Mungu akulinde mzalendo wetu awe karibu Yako mda wote na popote utakapokuwa pamoja na uzao wako wote na akupatie taji ya milele mbinguni hata duniani akuheshimishe mbele ya Dunia na mpaka ahera ee Mwenezi Mungu usikie maombi yangu ya sawadi hii uliyotupa sisi wanyonge