Тёмный
No video :(

NYOKA AZUA TAHARUKI KWENYE MAKAZI YA WATU, ANADAIWA KUWEPO ZAIDI YA MIAKA 40 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 481 тыс.
50% 1

Taharuki iliyoibuka na kujenga hofu kwa wakazi wa eneo la Mliman City mtaa wa Kizigo kata ya Ng’ambo baada ya kusikika sauti ya Nyoka aina ya Koboko anayekisiwa kuwa na urefu wa zaidi ya futi 10 akipiga kelele juu ya mti wa mwembe katika eneo la makazi ya watu

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 538   
@upendowakwelinaamani1060
@upendowakwelinaamani1060 2 года назад
Millard Ayo usikose kutupa muendelezo wa hii habari maana inaonyesha Tz tuna maliasili nyingi tafadhali tujulishane kitakaco endelea
@stephanomoses7694
@stephanomoses7694 2 года назад
Mburaaa. Huyo mtaalam wa jadi mwenyew muoga namna hyo. Kasema hatokaa arudi tena. Kama nyoka huyo hana shida mnamchokoza wa nini jamn hivyo ni vyombo vya ulinzi na usalama tuliachiwa na mababu zetu . Ulinzi konk
@rithamsechu7220
@rithamsechu7220 2 года назад
🤣🤣🤣
@n.y.smedia4145
@n.y.smedia4145 2 года назад
Uyo nyoka ni hatali Sana ndugu yangu ni halali kukimbia
@mishikikoti2948
@mishikikoti2948 2 года назад
😂😂
@fatmamnangwa9131
@fatmamnangwa9131 2 года назад
😂😂😂😂
@GameOnMobile_
@GameOnMobile_ 2 года назад
Huyo bibi huyo wakae naye vizuri, maongezi yake tuu yanaonesha anamjua vizuri huyo nyoka kuliko mtu mwingine yeyote.
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 2 года назад
Kweli kabisa
@jesusyoulovemetoomuchwanji8860
@jesusyoulovemetoomuchwanji8860 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@AziziMsuya
@AziziMsuya 2 года назад
Umeona ee😁😁😁
@gilbertshirima2684
@gilbertshirima2684 2 года назад
🤔🤔🤔🤔🤔
@vailethkinabo7961
@vailethkinabo7961 2 года назад
Mungu wetu ni muumbaji yaani Mungu wetu fundii sifa na utukufu tumrudishie Muumba
@ramadhanzengwe3876
@ramadhanzengwe3876 2 года назад
Hao maliasili ni waoga walishaiona hatari hapo hao hawarudi tena
@khamisfarouk9493
@khamisfarouk9493 2 года назад
Mlimani city hakuendeki tna😂😂😂😂
@rachelsilvester7901
@rachelsilvester7901 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@OmaryDunda
@OmaryDunda 3 месяца назад
😅😅😅😅mlimani City Hakuendeki tena
@leilafsadickfsadick5471
@leilafsadickfsadick5471 2 года назад
Daaahhh hatarr sana ila kwasisi tulio kulia huo mkoa wa tabora kukutana na nyoka ni kawaida maana ni lazima twende kuangua maembe, ukwaju Sungwi,ila kama ninyoka wa kawida tuu hua hadhuru bila.kummchoka unaweza.fanya mambo yako mpaka uka maliza na yeye ana kwangalia tuu na asifanye kitu ila huyu sio wa kawaida kwakwer
@newahomwashiuya8858
@newahomwashiuya8858 2 года назад
Bibi nimekuelewa Sana Sana!
@user-gq8ox7wb7f
@user-gq8ox7wb7f 2 года назад
Bibi bibii
@DativaMbowe
@DativaMbowe 2 месяца назад
Bibi mchawi uyu
@mtelewalindi84
@mtelewalindi84 2 года назад
Dah mwenye nyumba kazi anayo
@lulually5209
@lulually5209 2 года назад
Hapajengeki aongee nae amwambie tu kuwa ee mzimu wa mababu mm ni kijana wako nataka kujenga hapa nakuomba usinidhuru mm pamoja na wajenzi wangu aone km kweli ni wa mzimu hatowadhuru we imagen toka walipoanza kujenga mok hapo ilipofikia mbona hakuwazuru ila Sasa hivi wanamchokoza ndio mana wamuache tu hana madhara na mtu
@marymfugwa847
@marymfugwa847 2 года назад
Mnamchokoza wananchi mnapenda kuvamia vamia.
@sabinaonline6575
@sabinaonline6575 2 года назад
Asante sana Millard ayo kwa Taarifa daaahr hadi naogopa hatari sana
@reubenkissinga5802
@reubenkissinga5802 2 года назад
Usiogobe Sabi Mamii ,njoo nikukumbatie!!
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j 2 года назад
@@reubenkissinga5802 😅😅😅😂🤣wewe chizikweli
@khatibali195
@khatibali195 2 года назад
Nilipoona Mlimanicity nikajua ya dar na nyoka huyo vp
@SafiyaJ-yw2vt
@SafiyaJ-yw2vt Год назад
Hata mm nikafikiri mlimani city ya dar kumbe kijijini duh🤣🤣🤣🤣🤣
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 2 года назад
Nyoka Wa Ivo Morogoro Kuna Mahali Alikuapo Yuko Na Upanga Kama Wa Jogoo 🐓 Anawika Watu Tulibadili Njia Alikua Anaishi Kwenye Kichuguu Au Vichuguu Vyenye Mashimo Marefu Sana
@fetychina3273
@fetychina3273 2 года назад
😳😳😳
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 2 года назад
Mpk leo yupo
@momosaid6193
@momosaid6193 Год назад
Mm sio mkaz wa Moro lkn niliwah kuskia hii story cjui n kwel
@MamenFaridu
@MamenFaridu 15 дней назад
Huyo bibi anaonyesha ana mjuwa vizuri
@user-xs7bw2im8h
@user-xs7bw2im8h 3 месяца назад
Inatosha nyoka huyo sio sawa kama anamiaka kazaa ana wenyewe
@DoreenOmmy-gw3op
@DoreenOmmy-gw3op 2 месяца назад
Kbs anawenyew
@alicemwalimu8791
@alicemwalimu8791 2 года назад
Koboko jmn kwa mkoa wa tabora wamezidi ila huyo koboko ni wa maajabu make koboko ni mkorofi san
@mohamedrashid9035
@mohamedrashid9035 2 года назад
Hizo ni story za vijiji tu hakuna ukweli ni uvuni kaboko ni nyoka hatari sana kwa jina marufu ni black Mamba hana ukweli hapo
@AishaAisha-rh1fc
@AishaAisha-rh1fc 2 года назад
Uyo nyoka sio wa kawaida mawili Mizimu au kuna zahabu hapo chini sema wazee ndio washapotea tumebaki vijana wazungu
@aishachambo8663
@aishachambo8663 2 года назад
@@AishaAisha-rh1fc kweli kabisa
@treyvissy9854
@treyvissy9854 2 года назад
Alafu koboko hana kichwa kama cha jogoo sijui anawika.. yaan kuna uongo
@kivujrking7492
@kivujrking7492 2 года назад
@@treyvissy9854 huwajui nyoka wew kama hujaishi kijijini huwezi kujua nyoka kama hao wapo na hawanashida mpaka usogee karibu na mazingira anapoishi ndio utamuona mkorofi
@anthonykamkolwe5766
@anthonykamkolwe5766 2 года назад
Haujui unachokisema.....
@peterrulagora7403
@peterrulagora7403 2 года назад
Nyoka wa mizimu,ni maombi tu
@florencebudoya3814
@florencebudoya3814 2 года назад
Koboko hawezi ishi miaka zaidi ya arobaini. Akiishi mingi ni 20. Ungebeba chungu cha mafuta ya moto .Na kweli Black Mamba akikugonga huponi na ikitoke ukapona basi utapata kilema cha maisha kwenye mfumo wa fahamu maana sumu yake inaatack neurons.
@flova7022
@flova7022 2 года назад
Sure ndio mashangaaa eti kapona na anasimulia
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 2 года назад
@@flova7022 🤣🤣🤣
@lulually5209
@lulually5209 2 года назад
Ule mzimu tu sio nyoka wa kawaida na angetaka kumdhuru angemdhuru kwa sababu hayupo hapo kwa ajili ya kudhuru wanaadamu ndio mana kapona na uji haukumuunguza hao viumbe ni wabaya lkn kwa sababu yy hayupo hapo kwa ubaya ndio mana watu wanaishi eneo Hilo mpk leo ila Sasa wanachotaka kukifanya Sasa hivi kitawakost si wameamua kumchokoza atawamaliza
@manilabonalumanula1014
@manilabonalumanula1014 2 года назад
Nyoka hao kuna wakati wanatema mate kisha uyoga unaota tunapata chakula
@rachelsilvester7901
@rachelsilvester7901 2 года назад
Heeeee kumbee
@Mazoea
@Mazoea 2 года назад
Siri tena uyoga
@manilabonalumanula1014
@manilabonalumanula1014 2 года назад
@@Mazoeambona asali unakula wkt nyuki hutumbua hata mizoga kutengeneza asali?
@emanuelmhoja2411
@emanuelmhoja2411 2 года назад
Ni hivi kwa wale tuliopitia maisha ya kuchunga ng'ombe,koboko ni nyoka mstaarabu,mpole na hapendi kelele. Watu wanadaganya kuwa ana miaka 40 hapana isipokuwa hufa na kuacha watoto. Siku ya kumtoa ndipo mtamjua vizuri
@magrethopundo9460
@magrethopundo9460 2 года назад
Unawatisha wenzio😂😂😂😂
@emanuelmhoja2411
@emanuelmhoja2411 2 года назад
@@magrethopundo9460 🤣
@lulually5209
@lulually5209 2 года назад
Mmmm 🙄 koboko mpole kobo huyuhuyu ninaemjua mm
@emanuelmhoja2411
@emanuelmhoja2411 2 года назад
@@lulually5209 trust me. Nyoka wa ovyo ni Kobra yule anayevibisha kichwa
@user-jc4qj6lr3r
@user-jc4qj6lr3r 2 месяца назад
Wampe bibi maokoto awatolee
@SmilingApron-zw6ne
@SmilingApron-zw6ne 20 дней назад
MBONA UYU BIBI NI NI KAMA ANAMFAHAM VIZUR UYO NYOKA
@janguboitz4316
@janguboitz4316 2 года назад
Waseme Vizuri na uyu Bibi,Bibi anaonekana mchongo anaujua,Taratibu wamwombe atoe mchongo wake,Bibi anakwambia mdudu ajachokoza mtu,mbuzi Wala kuku na Mwaka huu ndo wamemuchokoza😂
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 2 года назад
🤣🤣🤣 Bib hapn chezea
@suleimansultan3333
@suleimansultan3333 2 года назад
Bibi anajuwa history lakini hausiki
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 года назад
Yeah Bibi anajua mchongo mzima 🤣🤣🤣🤣
@aisharamadan3620
@aisharamadan3620 2 года назад
😃😄😃😃
@aggreyenock1221
@aggreyenock1221 2 года назад
😂😂😂
@RUFUS_97
@RUFUS_97 2 года назад
wasimuue ila wampeleke hifadhi za taifa awe kivutio kwa watalii, kama anawika ataleta watalii wengi sana sana.......
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 2 года назад
nawazungu wanawapenda sana hao black mamba
@welcometoeat165
@welcometoeat165 2 года назад
Rabda anawalinda jaman! Na kwakua miaka yote yupo na hajamdhuru mtu na nyie ndo mnaanza kumtibua aanze kutafuna one after one
@mohamedimohamedi8933
@mohamedimohamedi8933 2 года назад
nyoka halindi ndugu
@yussufritzy7684
@yussufritzy7684 2 года назад
Anaelinda ni Mungu tu...
@kaizamandike8771
@kaizamandike8771 2 года назад
😂😂😂 nyoka anamlinda nani, akiamua kutafuna one after another atatafuna tu.
@welcometoeat165
@welcometoeat165 2 года назад
@@kaizamandike8771 huez jua labda joka la mizimu
@ROSEROBERTROBART
@ROSEROBERTROBART 2 года назад
mmh toka lini nyote akawa urafiki na mwanadamu, wala haitawi tokea hii ni ahadi ya mungu binadamu kua adui wa nyoka na nyoka kua adui mwana ADAM
@moonaamli6835
@moonaamli6835 2 года назад
Sasa mnasema kuna nyoka hapo kwenye mwembe Sasa mbona mmekaa hapo hapo?Sasa mtuletee mrejesho tunausubili kama wamemuondoa au la
@hamiduhamisi2371
@hamiduhamisi2371 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hawa wanamjuwa vizuri haswa huyo bi mkubwa inaonekana nyoka wake
@AngelinaSumayi
@AngelinaSumayi 5 дней назад
Tabola oyeee hata kwa mtemi napo alikuaga anawika itetemia sjui kwa sas
@franckjumanne6626
@franckjumanne6626 2 года назад
Mimi naweza kumamisha bila shida kwani anawatisha kuingiza kichwa kwenye uji mmi naingiza kichwa kwenye moto wa petroli
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 2 года назад
😂😂😂😂
@rashidiasantemwalimngandil4890
@rashidiasantemwalimngandil4890 2 года назад
Karibuni mlin city nikivutio chautalii
@marrymenas
@marrymenas 2 года назад
Kama hasumbui mwachen nyoka wa watu afanye maisha yake
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 2 года назад
Asiuawe.... Waletwe wataalamu wa nyoka atolewe akafugwe na kutunzwa kwa utalii... Ni kiumbe kipolee sana....éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
@vivianvivian8585
@vivianvivian8585 2 года назад
Una balaaa ww achana na huyo nyoka kbsa ni hatar kbsa black mamba we ni hatar sana
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 2 года назад
@@vivianvivian8585 hakuna kiumbe asiye fugika kwa Mwanadamu... .. Ni uoga wetu tu... Mwenyezi Mungu katupa mamlaka kamili....
@liliankessy1255
@liliankessy1255 2 года назад
Haumjui Koboko ww,hata hao wa maliasili hawawezi Kwnda kichwa kichwa..
@neemazee1864
@neemazee1864 2 года назад
Etiii kiumbe kipole nenda bs kamchukue uishi naye nyumbn kwako....!!!
@binhussain3445
@binhussain3445 2 года назад
@@johnmalembo6464 We unafuga kiumbe ganii usije ukawa unafuga njiwa halafu unajimwambafy
@hancepopessau2527
@hancepopessau2527 2 года назад
Mliman City hakuendeki tena
@chynizboy7520
@chynizboy7520 2 года назад
Bibi kamaliza nyie jifanye wa digitali mtakufa sanaaaaah
@ommymehmed8880
@ommymehmed8880 2 года назад
digital
@ommymehmed8880
@ommymehmed8880 2 года назад
tena kamaliza mazimaaa
@marcelpaulbiste5268
@marcelpaulbiste5268 2 года назад
Ingekua mlimani City ya kwetu dar sasa hivi nyoka kashagongwa na gari tu🤣
@ROSEROBERTROBART
@ROSEROBERTROBART 2 года назад
basi awe ni nyoka lakini sio nyoka yule
@ZuberiNahoche
@ZuberiNahoche 3 месяца назад
Shikamoo bibi kazi iendelee
@swahiliinspirations7953
@swahiliinspirations7953 2 года назад
Hawa Nyoka huwa ni Mizimu, yaani ukithubutu kumuua Asilimia kubwa Mito ya Maji hukauka na Baadhi ya Mambo kutokea Vijijini. Asilimia kubwa ya Vijiji wapo wengi.
@jumakasim8784
@jumakasim8784 2 года назад
huyo jamaa namjua vizuli toka nikiwa mdogo na sijawahi kuona anakamata nyoka ni mjanja wa town tu
@asumaathuman6094
@asumaathuman6094 3 месяца назад
😂😂😂
@thabitiykitwana1271
@thabitiykitwana1271 2 года назад
Sijajuwa kiundani zaidi Ila huyu bibi ni hatari Kwa maelezo yake.
@nandopapihno143
@nandopapihno143 2 года назад
Mlimani city hapafai tena😂😂😂😂😂😂
@fathimamct232
@fathimamct232 2 года назад
Huyo Bibi huyo nyoka pengine wa Baba Ake na anamjuwa vizuri huwenda hata anamfanyia mambo ya jadi.
@abdihq4228
@abdihq4228 2 года назад
Wanadam mnanyodo sana MWENYEZIMUNGU ANAWAONYESHA KUNA VIUMBE WENGINE ALHAMDULILLAH NAMPENDA HUYO NYOKA TOKENI HAPO VUNJA NYUMBA ZENU
@anuarikikoti1782
@anuarikikoti1782 2 года назад
Aly.ismail.kasida
@patrickobat8258
@patrickobat8258 2 года назад
@@anuarikikoti1782 nice one
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j 2 года назад
Huyo nyoka kwetu tanga mwaka 2000 kulinyesha mvua kukajaa maji akaletwa kutoka juuya milima ya wasambaa mana wa napendaga kukaa kwenye mapango basi akawa anakaa juu yamti. Mana ule mto ulipitakwenyekambi ya jeshi basi usiku jeshi wakitoka ulaiyani kuzurura usiku anawakimbiza usiku sauti anagonga miti basi jeshi walimuwinda mpaka wakamuuwa tena walimuua usiku mtialiokuwa. Anakaa niilemitimilefu mweupe nilimshuhudia. Akiwa hai anamkatiza mjini nimlefuu kweli sijawahi ona nyoka kqmq Huyo tena alivyouliwa hakuwepo tena wanakuwaga adimu NA mchana hawaonekani hovyo
@davidcurtis8556
@davidcurtis8556 2 года назад
@@user-po8hz7xw9j huyo sasa ni nyoka kweli, hata mimi ni watanga mwenzio na niliwaji kukaa lindi huyo nyoka ana uwezo wa kigonga hata zaiya mara arobaini na anaegongwa na huyo kiumbe hana maisha na bahati mbaya nyengine ukimchokoza au ukijaribu kumuua halafu ukamshindwa ujue lazima akuue wewe hata ukiwahi kuingia ndani ya gari atajifunga popote pale ukisimama tu unajua umemkimbia tayari ukifungua tu mlango wa gari hata kabla ya kushuka anaweza akakugonga zaidi ya mara tatu na bado haondoki mpaka ufe hadi ahakikishe mapigo ya moyo yamesimama ni nyoka mwenyechuki na hasira sana ispokuwa huyu wa tabora ni kiumbe mwengine kabisa anaeonekana kwa umbo la nyoka huyu mtu wa nyoka kugongwa zaidi ya mara mbili asingeweza hata kunyanyua mguu kupiga hatua maana unapogongwa na nyoka koboko unapa short mwilini na mwili kuanza kifanya kazi vice versus kwa dakika tatu baada ya hapo maji ya mwilini hukauka na kupelekea damu kuganda, wakati nyoka wa kawaida sumu yake haina uwezo wa kukausha maji mwilini.
@horacemnyasa5400
@horacemnyasa5400 2 года назад
@@davidcurtis8556 😃
@worldhappiness1181
@worldhappiness1181 2 года назад
Kama yupo mda mrefu na hajawah kudhuru mtu wala mnyama, si mmwache tu, ingawa hizo sio Sifa za koboko, coz ukigongwa na aina hiyo ya Koboko ukipona bas Kila sekunde sali na ukawe Shuhuda umeona utukufu wa Mungu live
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j 2 года назад
Hawa nyoka nilishawahi kumuona aliletwa mkoani kwetu namaji akawa anakaa kwenyemti usiku ndioanasikika. Alikuwa anasumbua usiku kweli kufukuza watu Ila jeshi walimuwinda mpaka akauliwa walimpiga risasi
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 2 года назад
Mizimu hiyo anawezaonekana kama nyoka lkn shetani
@kokuhabwarutechura6272
@kokuhabwarutechura6272 2 года назад
@@mashramadhani1989 ushetani wake nini sasa?
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 2 года назад
@@kokuhabwarutechura6272 una umri gsni?
@Miasa-rz8le
@Miasa-rz8le 3 месяца назад
Nilipo kua na umri wa miaka 8 nilitumwa kuchota maji uko Kijiji Cha kisangata sinikasikia saut ya jogooo akiwika bila kujua kumbe alikua ni nyoka nikajiuliza uyu jogoo kapotea mpaka kufika uku ? Kila nilipo piga atua kwenda mbele alinitolea saut ya ukali uku nikiona majan malefu yakilala nikahis atar nikakimbia
@johnmushi8739
@johnmushi8739 2 года назад
Mliman city, 😉🥰
@user-jb1fi5iq8g
@user-jb1fi5iq8g 3 месяца назад
Ummmh! Huyo bibi kuna kitu anakijua ndani yake wamuulize vizuri tu
@JerdaInnocent
@JerdaInnocent Месяц назад
😂😂😂😂 duuh polen sana wa tabola
@tamaraseff.9707
@tamaraseff.9707 2 года назад
Au uyu nyanya yuamfahamu nyoka wa nani
@vumilialukas200
@vumilialukas200 2 года назад
Unatokea Mombasa sehemu gani?
@ygtvonline2104
@ygtvonline2104 2 года назад
Hhhhhh
@fadhiliissa2109
@fadhiliissa2109 2 года назад
Anakuambia badala ya kufa akatoka kwenye uji kwaiyo alikufa pia akafufuka mganga kapagawa had anachapia
@lulually5209
@lulually5209 2 года назад
Unafanya mchezo na nyoka lazima achapie yule sio nyoka alowazoea ule mzimu atawapa tabu sana na wakiendelea kumchokoza atawamaliza wamuache tu
@suzanambatta1126
@suzanambatta1126 Месяц назад
Yupo sahihi amesema badala na si baada
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 2 года назад
🐍 Nyoka Ni Adui Wa Mwanadamu Wacheni Kukulupuka
@JerdaInnocent
@JerdaInnocent Месяц назад
Nikweli kabisa mungu alitoa mamlaka kukanyaga nyoka na mnge kulikoni uyo nyoka kuishi miaka yote iyo
@samasob8233
@samasob8233 2 года назад
black mamba ndio kaboko, hana upanga kama wa jogoo kichwani, story kali sana hii 😅
@rehemasalum2531
@rehemasalum2531 2 года назад
Kuna baadhi ya nyoka wakikomaa sana (wakiwa wakubwa sana) anaota upanga kichwani na anawika jua likiwa kali
@innocentkibiki399
@innocentkibiki399 2 года назад
We jamaa bwana kama.umezaliwa ilala unafkir utawajua hao
@nassoropigauwa2503
@nassoropigauwa2503 2 года назад
Mmmmmh Bibi mbona anajiamin saaaana kuna nini ama
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 2 года назад
🤣🤣🤣 Bib fanya mpang nyoka aondk kwa aman Jins unavyoongea km wamjuw hivi
@giftmbogela2435
@giftmbogela2435 2 года назад
Hee😂😂😂
@nizclemencelampslabiche2007
@nizclemencelampslabiche2007 2 года назад
Hi hi
@rachelsilvester7901
@rachelsilvester7901 2 года назад
🤣🤣🤣🤣
@salomewandya7257
@salomewandya7257 14 дней назад
😂😂😂😂😂
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 2 года назад
SubhanAllah 😳😳😳🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️,Naomba Muendelezo Plz.
@user-rl1fj9tn3q
@user-rl1fj9tn3q 3 месяца назад
Huyo nyoka mwenye anamiliki ni huyo kikongwe kama utabisha msikilize vizuri maelezo yake hata andolewe anasema kama kuna mtu anaweza kumuondoa akamuondoe
@Elizakilisipinilikolika1996
@Elizakilisipinilikolika1996 3 месяца назад
Jaman we Acha tu
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 2 года назад
Suh hanallah mtihan wallah polen sn wakaz wahapo
@denissilas9379
@denissilas9379 2 года назад
😃😃😃😃sio nyoka wa kawaida uyoo..... Jamaa kashasema harudi tena
@welcometoeat165
@welcometoeat165 2 года назад
Nmecheka walah
@emanuelmhoja2411
@emanuelmhoja2411 2 года назад
🤣🤣🤣🤣
@aishachambo8663
@aishachambo8663 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 2 года назад
Fanya kazi tafuta hela acha hizo imani za ajabu denis
@arafatharoub6215
@arafatharoub6215 2 года назад
Hap nd utajua story za koboko au black mamba ni kweli
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 2 года назад
Hata Chatu Pia Yuko Na Tabia Za Kuwika Ukijichanganya Itakula Kwako
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 2 года назад
Bibi maelezo yako yana kitu ndani yake mjuku wako anaenda kuchuma maembe na analudi salama du ??
@joycenicodemus.2232
@joycenicodemus.2232 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 2 года назад
Kama tunaendana kimawazo vile Mungu atusamehe sana kwa kuhisi tusichokijua ila nna wasi wasi sana na Bibi kama anajua ukweli hivi
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 2 года назад
@@kennyrogers4734 anaongea kwakujiamin eti mjuku wake anaenda kuchuma maembe kwenye uo mti akati kuna nyoka hatal anae wika
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 2 года назад
@@michaelsamson9663 Mhh ndugu yngu anatupa mashaka sana Bibi kama anaelewa kinachoendelea hv
@basilmswahili3685
@basilmswahili3685 2 года назад
Mbona nyoka atujamuona sasa😂😂
@mudighurayra
@mudighurayra 2 года назад
Kuna video moja wametuma watu wengine ana onekana milard haja ipata iyo
@justinethobias374
@justinethobias374 2 года назад
Kaeni na bibi vizuri🤣🤣🤣bibi anakwambia sasa yuko pale ,ndo wananchi wamepata woga ",sisi wote tumepata woga" 😂😂hapana bibi yu ajua kitu apo ,bibi anajua something behind the scene,bibi anajua muulizen tuu vzr
@aishashomali2716
@aishashomali2716 2 года назад
Yaani hata mimi nina shaka na bibi bibi anajua kumtoa ongeeni nae vizuri 😂😂😂
@tanzaniatravellers1718
@tanzaniatravellers1718 2 года назад
Mmh Tanzania yangu hii😂😂
@saudaally4109
@saudaally4109 2 года назад
Yani uyo nyoka Kama anawika ni wakupazwa coz kashakuwa mkubwa ila kama mpaka sasa ajapazwa bs kusemeya uyo baba siyo nyoka wa kawaida
@zawadisaidi4723
@zawadisaidi4723 2 года назад
Bahati yako amekusamehe huyo nyoka🤣🤣🤣
@maridadi8
@maridadi8 2 года назад
Nyoka anawikaje? Huyo arudishiwe makazi yake. Watu wanapenda kununua viwanja bila ya kujua kilikiwepo kitu gani before. Wamuache huyo nyoka. Hiyo labda Ilikua sehemu ya ya matambiko.
@aisharamadan3620
@aisharamadan3620 2 года назад
Kobogo akisha pea huwa anawika Nandini mana anakile kidude kama chajogoo
@salhamrisho8138
@salhamrisho8138 2 года назад
Uyu bibi mumuuulize vizuri maana anateteya saana😁mwambieni bibi kwa upole2 akamchukue nyoka wake
@mwanakombopopo5117
@mwanakombopopo5117 2 года назад
Umemuonaeee pia mm nashaka nae
@abdulbora812
@abdulbora812 2 года назад
Hahaha
@dgffydyeu4014
@dgffydyeu4014 2 года назад
🤣🤣🤣
@AishaAisha-rh1fc
@AishaAisha-rh1fc 2 года назад
Uyo sio nyoka wa kawaida fanye mila nyoka aende zake sasa muuweni muone baraha lake
@Elizakilisipinilikolika1996
@Elizakilisipinilikolika1996 3 месяца назад
Mbona mmekaa apo kwenye mwembe tena jaman uyo nyoka ayupo apo siniatali sana jaman
@telaamtauta2227
@telaamtauta2227 2 года назад
Subhannallah huo ni mzim siyo joke hiloo jitahadhalini hapojamani kamawatoto ndio muwemachoò naoo
@machinefannatic99
@machinefannatic99 2 года назад
Kila nyoka bongo wanamuita koboko🤣🤣🤣🤣 hamuwajui nyoka nyie
@moonaamli6835
@moonaamli6835 2 года назад
Koboko wanapatikana uko mwanza Kwaiyo kote ndio uko uko
@changanataliforlife3760
@changanataliforlife3760 2 года назад
Ahahahah
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 2 года назад
@@moonaamli6835 kwel wako mwanza
@taturajabukhalfani7953
@taturajabukhalfani7953 2 года назад
Ni nyokaa mmoja hatati Sana na anapatokana porini mara nyingi
@machinefannatic99
@machinefannatic99 2 года назад
TATU RAJABU KHALFANI black mamba hawiki hawa jamaa waongo sana
@fathimamct232
@fathimamct232 2 года назад
Wamemuingilia kwenye himaya yake waiteni watu wa madini wapime hapo chibi pengine pana madini wanakuwa kama nyoka wa mapango wa amboni hao.
@rithaurassa
@rithaurassa 15 дней назад
Nende kwa mwamposa ndio ushauri wangu. Hakuna mchawi atakaeishi.
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 Год назад
Huku nyoka anazua taharuki Kule chato nyoka wamempelekea chakula wanasubiri atabiri Baraka .....yaani ni BALAA
@rajabuSwaleh
@rajabuSwaleh 2 месяца назад
Bibi upo vizuri
@FatmaFatmaAbubar
@FatmaFatmaAbubar Месяц назад
Mmh pole kwahil mung awafanyie wepis aondoke
@lawrencegwerino1656
@lawrencegwerino1656 2 года назад
Wabongo bwana 😁😁waiteni wazungu waje wamuondoe,ujinga kitu mbaya sana 😁😁
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 2 года назад
kweli nashangaa watanzania wanasema awen huyo black mamba hana dawa wakat wazungu wanaumwa na wanajitibu nakesho wanarudi katka eneo hilo na kuhakikisha wanamshika tena akiwa hai sema watanzania wanapenda kutiyana khofu
@rashidkachaa3666
@rashidkachaa3666 Год назад
Koboko ni nyoka hatar sana nimewahi kumuua lkn kwa mbinde Sana na anasipidi iso ya kawaida, tabora wako wengi Sana nawajua vizu sana
@SelfaaManyasi
@SelfaaManyasi 29 дней назад
Bibi ameshamaliza mchezo kasema kama yupo anayeweza kumtoa nyoka huyo bila kumzuru amtoe lkni kama hayupo wamwache
@jeniphadomisian7813
@jeniphadomisian7813 2 года назад
Kuna jamaa wa Natiogeo graph na mke wake wanakamata Sana nyoka Sanaa wawapigie wale wataalam wa hizo kazi waje.......
@fatmaamir380
@fatmaamir380 2 года назад
Wale wazungu wako Vizuri Sana,, wangekuwepo hapa tz ingekuwa poah
@singinggirl6554
@singinggirl6554 2 года назад
Tupe muendelezo wa hii taarifa kwa kweli
@lugelosanga5798
@lugelosanga5798 2 года назад
Huyu nyoka ni mzimu jaribuni kuwaita wazee was Mila hyo nyoka anaweza kua majibu ya matatzo
@rukiaomar3369
@rukiaomar3369 2 года назад
Duh poleni wakazi wa hapo mtihani nyoka wa uchawi uyo
@janethvictor1386
@janethvictor1386 2 года назад
Huyo Bibi Kuna kitu anajua
@lloveyoutanzania5315
@lloveyoutanzania5315 2 года назад
Koboko ni nyoka wa ajabu kwetu wapo wengi sana usiku ukiingia wanawika kila pande lakini kuwaona sio rahisi mimi toka nizaliwe nimemuona mara moja tu na sasa naelekea kuzeeka sijaona tena koboko
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 2 года назад
Kwenu wapi
@DoreenOmmy-gw3op
@DoreenOmmy-gw3op 2 месяца назад
😀😀 jmn nliwah kutana na chatu uso kwa uso nliliona kaburi nlikimbia na sjui nguvu ya kukimbia sjui nliitoa wapi hata nlovoruka kwenye jiwe sjatambua nlivoumia sjuu nilipofika nyumbn ninamaalama kila sehem za miguu
@suleimansultan3333
@suleimansultan3333 2 года назад
Sasa walimwengu kwanini munamtafuta muacheni uyo sio nyoka wa kawaida uyo ni jini muacheni na maisha yake
@meherdadkarambeck2110
@meherdadkarambeck2110 2 года назад
Mhhhhhh hizi imani zetu zitakuja kusiha lini huyo nyoka yuko wapi mimi nikamchukue?Kazi yake ndogo sana..
@RahmaaMsekwa
@RahmaaMsekwa 2 месяца назад
Apoumeongea koboko mngekufa kijiji kizima
@TanzaniaHerpetologicalSociety
@TanzaniaHerpetologicalSociety 2 года назад
Karibuni kwa elimu zaidi kuhusu nyoka aina zote
@DomicianPaul
@DomicianPaul 15 дней назад
Kaeni vuzr nahuyo bibi mumuchukuwe maerezo kwamusimamo wake huyo nyoka anamfaham
@IsayaShauri-kn6ef
@IsayaShauri-kn6ef 2 месяца назад
Bibi kasema mwenye uwezo akamuondoe kama hawawezi wamuache😂
@chuzilapweza6517
@chuzilapweza6517 2 года назад
Mali asili wanajua kila kitu nyoka wa kawaida wanamjua na nyoka nuksi wanamjua......hapo wameamua kuwaachia wenyewe wananchi walizie hiyo shooo....yani kama yule bibi yule anaonekana yupo vizuri kweli kweli.....!!
@hassanmweta7244
@hassanmweta7244 2 года назад
Umewaza kama Mimi mzeee maana ametia go ahead anaeweza aendeee
@chuzilapweza6517
@chuzilapweza6517 2 года назад
Huyo bibi Nina shaka nae kidogo!!
@wasilaahmad7913
@wasilaahmad7913 Год назад
🤣🤣🤣
@burudaninamatukio5389
@burudaninamatukio5389 2 года назад
Watu wa maaliasili mkamtoe huyo nyoka au mpaka alete madharau ndio muanze kubwabwaja upumbavu wenu
@salomewandya7257
@salomewandya7257 14 дней назад
Mlimani city tena😂😂
@experiuskamugisha6863
@experiuskamugisha6863 2 года назад
Unajua tunaua vitu vyetu vya asili kwanini tunavisumbua ? Nyoka hajawasumbua miaka yote kwanini mkamsumbue?
@kokuhabwarutechura6272
@kokuhabwarutechura6272 2 года назад
Point kaka yangu. Kwanini runaways hawa viumbe pasipo sababu? Kafanya nini?
@KulwaNgasa-uo4fd
@KulwaNgasa-uo4fd 29 дней назад
Mhuu nashaka nahuyu bibi anajua kila kitu🎉🎉🎉🎉🎉4😂😂😂😂
@mrishoyahaya2693
@mrishoyahaya2693 2 года назад
Huyo sio nyoka HuyO Ni jini. Kuondoka kwake Ni pepesi naomba munitafute
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 2 года назад
Jini unamfukuzaje
@halimabakar1971
@halimabakar1971 2 года назад
😠
@gracedanfrod2318
@gracedanfrod2318 2 года назад
🏃🏃🏃🏃
@isayakazimoto4826
@isayakazimoto4826 2 года назад
bibi acha utan na maisha ya watu, mchukue nyoma wako bhana
@hamidamnyika5866
@hamidamnyika5866 2 года назад
Mbna unawaza Kama mm
@flova7022
@flova7022 2 года назад
@@hamidamnyika5866 hahahahaha
@joharijohn7005
@joharijohn7005 2 года назад
Hata mimi nimewaza kuwa bibi anajua
@moonaamli6835
@moonaamli6835 2 года назад
Ahahahaaaaa na kweli amchukue Maana walikua Fisi Sasa washazuka Koboko
@Shadya-ju2el
@Shadya-ju2el 8 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂
@annajustin1945
@annajustin1945 2 года назад
Pengine Hilo eneo halitakiwi kujengwa mwenye Hilo eneo asamehe kwani hata kuishi hapo ni mtihani
@user-vq1qx1dr4e
@user-vq1qx1dr4e 3 месяца назад
Huyo sio nyoka wakawaida kama alivyosema huyo mtaalamu angekuwa nyoka wakawaida angeshawang'ata watu sanaaa kwanza nyoka huyo hakai kalibu na makazi ya watu hata siku mojaaa huyo nimtu ila kaja kwadizani ya nyokaaaa sema huyo mtaalamu kajikinga vilivyo huyo nyoka anasumu kali sanaaa tena saanaaaa ndiomaana nikasema huyo sio nyoka wakawaida nikweli
Далее
Коротко о моей жизни:
01:00
Просмотров 481 тыс.
I Built a WATERPARK In My House!
26:28
Просмотров 19 млн
Mtoto aliyefariki na kuzikwa apatikana akiwa hai
52:00
Коротко о моей жизни:
01:00
Просмотров 481 тыс.