi sijapenda kwa kweli
@sarahedwin9841
@sarahedwin9841 11 месяцев назад
Jmn khaa 🤣🤣🤣
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx 11 месяцев назад
😂😂😂
@sarapy3163
@sarapy3163 9 месяцев назад
😂😂
@zahra5267
@zahra5267 9 месяцев назад
Decoration sifuri kabisa!!
@sarahmcharo1548
@sarahmcharo1548 9 месяцев назад
kama akili zao tu ahhaha
@aminaomary5567
@aminaomary5567 6 месяцев назад
Kwanini usinjenge gholofa lako,hizo pesa unazolipa nyingi sana mbona unapata nyumba hata 3.Duh.
@zenawahindi2425
@zenawahindi2425 11 месяцев назад
pazuri hongera zenu jamani chumba kama nyumba zima huku kwetu
@taturajabukhalfani7953
@taturajabukhalfani7953 9 месяцев назад
Kunajiko na kitchen!!!!kazi ipo mwaka huu!!!!
@Mina.15
@Mina.15 7 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂
@user-bd2hl6yo5j
@user-bd2hl6yo5j 7 месяцев назад
Mbona kama imesimama😂😊
@ummukulthummohd5403
@ummukulthummohd5403 11 месяцев назад
Lukamba anapenda kuokota okota nae kah
@bakariomari8758
@bakariomari8758 11 месяцев назад
Banae dah huyu vimbi labda hanaueezo wakutongoza warembo
@bakariomari8758
@bakariomari8758 11 месяцев назад
😂😂😂
@amriyalibent5900
@amriyalibent5900 11 месяцев назад
Uozo
@sophsoph4740
@sophsoph4740 11 месяцев назад
Kwakwer kbaya kdada 😂😂
@ummukulthummohd5403
@ummukulthummohd5403 11 месяцев назад
Uyu dada sjui kavaa nn 😢
@salmanassor8732
@salmanassor8732 8 месяцев назад
Kituko 😂😂
@AishaFerous-jp8oq
@AishaFerous-jp8oq 8 месяцев назад
Ila uyu dada kachemcha katuvalia nguo ya club home .
@mariammpamka
@mariammpamka 7 месяцев назад
😂yaani nilitaka niseme ivyo ata ajapendeza angevaa dira tu kwani angeonekanaje jamani
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 11 месяцев назад
😢😢😢😢😢 Hyanihusu lakin yananiuma
@rehemakimambo5363
@rehemakimambo5363 11 месяцев назад
Sifa nyingine bwana. Unapanga halafu unajisifu una akili. Hiyo hela sitayari angekua Na nyumba yake
@modestajamada3496
@modestajamada3496 11 месяцев назад
​@@rehemakimambo5363mm nika juwakwake 😂
@priscajohn6090
@priscajohn6090 11 месяцев назад
Muache ujinga Kodi M3 kwani ukipanga Cha 50 Hadi laki' unapungukiwa nini hizo Hela simkusanye mjengo yenu' kwahiyo kwa Mwaka mnatoa M36*Miaka 3 Jml M78 hutapata nyumba
@ikramalmas7039
@ikramalmas7039 11 месяцев назад
Hizo nywele sasa
@jamilajamila4572
@jamilajamila4572 8 месяцев назад
Iyo hela analipa kws mwaka angejenga nyumba yake
@deboramartin8111
@deboramartin8111 11 месяцев назад
Wigi mweeee 😂
@akiraaudreille6043
@akiraaudreille6043 9 месяцев назад
naona Aibu apo mwisho ulivo mshika huyo mkaka duuu😮
@ShekhaAzizi-yb1ow
@ShekhaAzizi-yb1ow 6 месяцев назад
Umasikini huwa tunautaka yani iyo hela angejenga au kununua nyumba maana uwezo anao dah ujiga mwig
@anoldamkumba3208
@anoldamkumba3208 11 месяцев назад
umpongeze kwa nyumba ya kupanga!?? haiwezekani ajenge ya kwake .hivi!!? anajitambua kweli? wazazi wake nao kawapangishia? hebu acha ujinga huo jenga yako wanao wajivunie, faraja kwenye nyumba ya kupanga !!.
@roqayaro9439
@roqayaro9439 8 месяцев назад
Watu wanapenda kupanga nyumba za galama hawajengi zao wasanii hawana hakiri si ungepanga nyumba ndogo ili mjenge yenu
@Manswabu
@Manswabu 11 месяцев назад
Ila uyu jamaa hajawahi kua na mwanamke mzuri hyuu😅
@maryrich
@maryrich 11 месяцев назад
Kwn nyie amjui kuwa wanawake wabaya ndo watamu jmniii lukamba anataka utamu kuenjoy so kuoneshaa mwanamke mzurii😂😂😂
@tausimohammed4286
@tausimohammed4286 9 месяцев назад
Wakaka wazuri wanakuwaga nashida gan sjui😂😂😂
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 11 месяцев назад
Milion 36 tunajenga nyumba kubwa tu tatzo napenda Kiki na misifa, mkiumwa ananza. Kutaka mchango, 😢nyooooooo kufen tu akuna mchango mpumbavu
@babiddi8620
@babiddi8620 11 месяцев назад
Hahaha
@RacherBakari-qh2gx
@RacherBakari-qh2gx 10 месяцев назад
Kwetu lugoba unapata eneo milioni 4
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 10 месяцев назад
@@RacherBakari-qh2gx haswaaa
@angelmaige-yc5gb
@angelmaige-yc5gb 9 месяцев назад
Kwa kifupi jumba wamepanga kubwa lakini halina maajabu kabsa halina vitu hata furniture za ma'an liko tupu
@ashminaabdulla8946
@ashminaabdulla8946 10 месяцев назад
Maana hamuna hata vitu alafu mnakaa kwenye horofa 🙄😜
@wemaMichael-fr4th
@wemaMichael-fr4th 6 месяцев назад
hahaha wigi la huyo dada kama spika wa bunge la zamani
@abdillahrashidnassor7973
@abdillahrashidnassor7973 6 месяцев назад
😂😂😂😂😂 wewe ni fala
@3Dshoez
@3Dshoez 11 месяцев назад
Lukamba sijui anawatoa wap hawa wanawake 😅
@consomahanga9269
@consomahanga9269 11 месяцев назад
Aaaaaaniiiii
@fawzalbusayid7232
@fawzalbusayid7232 9 месяцев назад
Bongo kwa kujie ekti izo nywele 😂😂
@WlkmkeissBriana
@WlkmkeissBriana 6 месяцев назад
Nimechek na uyo dada
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 8 месяцев назад
Nguo uliovaa sio ya nyumbani. Mshambarera sana. Wigi mmmh halijakuvaa umelivaa tu wewe
@lailalaila8206
@lailalaila8206 11 месяцев назад
Sio yake wamepanga kwaiyo msitufoke ok si ajenge pesa mnatumia nyingi kwa nyumba za watu mngeweka si kwa mwaka unapata yako
@happynelson1136
@happynelson1136 7 месяцев назад
Muongo huyo mwanamke ndiyo kapanga hapo na amesema mwenyewe anataka wanawake wenye pesa tu
@NancyBrayan-wi2lr
@NancyBrayan-wi2lr 8 месяцев назад
Mtafut mtu w decoration dad nyumb imepoa san
@user-lq3bg6lj3h
@user-lq3bg6lj3h 6 месяцев назад
Nyumba ina furniture 10 sijui
@hamisahamisa5896
@hamisahamisa5896 8 месяцев назад
Kweli huyu dada mja mzito
@upendojames5378
@upendojames5378 11 месяцев назад
😂😂😂Alie ona kafrijii kadogo dogo Nani jamn
@sitiabubakar2892
@sitiabubakar2892 11 месяцев назад
Kma vya motels 😂
@consomahanga9269
@consomahanga9269 11 месяцев назад
Ghorofa kubwa vitu hawanaaa
@zenawahindi2425
@zenawahindi2425 11 месяцев назад
Mhhhhhhhh x hata kama one fling then mkaatemana huyu ni x maana mlikuwa na bond ila not strong bond
@zahra5267
@zahra5267 9 месяцев назад
Mzee wa kulelewa
@SUZANSUZAN-fb9bh
@SUZANSUZAN-fb9bh 11 месяцев назад
Yani daaa wanatakaga kutupa Dhabi tu
@5Multpurpose
@5Multpurpose 11 месяцев назад
Hana akiri uyo😅😅😅😂
@khadijasalum2302
@khadijasalum2302 11 месяцев назад
Akiumwa wanataka mchango lkn uongo ndio wao
@nassirmohamed8492
@nassirmohamed8492 11 месяцев назад
😂😂😂😊
@kiatu
@kiatu 8 месяцев назад
Mafanikio hawa vijana wanayo ila jambo hilo wengine hujisahau. Ni vizuri waandishi wa habari wawakumbushe kwa kuchomekea maswala bima ya maisha na funeral cover. Nchi za wenzetu(hasa southern African countries) husikii mambo ya michango. Sio maswali comfortable kuuliza lakini ndio hivyo.
@neemasabarabridalissa8336
@neemasabarabridalissa8336 8 месяцев назад
Hiyo pesa ni bora ajenge
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 4 месяца назад
Limwanamke libaya
@samihamansour1893
@samihamansour1893 5 месяцев назад
Mwanamme huyu ? Siamini kama mwanamme hebu kijana tafuta kiwanja ujenge pili mwanamme wa kweli hashindani na mwanamke public acha usenge unatutia aibu wanaume wenzio
@user-ug3pu7on3j
@user-ug3pu7on3j 11 месяцев назад
Bora ceccy 😅
@mwajumamwajuma55
@mwajumamwajuma55 11 месяцев назад
Muongo
@minaeli5989
@minaeli5989 11 месяцев назад
Kabayaa
@sophsoph4740
@sophsoph4740 11 месяцев назад
Bora cecy
@husnazahorohusna3905
@husnazahorohusna3905 10 месяцев назад
Huyu mdada si yule jesca aliigizwa bwana wake lukamba danga lake single mtambalike au?
@ndrwdotts4347
@ndrwdotts4347 11 месяцев назад
Wasanii bwana😂😂😂😂😂
@AishaFerous-jp8oq
@AishaFerous-jp8oq 7 месяцев назад
Ila uyu dada tapeli wa mapenzi jaaamani.
@deborahsamwel-ss2wb
@deborahsamwel-ss2wb 11 месяцев назад
Yani nunueni furniture jmn mnatia aibu
@user-rv7tl9dc6e
@user-rv7tl9dc6e 7 месяцев назад
Huyu jamaaa muongo haiwezekani nyumba yake alafu hajuw kuna vyumba vingapi
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 11 месяцев назад
Sote ni Wa ALLAH na kwake tutarejea
@jamilfuad6847
@jamilfuad6847 11 месяцев назад
Aacha roho mbyq Nani asie jua atakufa
@SafiyaJ-yw2vt
@SafiyaJ-yw2vt 8 месяцев назад
Mwisho yote kaburini ndo mwisho wa mwanadamu😥😥😥😥
@ruu6592
@ruu6592 9 месяцев назад
Kakodisha kwa mda gani😮
@IreneMwenda-nl2hu
@IreneMwenda-nl2hu 11 месяцев назад
Yan mjinga huy ela yot hiiii ameshindwa kujenga hiyoela sianapat kiwanja hata mbez bech
@stevensimon5642
@stevensimon5642 11 месяцев назад
Wapate wapi hiyo hela ya kulipia tokea lini wasanii wakawa na pesa hizo ni show of tu, anataka kushindana na mondi hawezi ,ukute analinda nyumba ya mtu
Далее
Italians vs @BayashiTV_  SO CLOSE
00:30
Просмотров 4,7 млн
Когда остался с Дедом😁
1:00
Просмотров 2,3 млн
Не могу 🤣
0:49
Просмотров 958 тыс.