Mueshimiwa makonda nakuomba unisaidie mtaji baba yangu mimi ni mjasili amali watoto wananitegemea mwenyewe kuwalea naomba msaada mweshimiwa mungu akubariki
Usilolijua ni kama usiku wa kiza kinene bro usiombee yakakukuta kama huyu jamaa huenda nae kwa vile ni mambo ya ndani ni vigumu kwa yeye kama mwanaume kufunguka imagine wameishi pamoja zaidi ya miaka kumi yupo nae wewe hata miaka mitatu utawe za?na huyo mama wapambe ni wengi wanaompotosha
Babu wameka miaka 15 leo aonekane anazingua tena kbda hadaway meneja leo anacheo na mapesa kibao mkiwa wote tatizo kuzaa hiyo sio hoja kuzaa majariwa Panapo maendeleo yupo mwanamke sasa subili watakapo mpiga chini na huyo mwanamke aliempata ni sababu ya pesa tu
Ukute yeye mwanaume ndio hazai wengi tu tumewashuhudia wakinyanyasa wakezao mwisho wasiku wanaachana mke anaolewa anazaa limwanaume lipo tu halinauzaz mungu msaidie huyo mama apate mapacha inauma sana
MAKONDA WEWE NI BNI ADAMU .MUNGU KAKUTERE. MSHA TANZANIYA UTETEYE WA TANZANIYA KU PITIYA KWA MAMA SANIYA.FANYA KAZI KWA BIDI MUNGU ATAKULINDA BURUNDI TUNAKUFTILIYA SANA MIMI MWENYEWE NAKUPENDA SANA.NATAMANI UNGELIKUWA MRUNDI
Jamaa wa tanesko hajajanusha shida imeanzia kwenye uzazi jamaa tayari anachombo kingine na sio sawa anamuacha bila Mali mama na jamaa ni WA mara hiyo msoma
Wanaume tuwe Waislam ili tupate fursa kuoa mke zaidi ya mmoja. Ni ukatili sana anaofanya huyu mwanamme ingawa mwanamme nae anayo ya kwake hawezi kusema hadharani.
INA MAANA WEWE UNAUHAKIKA KAMA UNAZAA? KAMA UNAMPANGO WA KUOA MWINGINE SI BORA UOE ANAYE ZAA AU UZAE POPOTE? NA KWA NINI AFUKUZWE NYUMBANI KWAKE ATI AKAKAE KWAO HIYO NI DHURUMA SANA, MENEJA KAKOSA SIFA ATENGULIWE TU. AWE MITAANI AKIPAMBANA NA HALI YAKE.