Тёмный
No video :(

LIVE : RAIS DKT. JOHN P. MAGUFULI AKIWA NJIANI KURUDI DAR ES SALAAM 

Ikulu Tanzania
Подписаться 284 тыс.
Просмотров 513 тыс.
50% 1

Rais Dkt. John P. Magufuli arejea Dar Es Salaam baada ya kuhudhuria mazishi ya Hayati Mhe. Benjamin W. Mkapa; Rais mstaafu wa awamu ya Tatu.
Anahutupia wananchi na kuwasikilia.

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 258   
@kaystyle614
@kaystyle614 Год назад
Notokea Kenya but kwakweli nlikua nampenda Sana magufuli..I miss him, jamaa alikua mtenda kazi na haki kwa wotee..may His soul rest in peace
@petermillanzi960
@petermillanzi960 4 года назад
Mungu akujalie maisha marefu na nguvu ya kuendelea kuijenga Tanzania yetu 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@nehemiaisakwisa8604
@nehemiaisakwisa8604 4 года назад
Style yako ya uongozi John pombe Magufuli nimewahi isoma kwenye biblia kipindi cha sulemani yaan Mungu ametuona
@susananyasani6526
@susananyasani6526 4 года назад
Super Mheshimia Dkt Magufuli unasikiliza kero za Wananchi kwa uamifu na kwa uhaki asante Mungu akulinde akupe Afya katika miaka mingine
@neemantandu5852
@neemantandu5852 4 года назад
Hongera Rais wetu kwa kutatua migogoro papo kwa papo,mungu aendelee kukutunzs
@festokibiki8961
@festokibiki8961 4 года назад
Watanzania tumshukuru mungu kwa hili jembe
@bernaddimosso9121
@bernaddimosso9121 4 года назад
Hongera muheshimiwa kwa ,kaz saf unazozifanya.hakika mungu akulinde na kukuongoza vyema katika kaz zako,
@florajohn1927
@florajohn1927 4 года назад
Uko vizuri baba na kwa kutetea wanyonge,nasi tunakuomba uwangazie watu wa mafao ndani ya mfuko wetu wa jamii ppf tunapata shida tunachukua mda na mambo mengi mengi,tusaidie na tulipwe madai yetu.
@omarumwanjali4614
@omarumwanjali4614 4 года назад
Hongera Sana Rais, kwa kweli wewe ni kiongozi Na.moja nakupongeza na Kila mmoja ana-appreciate na kazi yako Kila nyanja.
@esterkimario1126
@esterkimario1126 4 года назад
huyu rais jaman mungu mjalie maisha marefu aish mpaka miaka 200 kwel ni mungu katupa nampenda tangia akiwa wazir wa ardhi
@priscameshack6288
@priscameshack6288 4 года назад
Natamani uongoze hii nchi milele aiseee Mungu akutunzeee Raisi wangu
@barakafesto3055
@barakafesto3055 4 года назад
Ahsante sana jembe letu
@hermankinyaiya9256
@hermankinyaiya9256 Год назад
Jamanii,INANIUMASANA
@festokibiki8961
@festokibiki8961 4 года назад
Huyu sio rais huyu ni mtetezi wa wote
@mkemiamagege8477
@mkemiamagege8477 4 года назад
Mhe. Rais anavyojieleza kwa data ni zaidi ya Mtafutakazi na anastaili kupewa kazi. Gonga like.
@frankoiputa8181
@frankoiputa8181 9 месяцев назад
The best president Africans have ever had may good God keep his soul in internal 💪🏾♥️
@jafarimkova9173
@jafarimkova9173 4 года назад
Umetixha we babalao
@johnpeter404
@johnpeter404 9 месяцев назад
Our father is in good hands with god😉😉😉😌😌
@Nikolasmatabaro-fl5ez
@Nikolasmatabaro-fl5ez 7 месяцев назад
bazaar |is ❤.. 😮😮ablm❤ze 2:11 👩‍🔬😅🇺🇬❤
@brownmwangome7816
@brownmwangome7816 4 года назад
Raisi Wa wanyonge,nani awezaye haya,isipo JPM apewe kura zote.
@ziadasalim1459
@ziadasalim1459 4 года назад
Hivi huyu raisi kazaliwa na mwanamke au kashushwa kutoka minguni ? Maana yupo tofauti na hawa binaadam wengine kama wanyama .
@fatmas7338
@fatmas7338 4 года назад
Ziada fanya kustaghafiru kwanza unakosea ukisema hivyo
@samsonmakombe9636
@samsonmakombe9636 8 месяцев назад
Hongera mama Samia, rais wetu mpendwa kumrudisha Komorefi Makonda kwenye uringo.
@JustusMwania
@JustusMwania 11 месяцев назад
Born a leader dead a leader RIP mzee .
@esterkimario1126
@esterkimario1126 4 года назад
ila rais wangu me nakupenda mno ungepumzika kwanza baba maana tangia msiba umeenza hujapumzika baba pata muda wa kupumzika baba wa wanyonge
@kebo2155
@kebo2155 4 года назад
Ukweli mtupu.. 🇹🇿
@kelvinmwambandile2783
@kelvinmwambandile2783 4 года назад
Mwenyezi mungu akutunze Mh raisi
@mohamedkikale7241
@mohamedkikale7241 4 года назад
Dah jpm Allah aendelee kukupa afya na khekma katika utendaji wako
@isaacnyongeza167
@isaacnyongeza167 Год назад
Your the only president in Africa who cares common mwanainchi.. Rest in peace John Pombe Magufuli.... Tanzania mlipoteza sana...sisi hapa Kenya tulimaliza kura but hakuna maendeleo tumeeka mbele masuala ya vyeo sasa hivi tunashughulikia kutoa term limit ya president
@nemuelombasa8810
@nemuelombasa8810 4 года назад
Rais maghufuli, unastaili uje hapa kwetu kenya unyoroshe wabunge wetu.
@jeanmubemba1204
@jeanmubemba1204 4 года назад
mimi hapa nampenda sana jpm He is so genius
@rasnews1703
@rasnews1703 4 года назад
I am a kenyan and I love magufuli and his leadership
@ommyakili552
@ommyakili552 4 года назад
😭😭😭 Kuna viongozi hapa Tz mafala hasa wabunge na madiwani mafala sana yani wanapewa mamlaka lakini wanalala hovyo tu
@sameermilo2492
@sameermilo2492 4 года назад
Safi Sana Raisi 💯💪🏼 Tuko pamoja
@faustinemavere1450
@faustinemavere1450 4 года назад
Mweeee yale mengine yatakuwa yametoa macho kodo wakimwangalia mwamme akiunguruma na wananchi wake kwa upendo magu Mungu akulinde kila utokako na uingiapo baba damu ya Yesu ikufunike pole na msiba pia pole na safari ndefu
@fedelinamahenge6649
@fedelinamahenge6649 4 года назад
pole baba yangu mwenye hekima ya sulemani mungu akulinde rais
@ZediKangulumira-pk2uu
@ZediKangulumira-pk2uu Год назад
If Africa had leaders like the late j p m we would have been in the first world countries rip jpm
@usembiphonedar5632
@usembiphonedar5632 9 месяцев назад
Rais wa moyo wangu,kama kuna aliyehusika na kifo chako! Laana iwe juu yake na vizazi vyake vyote,pumzika kwa amani,Ameni.
@aisharamdan8358
@aisharamdan8358 8 месяцев назад
Sana mungu atalipa
@stanleymsenga9118
@stanleymsenga9118 4 года назад
Hongera sana mh rais kwa juhudi zako mungu akutunze
@hamidjuma6109
@hamidjuma6109 4 года назад
Huyu rais ningekua nauwezo ningempa hata mkono kwajinsi ninavompenda
@ramadhanihussein3918
@ramadhanihussein3918 4 года назад
Ahsante sana mzee baba
@jacobphilemon6394
@jacobphilemon6394 4 года назад
Mungu akupe maisha marefu kwa kutetea wanyonge
@ZediKangulumira-pk2uu
@ZediKangulumira-pk2uu Год назад
Am frm kampala watching these videos
@dullyyesu9036
@dullyyesu9036 4 года назад
rais ananifrahisha pale anapo sema pesa kama imeliwa kuna kakicheko fran hiv kicheko cha tahazari
@RioIpo
@RioIpo 4 года назад
Ihiiiiii
@eliudkimari-wt5cl
@eliudkimari-wt5cl 8 месяцев назад
I lyk how prez magfuri how he was doing his things in kiswahili kasoma jambo kwa umakini kwa uadilifu na undani na kumweka Mungu mbele kati na mwisho
@user-sp4jr4vw6t
@user-sp4jr4vw6t 3 месяца назад
Mungu wetu tunakuomba pitisha moto wako kwa wale wote waliohusika na kumuondoa huyu kiongozi wetu alietupenda.
@amunyipeter2886
@amunyipeter2886 7 месяцев назад
Haki za watu 🎉.. The late president His Excellency DKT. MAGUFULI ALIKUWA The Best African president ever 🇹🇿✅
@dennisjuma3940
@dennisjuma3940 Год назад
Am also akenyan but I was alover of magufuli ,we cant get like this ,rip magufuli
@maikopaulmaiko1900
@maikopaulmaiko1900 4 года назад
Malaika anamwambia mh kua huyu Mama hadanganyi😁😁😁kwl huyu n malaika anaeishi dunian Kwa kuonekana
@annakulanga5415
@annakulanga5415 4 года назад
Maikopaul Maiko😂😂😂😂😂😂😂😂😲😂😚😂😂🤭🤭🤭
@maryoswad7022
@maryoswad7022 4 года назад
Hmmmm barikiwa sanaaaaa
@mangegervas9651
@mangegervas9651 4 года назад
Gud rais wangu jpm. We we rais Wa wanyonge
@Vincentsyona-bj6qj
@Vincentsyona-bj6qj 6 месяцев назад
True & real thinker Magufuri RIP MJOMBA MAGUFURI..
@nurusimbeye562
@nurusimbeye562 4 года назад
Abarikiwe mwnanamke aliyekuzaa
@selemaniathumani9855
@selemaniathumani9855 Год назад
Mungu akuweke mahali pema pepon amen
@keithmomanyi5188
@keithmomanyi5188 7 месяцев назад
The best president ever in Africa ❤❤❤❤❤❤
@DamianNdege-gh3tj
@DamianNdege-gh3tj 9 месяцев назад
Mungu akupumzishe mahari pema peponi
@zakkaumeme9829
@zakkaumeme9829 4 года назад
magufuli we noma walah
@fredkyara3278
@fredkyara3278 4 года назад
Hapanaaa. Huyu ni Mfalme. Wa Jamhur ya Muungano wa Tanzania. Jaman wa Tanzania. Tumpeni Mfalme. John. Josef. Pombe. Magufuli nchi. Kama Jamhur ya watu wa China. Magufuli ni chaguo la Mungu. Ni msaada wa nchi ya Tanzania. Na bars nzima la Afrika na Dunia nzima. Magufuli. Big up. Sana Rais wangu. Kipenzi. Mwenyezi Mungu. Akujalie Maisha marefu. Na Afyanjema. Na Familia yako.
@nehemiaisakwisa8604
@nehemiaisakwisa8604 4 года назад
JPM rais wa watu na watanzania
@mangegervas9651
@mangegervas9651 4 года назад
Kweli kabisa huyu ndo tumtakayo
@niokoemahenge4312
@niokoemahenge4312 4 года назад
Magu uiongoze Tanzania kwa miaka ishirini nasio kumi tena
@raphaellyela2910
@raphaellyela2910 4 года назад
AGAIN AND AGAIN, A MAN OF SEASON A PRESIDENT OF TIME
@hermankinyaiya9256
@hermankinyaiya9256 Год назад
Yaaah
@peternjoroge9209
@peternjoroge9209 8 месяцев назад
Pombe is the best president in the world.
@hekimamtazamo4151
@hekimamtazamo4151 4 года назад
Wangapi wamesikia rais anaulizwa umenielewa vizuri nae kasema naelewa nipe comment
@J4UPro
@J4UPro 4 года назад
Hahahahaha
@raymondmsuya7127
@raymondmsuya7127 4 года назад
😂😂😂 hao ndio wazaramu wa mkuranga
@ibel4lf
@ibel4lf 3 года назад
Nimecheka sana wazaramo hawa 🤣🤣🤣
@ommyakili552
@ommyakili552 4 года назад
😂😂😂😂😂😂😂 dah Huyu Raisi hapana mm ningependa aongoze miaka mpaka Allah amchukue lazima ujichanganye
@nehemiaisakwisa8604
@nehemiaisakwisa8604 4 года назад
Hapo tu ndio unapokua rais wa miaka 20 yaan unajua kuwasaidia wanyonge president JPM
@KabazoMumba
@KabazoMumba 9 месяцев назад
Magufuli was a great leader for the people of Tanzanian majority and All intaia continatal may he also ready in peace
@gracebruno2644
@gracebruno2644 4 года назад
Nakupenda mnoo baba wa haki
@ziadasalim1459
@ziadasalim1459 4 года назад
Duh huyu rais mbinguni moja kwa moja
@joharikhatibu27
@joharikhatibu27 Год назад
Thanks God for Magufuli time.R.I.P MAGU always I remember you
@evelyinipaja1202
@evelyinipaja1202 4 года назад
Ni kweli kabisa ,mambo ya ardhi kuna uonevu sana.
@ziadasalim1459
@ziadasalim1459 4 года назад
Mh raisi ebu nenda kapunzike kidogo hata ulale jamani wiki nzima umeshughulika na msiba una usingizi umechoka ebu nenda kapetiwe na mamaaa
@ommyakili552
@ommyakili552 4 года назад
Ile ipo haiondoki ataikuta tu😂😂😂😂😂😂😂 tamu ile yake bhana
@emmanuelturuka8528
@emmanuelturuka8528 4 года назад
Maendeleo yanahitaji kujipanga vizuri na kupunguza kubembelezana Hongera JPM kwa kujitaidi kumaliza baadhi ya matatizo papo kwa papo 👍
@ZediKangulumira-pk2uu
@ZediKangulumira-pk2uu Год назад
We will miss a straight forward prezido who used to work for the tanzanian not his self
@samsonmakombe9636
@samsonmakombe9636 8 месяцев назад
Your man power are coming back. R.I.P
@christophermganga5216
@christophermganga5216 4 года назад
Mwenyezi mungu atakulinda popote utakapo kwenda wewe ni kiongozi wa wawanyonge utashinda ushindi mkubwa sana
@johnsentamu4353
@johnsentamu4353 9 месяцев назад
NO WHERE TO GO AND NO WHERE TO HID. (TIME ) MATH and l0ve.
@mkemiamagege8477
@mkemiamagege8477 4 года назад
Wewe DC acha kuongea sana wakati Mhe Rais anaongea na wewe unaongea ongea tu.
@raymondmsuya7127
@raymondmsuya7127 4 года назад
Huyo DC Ni mtu mmoja makini Sana na mfuatiliaji sema tu mkuranga majanga mengi Sana kule na rais anatambua Hilo
@eischerschwederm7876
@eischerschwederm7876 4 года назад
Magufuli ana kazi
@joearm5551
@joearm5551 4 года назад
Kweli kabisaa sina hamu huu ni wito kama huna huwezi!
@emmanuelmashishanga5057
@emmanuelmashishanga5057 Год назад
Pumzika Kwa amani mzee magufuli hakika ulipigana sana.......
@jacksonmutisya-hl6kb
@jacksonmutisya-hl6kb Год назад
Magufuli alikuwa kiogozi kweli
@jemedarikalimasi5754
@jemedarikalimasi5754 11 месяцев назад
Pamoja na mapungufu yake yote hatatokea mwananchi mzalendo kama jpm, lala salama baba na mungu akusamehe zambi zako.
@usembiphonedar5632
@usembiphonedar5632 9 месяцев назад
Ameni. Inauma sana! JPM!
@maikopaulmaiko1900
@maikopaulmaiko1900 4 года назад
Ila wasaidiz wa mh wanaonekana wamechokaaa
@natashamwikali3413
@natashamwikali3413 Год назад
Continue resting well Rais magufuli
@athumanidona4944
@athumanidona4944 2 года назад
Mungu akulaze pema pepon,Ila speech yako hii imeniingia moyoni.Mimi binadamu tu
@amosidaniel1830
@amosidaniel1830 Год назад
Pumzika Kwa Mani baba yetu magufuli
@odaxkasita8264
@odaxkasita8264 4 года назад
president of the all time...!! katiba hakika ni lazima ibadilishe utawale milele, Mwenye kupinga afanye kama anajikuna hivi..
@Dennis-qg3qr
@Dennis-qg3qr Год назад
Alikuwa kiboko yao Hayati JPM
@JumanneSalisali
@JumanneSalisali 10 месяцев назад
Huyu ndo rais
@josephmbugua2580
@josephmbugua2580 Год назад
We lost great leader😭😭😭😭
@patrickmuchiri7480
@patrickmuchiri7480 4 года назад
Reaching to the poor good. God bless you.
@gbbuku4714
@gbbuku4714 4 года назад
ninachokiona magufuli ni mwanaume mmoja tanzania ambae hata usiposaidia kupiga kampeni mwanaume anamaliza peke yake
@patrickmuchiri7480
@patrickmuchiri7480 4 года назад
God is able ..grow Tanzania.
@yassinmmone6806
@yassinmmone6806 Год назад
A
@luqmanmakarani8339
@luqmanmakarani8339 Год назад
Magufuli was a tough but a fair leader...
@mkombozifreshoil
@mkombozifreshoil 10 месяцев назад
JPM Mungu akurehemu huko uliko.
@evelyinipaja1202
@evelyinipaja1202 4 года назад
Mungu tunaomba uwalinde vyombo vya usalama wanaosimamia haki na wanalinda usalama wa Raisi John Magufuli.
@samsonmakombe9636
@samsonmakombe9636 8 месяцев назад
Mungu akulaze mahala pema. Uliyafanya makubwa.
@saidaamir4462
@saidaamir4462 Год назад
Mungu akupumzishe Kwa aman,baba,,ulikuwa mzalendo hass
@samsonmakombe9636
@samsonmakombe9636 8 месяцев назад
Aksante baba, RIP
@karimmveyange280
@karimmveyange280 Год назад
Tutakukumbuka sana,saa hii ni wananchi wanakaliwa na viongozi kichwani-HAKUNA HAKI
@samsonhamery3809
@samsonhamery3809 Год назад
Tume ikosa sana sauti yako Baba.Baba lala kwa buriani. Bado kivuli chako hadi sasa kitawatesa sana Mbowe na Rissu usiku wakiilala wanaweweseka vitandani mwao na kupiga mayowe.!!!!!!
@allyhamisi2639
@allyhamisi2639 Год назад
Huyu ndio rais Allah amuhifadhi
@japhethcharles5791
@japhethcharles5791 Год назад
R.I.P Mr president .We miss u
@ZawadiSamy
@ZawadiSamy 5 месяцев назад
Roho yako ipumzike katika amani
@sweetbertmalimi1567
@sweetbertmalimi1567 4 года назад
MZEE JPM NI MTU WA WATU..
@VantinMassawe-dh2xf
@VantinMassawe-dh2xf 3 дня назад
Nakumbaka sana
@samsonmakombe9636
@samsonmakombe9636 8 месяцев назад
Sawa kabisa.
@polycapnyongesa2466
@polycapnyongesa2466 Год назад
Continue resting in power Magufuli
@selinaabwenje1729
@selinaabwenje1729 Год назад
Yyyuh ZZQ
@EnockSimiyu-rk2iq
@EnockSimiyu-rk2iq Год назад
Citizen
@EnockSimiyu-rk2iq
@EnockSimiyu-rk2iq Год назад
Citizen
Далее
RAIS DKT. MAGUFULI AKIWA NJIANI KUELEKEA JIJINI DODOMA
32:41
C’est qui le plus fort 😂
00:18
Просмотров 9 млн
Секрет фокусника! #shorts
00:15
Просмотров 29 млн
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57