Тёмный

PETER MSIGWA AHAMIA CCM, RAIS SAMIA AMUIMBIA WIMBO "Mlete Msigwa Mlete Msigwa" 

HABARIMPYA TV
Подписаться 613 тыс.
Просмотров 44 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

29 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 181   
@josephmturi6936
@josephmturi6936 21 день назад
Aliekwambia Tanzania kuna upinzani nani??
@samwelizetii4479
@samwelizetii4479 21 день назад
Tanzania hakuna upinzani wa kweli Ila kunawasakatonge tu huna jipya nenda tu
@sharafisaidi7999
@sharafisaidi7999 21 день назад
Umechelewa kaka ungekuja wakati wa jpm ungekula mema ya nchi
@selemanichambo2944
@selemanichambo2944 21 день назад
Kwani tatizo Ka Samia ninini?
@franciskulwa2322
@franciskulwa2322 21 день назад
Kweli wakati wa magufuli alichezea🎉shiling chooni
@halimamasai2234
@halimamasai2234 21 день назад
Siamini macho yangu leo lakini Karibu sana nyumbani Msigwa ❤❤❤❤
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 21 день назад
Halima hiyo ndiyo Ccm Mpe cheo huyo wsimbuke haswaaa Wanawake jeshi kubwa
@halimamasai2234
@halimamasai2234 21 день назад
@@margarethpolepole7438 CCM wajanja sasa hivi utasikia 🤣🤣
@elishakayagwa9371
@elishakayagwa9371 21 день назад
Shida ya chadema ya sasa na mwenyekiti wake ni ya kijinga sana
@mbulachujoseph2596
@mbulachujoseph2596 21 день назад
Hongera kaka kwa maamuzi yako
@MrigoJohn-ps8dk
@MrigoJohn-ps8dk 20 дней назад
Nakupongeza sana Mch Msigwa, hauwezi kukaa chama ambacho mtu mmoja ana hatimilki yake
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 21 день назад
Raha sanaaaa Msigwa karibu Ccm mpeni cheo huyo waumbuke zaidi wasaka Tonge wakome waishie ruzuku
@dismasmtui729
@dismasmtui729 21 день назад
If you can't fight them join them!
@domymerinyo8165
@domymerinyo8165 21 день назад
Hiyo ni njaa imekupeleka wala sio wito,ila kama Mungu aishivyo jinsi tunateseka na maisha haya na nyie mnakula mema na kujinufaisha mtafika mwisho mapema.
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 21 день назад
Nitamwamini mungu tu mpaka kufa binadamu hapana.Huyu msigwa leo anaungana na aliowaita wadharimu hivi kweli taifa hili linaenda wapi?
@iddyissa8110
@iddyissa8110 21 день назад
Amna Cha mchungaji tapeli tu Toka lini siasa na uchungaji mwizi tu uyo
@lameckkamuga4913
@lameckkamuga4913 21 день назад
Sasa watanzania tutaponea wapi jaman kama upinzan ndio huu aisee
@filbertdamiani101
@filbertdamiani101 21 день назад
Ni uzalendo hakuna, wanataka vyeo tu mbona wasihamie act wazalendo, njaa tu.
@benswai8099
@benswai8099 21 день назад
Huyu ni siku nyingi alikuwa anatafuta sababu ya kwenda ccm. Hana tofauti na kina mdee. Wote wenye fikra kama zake waende huko. Ila wapinzani wa kweli wapo
@isayakihongile4921
@isayakihongile4921 21 день назад
Nimeingoja Sana hii comment nimefurahi kuiona nami ndivyo ninavyojua ila Bora kahama alishatusarti muda mrefu
@magnusnkomola5950
@magnusnkomola5950 21 день назад
Msigwaaaaa mungu anakuonaaaa,Kumbe msigwa wati walikujuaaaa ni msaliti. Huna jipyaaaaaaa umeamuaaaa kuyameza matapishiiiiiiii ,hongera ngoja nikuleteeeee na ulanzi ushushie haya matapishiiiiii.
@mosessamwel1179
@mosessamwel1179 21 день назад
Huyu ni mwizi na mnyang'anyi
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 21 день назад
Karibu sana CCM ndugu msigwa.
@reonandmpangalushu3434
@reonandmpangalushu3434 21 день назад
Huyu mtu unamsumbua uchu wa madaraka,
@ThomasMselle-rw5ej
@ThomasMselle-rw5ej 21 день назад
Ninasikitika kwa jinsi alivyomsema na kumsigina vibaya mh JPM na wale waliokimbilia CCM. siasa sawa mchezo mchafu ila kwa mchungaji huyu ni nomaa kupita maelezo.
@adoniemanuel908
@adoniemanuel908 21 день назад
Imbeno mlete mlete msigwa tumechoka hata sisi tunakaribia kuja kula pilau bungeni
@user-ie2sr4fi4k
@user-ie2sr4fi4k 21 день назад
Karbu 👍👍👍👍
@nurdinmfamau3493
@nurdinmfamau3493 21 день назад
Nenda Kwa Wenzako Huko Hapa Wenyewe Tumetulia. Kama Unaupungufu Wanauli Yakwenda Nchi Jirani Sema. Kwani Kupika Pilau Kiasi Gani mpaka Mkagombanie Chakula Cha Wanaume.
@halimamasai2234
@halimamasai2234 21 день назад
@@adoniemanuel908 karibuni jamani CCM cha cha watanzania wote wala msijali
@Ibrahim-ne3in
@Ibrahim-ne3in 21 день назад
😂
@bonifacelutumo1196
@bonifacelutumo1196 21 день назад
Ndo maana simwamin mtu
@mohamedmussa3174
@mohamedmussa3174 21 день назад
Ogopa sana siasa na wanasiasa
@ChachaChacha-ne6yf
@ChachaChacha-ne6yf 21 день назад
Wapizani wa tanzania nijaa tupu hatuna upizani Tanzania
@dismasmtui729
@dismasmtui729 21 день назад
Huyu toka mwanzo alionekana ni mtu asiye na msimamo!
@kyaro5945
@kyaro5945 21 день назад
😂
@emmanuelademba7919
@emmanuelademba7919 21 день назад
Kwa STYLES hii kuing`oa CCM itachukua miaka 7000000,kazi ipo!!
@frankngoloka5416
@frankngoloka5416 21 день назад
Ccm kung'oka itachukuwa muda sana
@mrsferuzi7443
@mrsferuzi7443 21 день назад
Jamuhuri ya mungano wa Tanzania kazi inaendelea mtamuelewa tu Mama 💯
@user-mt3jc6no5w
@user-mt3jc6no5w 21 день назад
Tuko na mama Bega kwa bega
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 21 день назад
Tunajua kama maisha ni magumu tanzania kwahiyo kajiongeza😂😂 njaa haivumiliki
@MaridadiRashidilikwesoLikweso
@MaridadiRashidilikwesoLikweso 19 дней назад
njaa zinatutesa Sana hakuna mwanasiasa wa kweli
@hajistshariast6335
@hajistshariast6335 21 день назад
Ndio maana nasemaga Tz hakuna vyama vya upinzani
@trendings1293
@trendings1293 21 день назад
Kweli siasa ni noma
@MusaJuma-jr7wb
@MusaJuma-jr7wb 21 день назад
Kweli siasa hatari alisema madebe lidai mwanasiasa akikuambia saivi sasita usiamini angalia saa kweli mana ni shida
@AnnoyedDove-oo3kk
@AnnoyedDove-oo3kk 21 день назад
Mchungaji eti😂😂😂
@husseinbachwa8372
@husseinbachwa8372 21 день назад
Kweli
@AiserAli-mq6sz
@AiserAli-mq6sz 21 день назад
Sio msigwa pekee yake hata lema hana siku nyingi atakua ndani ya ccm watu wamechoka mwenyekiti wa maisha wa chadema
@zephaniazacharia519
@zephaniazacharia519 21 день назад
Mhuuu
@isackkivuyo1980
@isackkivuyo1980 21 день назад
Wazeee hii nomaaa
@HappyIlomo-z3h
@HappyIlomo-z3h 20 дней назад
😢
@user-un4qp3zb6y
@user-un4qp3zb6y 21 день назад
Mbona kinana kakupokea Kwa mkono wa kushoto?
@rhassanmkomwa
@rhassanmkomwa 21 день назад
mbona kamkuta mheshimiwa ndani je itifaki imezingatiwa
@shabanramadhan7632
@shabanramadhan7632 21 день назад
Lakini mbona wanapeana mkono wa kushoto Sasa msigwa ndo mashoto au Kuna namna
@mnyongeiddi2454
@mnyongeiddi2454 21 день назад
Harafu atoke MTU akauminishe na mwana siasa😃😃😃
@gerachtangatya2835
@gerachtangatya2835 21 день назад
Kwahy hataki katiba mpya tena
@vanessastafford6426
@vanessastafford6426 21 день назад
Mungu wangu, Chadema mmeboronga wapi
@EdwardMbwambo
@EdwardMbwambo 21 день назад
Njaaa itakuuwa 0:52
@meshmeshak1095
@meshmeshak1095 21 день назад
HAKUNA KITU KIBAYA KAMA NJAAA 😅😅😅
@user-il5pk2dr5n
@user-il5pk2dr5n 21 день назад
Njaa haina shujaa...
@clementiddi5708
@clementiddi5708 21 день назад
Duh
@salamsabdullah-st9pt
@salamsabdullah-st9pt 21 день назад
Wow 🎉🎉🎉🎉🎉
@mochemba
@mochemba 21 день назад
Karibu Comrade Msigwa chama cha mapinduzi . Ccm Oyeee 👍
@dennisungonella205
@dennisungonella205 21 день назад
Vipi katiba mpya tayari?😂
@monicamwita7865
@monicamwita7865 21 день назад
Watu wa goli la mkono oyee!
@user-kq4yx3lg6f
@user-kq4yx3lg6f 21 день назад
ni nzuri bora aje tulekebisha uku ccm maana uko chadema wameisha poteana.
@CretusMwalongo
@CretusMwalongo 21 день назад
Acheni ushobo,CHADEMA TUTASIMAMA,NA KWA ELIMU PAMOJA NAFALSAFA ALIYO KUWA AKITULISHA WANACHAMA ENZI AKIWA CHADEMA,IMETUPA NGUVU NA UHAKIKA WA SAFARI TULIO NAYO
@williammbuzimai5744
@williammbuzimai5744 21 день назад
Msigwa mbona anaaibu!!
@saidmushehe
@saidmushehe 21 день назад
CCM wapeta mtu kweli....Sugu anaingia kwenye history ya kusababisha mwanasiasa mkongwe na machachari Mchungaji kwenda Ccm
@manasecharles894
@manasecharles894 21 день назад
Maamuzi sahihi, wakati sahihi🤝🤝🤝🤝
@ezekielmabwai482
@ezekielmabwai482 21 день назад
Msigwa yupi Duh
@user-zj3ov6ht8n
@user-zj3ov6ht8n 21 день назад
Neno mchungaji ondoeni kwamaana wakiristo hatuko hivo wanaabisha ukristo
@imanmwashitete5243
@imanmwashitete5243 21 день назад
Kumekucha aisee hapo😂😂😂
@user-em7dw3li4d
@user-em7dw3li4d 21 день назад
Mchungaji mhuni walivyo piga chini na sugu amechuka kamba
@CretusMwalongo
@CretusMwalongo 21 день назад
Mmmmhh mnajituma kuimba kweli,mnajisikia kulamba dume et?
@rizikimwambusi4041
@rizikimwambusi4041 21 день назад
Tenaa tenaaa .oyaaa oyaaaa oyaaaa kweli kweli kweli kweli
@khadijaabdala6876
@khadijaabdala6876 21 день назад
Khaaaaaa😢😢
@user-tz2jd6ob1s
@user-tz2jd6ob1s 21 день назад
Njaa mbayaaa😂😂😂
@EliaMarco
@EliaMarco 21 день назад
Msigwa anadhani Kuna mwananchi wakudangaNya tena
@alphoncewilliam4325
@alphoncewilliam4325 21 день назад
Safi sana
@hansthaniar4747
@hansthaniar4747 21 день назад
Njaa mbaya sana.
@subralugege7019
@subralugege7019 21 день назад
😂😂😂😂💃
@user-em7dw3li4d
@user-em7dw3li4d 21 день назад
Huyo mhuni nawambieni
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 21 день назад
Siku chache tu mtasalitiana tena.Wakati yeye anashinda walioshindwa hawakulalamika yeye imekuwaje?je akikosa ubunge akiwa ccm atafanyaje tena
@Ibrahim-ne3in
@Ibrahim-ne3in 21 день назад
😂😂😂 nchi yangu
@user-cz5sd6ys8i
@user-cz5sd6ys8i 21 день назад
Apo alipo mbona kama vile ana aibu
@edisonmjema2620
@edisonmjema2620 21 день назад
Mbon salam namkon wa kushoto😢
@audaxbizimana8084
@audaxbizimana8084 21 день назад
Umefanya la maana mwache mbowe na sakosi yake😅😅😅😅😅
@EdwardMbwambo
@EdwardMbwambo 21 день назад
Njaaa itakuuwa
@BabusiJoseph-sv6oz
@BabusiJoseph-sv6oz 21 день назад
njaa tuu inamdawake
@gerachtangatya2835
@gerachtangatya2835 21 день назад
Lkn huku kuimbishwa mapambio Nako amekubali dah! Nchi ngumu hii
@kostajoseph5811
@kostajoseph5811 21 день назад
CCM OYEEEE
@pastadandan3569
@pastadandan3569 21 день назад
Kwanini viongozi wajuu wote wamemsalimia kwa mkono wa kushoto?
@user-rs4vz2vt9z
@user-rs4vz2vt9z 21 день назад
Makapi hayo kachokwa chadema kashindwa kwa aibu,angehama akiwa na cheo tungeshituka,kakosa cheo kahama mpeni kazi sasa.
@astrinomgesi-np5xv
@astrinomgesi-np5xv 21 день назад
Iringa good sasa
@habibumbawala1173
@habibumbawala1173 21 день назад
Usajili mpya
@HamzaGaudence
@HamzaGaudence 21 день назад
Ni baada ya kugombn mbowe😂😂
@EmmanuelGabriel-zm6nv
@EmmanuelGabriel-zm6nv 21 день назад
😂😂 kweli siasa mchezo mchafu
@user-oy5dz5xl8s
@user-oy5dz5xl8s 21 день назад
Kumbe lisu alikua kilichokua kinaendelea iringa
@isackkivuyo1980
@isackkivuyo1980 21 день назад
Mhhhhhh
@salcle9702
@salcle9702 20 дней назад
Wapigaji wamenona kama nguruwe !!!!
@methewbuzuruga-eg8oz
@methewbuzuruga-eg8oz 21 день назад
Kuna wabunge kumi wa ccm watahamis chadema kwa sababu ya kukatwa majina yao
@JosephMagige-lf9ns
@JosephMagige-lf9ns 21 день назад
Uchafu. Umetoka kwenye maziwa
@victorcephas3618
@victorcephas3618 21 день назад
Karudi nyumbani siyo mbaya mkataa kwao mtumwa
@blockchain1203
@blockchain1203 21 день назад
Yaaani Anakosa Hadi Pozii
@user-kd9dc4li7f
@user-kd9dc4li7f 21 день назад
Sasa bado Vigogo wengine wa chadema Uyo mbowe tundulisu
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 21 день назад
Kundulisu ni kiburi na anasumbuliwa na husuda,hawezi kuhamia ccm
@samoskiyalo6095
@samoskiyalo6095 21 день назад
Kitenda wii tegaaa mawasiliano yamekatika ni ni kinaesthetic delea? Kitendawiliii hoyeeee
@astrinomgesi-np5xv
@astrinomgesi-np5xv 21 день назад
Safiii
@simbarajabu4157
@simbarajabu4157 21 день назад
Ahaaaaaaaa 😅😅😅😅 mbowe mzee wa matukio watu wa kweli wakijuwa matukio yako lazima wakukimbie ww zusha matukio yako na vijana wako ya mazingaombwe ,watu wanataka kukuua wakupige risasi ya taya uwe hai ,rosasi unaijuwa vizuri ww
@drdd774
@drdd774 21 день назад
Yaani msigwa anaanza kuvaa kijanii??
@pditanzania7764
@pditanzania7764 21 день назад
Politics😂
@Manywele.Maluja
@Manywele.Maluja 21 день назад
Haya mambo ya siasa yanaushirikina mwingi sanaa kwa nini wanapeana mkono wa kushuto kwa nini hasa au bado hawana imani nae mpaka wamkaribishe na mikono ya kushoto kama sio ushirikina ni nino
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 21 день назад
Hata mimi nimeshangazwa sana na jambo hilo.kumkaribisha kwa kumpa mkono wa kushoto,duuuuu.
@dannyndyekobora85
@dannyndyekobora85 21 день назад
Unaijua SCOUT?
@isayamwashibanda5819
@isayamwashibanda5819 21 день назад
Duh! Njaa kitu kinginee
@AnnoyedFlowerPot-mr2ps
@AnnoyedFlowerPot-mr2ps 21 день назад
Mbowe angalia matokeo ya uongozi wako nawe rudi
@frankngoloka5416
@frankngoloka5416 21 день назад
Mleteni tusikie maneno yake
@bakarykijazi293
@bakarykijazi293 21 день назад
Mbona hivi
Далее
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Просмотров 6 млн
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
RC MAKONGORO AWAVUNJA MBAVU VIONGOZI
22:21
Просмотров 27 тыс.
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Просмотров 6 млн