Bunge la tz liko wapi?kwanini hawapitishi Sheria Kali zidi ya ushoga ndoa za jinsia moja na kusagana kama Uganda wako vizuri.tz inaharibika wanaume tutembee na pampasi! Tz ya Nyerere kweli! haya hayana nafasi ni uchafu uliopitiliza.
Mwangu karawitia lakini kesi imezimwa kimyaa cjui hii serikari yet cjui nifanyaje Nini kinaendelea mtoto amelawiti harafu naishi ma hofu duu inauma jamani usikie.kwtu kesi imezimwa kimyaaaa 😢😢nimeghalamika kila siku natembea natembea hakuna haki Tanzania Ina watanzania wake naumiaaa