Awwww this is so cute jamani...nilisafiri two weeks nilivyorudi paka wangu(Tamaya) alikuwa na vibe zaidi ya Manunu...so namuelewa Wema this love is really...no faking or showing off...hawa pets wana upendo hasaaa😊
Ni afadhali ukachukue yatima mmoja umtunze kwa hizo gharama za kumtunza mbwa na Mungu atakukumbuka ktk hitaji lako, kuliko kutunza mbwa ambaye hupati dhawabu yoyote kwa Mungu!
Kweli kabisa si tulioko huku nje tunajionea mengi, mbwa anatunzwa zaidi hata ya binadamu, paka yaani hata kuna mbwa wanaishi maisha ya kifahari kuliko hata mimi maisha yangu😂acha mtu ajitunzie kambwa kake