@@brysonkaale3003 hata kama marais wangap wamepita ulisikia hata fununu ya SGR? Yote hayo yapo kwenye makaratasi yalio andaliwa na hayat magu Hakuna kipya cha huyo mamaenu Zaid ya FILAMU yake kule ngorongoro
Mbona naona mabishano sana,shida nn,ww angalia kitu kipo tayali kwa kutumia. Kila mtu na wakat wake na nafas yake kwa hiyo unataka kusema aliyopo madarakan hajafanya jambo,je angeamua kupotezea kusimamia ungeona hata hii SGR. Tuache chuki na unafiki mtu akifanya vizur apewe maua yake.
Isingekuwa Magufuli, hivi hivi vitu visingekuwepo. Kwahiyo fanyeni kitu ili tumkumbuke huyu Magufuli rais wa ukweli sijawahi kuona chini ya hii jua. Magufuli yaani yule mtu sijui alikuwa ni mtu wa namna gani, cjui nimwite nabii au jina gani la maana? Yule ndiye rais mzalendo wa nchi hii ya Tanzania. CCM wakamwua. Yaani bac tu!! Maana Magufuli alikuwa adui wa CCM. Hanaga chama yule jamaa!! 🎉🎉🎉🎉🎉 Kwa Magufuli hata kama hayupo duniani.
Watanzania tunasifika Kwa upendo dunia pote je upendo wetu umeenda wapi? Tumkumbuke laliyekuwa Rais wetu John pombe Magufuri Hata Kwa kumsifia Kwa mema mengi aliyoyafanya.Mungu atatuuliza siku Moja juu ya hilo
Mama siku zote yupo radhi yeye asile ila watoto wale na wala hapendi kuona watoto wakisononeka je huyo mnayemwita mama anaweza 🤔 pongezi kwa Dr. Magu R.I.P kiboko yao🎉🎉🎉🎉
Kwani magufuli alifanya akiwa karibu saana na Samia mipango yote hiyo walikubaliana na kupanga pamoja ndo maana Samia anasema kazi iendelee anajua alichopana pamoja na magufuli
Waongo mrugenzi Millard kahojiwa anasema dar wameondoka saa 4 kasoro Jioni dodoma wamefika saa 7 usiku Ina maana Moro itumie masaa mwili dodoma lisaa Moja mue wakweri
Ni umasikini wa kutupwa kujivuna kuwa mna treni ya mwendokasi, wakati mnataka kuibinafisisha kwa mwekezaji. Inamaana mpaka sasa Tanzania haina rasilimali watu wa kusimamia na kuendesha hii treni?!!! 😢😢😢
Majaribio ni hasara fanyeni kazi yalishajaribiwa hayo, bas Nchi hii mpka nazeeka utasikia majaribio. Hakuna kazi, kingine acheni unafiki mbna fikra za nyerere zinadumishwa mpka leo alafu magufuli znasahaulika naona promo kwa mama kiaje yan kwa mfano? Fanyeni kaz acheni uchawa