Тёмный

#PRESS 

Yanga TV
Подписаться 602 тыс.
Просмотров 37 тыс.
50% 1

#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

Спорт

Опубликовано:

 

1 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 89   
@maestrokiss7245
@maestrokiss7245 5 дней назад
Nilikuwa naisubiri hii maana niliikosa ya LIVE. Ahsante Media team😊
@khadijajuma6271
@khadijajuma6271 5 дней назад
😂😂😂😂 haitajiii D mbili hiyo, uwe na fagio pamoja na kidumu 😂😂😂😂 Ali kamwe 🙌🙌🙌🙌🙌 nimechekaa kwa sauti hukuu
@user-rf3fg4xn4n
@user-rf3fg4xn4n 5 дней назад
Karibu mwenye nyuma apo....Duh ali kamwe bhan
@salummaulid6252
@salummaulid6252 5 дней назад
Ali Shaaban Kamwe, Akili nyingi Sana mtu wangu 🙌🙌🙌
@JacksonFrances
@JacksonFrances 5 дней назад
Moja Ya Chama La Mpira Linakua Kwa Kasi Sana Barani Africa, GOD BLESS YOUNG AFRICA FOREVER "
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 5 дней назад
Hongera semaji Ali kamwe 🎉🎉🎉
@ShabanPaschal
@ShabanPaschal 5 дней назад
Hivi hawaogopi😱😱😱😱😱
@JacksonFrances
@JacksonFrances 5 дней назад
😂😂😊😂😂 Mambo Ni Mengi Muda ni Mchache Dunia inakwenda kwa Kasi Sana "
@paraxedjoseph5174
@paraxedjoseph5174 5 дней назад
Kuna watu wapo kijijini huko nilikuwa nakuomba kiongozi wetu tutafute namna ya kuwafikia
@minazsaid2470
@minazsaid2470 5 дней назад
Yanga Oyeee
@user-np4om6hz4m
@user-np4om6hz4m 5 дней назад
Nawapongeza viongozi namna ya utoaji wa habari kutu rahisishia habari❤❤
@MWALIMUCHAKATV
@MWALIMUCHAKATV 5 дней назад
Sisi tulio nje ya mipaka ya Tanzania, watanzania tulio nje na pia wapenzi wa Yanga wasiokuwa Tz, tuweseje kupata taarija za timu yetu pendwa. Tunataka yanga habari pia. Ebu jamani fanyeni kitu
@user-xy9nm3lx5x
@user-xy9nm3lx5x 5 дней назад
Ni kweli kuhusu msiba wa yusufu manji ni msiba mkubwa sana kwetu sisi wanayanga.
@fredylucas2484
@fredylucas2484 5 дней назад
huyu Njiti ana matusi sana Salehe Jembe aje hapa
@angelmisholy6478
@angelmisholy6478 5 дней назад
😂😂😂
@bennyteve3871
@bennyteve3871 5 дней назад
Tupo pamoja sanaaaaa yanga damu
@Producerfadybeats
@Producerfadybeats 5 дней назад
Akili kubwa🔥
@shalalishalali3101
@shalalishalali3101 5 дней назад
Na ikubali sana hii club,ni wabunifu hatariiii
@AliMassude-qk7zl
@AliMassude-qk7zl 5 дней назад
Hongera raisi bora wa wananchi, dar, young africans sc, ing, hersi saidi, nakutakia kili la kheri, yanga oyeeeeeeeeee! Makame salum (kipa mstahafu) pande za kiromba chini nanyamba mtwara tz
@thomasmn2723
@thomasmn2723 5 дней назад
Mimi niko Indonesia ni jinsi gani naweza kunjungan?
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 5 дней назад
Unamaanisha nn KUNJUNGAN?? Au umekosea😢
@FatumaShabani-mp9vt
@FatumaShabani-mp9vt 5 дней назад
​@@muddymuzungu4357😅😅😂😂😂 kujiunga kakosea
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 5 дней назад
@@FatumaShabani-mp9vt fatuma usichekeeee😀😀😀😀😀nisaidieeeee
@bakarimahenge
@bakarimahenge 5 дней назад
Nipo zanzibar jumbi mm nimesha jiunga
@abdallahrashid2899
@abdallahrashid2899 5 дней назад
Bado magazeti ya yanga😂
@jumashedafa
@jumashedafa 5 дней назад
Magazet kwa sasa ni biashara ngum na ndio inaend kutowek yan wangejitahid soon as possile wakafungua radio...wakapata pesa kupitia kutangaza matangazo ya wadhamin mbalmbali na kupitia youtube ktk kuckiliza radio hili ni kubwa zile billion 24 radio inawez kutupa ata billion mbili na kuendelea kwa mwaka na ata wadhamin kwa mf: Crdb, Sport pesa nk akitaka atangazwa pia ktk radio lazima aongez kiasi kwa ajili ya radio na si vinginevyo
@LameckSichimata
@LameckSichimata 5 дней назад
Mtatu koma mwaka huu 😂😂😂
@MgetabarakaBukori
@MgetabarakaBukori 5 дней назад
Bila D 2 huwez elewaa😅😅
@janiafaomaa5120
@janiafaomaa5120 5 дней назад
huyu kijana wetu alliy kamwe ana poteza madili ya yanga nazani rais wa yanga ana takiwa alijuwehili hata siku tatu hazijesha aliekuwa muwasisi wayanga manji amefiriki dunia siku ileile alliy kamwe anaigiya mitaani nakufaya sherehe jee masalani jambo hili linge tokea kwa kharibu gsm agefayahivyo sisi tuko huku marekani tumesikitishwa sana yanga ipo chama yupo hakunashida
@LimseyMassawe
@LimseyMassawe 5 дней назад
Acha ujinga.....kwani hukuona kitambaa Cheusi walivyofunguka mkononi kuonyesha majonzi???!! And by the way manji sio main sponsor sasaivi ila wamemuenzi vizuri tu as a club!! Club activities lazima ziendelee, tusipotembea na huu upepo wa chama mapato yatatokea wapi na wewe upo huko marekani ata card ya uwanachama wa msimu uliyopita..... haujalipa, na msimu huu haujalipa???.....Manji tulimpenda ila Mungu kampenda zaidi, alale mahali pema peponi🙏
@PabloPembe-ne7oy
@PabloPembe-ne7oy 5 дней назад
Ww naww umetokea wapi nanu 😅😅😅😅
@ellyelly9069
@ellyelly9069 5 дней назад
Wee nawe ndim uko marekan ya buza
@JacksonFrances
@JacksonFrances 5 дней назад
Makolo Wanapitia Kipindi Kigumu Sana Hamna Namna inabidi Wahame nae Chama japo ni Ngumu Kumeza, Waje Tu Sisi Tuanawapokea Makolo...
@BarikiMlengu
@BarikiMlengu 5 дней назад
Hii app haieleweki kabisa
@NelsonMatambo-ob5zm
@NelsonMatambo-ob5zm 5 дней назад
Yangaaaaa
@jacksonlyimo1491
@jacksonlyimo1491 5 дней назад
Paraaaa pitia na hapa😂😂😂😂 daaaah
@rajabrwambow9660
@rajabrwambow9660 5 дней назад
Mzee kamwe atapata presha kwa mtoto huyu😂😂😂
@ntanilanjema04
@ntanilanjema04 5 дней назад
Daima mbele nyuma mwiko 🔥🔥
@mudyAlly-yv8qg
@mudyAlly-yv8qg 5 дней назад
❤❤❤❤❤❤yang chama kubwaaaa
@IsayaTweve
@IsayaTweve 5 дней назад
Leo ni Dube tunampokea
@shaibusaady2420
@shaibusaady2420 4 дня назад
Allaah Akbar
@user-bq6iy1zb8h
@user-bq6iy1zb8h 5 дней назад
Jee watu wa u s a watalipa vip bro
@jumashedafa
@jumashedafa 5 дней назад
Ktk kitu kingeizia mapato mno ni redio kupitia matangazo na kupitia youtube na hakuna radio naamin itaishinda yang hebu itumien hii fursa mapema
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j 5 дней назад
Aloo umeongea kitu sanaa yanı noma hebu mwambieni raisi wa yanha
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j 5 дней назад
Yanı redio huku youtobe itagonga sana aisee tena wawe wanatuwekea Ngoma za yanga
@jumashedafa
@jumashedafa 5 дней назад
@@user-po8hz7xw9j Ndio ivy na huend ikawa ktk top 3 ya radio zinazofanya vzur kama si ya kwanza...cz tyr fans wapo wakutosha ni wanayanga wenyew plus hao wengin ni atar
@rukiamtego
@rukiamtego 5 дней назад
Mbn alishawahi kusema kua wapo kwenye mchakato wa ilo jambo na alisema radio itakua palepale jangwani kikubwa ni watangazaji t kujiaandaa na wanatakiwa kuwa wanyanga tu..... nenda kaisikilize Face to Face ya kishamba TV aliyohojiwa semaji aliyaeleza yote hayo
@jumashedafa
@jumashedafa 5 дней назад
@@rukiamtego saw nakubalian nawe ila wanalichelewesha mno... Nilitaman kuckia leo baada ya yanga habar nickie kwanza uzinduz wa radio cz hii itaingiza kipato zaid kuliko hii Yanga habar
@salumchoma8731
@salumchoma8731 5 дней назад
Khaaa karatasi16 na Bado alikuwa anataka kuendelea kupiga dolegumba hii kali
@user-em2sd9tm1n
@user-em2sd9tm1n 5 дней назад
Wara mumetisha sana chama langu
@Ktz-kr1nk
@Ktz-kr1nk 5 дней назад
Akili mingi 🎉🎉
@Sunshine0222
@Sunshine0222 5 дней назад
😮
@mudyAlly-yv8qg
@mudyAlly-yv8qg 5 дней назад
yang rahaaaaaa❤❤
@law93king
@law93king 5 дней назад
😅😅
@AliMassude-qk7zl
@AliMassude-qk7zl 5 дней назад
Pongezi kwako meneger wa habari na mawasiliano wa wananchi, young africans.
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 5 дней назад
Tuchangie tim
@user-yk7ff9ks6q
@user-yk7ff9ks6q 5 дней назад
Tuisapoti klabu yetu
@veelmng7746
@veelmng7746 5 дней назад
Hiyo apps ukiwa USA haifanyi kazi, please fanyia kazi hizo apps zimefanye kazi kimatiafa , kuna mashabiki wengi sana nje ya Tanzania
@CharlesNdaki-mb5kt
@CharlesNdaki-mb5kt 5 дней назад
Ndiyo munaifunguwa saa 3 usiku
@MonahMosafiri
@MonahMosafiri 5 дней назад
💛💚💛💚💛💚💛
@JohnMagessa-nw3qs
@JohnMagessa-nw3qs 5 дней назад
Apo ally kamwe aunabaya na yanga yet niwatakie maandalizi memaý
@moiseszacariasmoisesmoises
@moiseszacariasmoisesmoises 4 дня назад
sasa kama upo nnje ya nchi?
@johannmaloda6027
@johannmaloda6027 5 дней назад
Makolo ya pale EFM yanatapatapa😅😅😅
@user-ht5tc5yv5t
@user-ht5tc5yv5t 5 дней назад
App yenyewe inasumbua kulipia toka juz nahangaika inakataa, mkitumiwa msg watsap hamko online 😢😢
@user-yk7ff9ks6q
@user-yk7ff9ks6q 5 дней назад
Mbona halotel haikubal
@GilbertRashid
@GilbertRashid 5 дней назад
Pamoja
@FrenkEliaKafene
@FrenkEliaKafene 5 дней назад
Wananchiiiiiiiiiiiiiii
@ziadaidrisa16
@ziadaidrisa16 5 дней назад
Usajl wa mwaka mmoja. Simba ipo na itabaki kuwa simba. Kulkuwa na Okwi na ndo kafnya makubwa. Aende tuu
@ignaskalembe4198
@ignaskalembe4198 5 дней назад
Safi kabisaaaaaa
@goodluckabdul7316
@goodluckabdul7316 5 дней назад
Mbona inagoma
@kidawajuma9597
@kidawajuma9597 5 дней назад
❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂🎉
@petrochikawe1797
@petrochikawe1797 5 дней назад
Yanga raha san
@shaibujuma6618
@shaibujuma6618 5 дней назад
Hiii kubwa
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 5 дней назад
149.04#
@upendoomary1921
@upendoomary1921 5 дней назад
Tayari unasubili habari
@JofuJafet
@JofuJafet 5 дней назад
Ok
@EmmanuelMulenga-bc7bj
@EmmanuelMulenga-bc7bj 4 дня назад
me nipo zambia nafanyaje
@davidobonyo7558
@davidobonyo7558 5 дней назад
Daima mbele nyuma mwiko
@TunguIzengo
@TunguIzengo 5 дней назад
Namna iyoo
@odilomwakamela4889
@odilomwakamela4889 5 дней назад
Kadi ya wanachama naipataje na kwa ghalama kiasi gani ?
@fredylucas2484
@fredylucas2484 5 дней назад
Tshs 29000 mnunulie na mzee Shabani Kamwe 😂
@odilomwakamela4889
@odilomwakamela4889 5 дней назад
Ninatakiwa kuwa na kitu gani kingine nje ya hiyo 29??
@fredylucas2484
@fredylucas2484 5 дней назад
@@odilomwakamela4889 kitambulisho
@fredylucas2484
@fredylucas2484 5 дней назад
@@odilomwakamela4889 ingia kwenye website ya Yanga utaona kila kitu. Ukitaka kua shabiki ni shs 17000
@lydiadaudi4076
@lydiadaudi4076 3 дня назад
We uko Tanzania au nchi gani? Kama uko Tanzania nenda CRDB au NMB na hiyo pesa utapata kadi. Au ulipo hakuna tawi la wanayanga? Mbona ukienda viongozi watakusajili
@fadhilisule
@fadhilisule 5 дней назад
eti pitia na apa ila kamwe wewe ni mkeraji haijapata tokea
@amaniomar1755
@amaniomar1755 5 дней назад
Mwamba huyu hapa
@MchanaLive
@MchanaLive 5 дней назад
tumekusoma kaka
Далее
LIVE: JOGA BONITO, GEOF LEA, HANS RAFAEL, PABLO
54:40
ПОЮ ЛЕТНИЕ ПЕСНИ🌞
3:16:55
Просмотров 1,7 млн
Football
0:16
Просмотров 8 млн
When Referee Makes a Right Decision👏
0:19
Просмотров 11 млн
I SIMULATED THIS EURO 2024 GAME.. 🤯
0:12
Просмотров 9 млн