Darkie Master ni msanii mwingine mwenye sifa za kipekee katika muziki wa Bongo,ana uwezo wa kurap na hata kuimba hususan mtindo wa Dance hall,yeye ni moja ya familia iliosumbua ya East Zoo na Chamber Squad ,ana mengi anayoyafahamu mwenye game hasa nje ya watu wa Dar,hii ni episode muhimu ambayo hupaswi kuikosa
21 фев 2024