Hivi masanja huyo jamaa yuko serious kweli au mnafanya utani na Mungu? Hebu fikiria vizuri tena kaka! Na kama Mungu anaona sio sawa atende jambo! Me namuomba Mungu wangu! 🙏🙏🙏
Haya maisha bhana we broo ilikuwa unauza mitumba ya kutembeza huku unavalia gauni jekundu nakumbuka siku moja nilikufatilia kwa nyuma kuanzia camp mpaka kanisa la Roma magengeni nikaona ukilivua na kubaki na kipensi Cha jinsi na raba ya Nike , nilikuwa mdogo kipindi hicho dah now Ni mtumishi ubarikiwe Sana street pastor 😂😂
Nakumbuka miaka ile masanja ulikuwa chinga tulikuwa tukionana maeneo ya tabata dampo mgahawani kwa mama ruru muigizaji, lakini kwa sasa masanja siyo mtu wakawaida yan yupo juu. Karibu sumbawanga Emanuel mgaya
Siku za mwisho izi, mafrimasoni wakubwa wawili wamekutana, lakini lazima watumishi wa MWENYEZI MUNGU WA KWELI WATAFIKA TU MBINGUNI, Mwenyezi Mungu anazidi kuwaumbua
kaka masanja ww n role model wangu maana kuna vtu vng najfunzaga kwako kiroho na kiuchum hasa mfano historia ya maisha yako ,kaz zako za klmo ,uaminifu,kutokata tamaa ,Mungu wa mbinguni akubariki sana.wanaokuponda wakuponde tyu bt ww kioo
nakwambia hiyo kichwa hatari tupu inaitajika tuvunjie chungu kichwani kama vile Elisha alivyo tumia kwa mambo furani hivi maana hiyo maombi peke yake hayatoshi mtu wa mungu massanja umetulia kweli una msikiliza umetisha sana
Mungu c wa kutaniwa unamuita mtumishi wa Yehova ukijua fika ni mtumishi wa shetani una maanisha nn Yehova ni jina kubwa sana halitakiwi kutamkwa hovyo hovyo
Du!!!.hatari sana mungu hadhihakiwi hata mchungaji tuliyekuamini unamtania mungu.imeandikwa usilitaje Bure jina LA mungu wako.kweli cku za upotoshaji.baki na imani yako.hakuna role model wa imani hapa duniani.thnks God
Mungu amuepushe Rais Magufuli asitazame utaahira wa huyu Tito ili macho yake yasije yakanajisika. Siku hizi watu dili za mjini zimewaishia kila mmoja anajidai kumpenda sana Mheshimiwa Rais, lakini ni waongo wakubwa. Mheshimiwa Rais wasikudanganye hawa wenzio wanatafuta pesa. Chapa kazi yako kwa mujibu wa sheria na katiba hapo ndiyo kuna mapenzi ya kweli achana na hawa wapiga porojo wanaojidai eti wanakupenda sana na kukutetea. Wanaokupenda nisisi tuliokupa kura na sihao wanaobwabwaja kila kukicha na anaekutetea ni Mungu pekee siyo msiba wala huyu anayejibasibu kuwa ni nabii
🤣🤣🤣Nabii kaona buku ilobaki kwenye pochi hataree.Masanja we noma Sana umemhoji Kama mwenzako kumbe uko mbali naye.Tafuta jinsi ya kumsaidia Tito hayuko sawa.
huyu Tito anahitaji kuombewa kwa maombi ya viwango vya juu sio mzm huyu ameacha kuhubiri neno watu wamjue mungu huko kwenye siasa nani amemwambia mungu ni mwanasisa
Siku sioo nyingiii utashangaa nabiii tito kakabithiwa Jimbo ccm sio ya mchezo mchezoooooo nabiii tito 2020 mbunge mpya WA ubungo mirembe mungu anakuona kumwachia chizi wenu
APO HEAVEN MSAHAU,,,, Masanja Wewe Ni Taira Mkubwa Tena Mganga Kama Waganga Wengne.... Bora Na Tito Ambazo Zake Zisha Ruka Miaka Mingi..... Vipi mkiwa Kama Hyo Jamaa Mlevi Hana Na Hataki Shobo...