Тёмный

RAIS SAMIA AMPA MAKONDA DAWA za MILIONI 100, ARUSHA WATU WOTE WANATIBIWA BURE, BILA KULIPA HATA MIA. 

HABARIMPYA TV
Подписаться 613 тыс.
Просмотров 6 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 22   
@jumamayonga8914
@jumamayonga8914 25 дней назад
Makonda ni kiongozi anaetakiwa kuigwa na viongozi wenzake, BIG UP MAKONDA.
@KaujuMwakajumba
@KaujuMwakajumba 25 дней назад
Huyu makonda ni Nabii ...kikubwa zaidi mungu akutangulie mheshimiwa makonda ♥️♥️♥️♥️🙏
@jackmabirangacharles9398
@jackmabirangacharles9398 25 дней назад
Mungu Akubariki Mheshimiwa Makonda Najiuliza Wakuu wa Mikoa Wengine wanashindwa vipi? Kujipanga au Hawana Marafiki kama Makonda
@user-dt7ec3tr2v
@user-dt7ec3tr2v 25 дней назад
Cjui niseme nini jamani ubarikiwe sanaa mkuu🙏🙏🙏🙏
@user-qy4bg4qj9z
@user-qy4bg4qj9z 25 дней назад
Mungu akuzidishie zaidi UTEKELEZAJI wa kazi zako mdogo wangu
@DanielChalya-zo6mp
@DanielChalya-zo6mp 25 дней назад
Big up makonda
@EliaMarco
@EliaMarco 25 дней назад
Safi sana kamanda
@mohamedimuhinga9064
@mohamedimuhinga9064 25 дней назад
Hi huduma ingetolewa nchi nzima ingetusaidia sana duh!!
@daudimusoma3337
@daudimusoma3337 25 дней назад
Kweli unasitahili kuchukiwa na wenye wivu na
@ADIMUSALUMU-ko6zp
@ADIMUSALUMU-ko6zp 25 дней назад
Makonda chukua nch unafaa mheshimiwa
@nicodemashaggite8429
@nicodemashaggite8429 25 дней назад
MAKONDA, Makonda, sijui niseme nn Kwa ajili Yako lakini Mungu anakuona🙏🙏🙏
@mohammedmdangwe2056
@mohammedmdangwe2056 25 дней назад
mama samia ukiondoka mwachie nchi huyu makonda nchi itakuwa salama mrudishie uenezi 2025 uzoe kula
@machujamathias7165
@machujamathias7165 25 дней назад
Una sitahili kuwa RAISI
@kingaziomari4211
@kingaziomari4211 24 дня назад
Ndugu zangu kijana huyo sauti inakauka kwakutetea wanyonge mungu amlinde
@barakajonas3209
@barakajonas3209 25 дней назад
❤❤
@vincentmhoro1952
@vincentmhoro1952 22 дня назад
Ni mpango na ni ubunifu mzuri sana. Swali: NI ENDELEVU ??
@renatusgasembe3338
@renatusgasembe3338 25 дней назад
mussa tufikishe kanani
@uziasinkamba7380
@uziasinkamba7380 25 дней назад
Tunaomba na kwetu songwe tusaidiane
@usafiaps318
@usafiaps318 24 дня назад
Hii Ni Aibu Kwa Taifa Letu.Serikali Yetu Ikubali Tu Kwamba Haipo Kwa Masilahi Ya Wananchi Bali Kwa Ajili Ya Matumbo Yao.Ukweli Makonda Tunamshukuru Kwa Kuiumbua Serikali Ya CCM.
@kingaziomari4211
@kingaziomari4211 24 дня назад
Hangera mama kwakumuunga mkono makonda nakurazangu zote kwako
@IsmailMatola
@IsmailMatola 25 дней назад
Mhe makonda usitegemee kama utapenda na wanaojifanya nnchi ii yao kuanzia mawazili manaibu wao makatibu wakuu wakuu wa idala awowote ni wezi tupu na awafai kuwa viongozi wetu ila wewe wewe makonda nibonge la kiongozi nasio wakuigwa tu bali ni wamfano na ukiona unamchukia makonda wewe ni mwizi aijalishi wewe ni mstaafu au nani nyinyi wezi atuwataki muwepo apa duniani
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 25 дней назад
NCHI HII WAGONJWA WAPO ALIPO MAKONDA TU MIKOA MINGINE HAWAPO NDIYO MAANA FEDHA ZIMEPELEKWA HUKO TU
Далее
We will see who will do it better 😂
00:14
Просмотров 2,9 млн