Hiyo ni njaa imekupeleka wala sio wito,ila kama Mungu aishivyo jinsi tunateseka na maisha haya na nyie mnakula mema na kujinufaisha mtafika mwisho mapema.
Huyu ni siku nyingi alikuwa anatafuta sababu ya kwenda ccm. Hana tofauti na kina mdee. Wote wenye fikra kama zake waende huko. Ila wapinzani wa kweli wapo
Ninasikitika kwa jinsi alivyomsema na kumsigina vibaya mh JPM na wale waliokimbilia CCM. siasa sawa mchezo mchafu ila kwa mchungaji huyu ni nomaa kupita maelezo.
Nenda Kwa Wenzako Huko Hapa Wenyewe Tumetulia. Kama Unaupungufu Wanauli Yakwenda Nchi Jirani Sema. Kwani Kupika Pilau Kiasi Gani mpaka Mkagombanie Chakula Cha Wanaume.
Acheni ushobo,CHADEMA TUTASIMAMA,NA KWA ELIMU PAMOJA NAFALSAFA ALIYO KUWA AKITULISHA WANACHAMA ENZI AKIWA CHADEMA,IMETUPA NGUVU NA UHAKIKA WA SAFARI TULIO NAYO
Haya mambo ya siasa yanaushirikina mwingi sanaa kwa nini wanapeana mkono wa kushuto kwa nini hasa au bado hawana imani nae mpaka wamkaribishe na mikono ya kushoto kama sio ushirikina ni nino