Vyama vyote vinaweza kumwita OCD na kumuuliza kama Makonda maana yeye si kiongozi wa serikali bali ni wa Chama na vyama vyote ni sawa kwa mujibu wa sheria za vyama vya siasa na huyu OCD angelimjibu atawajibika kwa muajiri wake na sio vyama vya siasa kumpa maelekezo mbele ya hadhara hayo yanamuhusu Rais na Waziri mwenye dhamana
Mbona jibu unalo huyu ni mwenezi wa Chama kinacho ongoza dora hivo lazima awe na nguvu kutokana na mwenyekiti wake ni mh Rais hapa ndiyo nguvu anapoipata
Samahani naombeni nisaidiwe namba ya Paulo makonda,maana Nina ndugu yangu alikamatwa na usalama wa taifa na hadi sasa cjui Yuko wapi na wala sifaham aliperekwa wapi na tangu akamatwe imepita miezi minene sasa, jaman naomben msaada wenu watanzania wenzangu
Yaan mama Samia kamuweka mtu sahihii hajakosea mungu akulinde makonda na Allah amlinde raisi wetu mama Samia insha Allah.mama tuongezee viongozi kama makonda watakusaidia na nchi itazidi kusonga mbele.
OCD nimekuchukia.... Huyo siyo mkuu wako,ebu fateni maadili ya kijeshi yanataka nini ,,ebu Acha kupelekwa na mwanasiasa kizembe hivyo. Huyo mtuhumiwa kama anahaki ya kupata dhamana apewe nakama hajakidhi vigezo peleka mahakaman,,,, Tunahitaj kila mmoja afate sheria,,,sio kutafuta huruma baada yakufanya kosa........ I stands to be a solder always.....
Ni lazima viende "simultaneously " Majeshi ni watumishi wa Serikali upande mmoja na ni wananchi upande wa pili. Kila mtumishi wa Serikali kwa sasa Kiongozi wake ni CCM kwa vile ndio iliyounda Serikali. Na ndio maana ni sawa kuilaumu CCM kama kuna chochote kwa watumishi wa Serikali hakiendi sawa pia kuipongeza CCM hali ikiwa nzuri.
Wazee kwan makonda sianacheo kwenye chaka hyo order kwa askari anawezaje kutoa na askari anapokea order kutoka kwa watu wanaofahamika mm skuyaona haya alipokua pole pole bal nliona kw makonda alipokua RC akaw anafanya kazi zisizo kuhusu ndo sas hv tena