Msukuma kuna wakati unawazungumzia wanainchi kwa swala hili la mpina umeonyesha udhaifu mkubwa.. umekuwa ndumila kuwili mnoo. Umejisahau mnooo. Jana mmejivua nguo wenyewe nchi yetu ndio yenye bei kubwa afrika mashariki sababu ni vizara kutowajali wanainchi. viongozi kuangalia matumbo yao. Raisi alione hili
Sasa hapo bunge limeokoa Tanzanite kiasi gani??!! Je, SIDO imeongezewa uwezo kiasi gani kusaidia wazawa kuanzisha viwanda vidogo na vya kati??!! Jifunzeni kwa Rais Ibrahim Traole mwamba wa Ouagadougou Burkina Faso.