WorldNewsMedia ni chanzo namba moja cha habari kinachota taarifa mbalimbali ulimwenguni . Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali. #ccm #drmwinyi #raissamia #katiba
Uhuru wa kinchi "sovereignty," ZNZ hakuna, maamuzi hayo pia hakuna Maamuzi yatatolewa na wakoloni wao wa bara, hata 10itawezekana, SI UKOLONI TUUU, AH!!!
Wala hakuna haja ya kuogpa uchaguz Kwa visingizio vya garama Kwani ayo yanayofanyika hayana garama mbona yanafanywa mpaka Kwa mikopo na saiv nhi imejaa madeni
Nyie ccm ni bora msifanye uchaguzi kabisa kuliko kusema tuna uchavuzi kumbe. Ni magumashi munauwa na kupora uchavuzi,,bora iwe hivyo kuliko kufanya uchaguzi i wa danganya toto,,wizi wakubwa nyie
GHARAMA ZA UCHAGUZI NA UHURU WA MAUWAJI Uchaguzi wa Siku Moja ni Gharama kuliko Uchaguzi wa Siku Mbili? Kila Uchaguzi Waislam wa Zanzibar wanauliwa na Chama Cha Mapinduzi. Hii ni Demokrasia na Uhuru wa Chama Cha Mapinduzi?