Тёмный

MOTO WA JWTZ KWA MAJAMBAZI PORINI KIGOMA WAKIJIWEKA FRESH NA MAZOEZI, RISASI ZAPIGWA JUU 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 1,8 млн
50% 1

Hili ni zoezi la vizuizi barabarani lilokua linafanywa na Jeshi la Wananchi JWTZ Mkoa wa Kigoma Kutafatuta wahalifu.
Wanajeshi hawa walikua kwenye mazoezi ya kijeshi yaitwayo Excise masika katika Pori la makere Wilayani kasulu mkoani kigoma ambapo pia walitumia muda huo kutoa funzo kwa madereva kutopakia watu ambao wanawakuta porini na sio kwenye vituo Maalumu.

Опубликовано:

 

5 май 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 873   
@zotempyaonline8485
@zotempyaonline8485 3 года назад
Waliokuja kucheki video wakizani Ni majambazi kweli like apa twende sawa.. 🤣 1k zinatosha
@dalalihakweahakweya6662
@dalalihakweahakweya6662 3 года назад
Yani hapo tulio juwa kama nijalibio ni wa chache sana wengi wana juwa nitukio lenye uhalisia kumbe ni wao kwa wao
@fatemaligalawa1918
@fatemaligalawa1918 3 года назад
Yani nimepatikana🙆🙆
@fatemaligalawa1918
@fatemaligalawa1918 3 года назад
Ningekuwa kwenyeiyo bas uharoungetoka full
@meshackmihayo7480
@meshackmihayo7480 3 года назад
Maboya sana hawa
@scholamatogolo3493
@scholamatogolo3493 3 года назад
Duuuu! Me mwenyewe nimerowa nimeangalia Mara mbilimbili 🙆
@alextzmmary5121
@alextzmmary5121 3 года назад
Wengi wenu mnaandika tuuu, ila kilichotokea ni kuwa hawa waliofanywa kama majambazi ni wanajeshi wenzao😍😍😍😍😍 wanafanya hivyo kuwapa funzo
@jaduclassic9982
@jaduclassic9982 3 года назад
afadhali umelielewa hilo
@jacobomatandiko8341
@jacobomatandiko8341 3 года назад
Yes
@gozibertbahema473
@gozibertbahema473 3 года назад
Rm.
@spabiton7989
@spabiton7989 3 года назад
Mko sawa Sasa kazi iendelee
@latwifuabduli7223
@latwifuabduli7223 3 года назад
Kwani nani hajaelewa mzee?
@omarsirleem7105
@omarsirleem7105 2 года назад
😂😂😂😂🇰🇪 Kenyans should copy these kind of exercises......yaani zoezi kama hili Kenya halijawai fanywa,big up sana JWTZ
@khalifabdullahi355
@khalifabdullahi355 Год назад
Masallaah
@drjbmsige4098
@drjbmsige4098 3 года назад
kama umejamba kama mimi uliposikia aaaaa anakombati ya jeshi huyu.. mikono juu😅😅😅😅
@hasnajuma5567
@hasnajuma5567 3 года назад
🤣🤣🤣😂😂😂🤌🤌
@shambaiddi4984
@shambaiddi4984 3 года назад
Hivi ndiyo tunatakaa tanzania iwe kusiwee na watu wanaofikiria wanawezaa kuletaa tabiaa za kutakaa kutuchafuliaa nchi yetu ya amaani kwa kushirikiaanaa na watu wa nchi za jirani kuletaa ujambazi kutaka kutuharibiaa nchi yetu iliyojaaa upendo na amaani Lazima tulinde nchi yetu kwa mfano huu kuwa watanzaniaa tuko makinii
@shambaiddi4984
@shambaiddi4984 3 года назад
Hiii ni kuonyeshaa kuwaa tunawezaakutafanyaa mambo yote Tukiwaaa na uzalendo wa kuipendaa nchi basi hili tu ni heshimaa kwa taifaa
@shambaiddi4984
@shambaiddi4984 3 года назад
Serikali yetu na nchi yetu kazi iyendeleee heshimaa kwa jamuhuri ya muungano wa tanzaniaa
@severindamian9233
@severindamian9233 3 года назад
Hahaha
@zynabomary4774
@zynabomary4774 3 года назад
This is our lovely Tanzanians.... Najivunia jeshi langu.... Salute.
@isaacthebrigadier5678
@isaacthebrigadier5678 3 года назад
I love you mom
@anthonymaganjo1646
@anthonymaganjo1646 3 года назад
Upuzi huyu
@obenitejailos7007
@obenitejailos7007 3 года назад
Jeshi ya konyo
@khalifabdullahi355
@khalifabdullahi355 Год назад
Abayosa tahay
@ronaldsariah8760
@ronaldsariah8760 3 года назад
Hongera sana. Mazoezi kama haya ni safi. Kuna siku katikati ya zoezi mtakamata vitu vya kweli. Nawapongeza sana
@husseinsalimmaula4254
@husseinsalimmaula4254 3 года назад
Kazi nzuri sana JWTZ ni kweli wahalifu wanaishi pamoja na sisi pengine ni watu wa karibu kabisa lakini ni wahalifu.
@mohdbornyoung5061
@mohdbornyoung5061 3 года назад
Pongezi kwa kazi nzuri wanajeshi watanzani nikiwa kenya
@jamilasalum5236
@jamilasalum5236 3 года назад
Iko poa sana ila kwa Mimi mfano ningekuwepo kwenye hilo gar saa hii Nina drip ya saba ,,maana si kwa kushuka presha
@sharonchristian3711
@sharonchristian3711 3 года назад
🤣🤣🤣
@neemakaluwa536
@neemakaluwa536 3 года назад
🤣🤣
@thomaspatrick1021
@thomaspatrick1021 3 года назад
Kunawatu walikojoa kabsa 🤣🤣🤣
@heromanmwamba5000
@heromanmwamba5000 3 года назад
🤣🤣🤣🤣
@joookahjokah8430
@joookahjokah8430 3 года назад
🤣🤣🤣
@othumanomari1589
@othumanomari1589 6 месяцев назад
Congratulations jwtz❤️🇹🇿💪💪
@leiratykisura6718
@leiratykisura6718 3 года назад
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🥰🥰aisee nimependa wanajeshi warivokuwa wabunifu hongera zao mung awabariki na hawarinde na kila shar muirinde tz yetu🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥
@thomaspatrick1021
@thomaspatrick1021 3 года назад
Kunawatu walijikojolea
@johnalubeya5076
@johnalubeya5076 3 года назад
Hii nimeipenda kazi mzuri sana
@mr.tabasamumedia9740
@mr.tabasamumedia9740 Год назад
Naamini sana jeshi langu la Tanzania 🇹🇿🔥🔥❤️
@frankub8107
@frankub8107 2 года назад
Safi sana from Burundi 🇧🇮, hapo bahati mbaya uko abiriya umekuwa umesafirisha bunduki, yani ndo utaamini kwamba umekwisha🤗🤗🤗
@RebekaNkoma-qd8fp
@RebekaNkoma-qd8fp Год назад
Tunashukuru Sana kwa umakini wa askar wetu mungu awatie nguvu Amina.
@samuelleonse9398
@samuelleonse9398 2 года назад
Mnafanya kazi nzuri kuelimisha jamii Yesu awaongoze salama.Ingekua vizuri kuakikisha Kila basi Lina lindwa na Wana jeshi Wawili mpaka 3 wawe wa navaanguo za kilaiya. Kwaajili ya kulinda Wana nchi.katika safari Yao,hili ikitokea vurugu yoyote ndani ya basi au katika sehemu yoyote update kudhibitiwa na kuwachukulua atua mala moja.! lakini Mungu awe namba Moja! Iyo itasaidia sana.
@manuelamahwera6090
@manuelamahwera6090 3 года назад
Kazi nzuri saaana maana watu wamekuwa waaharifu saaana siku hizi. Kwa zoezi hili lingefanyika mara kwa mara mikowani piya ili kuwapunguza. It was a good thriller and well acted👏👏. One love From London
@arqamibnarqam.7185
@arqamibnarqam.7185 3 года назад
Elimu nzuri Sana,Hongera kwa jeshi letu.
@thomasgogomoka6404
@thomasgogomoka6404 Год назад
Well Done JwTZ adui atambue Jeshi la wananchi liko makini.
@charleskamili4074
@charleskamili4074 3 года назад
Wamewapotezea muda tu uwezi fanya mazoezi ya kijeshi kwa abilia kuna baadhi ya abilia wana presura kwa hizi pigo wanaweza wapoteza kizembe
@abdulyabubakar6247
@abdulyabubakar6247 3 года назад
Na ingetokea vita je bado ungesema watu wana presha
@charleskamili4074
@charleskamili4074 3 года назад
Jaribu kutofautisha wakati wa tatizo na wakati usio wa tatizo
@hassanmassaga2476
@hassanmassaga2476 3 года назад
😆😆🙌kwani presura yenyewe inasemaje😆😆
@kabelwasalim6305
@kabelwasalim6305 2 месяца назад
Acha ujinga kwenye vitu vya msingi
@kibwanambelwa3268
@kibwanambelwa3268 2 года назад
hongereni sana wazee wa kazi nawakubali sana Mungu awatangulie katika kilinda na kutetea Taifa letu na sisi wanachi atusaidie kuwataja waarifu
@geeva99
@geeva99 3 года назад
Kumbe hii ni demo tu, kweli show kali ikiwa halisi 🔥🔥🔥
@fetychina3273
@fetychina3273 3 года назад
We atali n,nyaitakutoka😀
@abubakarramadhan3071
@abubakarramadhan3071 3 года назад
Hamna show yyte wanaajifunza kulinda amani ila sio vita halisi
@zamakharisalam6798
@zamakharisalam6798 3 года назад
waache kupoteza muda waje uku mtwar mpakani kuongeza nguvu
@nyekingobwire6327
@nyekingobwire6327 3 года назад
Safi sana kwa mafunzo mazuri hongereni Kaka zetu nazani dereva kondakta wamejifunza
@emanuelyamany
@emanuelyamany Год назад
Mambo vipi
@feristherrenatus608
@feristherrenatus608 2 года назад
Aah hongereni kwa kazi nzuriii na inayotufurahisha na sisi tunaowatazama🤝🤝🤝
@stevenmhina7222
@stevenmhina7222 3 года назад
Kwa kiasi flani sawa, tusipakie watu kwenye mapori. But Hii alert technic ya mafunzo ya tahadhali siyo nzuri sana, watu wanaweza kudhurika bila hatia. Kumbuka kuna watoto na wamama, pengine na wagonjwa mle kwenye basi, wamezingatia vipi afya zao katika kutekeleza hilo zoezi. Pia wanataka kutuambia, makondakta wawe wanakagua mabag ya abiria. Nashauri wangetoa mafunzo kwa wahusika maeneo maalum ya kazi na vituoni. Hizo operation zifanyike ktk uhalisia wake wakiwa na target info.. Siyo kwa lengo kama hilo la kuelimisha.
@fundikiraomary7111
@fundikiraomary7111 2 года назад
Unaakili sana. Mi nimekuelewa🤜
@victorjames3730
@victorjames3730 2 года назад
Hiyo hufanyika duniani kote mzee sio Tanzania tuu
@edirana5420
@edirana5420 2 года назад
Nikwel kitendo hiki hakikuwa kizur kwa watu wote wanawez kuuwa kwa mshtuko afu jukumu anabeba nani
@elynego1654
@elynego1654 2 года назад
Kula 5 umetisha sna
@hamidamer8849
@hamidamer8849 2 года назад
@@edirana5420 utabeba ww apo
@ZainaMalekela-ij6hd
@ZainaMalekela-ij6hd Год назад
Safi sana 2wakomexhe majambazi
@mwinukafundibombanjombe
@mwinukafundibombanjombe 3 года назад
So cool and best way to remind our mindset
@mdasad2148
@mdasad2148 2 года назад
Huro zoez saf sana
@jimmymasika8836
@jimmymasika8836 3 года назад
Mungu atulindie nchi yetu iwe na amani siku zote hii mirindimo ya risasi isijekutokea nchi yetu pendwa ya Tz
@koplomuindi2023
@koplomuindi2023 2 года назад
My friend we have the RECCE SQUAD hatari kulko hìi
@luqmanmohammed6543
@luqmanmohammed6543 Год назад
Amin mungu atusadie kwahilo
@mahammadanhag4445
@mahammadanhag4445 9 месяцев назад
Acha kuogopa ww mm napenda ickike km ukren
@jaminussanga3031
@jaminussanga3031 3 года назад
Jeshi letu liko vizuri ni hatari ukitaka lidipu kwa kwa ugaidi ama kwa uhalifu ndipo utajione waulize wa kibiti walilidipu walikiona cha moto, MUNGU IBARIKI NCHI YETU MUNGU YABARIKI MAJESHI YETU AMEN.
@herimwanyenza4103
@herimwanyenza4103 3 года назад
Hilo zoezi la Mafunzo kwa Vitendo Nimelikubali,Nimeli pigia SALUTE
@user-wj8ld4hq9c
@user-wj8ld4hq9c 8 месяцев назад
Mmekosea Kama wahasi wangejiripua na warinda amani wetu msioneshe mricho jifundisha Saruti kwenu wakuu
@mweyoms5548
@mweyoms5548 Год назад
Saluuuuuuuuuuuute to you JWTZ.Wale wahuni wa M23 wanaujua moto huu.Big up sana.
@tumainimnzava320
@tumainimnzava320 3 года назад
Abiria wetu wanawaza kufika tu! Bila kujua walioko ndani dah! Hii poa sana kwa jeshi la Tz
@kaundasutikaunda7769
@kaundasutikaunda7769 3 года назад
Kazi nzuri sana...big up
@salunyanda5448
@salunyanda5448 3 года назад
Ni habari njema nimeifurahia ni kweli kunawakati tunajisahau, hongera AYO kwa kufikisha ujumbe, By Salum
@mwitachacha6954
@mwitachacha6954 Год назад
Mungu awabariki kazi zur
@josephemmanuel3175
@josephemmanuel3175 3 года назад
Happy afadhali iwe hvo hvo demo ikiwa halisi wahesabu r.i.p
@kambiyusuf1329
@kambiyusuf1329 3 года назад
Big up xn kwa makamanda we2 wa jwtz. Zoezi nilikua "mswano" (zuri)
@rwandaafrika6173
@rwandaafrika6173 3 года назад
Kazi njema jameni nawatakiya Wanajeshi wetu kazi nzuri kuilida Inchi yetu ni njambo njema
@fabianndimanya2055
@fabianndimanya2055 3 года назад
Bora nikavamie mzinga wa nyuki mchana sio hawa jamaa🤣🤣🤣🤣🤣
@zolongOne
@zolongOne 3 года назад
😂😂😂
@agathathobias8690
@agathathobias8690 3 года назад
😂😂😂😂
@tatubadi9010
@tatubadi9010 3 года назад
😅😅😅Af ww
@chussede3072
@chussede3072 3 года назад
🤣🤣🤣🤣kosea njia ila co iyo
@fanuelsulle8144
@fanuelsulle8144 3 года назад
😂😂😂😂
@exaudmbuya9306
@exaudmbuya9306 2 года назад
Nawapa Big up kwa Sana ndio makamanda wetu
@AlAl-sd9pl
@AlAl-sd9pl 3 года назад
Manshalah mungu azid kuwapa uweled
@agnesslucas4744
@agnesslucas4744 2 года назад
Kazi mzuriii Sana wanajeshi ogereni
@emmanuelyohana8787
@emmanuelyohana8787 2 года назад
Hongereni jeshi la wananchi no Nazi nzuri sana
@onlyjesus7831
@onlyjesus7831 3 года назад
Dah!!!hawa jamaa ni hatarii huu ndo uzalendo tunao hitaji ndani ya nchi yeti MUNGU IBARIKI TANZANIA
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 3 года назад
Iwe halisia na endelevu kwa kushtukiza. Mingu tubariki watoto wa Tz
@filomenambilinyi5471
@filomenambilinyi5471 2 года назад
Mngewahoji abilia ili tujue wamejifinza nini.
@ktvofficial.2693
@ktvofficial.2693 2 года назад
Every educative great job
@frederickfredepsywakilongo6941
@frederickfredepsywakilongo6941 3 года назад
kazi njema kwa jeshi letu la taïga💖💖💖jwtz
@bellam.vyampi5528
@bellam.vyampi5528 3 года назад
Nimeipenda hii
@mtaitamtaita3834
@mtaitamtaita3834 2 года назад
Kazi mzur san....n elimu kubwa san imetolewa hpo pongz ndug zang
@user-ex3gd6vu7h
@user-ex3gd6vu7h Год назад
Hongera kwa jwtz
@daudichristopher9460
@daudichristopher9460 2 года назад
Jambo jema Sana mungu azidi kuwalinda walinzi wa taifa letu
@malopemaliyamungu5243
@malopemaliyamungu5243 3 года назад
Haja ndogo ikipita halafu uambiwe ni zoezi sio kweli utajiona fala sana
@mwigakatumpula9817
@mwigakatumpula9817 3 года назад
Inaitwa usijaribu nyumbani 🤔🏃😃👏👏👏
@saidinammenje644
@saidinammenje644 3 года назад
Siafiki mazoezi kwa njia hii kwani yaweza sababisha hata kifo
@maxwellezekiel4796
@maxwellezekiel4796 3 года назад
Big up sana maafande
@seifmohamed4893
@seifmohamed4893 Год назад
Mungu watie nguvu JWTZ uwape maisha marefu yenye amani na neema tele ameen
@davidmacharia5150
@davidmacharia5150 Год назад
, easy and quick 87t and
@filaretoskimaro3959
@filaretoskimaro3959 3 года назад
Ili ni funzo nzuri sana,lazima madeva wawe makini saa zote na abiria wanaowapakia,wasiangalie tu pesa,na pindi watamhisi mtu yeyote watoe taarifa kwa wanausalama walio karibu.
@mauaally4831
@mauaally4831 2 года назад
Safi sana Tanzania bilaya majambàz inawezekana
@hamisigazza2838
@hamisigazza2838 3 года назад
Safi sana sema umakini unatakiwa kwa kila mmoja kuanzia kwa wenye magari na abiria wenyewe pia...
@selemanimtalika571
@selemanimtalika571 3 года назад
Hawa ndio wanastahili kulipwa mishahara vizuri cyo wah wetu hamna wanachofanya bungeni
@mamasaahil6468
@mamasaahil6468 3 года назад
Hizo ndo habar za kuongelewa sio Kila sik mm dangote mind na zari
@stylishgenius9886
@stylishgenius9886 2 года назад
Wazo zury sn
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 3 года назад
This is a very good example in our security system especially on the public transportation,job well done JKT🇹🇿👏👏👏
@lilianjustin9743
@lilianjustin9743 3 года назад
Misaivi ningekuwa mbinguni kwa Baba
@f.a6043
@f.a6043 2 года назад
Yeah! 👍🏿 You've spoken well but I would like to remain you that this is JWTZ not JKT
@dullahmiraji9255
@dullahmiraji9255 Год назад
Safi Sana kwa Ukaguzi Lazima Jeshi Kama Jeshi litambue vitu Ambavyo wewe Raiya wa Kawaida huwezi kuvigundua Safi Sana
@alphoncehanura3255
@alphoncehanura3255 3 года назад
Kama zoezi hili lilipangwa vizuri kwa ajili ya mafunzo itakuwa jambo safi sana..... Lakini kama ilishutukiza na abiria wa kawaida wakiwepo ndani ya gari... na kuwachelewesha safari yao.... hii ilikuwa matumizi mabaya ya nguvu ya kiutawala.....
@GoldenFirdausMedia
@GoldenFirdausMedia Год назад
Na kama kweli kungekuwa na wahalifu je? Wakakamatwa huoni kama ingelikuwa ni faida, sio kila kitu kubeza kumbuka wahalifu ni wat kama ww so kufanya ukaguzi ni muhimu hata kama watu safari yao itachelewa tusipende kubeza kila kitu na kuleta ujuaji
@goodlucktemu3149
@goodlucktemu3149 3 года назад
walio kuja kucheki ii video wakizani ni majambazi wako wangapi?
@ummuhafswa8980
@ummuhafswa8980 Год назад
Nimeipenda duh..!!
@user-tu4sx5jj3g
@user-tu4sx5jj3g 7 месяцев назад
Kwakweli Mimi nawashukuru sana tenasana kwajeshi lataifa kuchukua maamuzi yaulinzi barbrani kasababu watu hawataki kufanya kazi wao nikuwawinda binaadam wenzao kwanzi haowanao kamatwa nasiraha porini niwauwaji hao nikuwamalizatu nandio kukomesha ujambazi aina haja kuwapeleka polisi maoniyangu nihayo
@user-wx7mr9ts6f
@user-wx7mr9ts6f 6 месяцев назад
Kwakweli sasa jishi linawajibika hongera mama hongera mkuu wa majeshi na wakuu wa vikosi nichini safi sana
@pyuritjuvenal7657
@pyuritjuvenal7657 3 года назад
Wako vizury good job💃
@fredynyandoro4266
@fredynyandoro4266 3 года назад
Safi sana wapiganaji wetu
@isaiahisaac7240
@isaiahisaac7240 11 месяцев назад
Big Up sanaa
@kitaaofficial4119
@kitaaofficial4119 3 года назад
Wengekuwa Wahalifu kweli JWTZ Wangeanza na Mabuti apo apo🔥
@AishaAisha-rh1fc
@AishaAisha-rh1fc 3 года назад
🤣🤣🤣
@villanybenson3005
@villanybenson3005 Год назад
Kazi nzur sana JWT
@idrisaramadhani2022
@idrisaramadhani2022 Год назад
Vizuri Sana Asante kesho ra kigoma
@user-gf9ej9nd8m
@user-gf9ej9nd8m 6 месяцев назад
Ongeren sana ktk ayo mazoezi
@ramadhanyusuph7633
@ramadhanyusuph7633 3 года назад
Saluti sana mmejiongeza na kuwapa taadhali madeleza na abilia
@seifmohdtz2275
@seifmohdtz2275 3 года назад
Ningekua mmi Nipo hapo ningezimia2 kwakweli😂😂😂😂
@arafakiloli749
@arafakiloli749 3 года назад
Hahaha 😂😂😂
@rifathoola8654
@rifathoola8654 3 года назад
Hilo ni zoezi zuri nawapongeza lakin wasikomee apo wafanye sehemu zote ili vitendo vya kialifu visiwepo pia mtakapo fanya zoezi ili maeneo mengine msitangaze hadharani kwani app adui anapata njia nyingine ya kufanya!, Ahsanteni.
@elmanichombe7198
@elmanichombe7198 Год назад
Safi ssna
@CharlesSenkala-eu7nx
@CharlesSenkala-eu7nx Год назад
Safi, siela,siela gof
@mansoursaid8
@mansoursaid8 2 года назад
Ni sawa ila hofu yangu ni kwa raia waliosafiri na ilo basi wamelipokeaje ili
@user-jo1ww9sn1d
@user-jo1ww9sn1d 5 месяцев назад
Mwanza mimi nawapa pongezi kubwa kwajuhudi zao zaa urinzi nausalama jijini Kigoma tz, mimi niii changuboy , muzalendo, tz
@kingomasta1220
@kingomasta1220 2 года назад
Kazi zurr lakini kwa nn mazoezi hayo wawe wana fanya kimya kimya kuliko kulusha mtandaon hv wakajuwa mbinu mahaduh
@abdulsefu4009
@abdulsefu4009 Год назад
Hongera JWTZ kwa Nazi nzuri
@happysanga6595
@happysanga6595 3 года назад
Nimependezewa na kusachi Kwan ndani ya mchezo unaweza kueabaini na najambazi mungu ibariki tz
@mahammadanhag4445
@mahammadanhag4445 9 месяцев назад
Ndiomana wakafa kzembe Kongo ao wanamgambo Bora
@bahatiraphael3396
@bahatiraphael3396 2 года назад
Nalipongeza sana jeshi letu la tanzania jwtz pia twajivunia kwahilo
@murattywamuratty9778
@murattywamuratty9778 3 года назад
Iyoo milio ya silaha walikuwa wasipige apo maana kuna watoto wadogo kwenye safari iyoo, na kuna wagojwa pia, ila sio mbayakufanya kitu kama icho ni silaha tu kupiga ni kosa kwa watoto na watu wagojwa
@benadethamagembe6949
@benadethamagembe6949 3 года назад
Hizo ni blankoo ,yani risasi za mafunzo hazima mdhara kam unavyodhani na hata mlio wake ni wakaida kabisa
@vicentmakala4428
@vicentmakala4428 3 года назад
So great😎😃
@kidulaiyombe4735
@kidulaiyombe4735 3 года назад
Safi san dah kweli jw mpo juu
@alyasaluum1850
@alyasaluum1850 2 года назад
Yeah nimependa sana kwa hili somo
@samsonnyaronyo
@samsonnyaronyo Год назад
Huo ni ushambatu mazoezi yao ndo wafanyie kwa wananchi ujinga mkubwa
@henryjanuary5150
@henryjanuary5150 3 года назад
Safi sana jeshi letu
@omarymweta779
@omarymweta779 2 года назад
Hapo kuna kosa hao wanajeshi wamelifanya , mara baada ya kugundua huyo abiria au muahalifu ana short gun hakupaswa awe na umiliki nayo , ilitakiwa apokonywe kwa maana angeweza kuwajeruhi au kusababisha vifo kwa wanajeshi wetu , but all in all nimeipenda hii operation/ hayo mafunzo
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 года назад
Ahsanteni jeshi mnafanya kazini vizuri
@andrewpetro6159
@andrewpetro6159 2 года назад
Thanks 💰
@jamesmutisyamuthiani6478
@jamesmutisyamuthiani6478 2 года назад
Wow!let us have learned a lesson
@JuliethBarthazary-us5oi
@JuliethBarthazary-us5oi Год назад
Nivizur Sana madeleva kuwa makn
@godwinsokoni6069
@godwinsokoni6069 3 года назад
Mheshimiwa mabeo hongera kwa mafunzo mungu awatangulie ktk kuilinda nchi
@jeremiahyohana5807
@jeremiahyohana5807 Год назад
Hy
@ZainabSuleiman-ti2wt
@ZainabSuleiman-ti2wt 6 месяцев назад
Hongereni kwa mazoezi
@yahayaomary5639
@yahayaomary5639 3 года назад
Safi sana ni mazoezi mazuri
@raphaelmwamakimbula9642
@raphaelmwamakimbula9642 2 года назад
Nzuri sana na ni hakika!
Далее
Ranking The Most Painful Crashes
00:19
Просмотров 3,3 млн
Телеграмм-Колян Карелия #юмор
00:10