Huu mradi unapaswa kufanywa nchi nzima, itasaidia Sana kupunguza maradhi ya akili, na magonjwa mengine kwa watu wa kipato Cha chini Kama utalenga kusaidia kundi hilo
HIVI HAMNA MAMO MENGINE YA KUBUNI ZAIDI YA KUJENGA MAJUMBA MMPAKA UVUNGUNI WAVITANDA. MPAKA TUNAKOSA HEWAA. YAANI AKILI YA SERIKALI ZETU NI KUJENGA TUU. MNATAKIWA MBUNI MAMO YA MAANA. HAKUNA LOLOTE. UPUUZI MTUPUUUUUUU.