Тёмный

Sh. Milioni 45 Plus VAT, Unanunua Nyumba Mradi wa  

Shirika la Nyumba la Taifa
Подписаться 6 тыс.
Просмотров 13 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 24   
@dorcasjonathan9793
@dorcasjonathan9793 Год назад
Hongereni sana nakuja kuziona kwanza
@NkosieMkunyana
@NkosieMkunyana Год назад
Tunaomba number ya sim sisi tupo South Africa 🇿🇦 tutafanya jee
@ShirikalaNyumbalaTaifa
@ShirikalaNyumbalaTaifa Год назад
Wasiliana nasi kwa namba hii 255736114433
@madalanasri2226
@madalanasri2226 21 день назад
​@@ShirikalaNyumbalaTaifa salama Nyumba ya vyumba 2 ya chini inauzwa beigani
@geofbeka1669
@geofbeka1669 Год назад
Huu mradi unapaswa kufanywa nchi nzima, itasaidia Sana kupunguza maradhi ya akili, na magonjwa mengine kwa watu wa kipato Cha chini Kama utalenga kusaidia kundi hilo
@ShirikalaNyumbalaTaifa
@ShirikalaNyumbalaTaifa Год назад
Tumepokea maoni yako na tutayafanyia kazi karibu sana
@nadhifamshindo6976
@nadhifamshindo6976 Год назад
hakuna sehemu ya kufulia (laundry) pakuanikia maana balcony ni ndogo na wala hakuna stoo😢
@godfreymushi6966
@godfreymushi6966 9 месяцев назад
Taja bei ya kila nyumba sasa hutaji bei au ndo rushwa .45 mm kwa nyumba zote au
@zuuomar4657
@zuuomar4657 Год назад
3 bedrooms bei gani?
@seanhussein
@seanhussein Год назад
Studio apartment bado zipo
@hpenyika7686
@hpenyika7686 Год назад
Mimi nahitaji nyumba ya kununua iwe peke yake sio gorofa naipataje?
@نَذِيْرْيُوْسُفْ-ح5ع
Can foreigners buy one of these apartments? I’m from US .
@lawrencechitalilo8
@lawrencechitalilo8 Год назад
Yes. You can buy your welcome
@devanse9718
@devanse9718 11 месяцев назад
Not really
@kaburumacha315
@kaburumacha315 Год назад
Je ni lini mnategemea kumaliza mradi? Niliona pahali NOV 2023 lakini sioni mkitimiza hio deadline.
@ShirikalaNyumbalaTaifa
@ShirikalaNyumbalaTaifa Год назад
Mradi huo unategemea kuisha febuary 2024
@madalanasri2226
@madalanasri2226 21 день назад
​@@ShirikalaNyumbalaTaifa Nyumba Za kununua bado zipo
@hashimshaban4675
@hashimshaban4675 Год назад
Hyo 45mln ni vyumba vingapi?
@ShirikalaNyumbalaTaifa
@ShirikalaNyumbalaTaifa Год назад
Ni studio apartment
@joycechuki8258
@joycechuki8258 11 месяцев назад
Na nyumba ya vyumba viwili ni ngapi?, kama hiyo 45M ni studio 🤔🤔
@zurisana8068
@zurisana8068 Год назад
Bei gani vyumba 3??
@Sarah-e1o9k
@Sarah-e1o9k 20 дней назад
Million 45.× 3
@valenakomba7686
@valenakomba7686 Год назад
HIVI HAMNA MAMO MENGINE YA KUBUNI ZAIDI YA KUJENGA MAJUMBA MMPAKA UVUNGUNI WAVITANDA. MPAKA TUNAKOSA HEWAA. YAANI AKILI YA SERIKALI ZETU NI KUJENGA TUU. MNATAKIWA MBUNI MAMO YA MAANA. HAKUNA LOLOTE. UPUUZI MTUPUUUUUUU.
@godfreymushi6966
@godfreymushi6966 9 месяцев назад
Maneja masoko fukuza kazi hata sijui ulipataje kazi
Далее
Mradi wa Samia Housing Scheme,Kawe, Ulivyochangamkiwa.
31:29
MIRADI YA NYUMBA ZA NSSF
15:06
Просмотров 16 тыс.
POLI и Маша - Сигма бой
00:20
Просмотров 223 тыс.
NYUMBA YA MILIONI 600 INAYOUZWA PALM VILLAGE MIKOCHENI
11:17